If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Mazungumzo
mawaidha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo . -kueleza maana ya mawaidha kwa kutumia kamusi au kusakura mtandaoni. -kutambua ujumbe unaoweza kuwasilishwa kupitia kwa mawaidha. -kutambua sifa za kimawaidha za kifasihi katika matini mbalimbali ambazo fanani anastahili kuwa nazo. -kutambua na kueleza sifa za hadhira katika kuuliza na kujibu maswali ipasavyo. |
Mwanfaunzi aelekezwe.
-kueleza maana ya mawaidha akitumia mtandao au kamusi. -kutambua ujumbe unaoweza kuwasilishwa kupitia mawaidha. -kutambua na kuandika sifa za kimawaidha za kifasihi katika matini mbali mbali ambazo fanani asstahili kuwa nazo. -kutambua na kueleza sifa za hadhira katika kuuliza na kujibu maswali ipasavyo. |
Je sifa za fanani na hadhira katika mawaidha ni zipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 139-140
Matini ya mwalimu Vifaa vya kidijitali. Picha michoro |
Kueleza maana
Kutambua ujumbe
Kutambua sifa
Orodha hakiki
|
|
2 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Mazungumzo
mawaidha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusikiliza mawaidha atakayosomewa na mwalimu kisha ajibu maswali ili kuthibitisha mawaidha ya kifasihi. -kutambua vipengele vya liwasilishaji wa mawaidha kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji kuhusa suala lengwa |
Mwanfunzi aelekezwe.
Kusikiliza mawaidha takayosomewa na mwalimu na kujibu maswali ipasavyo. -kutambua vipengele vya uwasilishanji wa mawidha ya kifasihi ipasavyo. -kuwasilisha mawaidha kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji kuhusu suala lengwa ili ili kutathmini uelewa. |
Je vipengele vya uwasilishanji wa mawaidha ya kifasihi ni vipi?
|
Kisw sahili uk wa 141-142
Matini ya mwalimu mwanafunzi |
Kusikiliza
Kujibu maswali
Kutambua
Kuwasilisha
Orodha hakiki
|
|
2 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Mazungumzo
mawaidha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusikiliza mawaidha atakayosomewa na mwalimu kisha ajibu maswali ili kuthibitisha mawaidha ya kifasihi. -kutambua vipengele vya liwasilishaji wa mawaidha kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji kuhusa suala lengwa |
Mwanfunzi aelekezwe.
Kusikiliza mawaidha takayosomewa na mwalimu na kujibu maswali ipasavyo. -kutambua vipengele vya uwasilishanji wa mawidha ya kifasihi ipasavyo. -kuwasilisha mawaidha kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji kuhusu suala lengwa ili ili kutathmini uelewa. |
Je vipengele vya uwasilishanji wa mawaidha ya kifasihi ni vipi?
|
Kisw sahili uk wa 141-142
Matini ya mwalimu mwanafunzi |
Kusikiliza
Kujibu maswali
Kutambua
Kuwasilisha
Orodha hakiki
|
|
2 | 4 |
kusoma
|
Kusoma kwa kina
Mbinu za lugha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo mwanfunzi waeze. -kutambua mbinu za lugha katika ushairi. -kutaja mifano ya mbinu za lugha kama methali, tashihishi, sitiari na nahaukutambua matumizi ya mbinu za lugha kama zilivyotumika katika ushairi na kuchanganua maana yake |
Kutambua mbinu za lugha katika shairi
Kutaja mifano ya mbinu za lugha kama vile methali, tashbihi, isitiari na nahau ipasavyo. Kutambua matumizi ya kila mbinu kama ilivyotumika katika ushairi na kuchanganua maana yake ili kutathmini uelewa |
Je mbinu za lugha katika ushairi ni zipi?
