Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA PILI
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1 3
Kusoma ufahamu
urafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kusoma ufahamu na kuelezeamtirirko wa matukio
Kujibu maswali kuhusu ufahamu
Kutambua na kueleza maana ya misamiati yaliyotumika katika ufahamu
kueleza maana ya urafiki na Madhumuni ya urafiki
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk3_5)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 4
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa kina
Utungaji wa kisanii-mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuelezea vipengele muhimu za fasihi
Kuelezea maana ya tamthilia
Kusoma tamthilia na kujibu maswali
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 9-12)
1 5
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka matamshi tatanishi /la/, /na/ na /ra / sahihi
Kuigiza mazungumzo kati ya jopo na mtafuta kazi
Kutambua vitu muhimu vinavyozingatiwa katika mahojiano
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 14-15)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 1
Kusoma kwa ufahamu
Magonjwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutabiri matukio katika ufahamu
Kutaja aina ya magonjwa
Kusoma ufahamu na kutambua misamiati yaliyotumika na maana
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk16-17)
2 2
Sarufi
Kuandika
Aina za maneno-nomino
Utangaji wa kuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya nomino
Kutaja aina za nomino
Kutumia nomino katika mazungumzo na sentensi vyema
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 18-20)
2 3
fasihi simulizi
vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja vitendawili
Kutambua sifa na dhima za vitendawili
Kutambua matumizi ya vitendawili
Kueleza dhima, sifa na mifano ya chemsha bongo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 24-26)
2 4
Kusoma kwa ufahamu
vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ufahamu na kujibu maswali
Kuelezea mtiririko wa matukio katika taarifa
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 26-29)
2 5
Kuandika
Kusikiliza na na kuzungumza
Ilani
Tanakali za sauti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana na umuhimu wa ilani
Kutaja sifa za ilani na onyo
Kutaja aina za ilani
Kutengeneza ilani na onyo
Kueleze tofauti za onyo na ilani
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 38-42)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 1
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua na kutamka maneno yaliyo na sauti tatanishi /ch/ na /sh/
Kueleza maana ya misemo
Kutaja aina ya misemo
Kutambua madhumuni ya misemo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 71-75)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 2
Kusoma
Kajinga Acheza na Sensa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ufahamu na kueleza mtiririko wa matukio
Kujibu maswali kuhusu ufahamu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 75-78)
3 3
Kusoma
Kuandika
Lugha, utamaduni na katiba
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Makala katika kitabu cha mwanafunzi
Kutabiri matukio katika Makala kabla ya kusoma
Kutambua misamiati yaliyotumika katika Makala
Kujibu maswali kuhusu Makala
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk82-84)
3 4
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora -vitate vya sauti /b/ na /p/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vitate
Kutaja maneno yaliyo na vitate vya sauti /b/ na /p/
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(up 87-88)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 5
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuigiza mazungumzo kati ya deti na mhudumu
Dondoa misamiati ya heshima yaliyotumika katika mazungumzo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 88-89)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 1
Kusoma
Kusoma kwa kina
Ripoti kuhusu ukimwi
ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ripoti
Kufafanua ripoti
Kutambua vipengele muhimu katika uandishi wa ripoti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 89-91)
4 2
Kuandika
Utungaji wa kiuaminifu -barua simu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya barua simu
Kutaja mambo yanayozingatiwa katika uandishi wa barua simu
Kuandika barua simu
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 97-98)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 3
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora; vitate /s/ na /sh/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka maneno kwa ufasaha
Kutumia vitate vyema katika sentensi
Kueleza sifa za mazungumzo katika kituo ch polisi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 97-100)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Isimu jamii
Kusoma kwa kina-shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza sifa za mazungumzo katika kituo cha polisi
Kuigiza mazungumzo katika kituo cha polisi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 100-102)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 5
Kuandika
Utungaji wa kiuamilifu-matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua madhumini ya matangazo
Kuandika matangazo
Kutaja mambo muhimu ya kuzingaitiwa katika uandishi wa matangazo
Kutaja njia za kupitisha matangazo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 111-115)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 1
Kuandika
Dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya dayolojia
Kuandika dayolojia
Kueleza mtindo wa dayolojia
Kusoma na kuigiza dayolojia
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 116-117)
5 2
Kusikiliza na kuzungumza
Vitate vya sauti /s/ na /z/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua vitate vya sauti /s/ na /z/ na kuvitumia vyema katika sentensi.
Kueleza maana ya vitanza ndimi.
Kutambua na kutamka vitanza ndimi vyema.
Kujibu maswali kutoka kwa Makala ya haki za Watoto kikamilifu
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk118-120)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 3
Kusoma kwa ufahamu
Kusoma kwa mapana
Kusoma dondoo
Janga la ukimwi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma dondoo katika kitabu cha mwanafunzi vyema.
Kueleza mtiririko wa mtukio katika dondoo.
Kutambua wahusika katika dondoo.
Kujiu maswali sahihi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk120-122)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 4
Kuandika
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ratiba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika ratiba.
Kuandika ratiba .
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa rotuba
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk132-134)
5 5
Kusoma kwa ufahamu
Ushairi -Usafi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujadili mabo yaliyozumngumziwa katika ushairi.
Kutambua lengo la shairi hilo.
Kujibu maswali kuhusu ushairi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk136-138)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 1
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Taarifa
Fasihi simulizi-maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya taarifa.
Kutaja na kujadili sifa za taarifa.
Kuandika taarifa kuhusu hali ya ukame.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk144)
6 2
Kusoma kwa ufahamu
Ushairi -mwanamke
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujadili mtindo uliotumika katika uandishi wa shairi hilo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk147-148)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 3
Kusoma kwa mapana
Matumizi ya kamusi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja na kujadili matumizi ya kamusi.
Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati ya bunge.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk150-151)
6 4
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Unadishi wa insha
Mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua vipengee muhimu vya kuzingatiwa katikauandishi wa insha.
Kuandika insha kuhusu mada aipendayo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk151-152)
6 5
Kusoma kwa ufahamu
Kusoma taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwnafunzi.
Kujadili taarifa kwa kina.
Kutaja aina mbalimbali ya vyakula
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk155-157)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 1
Kusoma kwa mapana
Mtambo wa ATM
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ATM
Kusoma taarifa kuhusu ATM.
Kueleza alichojifunza kuhusu ATM
Kueleza jinsi ya kutumia ATM
Kujibu maswali kutoka kwa taarifa ipasavyo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk160-163)
7 2
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Resipe
Sauti tatanishi /f/ na /v/ Fasihi simulizi-Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya resipe.
Kujadili matumizi ya resipe.
Kueleza mambo ya kuzingatiwa katika uundaji wa resipe.
Kuunda resipe
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk164-165)
7 3
Kusoma kwa ufahamu
Tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya tarakilishi.
Kutambua mifano ya tarakilishi.
Kusoma Makala kuhusu tarakilishi.
Kujibu maswali kuhusu Makala hiyo sahihi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk170-172)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 4
Kusoma kwa mapana
Ufisadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Makala katikakitabu cha mwanafunzi.
Kuipa kichwa mwafaka Makala hiyo.
Kujadili mabo muhimu yaliyoangaziwa katika kifungu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk174-175)
7 5
Kuandika
Kusoma kwa ufahamu
Risala
Ushairi -Mrija
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuleza maana ya risala.
kujadili matumizi ya risala
kutambua mifano ya risala.
Kuandika risala
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk175-176)
8 1
Sarufi
Vinyume vya vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza vinyume vya vitenzi.
Kutumia vinyume vya vitenzi ipasavyo katika sentensi
Kujibu maswali kutokna na vinyume vya vitenzi ipasavyo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk183-185)
8 2
Kusoma kwa mapana
Jinsia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya jinsia
Kusoma Makala yeyote kuhusu jinsia.
Kutaja vitu muhimu yaliyojadiliwa kuhusu jinsia
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk185)
8 3
Kuandika
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua na kujadili aina ya mashairi.
Kujadili sifa za shairi hizi.
Kutaja vitu muhimu vya kuzingatiwa katika uundaji wa shairi hizi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 186)
8 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Fasihi simulizi-methali
Ajira ya watoto
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Eleza maana ya methali.
Kueleza sifa za methali.
Kutaja mifano ya methali kuu.
Kujadili dhima ya methali
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 187-190)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8 5
Kuandika
Barua rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya barua rasmi.
Taja sehemu tofauti za barua rasmi.
Kutambua na kueleza miundo tofauti za barua rasmi.
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia miundo tofauti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 200-204)
9 1
Kusoma kwa ufahamu
Lubigisa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma kifungu kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Lubigisa
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk206-208)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
9 2
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Sentensi ya kiswahili
Umoja wa kitaifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja na kujadili aina tofauti ya sentensi.
Kutoa mifano ya aina mbali mbali ya sentensi.
Kutunga sentensi tofauti kotaka kwa maneno waliyopewa.
Kujibu maswali kuhusu aina ya sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk209-211)
9-10

