Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA TISA
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
1 1
Kusikiliza na kuzungumza
kusoma
Kusikiliza kwa kina . Sauti - b - na -mb -
Kusoma kwa mapona
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambka sauti
-kutambua sauti b na mb ipasavyo ili kuzitofautisha.
-Kusikiliza na kutamka sauti b na mb katika vitanza ndimi katika kifaa cha kidijitali .
-Kushirikiana na wenzake kubuni vitanza ndimivyepesi vinavyo husiana na sauti b na mb.
Je kutumia maneno yenye sauti -b - na - mb - yana umuhimu gani?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 14-15 .
-Mti maneno
-Matini ya mwalimu
Na mwanafunzi
-Kifaa cha kidijitari
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 15-16 .
-Matini mbali mbali za kujichagulia.
-kutambua -Kutunga vitanzi ndimi -Oroha hakiki
1 2
Kuandika
Insha za kiuamilifu . Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua ujumbe unaotumika katika kujibu barua ya kirafiki
-Kueleza lugha inytumika katika kujibu barua ya kirafiki
-Kufafanua muundo unaofaa katika kujibu barua ya kirafiki.
-Kuchamkia kuchora muundo unaotuika katika kujibu barua ya kirafki .
-kutambua ujumbe unaoafiki anapojibu barua ya kirafki.
-kueleza lugha inayofaa kujibu barua ya kirafiki
-kuchora muundo wa kujibu barua ya kirafiki kitambuni
Je unazingatia nini unapojibu barua ay kirafiki?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 17-18 .
-Matini ya mwalimu .
-Michoro
-chati
-Kutambua -Kuchora -Kujibu maswali -Kueleza . -Kujadiliana na wenzake.
1 3
Kuandika
Insha za kiuamilifu Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kujibu barua aya kirafiki akizingatia ujumbe ,lugha na muundo unaofaa
-Kujenga mazoea ya kujibu barua ya kirafiki katika maisha ya kila siku.
-kuandika na kujibu barua ya kirafiki akizingatia ujumbe,lugha na muundo unaofaa
-Kuwasomea wenzake barua aliyoiandika ili waitolee maoni.
Je unazingatia nini unapojibu barua ay kirafiki?
-acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 18-19 .
-Vifaa vya kidijitali .
-Matini ya mwalimu.
-Kuandika barua -Kusomeana -Kufanya tathmini .
1 4
sarufi
Vihusishi . Vihusishi vya A - unganifu
Vihusishi vya sababu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika matani
-kutumia vihusishi vya a unganifu ipasavyo kaika matini
-Kuchngamkia matumizi ya a unganifuifaavyo kaytika mahusiano
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika kapu maneno chati au katika tarakilishi.
-Kutambua vihusishi vya a unganifu katika sentensi au vifungu kwenye vitabu
-Kutunga sentensi kwa kutumia vihusishi vya a unganifu akizingatia maswala mtaambuko .
Je vihusishi vya A- unganifu hutumika vipi ?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 19-20 .
-Vifaa vya kidigitali .
-Matini ya mwalimu.
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 21-22.
-Vifaa vya kidijitali
-Kapu na kadi amneno
-Matini ya mwalimu
-kutambua -Kuulizana na kujibu maswali -Kutunga sentensi -Orodha hakiki -Kufanya tathmini .
2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Semi Tashbihi sitiari na methali Tashbihi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleze maana ya tashbihi
-Kutabua tashbihi katika matani ya fasihi .
-Kueleza matumizi ya tashbihi katika matani ya fasihi simlizi
-Kuchangamkia kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo za fasihi simulizi .
-kueleza maana ya tshbihi
-Atambue tashbhi katika matani ya fasihi
-Aeleze matumizi ya tashbihi katik amatani ya fasihi simulizi.
-Achangamkie kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo la fasihi.
Je tunatumia mbinu gani za lugha katika kuwasilisha tungo za fasihi simulizi ?
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 23-24 .
Matini ya mwalimu
Kapu la tashbihi
chati
-Kusoma -Kutambua -Kujadili -Kielezo maana -Kuchangamkia mazoezi .
2 2
Kusikiliza na kuzungumza
Semi . (sitiari na methali )
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-aweze kutumia istiari katika uwasilishaji wa tungo la fasihi .
-Kchangmkia matumizi ya istiari na methali katika tungo la fasihi simulizi.
-kutumia istiari na methali katika uwasilishaji wa tung za fasihi simulizi
-Ashiriki katika uwasilishaji wa istiari na methali katika fasihi simulizi
Je kwa nini tunatumia ishari na methalikuwasilisha tungo za fasihi simulizi?
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 24 -26 .
Matini ya mwalimu
Kapu la tashbihi
chati
-kufunga tathmini -kusoma hadithi -Kuwasilisha istiari -methali -mazoezi
2 3
Kusoma
Kusoma kwa kina . Sifa za ushairi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya shairi ili kutofautisha na tungo nyingine
-Kujadili sifa za ushairi kama utunzi wa fasihi andishi
-kueleza sifa za ushairi katika shairi
-Kufurahia kuchambua ushairi kama utungo wa fasishi.
