Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA III

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

REPORTING

1 4
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii; Sajili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
1 5
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Sarufi
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Viulizi
Vivumishi vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maudhui ya ufahamu.
Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya Methali
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 3-7
1 6
Kusoma
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Kuandika
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
Nakala halisi ya barua rasmi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
1 7
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Dhima ya Fasihi kwa jumla
Shairi: Mikanda Tujifungeni
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza nafasi ya fasihi simulizi katika jamii.
Kutaja sifa za fasihi simulizi.
Kufafanua vipera vya fasihi simulizi.
Kueleza umuhimu wa fasihi Simulizi
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Uchunguzi
Uvumbuzi
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi
Kitabu cha Shairi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 17-19
2 1
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Sarufi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
‘A’ Unganifu
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
2 2
Sarufi
Kusoma (fasihi)
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Viashiria visisitizi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya ‘O’ rejeshi.
Kutumia ‘O’ rejeshi katika sentensi.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 24-25
2

OPENER EXAMINATION

3 1
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Kuandika
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 2
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Vivumishi kwa pekee
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maadili na maudhui ya kifungu.
Kujibu maswali kutokana na ufahamu.
Kutambua umuhimu wa kuwa msikivu.
Kusikiliza
Kujadili
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 32-33
3 3
Kusoma
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari
Maamkizi na Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maswala ibuka.
Kusoma makala yanayohusu afya ya na Ukimwi.
Kujibu maswali yanahosu makala.
Usomaji
Maelezo
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 38-39
3 4
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Umoja wa Kitaifa
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza umuhimu wa usanifishaji.
Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’
Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini.
Usomaji
Maelezo
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 43-44
3 5
Sarufi
Kusoma
Kuandika
Vielezi
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza dhana ya vielezi.
Kueleza aina za vielezi.
Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Ufafanuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 44-48
3 6
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Fasihi Simulizi; Ulumbi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya utani.
Kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni.
Kutaja aina za utani.
Kutunga utani mbalimbali.
Kutamka
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 52-53
3 7
Sarufi
Kusoma
Kuandika
Viwakilishi (W)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja aina za viwakilishi.
Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi.
Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 56-60
4 1
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Isimujamii; Mahakamani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 2
Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Mwingiliano wa Maneno
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT)
Kutambua sifa za KN na KT.
Kuonyesha KN na KT katika sentensi.
Kueleza
Kusoma
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Redio na vinasa sauti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 69-70
4 3
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 4
Kusoma
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi.
Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake.
Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira.
Maelezo
Ufafanuzi.
Ufaraguzi.
Majadiliano.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
4 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Shairi Nyuki nimekoni?
Fasihi Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 6
sarufi
Kusoma
kuandika
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
Kuchanganua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
4 7
Fasihi
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Dini ya ulimwengu
Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 1
sarufi
Kuandika
Fasihi
Uundaji wa nomino
Uandishi wa insha
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
5 2
Kusoma Marudio
2
Kusikiliza na kuzungumza
Kukandamizwa
sarufi
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
5 3
Kuandika
Fasihi
Fasihi
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
-Kuandika
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
5 4
Kusoma
2
Kusikiliza na kuzungumza
Kukandamizwa
sarufi
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
5 5
Kuandika
Fasihi
Fasihi
kusoma
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
Kuandika
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
5 6
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kuandika
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
vishazi
wasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa
Kujibu maswali
Kuandika
Kutunga sentensi
Kusoma
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
5 7
Fasihi andishi
Kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
mhepa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 1
Kusikiliza na kuongea
sarufi
kuandika
Miviga
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
6 2
Fasihi
Fasihi andishi
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
mhepa
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 3
sarufi
kuandika
Fasihi
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
6 4
Fasihi andishi
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Haki zetu binadamu
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 5
sarufi
Kuandika
Fasihi simulizi
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Mjadala
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
6 6
Fasihi
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Haki zetu binadamu
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 7
sarufi
Kuandika
Fasihi simulizi
Fasihi
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Mjadala
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 148-150
7 1
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
usalama barabarani
ushairi nyimbo
uchanganuzi wa sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
-          Kusoma
Jibu maswali
Kitabu
Kamusi

Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 158-159
7 2
Kuandika
Fasihi
Fasihi
utungaji wa kiuamilifu tahadhari
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua aina mbili za tahadhari
ilani na onyo
Kuandika
kueleza
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 165-166
7 3
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
kusoma
uzalendo
Hotuba
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali
kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
7 4
Kuandika
Fasihi
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
mahojiano na dayolojia
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Uzalendo
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kufupisha
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
7 5
Sarufi
kusoma
Kuandika
Nyakati na hali marudio
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi
mfano
-li-( uliopita) walisherehekea
kiambishi cha hali
-me- timilifu
wahalifu wamefungwa
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza
kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
7 6
Fasihi
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Uraibu
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 7
Sarufi
kusoma
Kuandika
Uakifishaji
Ukimwi
Barua meme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza
kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
8 1
Fasihi
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Kusikiliza na kuongea
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Shairi
Vitenzi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
8 2
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Mazingira fomu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 192
8 3
Kusoma
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
Ufahamu
Vitenzi
Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
8 4
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Utungaji wa kisanii
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
8 5
Kusoma
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
Urithi
Vitenzi
Maghani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
8 6
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Kusoma
Matangazo
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunnzi aweze kuandika matangazo

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 203-204
8 7
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Vitenzi
Ngomezi
Ripoti
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea
Mafano
Mifano kwa sentesni
La- kakangu hula mkate kila siku
Kauli ya kutendwa
Mifano kwa sentensi
La-liwa-
Pa-pewa
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 210-211
9

END YEAR EXAMINATION AND CLOSING


Your Name Comes Here


Download

Feedback