Mid term

10 3
Kuandika
Uandishi wa kawaida-Muhtasari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya muhtasari.
Kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa muhtasari.
Kuandika muhtasari ya kisa cha Lubigisa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk212)
10 4
Kusoma kwa ufahamu
Taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma tarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 214-215)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
10 5
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Afya
Utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi.
Kueleza mtiririko wa matukia katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 217- 218)
11 1
Kusikiliza na kuzungumza
Majadiliano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
11 2
Kusoma kwa ufahamu
Nidhamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
11 3
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Maadili
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230)
11 4
Kusikiliza na kuzungumza
Redio/Kanda za kunasia sauti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja umuhimu wa redio.
Kutambua vipindi tofauti vya redio na runinga.
Kujadili ujumbe yanayojadiliwa katika vipindi hivi.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
11 5
Kusoma kwa ufahamu
Shairi-Njaa nipishe na kando
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi ..Njaa nipishe na kando
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza maana ya misamiati yaliyotumiwa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231-233)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
12 1
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Jana si leo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Eleza maana ya usemi halisi.
Kutaja matumizi ya usemu halisi katika sentensi.
Eleza maana ya usemi wa taarifa.
Kutambua matumizi ya usemi wa taarifa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 233-235)
12 2
Kuandika
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mualiko.
Kutambua sifa za mialiko.
Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko.
Kuandika barua ya mualiko.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 237-240)
12 3
Kusikiliza na kuzungumza
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kujadili umuhimu wa hotuba.
Kutambua na kujadili sehemu mbalimbali ya hotuba.
Kusoma hotuba kwenye kitabu cha mwanafunzi.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 241-242)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
12 4
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Safari yenye hatari
Uundaji wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma kifungu kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Safari yenye hatari
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 243-245)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
12 5
Kusoma kwa mapana
Matumizi ya tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya tarakilishi.
Taja aina ya tarakilishi.
Kutambua matumizi ya tarakilishi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 247-248)
13

EXAMS

14 1
Kusoma kwa ufahamu
Nidhamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)

Your Name Comes Here


Download

Feedback