If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 |
REPORTING |
|||||||
1 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Isimu jamii; Sajili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili. Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini. Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
|
|
1 | 5 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi Sarufi |
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Viulizi Vivumishi vya Idadi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maudhui ya ufahamu. Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu. Kujibu maswali kwa usahihi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya Methali |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 3-7
|
|
1 | 6 |
Kusoma
Kusoma (fasihi) Kusoma Kuandika |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Magazeti Nakala halisi ya barua rasmi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
1 | 7 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu Kusoma (fasihi) |
Dhima ya Fasihi kwa jumla
Shairi: Mikanda Tujifungeni BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza nafasi ya fasihi simulizi katika jamii. Kutaja sifa za fasihi simulizi. Kufafanua vipera vya fasihi simulizi. Kueleza umuhimu wa fasihi Simulizi |
Maelezo
Ufafanuzi Majadiliano Uchunguzi Uvumbuzi Kazi ya vikundi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Kitabu cha Shairi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 17-19
|
|
2 | 1 |
Kusoma (fasihi)
Sarufi Sarufi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
‘A’ Unganifu Virejeshi ‘O’ na ‘amba’ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
2 | 2 |
Sarufi
Kusoma (fasihi) |
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Viashiria visisitizi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya ‘O’ rejeshi. Kutumia ‘O’ rejeshi katika sentensi. Kujibu maswali kwa usahihi. |
Kusoma
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 24-25
|
|
2 |
OPENER EXAMINATION |
|||||||
3 | 1 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma Kuandika |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Magazeti |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Vivumishi kwa pekee BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maadili na maudhui ya kifungu. Kujibu maswali kutokana na ufahamu. Kutambua umuhimu wa kuwa msikivu. |
Kusikiliza
Kujadili Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 32-33
|
|
3 | 3 |
Kusoma
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari Maamkizi na Mazungumzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maswala ibuka. Kusoma makala yanayohusu afya ya na Ukimwi. Kujibu maswali yanahosu makala. |
Usomaji
Maelezo Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 38-39
|
|
3 | 4 |
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Umoja wa Kitaifa
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza umuhimu wa usanifishaji. Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’ Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini. |
Usomaji
Maelezo Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 43-44
|
|
3 | 5 |
Sarufi
Kusoma Kuandika |
Vielezi
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba Fasihi Simulizi; Mazungumzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza dhana ya vielezi. Kueleza aina za vielezi. Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi. |
Maelezo
Ufafanuzi Maswali na majibu Ufafanuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 44-48
|
|
3 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Kusikiliza na kuzungumza |
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege Fasihi Simulizi; Ulumbi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya utani. Kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni. Kutaja aina za utani. Kutunga utani mbalimbali. |
Kutamka
Kueleza Kujadili Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 52-53
|
|
3 | 7 |
Sarufi
Kusoma Kuandika |
Viwakilishi (W)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja aina za viwakilishi. Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi. Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuandika Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 56-60
|
|
4 | 1 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Isimujamii; Mahakamani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 2 |
Sarufi
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Mwingiliano wa Maneno
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT) Kutambua sifa za KN na KT. Kuonyesha KN na KT katika sentensi. |
Kueleza
Kusoma Kutunga sentensi Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Redio na vinasa sauti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 69-70
|
|
4 | 3 |
Kusoma (fasihi)
Sarufi Kusoma |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi Uchambuzi wa Fasihi Andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 4 |
Kusoma
Kuandika Kusoma (fasihi) |
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi. Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake. Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira. |
Maelezo
Ufafanuzi. Ufaraguzi. Majadiliano. Maswali na majibu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
|
|
4 | 5 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma Kusikiliza na kuongea |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Shairi Nyuki nimekoni? Fasihi Simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 6 |
sarufi
Kusoma kuandika |
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili Ratiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi Mafano Shuka- panda Nuka-nukia Lala-amka Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha |
Kuchanganua
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
|
|
4 | 7 |
Fasihi
Kusoma Kusikiliza na kuzungumza |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Dini ya ulimwengu Visasili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 1 |
sarufi
Kuandika Fasihi |
Uundaji wa nomino
