Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA III

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1 3-4
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
uzalendo
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo

somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Kusoma
Jibu maswali
Malumbano

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
1 5
kusoma
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kusoma
Kuchambua
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
1 6
Kuandika
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kufupisha

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
2 1
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
2 2
Kusoma
Uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
2 3-4
Kisikiliza na kuongea
Sarufi
Hotuba
Nyakati na hali marudio
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi
mfano
-li-( uliopita) walisherehekea
kiambishi cha hali
-me- timilifu
wahalifu wamefungwa
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Malumbano
Kutaja
Kueleza
Kitabu

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
2 5
kusoma
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kusoma
Kuchambua
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
2 6
Kuandika
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kufupisha

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
3 1
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 2
Kusoma
Uraibu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
3 3-4
Kisikiliza na kuongea
Sarufi
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo
kueleza umuhimu wa mafumbo
kutoa mifano ya mafumbo
kueleza maana ya misimu
kutoa mifano ya misimu
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Malumbano
Kutaja
Kueleza
Kitabu

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 177-179
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
3 5
kusoma
Ukimwi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kusoma
Kuchambua
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
3 6
Kuandika
Barua meme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya barua meme
Kuandika nukulishi
Kusoma
Kufupisha

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182-186
4 1
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 2
Kusoma
Shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
4 3-4
Kusikiliza na kuongea
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Vitenzi
Vitenzi
Mazingira fomu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Mifano katika sentensi
Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera
Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
4 5
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 6
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 1
Kusoma
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
5 2
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama
Mafano
Kwaa- kwama
Tua- tuama
Mifano kwa sentesni
Pikipiki ilikuwama matopeni
Kauli ya kutendata
Mfano
Fumba- fumbuta
Kama- kamata
Mifano kwa sentensi
Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu
Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
5 3-4
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Methali
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua methali
Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano

mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru
Kusikiliza
kuzungumza

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
5 5
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 6
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 1
Kusoma
Urithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
6 2
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau
Mafano
Vaa- vua
Umba-umbua
Mifano kwa sentesni
Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua
Kauli ya kutenduka
Mifano kwa sentensi
Siri ya wandani hao ilifichuka
Mtego wa panya uliteguka
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 202-203
6 3-4
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Maghani
Matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano

mwanfunnzi aweze kuandika matangazo
Kusikiliza
kuzungumza

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 203-204
6 5
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 6
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 1
Kusoma
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
7 2
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea
Mafano
Mifano kwa sentesni
La- kakangu hula mkate kila siku
Kauli ya kutendwa
Mifano kwa sentensi
La-liwa-
Pa-pewa
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 210-211
7 3-4
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Ngomezi
Ripoti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Ngomezi
Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano

mwanafunzi aweze kuandika repoti
Kusikiliza
kuzungumza

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 213-214
7 5
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 6
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine

Your Name Comes Here


Download

Feedback