If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 | 1 |
MAGONJWA YASIOAMBUKIZWA
Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza kwa Makini
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza habari katika matini ya kusikiliza. -Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza. -Kudondoa habari muhimu katika matini aliyosikiliza kwa kufuata mpangilio ufaao. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza matini kutoka kifaa cha kidijitali au mwalimu wake. -Kutambua hoja muhimu katika habari aliyosikiliza kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa. -Kueleza hoja muhimu aliyotambua kutoka matini aliyosikiliza. -Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini aliyosikiliza. |
Je, kwa nini ni muhimu kuwa na mpangilio ufaao wa hoja kutoka habari uliyosikiliza?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 95
-Vifaa vya kidijitali -Kinasasauti -Projekta -Vidokezo vya kusikiliza |
Kujibu maswali
-Kufupisha matini
-Kudondoa hoja muhimu
-Kutoa maana ya maneno
|
|
| 1 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Kusikiliza kwa Makini
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza habari katika matini ya kusikiliza. -Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza. -Kujenga mazoea ya kufurahia kusikiliza vifungu vya kusikiliza ili kuimarisha uwezo wa kusikiliza. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuelezea mwenzake maana ya msamiati katika matini ya kusikiliza. -Kudondoa habari muhimu katika matini aliyosikiliza kwa kufuata mpangilio ufaao. -Kushiriki mazungumzo kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa huku akitoa hoja kwa mpangilio ufaao. |
Je, kwa nini ni muhimu kuwa na mpangilio ufaao wa hoja kutoka habari uliyosikiliza?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 96
-Vifaa vya kidijitali -Kinasasauti -Chati zenye msamiati wa magonjwa yasiyoambukizwa |
Kujibu maswali
-Kufupisha matini
-Mazungumzo
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
| 1 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza vipengele vya kusoma kwa ufasaha ili kuvibainisha. -Kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora. -Kusoma kifungu kwa kasi ifaayo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha. -Kutazama vielelezo vya video za watu wanaosoma kwa ufasaha makala. -Kusoma kifungu kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora. -Kusoma kifungu kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa kwa kuzingatia kasi ifaayo. |
Je, unaposoma kifungu unazingatia mambo gani ili kufanikisha usomaji?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 97
-Vifaa vya kidijitali -Projekta -Video za mielelezo ya usomaji |
Kusoma kwa sauti
-Maigizo
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Kusoma kifungu kwa kasi ifaayo
|
|
| 1 | 4 |
Kusoma
Sarufi |
Kusoma kwa Ufasaha
Aina za Sentensi - Sentensi changamano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo. -Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo. -Kuridhia kusoma makala kwa kuzingatia vipengele vinavyofanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo. -Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa. -Kusoma mbele ya wenzake kazi yake ili wamtolee maoni. -Kushirikiana na mzazi au mlezi kusoma makala akizingatia vipengele vya usomaji bora. |
Je, unaposoma kifungu unazingatia mambo gani ili kufanikisha usomaji?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 98
-Kifungu cha habari kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa -Vifaa vya kidijitali Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 101 -Orodha ya sentensi -Kapu maneno -Chati yenye sentensi mbalimbali |
Kusoma kwa sauti
-Maigizo
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Kujibu maswali
|
|
| 2 | 1 |
Sarufi
|
Aina za Sentensi - Sentensi changamano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua sentensi changamano katika matini. -Kutumia sentensi changamano ipasavyo katika matini. -Kuonea fahari matumizi ya sentensi changamano katika mawasiliano ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuwawasilishia wenzake darasani sentensi changamano alizotunga ili wazitathmini. -Kumtungia mzazi au mlezi sentensi changamano zinazohusu shughuli katika mazingira ya nyumbani. -Kutunga sentensi changamano kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa na namna ya kujikinga. |
