If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 2 |
Kusoma
Kusikiliza na kuongea |
Shairi
Nyuki nimekoni?
Fasihi Simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma shairi |
Kusoma
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 93-94
|
|
1 | 3 |
sarufi
Kusoma |
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi Mafano Shuka- panda Nuka-nukia Lala-amka Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha |
Kuchanganua
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
|
|
1 | 4 |
kuandika
|
Ratiba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya ratiba -kuandika kwa makini -kuandika insha nzuri ya maelezo |
kuandika
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 uk 100-101 |
|
1 | 5 |
Fasihi
Kusoma |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Dini ya ulimwengu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
1 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi |
Visasili
Uundaji wa nomino |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visasili vilivyo -kubainisha aina mbali mbali za Visasili Kutao mifano ya Visasili Kutambua maana ya mighani Sifa za mighani na umuhimu wa mighani |
Kusoma
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106
|
|
2 |
Mtihani WA ufunguzi WA muhula |
|||||||
3 | 1 |
sarufi
|
Uundaji wa nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni -kutaja aina mbalimbali za sentensi mifano- samehe, abiri, husudu |
- Kusoma
Kueleza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110
|
|
3 | 2 |
Kuandika
Fasihi |
Uandishi wa insha
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika isnha ya masimulizi |
Kutoa mifano
|
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
|
|
3 | 3 |
Kusoma
Marudio
2 |
Kukandamizwa
sarufi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa |
- Kueleza
Kutaja Mifano |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
|
|
3 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Fasihi simulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano |
Maelezo
|
Kitabu
Kamusi |
ngano
‘Fasihi simulizi’ Uk 112-114 |
|
3 | 5 |
Kuandika
Fasihi |
Ushairi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo |
- Maelezo
-Kuandika |
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
|
|
3 | 6 |
Fasihi
Kusoma |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kukandamizwa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
4 | 1 |
2
|
sarufi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai Aina mbalimbali ya virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi Virai vielezi Kirai kivumishi Virai vihusishi |
- Kueleza
Kutaja Mifano |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
|
|
4 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika |
Fasihi simulizi
Ushairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano |
Maelezo
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
|
|
4 | 3 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
4 | 4 |
kusoma
|
mchezo wa kuigiza
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa kudadisi ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
-
Kusoma Kukariri |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
|
|
4 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi |
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
vishazi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa Kujibu maswali |
Kuandika
Kutunga sentensi Kusoma |
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
|
|
4 | 6 |
Kuandika
Fasihi andishi |
wasifu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika wasifu kutoa mifano tawasifu na wasifukazi |
- Kuandika
Kutunga sentensi |
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
|
|
5 | 1 |
Fasihi
andishi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
5 | 2 |
Kusoma
Kusikiliza na kuongea |
mhepa
Miviga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
- Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
|
|
5 | 3 |
sarufi
kuandika |
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi |
Maelezo
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
|
|
5 | 4 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
5 | 5 |
Fasihi andishi
Kusoma |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
mhepa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
5 | 6 |
Kusikiliza na kuongea
sarufi |
Miviga
setensi ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
|
|
6 | 1 |
kuandika
|
utungaji wa kiuamilifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
|
|
6 | 2 |
Fasihi
Fasihi andishi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 3 |
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea |
Haki zetu binadamu
maigizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari -kujibu vilivyo maswali ya ufahamu |
Kutaja
kueleza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
|
|
6 | 4 |
sarufi
|
aina za sentensi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili |
Mjadala
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
|
|
6 | 5 |
Kuandika
Fasihi simulizi |
utungaji wa kiuamilifu
kumbukumbu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu |
Kusoma
kuandika |
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
|
|
6 | 6 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7 | 1 |
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea |
Haki zetu binadamu
maigizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari -kujibu vilivyo maswali ya ufahamu |
Kutaja
kueleza |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
|
|
7 | 2 |
sarufi
Kuandika |
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili |
Mjadala
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 148-150
|
|
7 | 3 |
Fasihi simulizi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7 | 4 |
Fasihi
Kusoma |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
usalama barabarani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi |
ushairi
nyimbo
uchanganuzi wa sentensi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kukariri mashairi kuimba nyimno kutambua dhima ya nyimbo kutunga mifano wa wimbo |
Kisikiliza na kushiriki
|
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
|
|
7 | 6 |
Kuandika
|
utungaji wa kiuamilifu
tahadhari
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua aina mbili za tahadhari ilani na onyo |
Kuandika
kueleza |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 165-166
|
|
8 | 1 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
8 | 2 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea |
uzalendo
Hotuba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Jibu maswali |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
8 | 3 |
Kuandika
|
mahojiano na dayolojia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano |
Kusoma
Kufupisha |
kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
|
|
8 | 4 |
Fasihi
Kusoma |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
kitabu |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
8 | 5 |
Kisikiliza na kuongea
Sarufi |
Hotuba
Nyakati na hali marudio |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali |
Malumbano
|
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
|
|
8 | 6 |
kusoma
|
uzalendo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali |
Kusoma
Kuchambua |
Tamthilia
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
|
|
9 |
Mtihani na likizo fupi |
|||||||
10 | 1 |
Kuandika
Fasihi |
mahojiano na dayolojia
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano |
Kusoma
Kufupisha |
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
|
|
10 | 2 |
Kusoma
Sarufi |
Uraibu
Uakifishaji |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Jibu maswali |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
|
|
10 | 3 |
kusoma
|
Ukimwi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali |
Kusoma
Kuchambua |
Tamthilia
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
|
|
10 | 4 |
Kuandika
Kusoma |
Barua meme
Shairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya barua meme Kuandika nukulishi |
Kusoma
Kufupisha |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182-186
|
|
10 | 5 |
Kusikiliza na kuongea
|
Vitenzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua myambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka Mfano Bakisha- bakishiwa- Kauli ya kutendesha na Kosesha- kosesheana Pimisha- pimishana |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
10 | 6 |
kuandika
|
Mazingira
fomu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 192
|
|
11 | 1 |
Fasihi
Fasihi andishi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
11 | 2 |
Kusoma
Sarufi |
Ufahamu
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
|
|
11 | 3 |
Kusikiliza na kuongea
|
Methali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua methali Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
11 | 4 |
kuandika
Fasihi |
Utungaji wa kisanii
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
|
|
11 | 5 |
Fasihi andishi
Kusoma |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Urithi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
11 | 6 |
Sarufi
|
Vitenzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau Mafano Vaa- vua Umba-umbua Mifano kwa sentesni Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua Kauli ya kutenduka Mifano kwa sentensi Siri ya wandani hao ilifichuka Mtego wa panya uliteguka |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 202-203
|
|
12 | 1 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika |
Maghani
Matangazo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Maghani Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
|
|
12 | 2 |
Fasihi
Fasihi andishi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
12 | 3 |
Kusoma
|
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
|
|
12 | 4 |
Sarufi
Kusikiliza na kuongea |
Vitenzi
Ngomezi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea Mafano Mifano kwa sentesni La- kakangu hula mkate kila siku Kauli ya kutendwa Mifano kwa sentensi La-liwa- Pa-pewa |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 210-211
|
|
12 | 5 |
kuandika
Fasihi |
Ripoti
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanafunzi aweze kuandika repoti |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 213-214
|
|
12 | 6 |
Fasihi andishi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
13 |
Mtihani WA mwisho WA muhula |
|||||||
14 |
Kufunga shule |
Your Name Comes Here