|
Access Kiswahili sahili gredi ya 9 uk wa 143-144
-matini ya mwalimu -diwani za mashairi |
-kutambua
-kueleza
-kuchanganua
|
|
3 | 1 |
kusoma
|
Kusoma kwa kina ushairi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutunga shairi la beti tatu akishirikisha mbinu mbalimbali za lugha na kuziwasilisha kwa wenzao ili kutathmini - kusoma shairi teule na kuchambua akizingatia mbinu za lugha zilizotumika kisha kuandika mbinu hizo daftarini |
-kutunga shairi la beti tatu akizingatia mbinu za lugha kisha kuliandika daftarini mwao na kuliwasilisha kwa wenzao ili kutathmini
-kusoma shairi teule na kuchambua mbinu za lugha za lugha zilizotumika ili kutathmini uelewa |
Je unazingatia nini unapotunga shairi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 145
-matini ya mwalimu -vifaa vya kidigitali |
-Kutunga
-kusoma
kuchambua
|
|
3 | 2 |
kuandika
|
Insha za kubuni
maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kusoma kielelezo cha insha ya maelezo ili kutambua ni ya aina gani - kutambua hali inayoelezewa katika insha aliyoisoma ili kuelewa maana ya hali katika insha ya maelezo - kujadili vipengele vya insha ya maelezo kuhusu hali - kuchangamkia kuandika insha ya maelezo kuhusu hali katika daftari au tarakilishi kuhusu suala lengwa kisha awasomee wenzake ili awatolee maoni |
kusoma kielelezo cha insha ya maelezo ili kutambua ni ya aina gani
-kutambua hali inayoelezewa katika insha aliyoisoma ili kuelewa maana ya hali katika insha ya maelezo -kujadili vipengele vya kuzingatia katika insha ya maelezo kuhusu hali -kuchangamkia kuandika insha ya maelezo kuhusu hali daftarini au tarakilishi kuhusu swala lengwa kisha awasomee wenzake ili wamtolee maoni |
Je, vipengele vya kuzingatia katika insha ya maelezo kuhusu hali ni zipi?
|
Kisw sahil gredi ya 9 uk wa 146-147
-matini ya mwalimu Vifaa vya kidijitali |
-kusoma
-kutambua
|
|
3 | 3 |
kuandika
|
Insha za kubuni
maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kusoma kielelezo cha insha ya maelezo ili kutambua ni ya aina gani - kutambua hali inayoelezewa katika insha aliyoisoma ili kuelewa maana ya hali katika insha ya maelezo - kujadili vipengele vya insha ya maelezo kuhusu hali - kuchangamkia kuandika insha ya maelezo kuhusu hali katika daftari au tarakilishi kuhusu suala lengwa kisha awasomee wenzake ili awatolee maoni |
kusoma kielelezo cha insha ya maelezo ili kutambua ni ya aina gani
-kutambua hali inayoelezewa katika insha aliyoisoma ili kuelewa maana ya hali katika insha ya maelezo -kujadili vipengele vya kuzingatia katika insha ya maelezo kuhusu hali -kuchangamkia kuandika insha ya maelezo kuhusu hali daftarini au tarakilishi kuhusu swala lengwa kisha awasomee wenzake ili wamtolee maoni |
Je, vipengele vya kuzingatia katika insha ya maelezo kuhusu hali ni zipi?