Ni nini tofauti kati ya sentensi changamano na aina zingine za sentensi unazozijua?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 102
-Vitabu mbalimbali -Kadi maneno -Mifano ya sentensi changamano |
Kutunga sentensi
-Kurekebisha sentensi
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Kuandika aya zenye sentensi changamano
|
|
| 2 | 2 |
Kuandika
|
Insha za Kiuamilifu - Hotuba ya kutoa ufafanuzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya hotuba ya kutoa ufafanuzi. -Kutambua hotuba ya kutoa ufafanuzi katika matini. -Kujadili ujumbe, lugha na muundo wa hotuba ya kutoa ufafanuzi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya hotuba ya kutoa ufafanuzi. -Kujadiliana na wenzake kuhusu ujumbe, lugha na muundo ufaao wa hotuba ya kutoa ufafanuzi. -Kujadili na wenzake miktadha inayochochea hotuba ya kutoa ufafanuzi. -Kujadili na wenzake vidokezo vinavyoweza kutumiwa katika kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi. |
Ni mambo gani ya kuzingatia katika kutoa hotuba ya ufafanuzi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 99
-Vielelezo vya hotuba ya kutoa ufafanuzi -Vitabu mbalimbali -Vifaa vya kidijitali |
Kujibu maswali
-Mijadala
-Kuandika vidokezo vya hotuba
-Kutunga hotuba ya kutoa ufafanuzi
|
|
| 2 | 3 |
Kuandika
|
Insha za Kiuamilifu - Hotuba ya kutoa ufafanuzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kwa kuzingatia vipengele vyake. -Kuchangamkia nafasi ya hotuba ya kutoa ufafanuzi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa akizingatia ujumbe, lugha na muundo ufaao. -Kuwasomea wenzake hotuba aliyoandika ili waitolee maoni. -Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu suala linaloathiri jamii yao kisha amsomee mzazi au mlezi ili aitolee maoni. |
Ni mambo gani ya kuzingatia katika kutoa hotuba ya ufafanuzi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 100
-Mifano ya hotuba za kutoa ufafanuzi -Vifaa vya kidijitali -Chati zenye vidokezo vya muundo wa hotuba |
Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Uwasilishaji wa hotuba
-Mjadala
|
|
| 2 | 4 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi - Wahusika
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua wahusika katika hadithi. -Kuchambua sifa za wahusika katika hadithi. -Kueleza mafunzo kutokana na wahusika katika hadithi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua washiriki katika hadithi inayosimuliwa. -Kutambua wahusika katika hadithi inayosimuliwa. -Kutambua sifa za wahusika katika hadithi aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vifaa vya kidijitali. -Kuchambua wahusika katika hadithi aliyosikiliza. |
Je, hadithi uliyowahi kusimuliwa ilikuwa na wahusika gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 103
-Hadithi zenye wahusika mbalimbali -Vifaa vya kidijitali -Picha za wahusika |
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotambua wahusika
-Kujibu maswali
-Mazungumzo
-Mijadala
|
|
| 3 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi - Wahusika
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuchambua sifa za wahusika katika hadithi. -Kueleza mafunzo kutokana na wahusika katika hadithi. -Kufurahia kushiriki katika uchambuzi wa wahusika katika hadithi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza mafunzo kutokana na wahusika katika hadithi. -Kutamba hadithi akiwa na wenzake huku wakichukua majukumu mbalimbali. -Kutunga hadithi fupi ambayo ina wahusika wanyama kuhusu kuheshimu tamaduni za wengine. -Kuwasilishia mzazi au mlezi uchambuzi wa sifa za wahusika katika hadithi aliyosikiliza. |
Je, hadithi uliyowahi kusimuliwa ilikuwa na wahusika gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 104
-Hadithi zenye wahusika mbalimbali -Vifaa vya kidijitali -Picha za wahusika |
Kujibu maswali
-Mazungumzo
-Mijadala
-Kutunga hadithi fupi
|
|
| 3 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Kina - Mbinu za Lugha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua mbinu za lugha katika tamthilia. -Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia. -Kufurahia kuchanganua matumizi ya mbinu za lugha katika fasihi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua mbinu za lugha kwenye tamthilia. -Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu. -Kuhakiki uwasilishaji wa wenzake kuhusu mbinu za lugha katika tamthilia na kuutolea maoni. |
