If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 |
Opener assessment |
||||||||
| 2 | 1 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutamka sauti nne za herufi moja ili kuimarisha mazungumzo. Kusoma maneno yenye sauti lengwa k.v gunia,darasa. kufurahia kusoma maneno tofauti. |
Mwanafunzi:
aweza kutambua sauti /g/, /d/, /gu/, da katika maneno. Mwanafunzi asikilize mwalimu akitamka sauti lengwa, kisha atamke pamoja na mwalimu na mwishowe atamke akiwa peke yake, wawili wawili na kama darasa |
Je, ni sauti zipi unazojua kutamka?
|
|
Kutambua
Kuambatanisha maneno lengwa
Kazi mradi
|
|
| 2 | 2 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua salamu zinazotumiwa nyakati mbalimbali. Kuigiza salamu zinazotumiwa nyakati mbalimbali. Kuchangamkia matumizi ya salamu mbalimbali. |
Mwanafunzi:
-Kusikiliza salamu za nyakati mbalimbali katika kifaa cha kidijitali. -Wanafunzi kusikiliza maelezo ya salamu mbalimbali katika sentensi k.v. shikamoo?Marahaba |
Salamu aleikum?
|
|
Kutambua salamu.
Kuigiza salamu
Kujibu maswali.
Kazi mradi
|
|
| 2 | 3 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua msamiati wa shuleni. Kusoma vifungu vya maneno yenye msaniati wa shule. Kuchangamkia matumizi ya msamiati wa shule sahihi. |
Mwanafunzi:
-Kusoma vifungu vya maneno yenye msamiati wa shule. -Watambua misamiati mbalimbali katika vifungu vya maneno k.v. mwalimu mkuu,darasa,maktaba. |
Unajua kusoma herufi na maneno gani?
|
Vifungu vya maneno.
Kadi maneno. Chati. JKF Kiswahili Gredi 2 uk 7-8. |
Kutambua maneno
Kusoma vifungu
Kujibu maswali
Kazi mradi
|
|
| 2 | 4 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma msamiati wa tarakimu. Kuandika msamiati wa tarakimu mbalimbali. Kufuruhia matumizi ya msamiati wa tarakimu mbalimbali. |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
#NAME? |
Je, hii ni tarakimu gani?
|
|
Kutambua Msamiati.
Kusoma.
Kujibu maswali.
Kazi mradi.
|
|
| 3 | 1 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma kifungu cha shule yetu. Kujibu maswali ya kifungu cha shule yetu. Kuimarisha ustadi wa lugha kwa kusoma misamiati mbalimbali. |
Mwanafunzi:
-Kusoma kifungu cha shule yetu kwa vikundi au wakiwa wawili wawili. -Kujibu maswali ya kifungu cha shule yetu k.v. shule yenu inaitwa aje? |
Je, unatambua msamiati gani wa shule?
|
|
Kutambua msamiati
Kusoma msamiati
Kujibu maswali
Kazi mradi
|
|
| 3 | 2 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maneno yenye sauti lengwa/g/d. Kusoma maneno yeye sauti lengwa ya /g/d/. Kufurahia kusoma maneno yenye sauti lengwa/g/d/ |
Mwanafunzi:
-Kusoma sauti mbalimbali k.v. g/d/ |
Unajua kuandika herufi na maneno gani?
|
|
Kutambua maneno.
Kuaandika maneno
Kujadili maana ya maneno.
Kusoma maneno
|
|
| 3 | 3 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
|
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
#NAME? |
Je, ni maneno gani unayoweza kutumia kuonyesha kitu ni cha mwenzako?
|
|
Kutambua maneo
Kuambatanisha maneno lengwa
Kujibu maswali
Kazi mradi
|
|
| 3 | 4 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
|
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
#NAME? |
Tunaamkuana vipi wakati wa asubuhi, mchana na jioni?
|
|
Kutambua maamkuzi
Kusoma maamkuzi
Kuigiza
Kazi mradi
|
|
| 4 | 1 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma maneno na sentensi zinazojumuisha msamiati wa shuleni katika kuimarisha stadi ya kusoma. Kuandika maneno na sentensi fupi kuhusu shule ili kuimarisha stadi ya kuandika. Kufurahia kutumia msamiati wa shule katika mawasiliano ya kila siku. |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
#NAME? |
Taja vifaa mbalimbali vinavyopatikana shuleni na umuhimu wake.
|
|
Kusoma
Kutambua k.m. kwenye orodha
Kuandika.
|
|
| 4 | 2 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukariri shairi la tunapenda kusoma. Kujibu maswali ya shairi la tunapenda kusoma. Kuchangamkia utunzi wa shairi. |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
#NAME? |
Je, unadhani hili shairi linahusu nini?
|
|
Kusoma
Kutambua Kuambatanisha maneno na majibu.
Kazi mradi.
|
|
| 4 | 3 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutamka sauti na majina yenye sauti/j/r/. Kusoma maneno yenye sauti /j/r. Kufurahia kutamka maneno yenye sauti/j/r. |
Mwanafunzi kutamka sauti /j/r/.
