Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1 2
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Shairi Nyuki nimekoni?
Fasihi Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma shairi
Kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 93-94
1 3
sarufi
Kusoma
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
Kuchanganua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
1 4
kuandika
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya ratiba
-kuandika kwa makini
-kuandika insha nzuri ya maelezo
kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 uk 100-101
1 5
Fasihi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Dini ya ulimwengu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
1 6
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
Visasili
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visasili
vilivyo
-kubainisha aina mbali mbali za Visasili
Kutao mifano ya Visasili
Kutambua maana ya mighani
Sifa za mighani na umuhimu wa mighani
Kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106
2

Mtihani WA ufunguzi WA muhula

3 1
sarufi
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
-kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
-          Kusoma
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110
3 2
Kuandika
Fasihi
Uandishi wa insha
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika isnha ya masimulizi
Kutoa mifano
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
3 3
Kusoma Marudio
2
Kukandamizwa
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
3 4
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
ngano
‘Fasihi simulizi’
Uk 112-114
3 5
Kuandika
Fasihi
Ushairi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
-Kuandika
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
3 6
Fasihi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kukandamizwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 1
2
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Aina mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
4 2
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Fasihi simulizi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
4 3
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 4
kusoma
mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa kudadisi ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-     
Kusoma
Kukariri
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
4 5
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
vishazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa
Kujibu maswali
Kuandika
Kutunga sentensi
Kusoma
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
4 6
Kuandika
Fasihi andishi
wasifu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika wasifu
kutoa mifano
tawasifu na wasifukazi
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
5 1
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 2
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
mhepa
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
5 3
sarufi
kuandika
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
5 4
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 5
Fasihi andishi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
mhepa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 6
Kusikiliza na kuongea
sarufi
Miviga
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
6 1
kuandika
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha

Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
6 2
Fasihi
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 3
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea
Haki zetu binadamu
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Kutaja
kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
6 4
sarufi
aina za sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Mjadala
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
6 5
Kuandika
Fasihi simulizi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu
Kusoma
kuandika
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
6 6
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 1
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea
Haki zetu binadamu
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Kutaja
kueleza
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
7 2
sarufi
Kuandika
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Mjadala
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 148-150
7 3
Fasihi simulizi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 4
Fasihi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
usalama barabarani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 5
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
ushairi nyimbo
uchanganuzi wa sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kukariri mashairi
kuimba nyimno
kutambua dhima ya nyimbo
kutunga mifano wa wimbo
Kisikiliza na kushiriki
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
7 6
Kuandika
utungaji wa kiuamilifu tahadhari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua aina mbili za tahadhari
ilani na onyo
Kuandika
kueleza
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 165-166
8 1
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
8 2
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
uzalendo
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
8 3
Kuandika
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kufupisha

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
8 4
Fasihi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
kitabu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
8 5
Kisikiliza na kuongea
Sarufi
Hotuba
Nyakati na hali marudio
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
8 6
kusoma
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kusoma
Kuchambua
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
9

Mtihani na likizo fupi

10 1
Kuandika
Fasihi
mahojiano na dayolojia
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kufupisha
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
10 2
Kusoma
Sarufi
Uraibu
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
10 3
kusoma
Ukimwi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kusoma
Kuchambua
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
10 4
Kuandika
Kusoma
Barua meme
Shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya barua meme
Kuandika nukulishi
Kusoma
Kufupisha
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182-186
10 5
Kusikiliza na kuongea
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
10 6
kuandika
Mazingira fomu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 192
11 1
Fasihi
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
11 2
Kusoma
Sarufi
Ufahamu
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
11 3
Kusikiliza na kuongea
Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua methali
Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
11 4
kuandika
Fasihi
Utungaji wa kisanii
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
11 5
Fasihi andishi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Urithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
11 6
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau
Mafano
Vaa- vua
Umba-umbua
Mifano kwa sentesni
Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua
Kauli ya kutenduka
Mifano kwa sentensi
Siri ya wandani hao ilifichuka
Mtego wa panya uliteguka
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 202-203
12 1
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Maghani
Matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
12 2
Fasihi
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
12 3
Kusoma
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
12 4
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
Vitenzi
Ngomezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea
Mafano
Mifano kwa sentesni
La- kakangu hula mkate kila siku
Kauli ya kutendwa
Mifano kwa sentensi
La-liwa-
Pa-pewa
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 210-211
12 5
kuandika
Fasihi
Ripoti
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanafunzi aweze kuandika repoti

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 213-214
12 6
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
13

Mtihani WA mwisho WA muhula

14

Kufunga shule


Your Name Comes Here


Download

Feedback