1. Tamthilia hutumia mbinu gani za lugha?
2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika tamthilia?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 105
-Tamthilia teule -Vitabu mbalimbali -Vifaa vya kidijitali |
Kutambua mbinu za lugha
-Kujibu maswali
-Kuchanganua mbinu za lugha
-Mijadala
|
|
| 3 | 3 |
Kusoma
Sarufi |
Kusoma kwa Kina - Mbinu za Lugha
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali - Hali ya mazoea na Hali timilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua mbinu za lugha katika tamthilia. -Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia. -Kufurahia kuchanganua matumizi ya mbinu za lugha katika fasihi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kufanya utafiti maktabani au mtandaoni kuhusu matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia. -Kuwasilishia mzazi au mlezi uchambuzi wa matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia aliyosoma. -Kutambua na kuchambua mbinu za lugha katika tamthilia ya kuchaguliwa. |
1. Tamthilia hutumia mbinu gani za lugha?
2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika tamthilia?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 106
-Tamthilia teule -Vitabu mbalimbali -Vifaa vya kidijitali Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 109 -Chati zenye mifano ya sentensi -Kapu maneno |
Kutambua mbinu za lugha
-Kujibu maswali
-Kuchanganua mbinu za lugha
-Mijadala
|
|
| 3 | 4 |
Sarufi
|
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali - Hali ya mazoea na Hali timilifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ukanushaji kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu katika matini. -Kukanusha sentensi kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu. -Kuchangamkia kukanusha sentensi katika hali ya mazoea na timilifu ili kukuza mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kukanusha sentensi au vifungu alivyotunga kisha awatumie wenzake kupitia vifaa vya kidijitali au kuwasomea darasani ili wazitolee maoni. -Kukanusha sentensi katika hali ya mazoea na timilifu. -Kutunga sentensi zenye ukanushaji kuhusu kuheshimu tamaduni za wengine. |
1. Je, unapotaka kukanusha sentensi unazingatia nini?
2. Je, ukanushaji wa hali ya mazoea na timilifu hutofautianaje?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 110
-Chati zenye mifano ya sentensi -Kapu maneno -Vifaa vya kidijitali |
Kukanusha sentensi
-Kutunga sentensi
-Mijadala
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
| 4 | 1 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni - Insha ya maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vipengele vya insha ya maelezo kuhusu mahali. -Kujadili vipengele vya insha ya maelezo kuhusu mahali. -Kuandika insha ya maelezo inayodhihirisha sifa za mahali. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vigezo vya kimsingi katika uandishi wa insha ya maelezo. -Kujadiliana na wenzake kuhusu mada ya insha ya maelezo. -Kujadili na wenzake vipengele vya insha ya maelezo kutokana na kielelezo cha insha. -Kuandaa vidokezo vya insha ya maelezo kuhusu mahali panapolengwa katika insha ya maelezo. |
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 107
-Vielelezo vya insha za maelezo -Vifaa vya kidijitali -Kamusi |
Kuandika vidokezo
-Kuandika insha ya maelezo
-Mijadala
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
| 4 | 2 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni - Insha ya maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuandika insha ya maelezo inayodhihirisha sifa za mahali. -Kuonea fahari utoaji wa maelezo kamilifu kuhusu kitu au jambo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutumia lugha inayojenga picha ya kinachoelezewa. -Kuandika insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali akizingatia muundo ufaao na inayohusisha kuheshimu tamaduni za wengine. -Kubuni insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali kisha awasambazie wenzake mtandaoni ili waitolee maoni. -Kumsomea mzazi au mlezi insha ya kubuni aliyoandika ili aitolee maoni. |
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo?