Kusoma maneno yenye sauti j//r k.v jembe,rula,randa n.k. |
Je, unaeza tamka majina yenye sauti/j/r?
|
|
|
|
| 4 | 4 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutaja majina ya vitu vinavyopatikana shuleni ili kuimarisha stadi ya kuzungumza. kuelezea vitu vinavyopatikana shuleni ili kuimarisha stadi ya kusikiliza. kuthamini umuhimu wa vitu vinavyopatikana shuleni. |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
#NAME? |
Ni vifaa vipi vinavyopatikana shuleni?
|
|
Kusoma
Kutambua Kuambatanisha maneno na majibu.
Kazi mradi.
|
|
| 5 |
Midterm assessment |
||||||||
| 6 | 1 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua nambari 21-30 kwa maneno ili kuimarisha mawasiliano. kusoma nambari 21-30 kwa maneno ili kujenga stadi ya kusoma. kuchangamkia kutumia nambari 21- 30 kwa maneno katika mazungumzo yake. |
-Mwanafunzi asome majina ya nambari 21-30. Wanafunzi wasome kadi za nambari 21-30 na majina yake ili kuziambatanisha katika vikundi.
-Mwanafunzi aandike nambari 21-30. |
Unaeza andika nambari gani kati ya 21 hadi 30?
|
|
Kusoma
Kutambua Kuambatanisha maneno na majibu.
Kazi mradi.
|
|
| 6 | 2 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma sentensi zinazojumuisha |
-Mwanafunzi:
Kutambua na kusoma sentensi zinazojumuisha -ako,-enu katika sentensi kwa vikundi. -Mwanafunzi kujaza mapengo akitumia -ako,au enu katika sentensi akiwa pekee yake. |
Je, -ako inatumika kuonyesha nini?
|
Chati
|
Kusoma
Kutambua Kuambatanisha maneno na majibu.
Kazi mradi.
|
|
| 6 | 3 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukariri shairi la tunapenda kusoma. Kujibu maswali ya shairi la tunapenda kusoma. Kuchangamkia utunzi wa shairi. |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
#NAME? |
Shairi hili linahusu nini?
|
|
Kusoma
Kutambua Kuambatanisha maneno na majibu.
Kazi mradi.
|
|
| 6 | 4 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa katika kujenga stadi ya kusoma. kuandika herufi zinazowakilishwa na sauti lengwa katika kujenga stadi ya kuandika. kuchangamkia kutumia maneno yanayojumuisha sauti zilizofunzwa katika mawasiliano ya kila siku. |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
#NAME? |
Unajua kuandika herufi na maneno gani?
|
|
Kutambua k.m. kwenye orodha Kusoma maneno
Kuandika setntensi
Kazi mradi
|
|
| 7 | 1 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua nambari 31-50 kwa maneno ili kuimarisha mawasiliano. kuandika nambari 31-50 kwa maneno ili kujenga stadi ya kuandika. kuchangamkia kutumia nambari 31- 50 kwa maneno katika mazungumzo yake. |
-Mwanafunzi asome majina ya nambari 31-50.
-Wanafunzi wasome kadi za nambari 31-50 na majina yake ili kuziambatanisha katika vikundi. -Mwanafunzi aandike nambari 31-50 |
Taja 31-50 kwa Kiswahili?
|
|
Kutambua.
Kuandika nambari
Kujaza mapengo
Kazi mradi
|
|
| 7 | 2 |
SHULENI
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma hadithi kuhusu shule ili kuimarisha stadi ya kusoma . kufahamu hadithi aliyoisoma na aliyosomewa katika kupata mafunzo ya hadithi . kuchangamkia kusoma hadithi kuhusu shule |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
#NAME? |
Unaona nini katika picha?
|
|
Kutambua
Kusoma
Kujaza mapengo
Kujibu maswali
Kazi mradi
|
|
| 7 | 3 |
HAKI ZANGU
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa ili kuimarisha stadi ya kusoma. Kujadili umuhimu wa haki za Watoto. Kufurahia matumizi ya sauti lengwa. |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
#NAME? |
Haki za Watoto ni
gani?
|
|
Kusoma
Kuandika
Kujibu maswali
Kazi mradi
|
|
| 7 | 4 |
HAKI ZANGU
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua picha kuhusu haki za watoto ili kuifahamu hadithi vizuri kusoma hadithi kuhusu haki za watoto katika kuimarisha stadi ya kusoma. kufahamu hadithi aliyoisoma au aliyosomewa ili kupata mafunzo yanayolengwa. |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
#NAME? |
Ni masuala yapi uliyojifunza katika hadithi uliyosoma?
|
|
a)Kueleza.
b)Kusoma insha
c)Kujadili
d)Kuandika sifaza insha.
e)Kazi mradi
|
|
| 8 |
Endterm assessment |
||||||||
| 9 |
Closing of school |
||||||||
Your Name Comes Here