|
Kisw sahil gredi ya 9 uk wa 146-147
-matini ya mwalimu Vifaa vya kidijitali |
-kusoma
-kutambua
|
|
3 | 4 |
sarufi
|
Ukanushaji hali ya masharti
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya ukanushaji wa hali ya masharti |
-kueleza maana ya ukanushaji wa masharti
|
Je, ukanusho wa hali ya masharti
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 146-148
-matini ya mwalimu -chati na mabango |
-kueleza
-Kutaja Mifano
-Kutunga sentensi na kukanusha
-Kutathmini
|
|
4 | 1 |
sarufi
|
Ukanushaji wa hali ya masharti
-ngali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya ukanusho wa hali ya masharti |
kujua maana ya ukanusho wa hali ya masharti
|
Ni kanuni zipi huzingatiwa katika ukanusho wa hali ya masharti -ngali
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 149-150
-matini ya mwalimu -chati na michoro |
-kueleza
-kusoma na kutambua
-Kutunga sentensi na kifungu
-Kutathmini
|
|
4 | 2 |
sarufi
|
Ukanushaji wa hali ya masharti (-ki)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kukanusha sentensi katika hali ya masharti(-ki) akizingatia kambishi |
kukanusha sentensi katika hali ya masharti ya
|
Je ukanusho wa hali ya masharti (-ki) hutumia kiambishi kipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 151-152
-matini ya mwalimu -mabango -michoro -chati |
-kutambua
-kusoma
-kukanusha
-Kutunga
-Kutathmini
-Orodha hakiki
|
|
4 | 3 |
sarufi
|
Ukanushaji wa hali ya masharti (-ki)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kukanusha sentensi katika hali ya masharti(-ki) akizingatia kambishi |
kukanusha sentensi katika hali ya masharti ya
|
Je ukanusho wa hali ya masharti (-ki) hutumia kiambishi kipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 151-152
-matini ya mwalimu -mabango -michoro -chati |
-kutambua
-kusoma
-kukanusha
-Kutunga
-Kutathmini
-Orodha hakiki
|
|
4 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
mawaidha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vipengele vya lugha vinavyotumika katika mawaidha - kujadiliumuhimu wa vipengele vya lugha vinavyotumika katika mawaidha - kusikiliza mawaidha atakayosomewa na mwalimu ili kutambua na kujadili vipengele vya lugha vinavyotumika |
kutambua vipengele vya lugha vinavyotumika katika mawaidha
-kujadili pamoja na wenzake umuhimu wa vipengele vya lugha vinavyotumika katika mawaidha -kusikiliza mawaidha atakayosomewa na mwalimu ili kutambua vipengele vya lugha vilivyotumika |
Je ni vipengele vipi vinavyotumika katika ngeli ya mawaidha?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 153
-matini ya mwalimu -vifaa vya kidijitali |
Kusoma na kutambua
-kujadili
-kusikiliza na kujibu maswali
|
|
5 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
mawaidha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kujadili ishara zifaazo ili kuboresha uwasilishaji wa maidha -kutolea wenzake darasani mawaidha kuhusu suala lengwa akizingatia vipengele vya lugha na ishara |
-kujadili ishara zinazo fanikisha uwasilishaji wa mawaidha
-kutolea wenzake mawaidha kuhusu suala lengwa akizingatia vipengele vya lugha na ishara zifaazo |
je, ishara zifaazo katika mawaidha ni zipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 154
-matini ya mwalimu |
-Kujadili
-kutoa mawaidha
-Kutathmini
-Orodha hakiki
|
|
5 | 2 |
kusoma
|
Kusoma kwa ufahamu
Kifungu cha mjadala
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo -kusoma kifungu kisha kutambua mandhari ya kifungu cha mjadala alichosoma - kujadili mtazamo wa kifungu alichosoma kuhusu suala lengwa - kuchambua msamiati uliotumika katika kifungu cha mjadala na kutungia sentensi ipasavyo - achangamkie kusoma kifungu na kujibu maswali yake |
-kusoma kifungu kisha kutambua mandhari kama ilivyo katika fasihi
-kujadili pamoja na wenzake mtazamo wa kifungu cha mjadala alichokisoma ipasavyo -kuchambua msamiati ulitumika katika kifungu cha mjala na kutungia sentensi ipasavyo -afurahie kusoma kifungu cha mjadala na kujibu maswali yake ipasavyo |