|
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 108
-Vielelezo vya insha za maelezo -Vifaa vya kidijitali -Kamusi |
Kuandika insha ya maelezo
-Mijadala
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Kuwasilisha kazi
|
|
| 4 | 3 |
KUWEKA AKIBA
Kusikiliza na Kuzungumza |
Hadithi: Matumizi ya Lugha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vipengele vya lugha vinavyotumika katika hadithi. -Kujadili umuhimu wa vipengele vya lugha vinavyotumika katika hadithi. -Kuonea fahari uchanganuzi wa lugha katika hadithi kama utungo wa fasihi simulizi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vipengele vya lugha kwa kusikiliza hadithi kutoka kwa mwalimu au vifaa vya kidijitali. -Kujadili umuhimu wa vipengele vya lugha vilivyotumika katika hadithi walizosikiliza. -Kusimulia hadithi kwa kutumia vipengele vya lugha. -Kuwawasilishia wenzake hadithi aliyotunga ili watambue vipengele vya lugha vilivyotumika. -Kushirikiana na mzazi au mlezi kusikiliza hadithi na kutambua vipengele vya lugha vilivyotumika. |
1. Ni mbinu gani za lugha zinazotumika katika masimulizi ya hadithi?
2. Matumizi ya lugha katika hadithi yana umuhimu gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 111
-Vifaa vya kidijitali -Rekodi za sauti -Chati -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenzake
-Mazoezi ya maandishi
|
|
| 4 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Mjadala
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha mjadala. -Kutambua msamiati mpya katika kifungu cha mjadala. -Kuchambua mitazamo katika kifungu cha mjadala. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kudondoa habari mahususi (k.v. nani, nini, wapi, lini) katika kifungu cha ufahamu cha mjadala. -Kutambua msamiati mpya (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha ufahamu cha mjadala na kuueleza kwa kutumia kamusi. -Kueleza maana ya msamiati uliotumiwa kwenye kifungu cha ufahamu cha mjadala na kutunga sentensi akiutumia. -Kuchambua mitazamo iliyo katika kifungu cha ufahamu cha mjadala. |
1. Utawezaje kutambua habari mahususi katika hadithi unayoisoma?
2. Je, unazingatia nini unaposoma vifungu vya ufahamu?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 113
-Kamusi -Vifaa vya kidijitali -Chati -Vitabu vya ziada |
Kujibu maswali
-Kuiga sentensi
-Maswali ya mdomo
-Zoezi la uandishi
|
|
| 5 | 1 |
Sarufi
|
Udogo wa Nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua nomino katika hali ya udogo katika matini. -Kubadilisha nomino za hali ya wastani kuwa katika hali ya udogo. -Kutumia nomino katika hali ya udogo ipasavyo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua nomino katika hali ya udogo kwenye orodha ya nomino, chati, kadi maneno, kapu maneno, sentensi, vifungu vya maneno au tarakilishi. -Kutambua udogo katika maneno katika matini mbalimbali. -Kuandika majina ya vifaa vya darasani katika udogo (k.v. kidawati, kijitabu). -Kubadilisha nomino za hali ya wastani ziwe katika katika hali ya udogo akiwa na wenzake. |
1. Je, ni mambo gani tunayozingatia tunapotumia nomino katika udogo?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 118
-Kadi maneno -Kapu maneno -Vifaa vya kidijitali -Chati -Kamusi |
Kutambua nomino za udogo
-Kubadilisha nomino
-Kutunga sentensi
-Mazoezi ya maandishi
|
|
| 5 | 2 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza |
Insha za Maelekezo