Uandishi wa insha BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni kutaja aina mbalimbali za sentensi mifano- samehe, abiri, husudu |
Kutaja
Kueleza |
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
|
|
5 | 2 |
Kusoma
Marudio
2 Kusikiliza na kuzungumza |
Kukandamizwa
sarufi Fasihi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa |
- Kueleza
Kutaja Mifano |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
|
|
5 | 3 |
Kuandika
Fasihi Fasihi |
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo |
- Maelezo
-Kuandika |
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
|
|
5 | 4 |
Kusoma
2 Kusikiliza na kuzungumza |
Kukandamizwa
sarufi Fasihi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa |
- Kueleza
Kutaja Mifano |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
|
|
5 | 5 |
Kuandika
Fasihi Fasihi kusoma |
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege mchezo wa kuigiza |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo |
- Maelezo
Kuandika |
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
|
|
5 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi Kuandika |
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
vishazi wasifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa Kujibu maswali |
Kuandika
Kutunga sentensi Kusoma |
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
|
|
5 | 7 |
Fasihi
andishi
Kusoma |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
mhepa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 1 |
Kusikiliza na kuongea
sarufi kuandika |
Miviga
setensi ya Kiswahili utungaji wa kiuamilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
|
|
6 | 2 |
Fasihi
Fasihi andishi Kusoma Kusikiliza na kuongea |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
mhepa Miviga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 3 |
sarufi
kuandika Fasihi |
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi |
Maelezo
|
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
|
|
6 | 4 |
Fasihi andishi
Ufahamu Kuzikiliza na kuongea |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Haki zetu binadamu maigizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 5 |
sarufi
Kuandika Fasihi simulizi |
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili |
Mjadala
|
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
|
|
6 | 6 |
Fasihi
Ufahamu Kuzikiliza na kuongea |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Haki zetu binadamu maigizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
kitabu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 7 |
sarufi
Kuandika Fasihi simulizi Fasihi |
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili |
Mjadala
|
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 148-150
|
|
7 | 1 |
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza sarufi |
usalama barabarani
ushairi nyimbo uchanganuzi wa sentensi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
- Kusoma
Jibu maswali |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 158-159 |
|
7 | 2 |
Kuandika
Fasihi Fasihi |
utungaji wa kiuamilifu
tahadhari
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua aina mbili za tahadhari ilani na onyo |
Kuandika
kueleza |
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 165-166
|
|
7 | 3 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea kusoma |
uzalendo
Hotuba uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Jibu maswali |
kitabu
Tamthilia |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
7 | 4 |
Kuandika
Fasihi Kusoma Kisikiliza na kuongea |
mahojiano na dayolojia
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege Uzalendo Hotuba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano |
Kusoma
Kufupisha |
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
|
|
7 | 5 |
Sarufi
kusoma Kuandika |
Nyakati na hali marudio
uzalendo mahojiano na dayolojia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi mfano -li-( uliopita) walisherehekea kiambishi cha hali -me- timilifu wahalifu wamefungwa kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali |
Kutaja
Kueleza |
kitabu
Tamthilia |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
|
|
7 | 6 |
Fasihi
Kusoma Kisikiliza na kuongea |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Uraibu Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
kitabu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 7 |
Sarufi
kusoma Kuandika |
Uakifishaji
Ukimwi Barua meme |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuakifisha sentensi kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali |
Kutaja
Kueleza |
kitabu
Tamthilia |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
|
|
8 | 1 |
Fasihi
Kusoma Kusikiliza na kuongea Kusikiliza na kuongea |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Shairi Vitenzi Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
8 | 2 |
kuandika
Fasihi Fasihi andishi |
Mazingira
fomu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 192
|
|
8 | 3 |
Kusoma
Sarufi Kusikiliza na kuongea |
Ufahamu
Vitenzi Methali |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
|
|
8 | 4 |
kuandika
Fasihi Fasihi andishi |
Utungaji wa kisanii
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
|
|
8 | 5 |
Kusoma
Sarufi Kusikiliza na kuongea |
Urithi
Vitenzi Maghani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
|
|
8 | 6 |
kuandika
Fasihi Fasihi andishi Kusoma |
Matangazo
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo! |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunnzi aweze kuandika matangazo |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 203-204
|
|
8 | 7 |
Sarufi
Kusikiliza na kuongea kuandika Fasihi Fasihi andishi |
Vitenzi
Ngomezi Ripoti BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea Mafano Mifano kwa sentesni La- kakangu hula mkate kila siku Kauli ya kutendwa Mifano kwa sentensi La-liwa- Pa-pewa |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 210-211
|
|
9 |
END YEAR EXAMINATION AND CLOSING |
Your Name Comes Here