Je, vipengele muhimu katika mjadala ni zipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 155-156
-matini ya mwalimu -picha -michoro -vifaa vya kidijitali |
-kusoma
-Kujadili
-kuchambua
-kujibu maswali
|
|
5 | 3 |
kusoma
|
Kusoma kwa ufahamu
Kifungu cha mjadala
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo -kusoma kifungu kisha kutambua mandhari ya kifungu cha mjadala alichosoma - kujadili mtazamo wa kifungu alichosoma kuhusu suala lengwa - kuchambua msamiati uliotumika katika kifungu cha mjadala na kutungia sentensi ipasavyo - achangamkie kusoma kifungu na kujibu maswali yake |
-kusoma kifungu kisha kutambua mandhari kama ilivyo katika fasihi
-kujadili pamoja na wenzake mtazamo wa kifungu cha mjadala alichokisoma ipasavyo -kuchambua msamiati ulitumika katika kifungu cha mjala na kutungia sentensi ipasavyo -afurahie kusoma kifungu cha mjadala na kujibu maswali yake ipasavyo |
Je, vipengele muhimu katika mjadala ni zipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 155-156
-matini ya mwalimu -picha -michoro -vifaa vya kidijitali |
-kusoma
-Kujadili
-kuchambua
-kujibu maswali
|
|
5 | 4 |
kusoma
|
Kifungu cha mjadala
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kusakira mtandaoni kifungu cha mjadala na kukisoma kisha aandike habari mahususi katika kifungu cha mjadala alichokisoma -kuchangamkia kusoma miktadha mbalimbali kuhusu suala lengwa na kuchanganua mtazamo wake ili kutathmini uelewa |
-kusakura mtandaoni kifungu cha mjadala akisome kisha aandike habari mahususi katika kifungu alichokisoma
-kuchangamkia kusoma miktadha mbalimbali kuhusu suala lengwa na kuchanganua mitazamo yake vilivyo |
Je, unazingatia nini unaposakira matini ya kusoma mtandaoni?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 156
-vifaa vya kidijitali |
-kusakira
-kusoma
-kuchambua
-Orodha hakiki
|
|
6 | 1 |
kuandika
|
Insha za kiuamilifu
shajara
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kujadili umuhimu wa shajara - kueleza aina za shajara ili kuzitofautisha na zingine - kusoma shajara iliyo katika vitabu vyao kisha kujibu maswali ipasavyo - Kuchangamkia kusoma vielelezo vya shajara katika matini mbalimbali |
-kujadili umuhimu wa shajara katika maisha a kila siku
-kueleza aina za shajara ili kuzibaini -kusoma kielelezo cha shajara kisha kujibu maswali yake ipasavyo -kufurahia kusoma vielelezo mbalimbali vya shajara ili kujua umuhimu wa shajara |
Je, shajara ina umuhimu gani?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 158-159
-matini ya mwalimu -kielelezo |
-Kujadili
-kutambua
-kusoma na kujibu maswali
|
|
6 | 2 |
kuandika
|
Insha za kiuamilifu
shajara
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kuandaa vidokezo vya kuandika shajara kuhusu suala lengwa - kuandika shajara kuhusu suala lengwa akizingatia vipengele muhimu alivyojifunza awali ili kutathmini uelewa |
-kuandaa vodokezo vya kumsaidia kuandika shajara kuhusu suala lengwa
-kuandika shajara kuhusu sual lengwa akizingatia vipengele muhimu alivyojifunza awali ili kutathmini uelewa |
Je, shajara huandikwa je?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 160
-matini ya mwalimu |
-kuandaa vidokezo
-Kujadili
-kuandika
-Kutathmini
|
|
6 | 3 |
kuandika
|
Insha za kiuamilifu
shajara
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kuandaa vidokezo vya kuandika shajara kuhusu suala lengwa - kuandika shajara kuhusu suala lengwa akizingatia vipengele muhimu alivyojifunza awali ili kutathmini uelewa |
-kuandaa vodokezo vya kumsaidia kuandika shajara kuhusu suala lengwa
-kuandika shajara kuhusu sual lengwa akizingatia vipengele muhimu alivyojifunza awali ili kutathmini uelewa |
Je, shajara huandikwa je?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 160
-matini ya mwalimu |
-kuandaa vidokezo
-Kujadili
-kuandika
-Kutathmini
|
|
6 | 4 |
sarufi
|
Ukubwa na udogo wa nomino