Hadithi: Matumizi ya Lugha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele vya insha ya maelekezo. -Kuandika insha ya maelekezo akizingatia vipengele vyake muhimu. -Kufurahia kuandika insha za maelekezo akizingatia vipengele vyake muhimu. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili vipengele vya insha ya maelekezo (k.v. matumizi ya lugha, mpangilio ufaao wa maelekezo, uangavu, ubanaji). -Kutambua maneno mwafaka, mpangilio mzuri wa sentensi na mpangilio sahihi wa hatua katika kielelezo cha insha ya maelekezo kutoka kwa mwalimu, kwenye maandishi au vifaa vya kidijitali. -Kuteua maneno yatakayosaidia kufanikisha maelekezo. -Kuandaa mpangilio ufaao wa sentensi zinazofuatana kulingana na maelekezo anayotaka kutoa. |
1. Je, unapoandika insha ya maelekezo unazingatia mambo gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 116
-Kielelezo cha insha ya maelekezo -Chati -Vifaa vya kidijitali -Kamusi Oxford Fasaha Kiswahili uk. 112 -Vifaa vya kurekodia -Picha -Video -Vitabu vya hadithi |
Kazi ya vikundi
-Maswali ya mdomo
-Kuandika insha
-Tathmini ya wenzake
|
|
| 5 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Mjadala
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuchambua mitazamo katika kifungu cha mjadala. -Kuridhia kusoma kifungu cha mjadala ili kukuza uelewa wa habari. -Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati uliopatikana katika kifungu cha mjadala. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kifungu kuhusu kuweka akiba. -Kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni. -Kutambua mitazamo mbalimbali kuhusu kuweka akiba inayojitokeza kwenye kifungu. -Kueleza sababu wanazozitoa wale wanaounga mkono uwekaji wa akiba. -Kueleza sababu wanazozitoa wale wanaopinga uwekaji wa akiba. -Kutoa maoni yake kuhusu uwekaji wa akiba. |
1. Je, ni mitazamo ipi kuhusu kuweka akiba inayojitokeza katika kifungu?
2. Unakubaliana na mtazamo upi kuhusu kuweka akiba? Kwa nini?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 114-115
-Kamusi -Vifaa vya kidijitali -Gazeti -Vitabu vya ziada |
Kujibu maswali
-Mjadala
-Maswali ya mdomo
-Zoezi la uandishi
-Tathmini ya wenzake
|
|
| 5 | 4 |
Sarufi
|
Udogo wa Nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutumia nomino katika hali ya udogo ipasavyo. -Kuonea fahari kutumia nomino katika hali ya udogo katika sentensi. -Kutunga sentensi sahihi kwa kutumia nomino katika hali ya udogo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia hali ya udogo ipasavyo. -Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia nomino katika hali ya udogo akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la kuweka akiba. -Kuwasilisha kazi yake darasani ili wenzake wazitathmini. -Kumsomea mzazi au mlezi majina ya vitu vinavyopatikana nyumbani au shuleni katika udogo na kumtungia sentensi kwa kutumia maneno hayo. |
1. Kuna tofauti gani kati ya nomino katika hali ya wastani na nomino katika hali ya udogo?
2. Ni mifano ipi ya nomino za udogo unayotumia katika mawasiliano ya kila siku?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 119
-Kadi maneno -Vifaa vya kidijitali -Chati -Mabango -Kamusi |
Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
-Kuwasilisha kazi
-Tathmini ya wenzake
-Mazoezi ya maandishi
|
|
| 6 | 1 |
Kuandika
|
Insha za Maelekezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuchagua aina ya chakula ambacho angetaka kupika. -Kuandika insha ya maelekezo yenye mpangilio mzuri. -Kutumia lugha fasaha katika uandishi wa insha ya maelekezo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kushiriki kujadili maneno, sentensi na hatua zinazoafiki maelekezo yaliyolengwa. -Kuandika insha ya maelekezo akizingatia uteuzi mwafaka wa maneno, sentensi na hatua ili kumjengea msomaji taswira kamili ya kile kinachoelekezwa. -Kuwasomea wenzake insha ya maelekezo aliyoandika au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni. -Kufanya marekebisho ya insha yake kwa kuzingatia maoni ya wenzake. |
1. Kwa nini ni muhimu kutumia lugha inayoeleweka katika insha ya maelekezo?
2. Mpangilio mzuri wa hatua una umuhimu gani katika insha ya maelekezo?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 117
-Kamusi -Vifaa vya kidijitali -Mifano ya insha za maelekezo -Chati |
Kazi ya uandishi
-Kuwasilisha kwa wenzake
-Tathmini ya wenzake
-Kurekebisha kazi
|
|
| 6 | 2 |
MAADILI YA KIJAMII
Kusikiliza na Kuzungumza |
Usikilizaji Husishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya usikilizaji husishi. -Kutambua vipengele vya usikilizaji husishi katika matini. -Kujadili vipengele vya usikilizaji husishi ili kuvipambanua. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya usikilizaji husishi. -Kutambua miktadha rasmi na isiyo rasmi ambamo kusikiliza husishi hutokea katika jamii yake. -Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza husishi (k.v. kuwa makini, kuuliza maswali yasiyoelekeza, kuomba ufafanuzi, kumtazama mzungumzaji, kuelewa ujumbe anaotaka kukupitishia). -Kusikiliza mazungumzo kuhusu suala lengwa kutoka vifaa vya kidijitali na kutambua vipengele vya kusikiliza husishi vilivyozingatiwa. |
1. Je, ni miktadha gani rasmi na isiyo rasmi ambapo usikilizaji husishi hutokea?
2. Ni vipengele gani unazingatia katika kusikiliza husishi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 120
-Vifaa vya kidijitali -Rekodi za sauti -Picha -Chati -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenzake
-Mjadala
|
|
| 6 | 3 |
Kusoma
|
Ufupisho
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza kwa usahihi ujumbe wa aya za matini kwa sentensi mojamoja. -Kueleza kwa usahihi ujumbe wa aya zote za matini kwa aya moja. -Kuandika ufupisho unaozingatia mtazamo wa matini ya kufupishwa. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili vipengele vya ufupisho (k.v. habari muhimu katika aya, lugha ya anayefupisha, kudumisha mtazamo wa kifungu, idadi ya maneno). -Kueleza kwa usahihi ujumbe katika kila aya kwa kutumia sentensi mojamoja. -Kueleza kwa usahihi ujumbe wa aya zote za matini kwa aya moja. -Kujadili kuhusu jinsi ya kuandika ufupisho wa matini. |
1. Je, unazingatia nini unapofupisha kifungu cha ufahamu?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 122
-Vifaa vya kidijitali -Machapisho -Kamusi -Chati -Mifano ya ufupisho |
Kueleza ujumbe wa aya
-Kazi ya vikundi
-Maswali ya mdomo
-Zoezi la uandishi
|
|
| 6 | 4 |
Sarufi
|
Usemi Halisi na Usemi wa Taarifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katika matini. -Kujadili kanuni za kubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa kwa kuzingatia kanuni za kubadilisha usemi. -Kutumia usemi halisi na usemi wa taarifa ifaavyo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katika matini. -Kujadili kanuni za kubadilisha usemi (k.v. wakati, nafsi, alama za uakifishi). -Kutambua kanuni za kimsingi za kubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa. -Kubadilisha sentensi kutoka usemi halisi hadi usemi wa taarifa na usemi wa taarifa hadi usemi halisi. |