a, Hali ya ukubwa wa nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya ukubwa wa nomino - kutambua kiambishi katika hali ya ukubwa (-ji) katika umoja - kutambua nomino katika hali ya ukubwa umoja na wingi katika matini mbalimbali - kuchangamkia sentensi katika hali ya ukubwa wa nomino na kutambua viambishi vya ukubwa ili kutathmini uelewa |
-kueleza na kuelewa maana ya ukubwa wa nomino
-kutambua viambishi katika hali ya ukubwa -kutambua nomino katika hali ya ukubwa katika umoja na wingi katika matini mbalimbali -kufurahia kutunga sentensi katika hali ya ukubwa wa nomino huku akizingatia viambishi vya ukubwa ili kutathmini uelewa |
Je, hali ya ukubwa wa nomino huchukua kiambishi kipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 160- 161
-matini ya mwalimu -kamusi -vifaa vya kidijitali |
-kueleza
-kutambua
-Kutunga sentensi
-kujaza pengo
-Orodha hakiki
|
|
7 | 1 |
sarufi
|
Hali ya udogo wa nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya udogo wa nomino - kutambua nomino katika hali ya udogo c, kutambua kiambishi knachotumika katika hali ya udogo wa nomino - kutambua nomino katika hali ya udogo katika matini mbalimbali - kuchangamkia kujaza jedwali na kutunga sentensi katika hali ya udogo ili kutathmini uelewa |
kueleza maana ya udogo wa nomino
-kutambua nomino katika hali ya udogo -kutambua na kujadili kiambishi kinachotumika katika hali ya udogo wa nomino -kutambua na kuandika nomino katika kauli ya udogo katika matini mbalimbali -kufurahia kujaza pengo na kutunga sentensi akitumia nomino katika hali ya udogo ili kutathmini uelewa |
Je, kiambishi katika hali ya udogo wa nomino ni kipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 162-164
-matini ya mwalimu -kupu maneno -kamusi |
-kueleza
-kutambua
-kuandika
-Kujadili
Kutunga sentensi
-kujaza pengo
-Orodha hakiki
|
|
7 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Kusikiliza kwa kutathmini
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya kusikiliza kwa kutathmini - kueleza umuhimu wa kusikiliza kwa kutathmini ili kutofautisha na nyingine - kujadili vipengele muhimu vya kuzingatia katika kutathmini mazungumzo - kusikiliza mazungumzo yatakayowasilishwa na wanafunzi wenzake na kujibu maswali yake |
-kueleza maana ya kusikiliza kwa kutathmini
-kueleza umuhimu wa kusikiliza kwa kutathmini ili kutofautisha na miktadha mingine -kujadili vipengele muhimu vya kuzingatia katika kutathmini mazungumzo -kusikiliza mazungumzo kutoka kwa wenzao ili kuyatathmini |
Je vipengele katika kuzungumza kwa kutathmini ni zipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 166-167
-matini ya mwalimu -vifaa vya kidijitali |
-kueleza maana
-kueleza umuhimu
Kujadili vipengele
-Kusikiliza mazungumzo
-Kutathmini
|
|
7 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Kusikiliza kwa kutathmini
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya kusikiliza kwa kutathmini - kueleza umuhimu wa kusikiliza kwa kutathmini ili kutofautisha na nyingine - kujadili vipengele muhimu vya kuzingatia katika kutathmini mazungumzo - kusikiliza mazungumzo yatakayowasilishwa na wanafunzi wenzake na kujibu maswali yake |
-kueleza maana ya kusikiliza kwa kutathmini
-kueleza umuhimu wa kusikiliza kwa kutathmini ili kutofautisha na miktadha mingine -kujadili vipengele muhimu vya kuzingatia katika kutathmini mazungumzo -kusikiliza mazungumzo kutoka kwa wenzao ili kuyatathmini |
Je vipengele katika kuzungumza kwa kutathmini ni zipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 166-167
-matini ya mwalimu -vifaa vya kidijitali |
-kueleza maana
-kueleza umuhimu
Kujadili vipengele
-Kusikiliza mazungumzo
-Kutathmini
|
|
7 | 4 |
kusoma
|
ufupisho
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kujadili vipengele vya kuzingatia katika kufupisha habari. -kusoma kifungu kisha kujibu maswali kisha afupishe kifungu akizingatia vipengele vya ufupisho . Atafute mtandaoni au kusoma vitambuni ujumbe ulio na mada lengwa kisha azingatie a vipengele muhimu kufupisha li kudhamini . |
-kujadili vipengele vya kuzingatia katika ufupisho.