1. Usemi halisi unatofautianaje na usemi wa taarifa?
2. Unazingatia nini unapobadilisha usemi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 126
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Kamusi -Mifano ya sentensi -Kadi maneno |
Kutambua aina za usemi
-Kubadilisha sentensi
-Mjadala
-Mazoezi ya maandishi
|
|
| 7 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza |
Baruapepe ya Kiofisi
Usikilizaji Husishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ujumbe unaoafiki baruapepe ya kiofisi. -Kutambua vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisi. -Kutumia lugha inayofaa katika uandishi wa baruapepe ya kiofisi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua ujumbe unaoafiki baruapepe ya kiofisi. -Kujadili na wenzake vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisi. -Kujadili na wenzake kuhusu lugha inayofaa katika uandishi wa baruapepe ya kiofisi. -Kuandika baruapepe ya kiofisi kwenye tarakilishi na kumsambazia mwenzake kupitia mtandao ili aitolee maoni. |
1. Je, ulizingatia vipengele gani katika baruapepe uliyowahi kuandika?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 124
-Vifaa vya kidijitali -Mifano ya baruapepe -Chati -Tarakilishi Oxford Fasaha Kiswahili uk. 121 -Rekodi za sauti -Picha -Video |
Kujadili vipengele
-Kuandika baruapepe
-Kuwasilisha kazi
-Tathmini ya wenzake
|
|
| 7 | 2 |
Kusoma
|
Ufupisho
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuandika ufupisho unaozingatia mtazamo wa matini ya kufupishwa. -Kufurahia kufupisha ujumbe kwa usahihi katika miktadha mbalimbali. -Kutumia lugha fasaha katika ufupisho. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika ufupisho unaozingatia mtazamo wa matini. -Kumsomea mzazi au mlezi ufupisho alioufanya ili autolee maoni. -Kusoma kifungu kuhusu maadili ya kijamii. -Kufupisha kifungu hicho akizingatia idadi ya maneno inayohitajika. -Kuwasomea wenzake ufupisho wake ili waitolee maoni. |
1. Kwa nini ni muhimu kudumisha mtazamo wa kifungu katika ufupisho?
2. Utakadirijeje idadi ya maneno unapofupisha kifungu?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 123
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Kifungu cha kufupisha -Chati -Mifano ya ufupisho |
Kuandika ufupisho
-Kuwasilisha kazi
-Tathmini ya wenzake
-Zoezi la uandishi
|
|
| 7 | 3 |
Sarufi
|
Usemi Halisi na Usemi wa Taarifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutumia usemi halisi na usemi wa taarifa ifaavyo. -Kuchangamkia matumizi ya usemi halisi na usemi wa taarifa katika mawasiliano. -Kubadilisha sentensi kwa kufuata kanuni za kubadilisha usemi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutunga sentensi za usemi halisi na usemi wa taarifa akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la maadili ya kijamii. -Kuwasomea au kuwasambazia wenzake sentensi alizotunga ili wazitathmini. -Kushiriki katika mchezo wa kubadilisha usemi darasani. -Kufanya marekebisho ya sentensi alizotunga kulingana na maoni ya wenzake. |
1. Ni mifano ipi ya usemi halisi inayotumika katika mawasiliano ya kila siku?
2. Kwa nini ni muhimu kujua kubadilisha usemi halisi na usemi wa taarifa?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 127-128
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Kamusi -Mifano ya sentensi -Kadi maneno |
Kutunga sentensi
-Kuwasilisha kazi
-Tathmini ya wenzake
-Mchezo wa kubadilisha usemi
-Zoezi la uandishi
|
|
| 7 | 4 |
Kuandika
|
Baruapepe ya Kiofisi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuandika baruapepe ya kiofisi kwa kuzingatia ujumbe, lugha na muundo ufaao. -Kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa kuandika baruapepe ya kiofisi. -Kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano ipasavyo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kumwandikia mwalimu wake baruapepe ya kiofisi ili aitathmini. -Kumsomea mzazi au mlezi baruapepe aliyoiandika ili aitolee maoni. -Kuandika baruapepe ya kiofisi inayohusu maadili ya kijamii. -Kushiriki kujadili uzuri na mapungufu ya baruapepe ya kiofisi aliyoandika. |
1. Kwa nini ni muhimu kuzingatia muundo ufaao katika baruapepe ya kiofisi?
2. Lugha ya baruapepe ya kiofisi inatofautianaje na lugha ya baruapepe ya kirafiki?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 125
-Vifaa vya kidijitali -Mifano ya baruapepe -Tarakilishi -Intaneti |
Kuandika baruapepe
-Kuwasilisha kazi
-Tathmini ya wenzake
-Zoezi la uandishi
|
Your Name Comes Here