B,kusoma kifungu kisha kujibu maswali na kufupisha kifungu akizingatia vipengele vya ufupisho . -Kutafuta mtandaoni au vitambuni kusoma ujumbe a ulio na suala lengwa kisha azingatie vipengele vya ufupisho kufupisha ili kutamini kuelewe . |
Je vipengele muhimu vya ufupisho ni vipi ?
|
-kiswahili gredi 9 ukurasa wa 167-168
-matini ya mwalimu Vifaa vya kidijitali . |
-Kujadili vipengele
-kuandika
|
|
8 | 1 |
Kuandika
|
Kujibu barua pepe
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe . -Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe . -Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu barua pepe ipasavyo ili kutathmini uelewaji . |
-kujadili vipengee muhimu vya kuzingatia ili kuibu barua pepe .
-Kujadili matumizi ya lugha inyofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe -Kuansaa vidokezopamoja na lugha inayofaa ili kujibu barua pepe kwa rafiki yake ipasavyo ili kuthamini kuelewa . |
Je vipengele vya kuzingatia katika kujibu barua pepe ni vipi ?
|
-kiswahili gredi 9 ukurasa wa 169 - 170 .
-matini ya mwalimu Na mwanafunzi . |
-Kujadili vipengele
Kujadili lugha
kuandika vindokezo
kujibu barua pepe
|
|
8 | 2 |
Kuandika
|
Kujibu barua pepe
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza tofauti baini ya usemi halisi na usemi wa taarifa -Kujadili mambo ya kuzingatia katika usemi halisi . -Kujadili mambo ya kuzingatia katika usemi wa taarifa ili kubainisha . -Kutambua usemi halisi na useimi wa taarifa katika matini mbali mbali . -Kujadili kanuni za kubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa na usemi wa taarifa kuwa usemi halisi . -Kuchangamkia kuandika sentensi katika usemi halisi na usemi taarifa ili kuthamini. |
-kueleza tofauti baini ya usemi halisi na usemi wa taarifa .
-Kujadili vipengele vya kuzingatia katia usemi halisi na usemi wa taarifa katika mawasiliano . -Kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katika matani na miktadha mbalimbali . -Kujadili kanuni zinazozingatiwa ili kubadilisha usemi halisi kwa usemi halisi . -Kuchangamkia kuandika sentensi katika usemi halisi na taarifa ili kutathmini kuelewa . |
Je unazingatia kanuni zipi unapobadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa?
|
-kiswahili gredi 9 ukurasa wa 174 - 174 .
-matini ya mwalimu Vifaa vya kidijitali . picha |
-kueleza tofauti .
-Kujadili vipengele .
-Kutambua .
-Kujadili kanuni .
-Kufanya mazoezi .
-Orodha hakiki .
|
|
8 | 3 |
Kuandika
|
Kujibu barua pepe
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza tofauti baini ya usemi halisi na usemi wa taarifa -Kujadili mambo ya kuzingatia katika usemi halisi . -Kujadili mambo ya kuzingatia katika usemi wa taarifa ili kubainisha . -Kutambua usemi halisi na useimi wa taarifa katika matini mbali mbali . -Kujadili kanuni za kubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa na usemi wa taarifa kuwa usemi halisi . -Kuchangamkia kuandika sentensi katika usemi halisi na usemi taarifa ili kuthamini. |
-kueleza tofauti baini ya usemi halisi na usemi wa taarifa .
-Kujadili vipengele vya kuzingatia katia usemi halisi na usemi wa taarifa katika mawasiliano . -Kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katika matani na miktadha mbalimbali . -Kujadili kanuni zinazozingatiwa ili kubadilisha usemi halisi kwa usemi halisi . -Kuchangamkia kuandika sentensi katika usemi halisi na taarifa ili kutathmini kuelewa . |
Je unazingatia kanuni zipi unapobadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa?
|
-kiswahili gredi 9 ukurasa wa 174 - 174 .
-matini ya mwalimu Vifaa vya kidijitali . picha |
-kueleza tofauti .
-Kujadili vipengele .
-Kutambua .
-Kujadili kanuni .
-Kufanya mazoezi .
-Orodha hakiki .
|
|
8 | 4 |
Kuandika
|
Kujibu barua pepe
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe .-Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe .-Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu barua pepe ipasavyo ili kutathmini |
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe .-Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe .-Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu barua pepe ipasavyo ili kutathmini
|
|
|
|
Your Name Comes Here