-kutafiti maana ya ushairi vitambuni au mtandaoni ili kutofautisha na fungo nyingine.
-kutambua sifa za ushairi utunzi wa fasihi andishi
-Kujadiliana sifa za ushairi kama ufunzo wa fasihi simulizi
Je shairi uiowahi kulisoma lilikua linasimulia nini? Je unafahamu sifa zipi za ushairi?
-Kiswahili acess gredi ya 9 ukurasa wa 29-30.
-Matini ya mwalimu
-Kifaa cha kidigitari
-mashairi
-diwani teule
-Vifaa vya kidigitari
-Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 31-32
-kutambua -Kujadiliana na kutafiti -maswali na majibu -shairi
2 4
Kuandika
Insha za kubuni . Masimulizi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vipengelee vya kufafaulia ujumbe wa insha ya simulizi
-Kufafanua ujumbe wa insha ya simulizi kupitia kwa utanguliizi kiini na hitimisho .
-Kuafanua ujumbe wa insha smulizi kupitia kwa wahusika
-Kufurahia kufafanua ujumbe wa insha simulizi ili kufanikisha maelezo.
-kutambua vipengele vya kufanunua ujumbe wa insha simulizi
-Kusoma kielelezo cha insha simulizi .
-Kufafanua ujumbe kupitia kwa utangulizi,kiini na hitimisho
-Asome kielelzo cha insha ya masimulizi na kufafafnua ujumbe kupitia wahusika.
-Atoe amelezo yake darasani.
Je unafanya nini unaposimulia jambo ili ujumbe wako upate kueleweka zaidi ?
Kiswahil gradi ya 9 ukurasa 32-33
Vifaa vya kiditali
Matini ya mwalimu
Kielelzo cha insha.
-kusoma -kuchambua -Kijadilana -Kuulizana na kujibu maswali.
3 1
Kuandika
Sarufi
Insha za kubuni masimulizi
Vuhusishi . Vihusishi vilinganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika insha ya masimuizi kwa kuzingatia ujumbe na muundo ufaao
-Kuandika insha simulizi kwa kuzingati aujumbe na muundo ufaao .
-kuandika insha ya asimulizi daftarini mwake au kweny kifaa cha kidijitali akizingatia ufafanuzi ufaao wa ujumbe kupitia kwa utangulizi ,kiini,hitimisho na wahusika
-Awasomee wenzake ili waitolee maoni .
Je unaff kuzingatia nini unapoa andika insha ya masimulizi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 33
-Matini ya mwalimu .
-Vifaa vya kidigitari
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati
-Vifaa vya kiditajitari
-Matii ya mwalimu .
-kuandika insha -Kufanyiana tathmini -Kielelzo cha barua iliyoandikwa
3 2
Sarufi
Vihusishi . Kihusishi na .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi na katika matini .
-Kutumia kihusshi na ipasavyo katika matini .
-Kuchangamkia kutumia kihusishi na katika amawasiliano ya kila siku .
-Kutambua kihusishi na katika sentensi kwenye vifungo kwa kupigia mstari .
-Atunge sentensi na vifungu kwa kutumia kihusishi na akizingatia maswala lengwa na masuala mtambuko mbali mbali .
Je kihusishi na kuchngia vipi katika mawasiliano?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati
-Vifaa vya kidigitari
-Matini ya mwalimu .
-kutambua -Kutunga sentensikufanya mazoezikutathmin
3 3
Kuskiliza na kuzungumza
Semi . vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya vitendawili ili kuvipambanua .
-Kutambua vitendawili ktika matini .
-Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika fasihi simulizi .
-Kuchangamkia uwasilishaji wa vitendawili katika fungo za fasihi .
-Kueleza maana ya vitendawili .
-Kutambua vitendawili katika matini ya fasihi simulizi .
-Kutafiti mtandaoni au vitabuni umuhimu wa vitendawili .
-Kujadili vipengele vya uwasilishaji vitendawili .
-Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji wa vitendawili .
Je vitendawili vina umhim upi katka fasihi simulizi? Je unazingatia nini unapowasilisha vitendawili?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 37-38 .
-Matini ya mwalimu.
-Chati
-Michoro
-Kifaa cha kidigitali .
-kueleza -Kitendawili -kufafanua -Kuwasilisha vitendawili -Kutenga na kutengua.
3 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufasaha
Semi . Nahali .
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maan ya nahu ili kupambanua .
-Kutambua nahau katika matini
-Kufafanua umuhimu wa nahu katika fasihi simulizi.
-Kuchangamkia matumizi ya nahau katika tungo za fasihi .
- kueleza maana ya nahau .
-Kutambua nahau mbali mbali katika matini ya fasihi simulizi na kueleza maan yake .
-Kutafiti mtandaoni umuhimu wa nahau .
-Atunge sentensi akitmia nahu ifaavyo
-Ajaze nafasi katika sentensi kwa kutumia nahau mwafaka .
Je nahau ni nini ?
-Acess kiswahil gradi ya 9 ukurasa wa 39-40.
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Michoro
-Vifaa vya kidijari.
kiswahli gredi ya 9 ukurasa 41-43
-Vitabu
-Matini ya mwalimu .
-kujaza nafasi -Kutunga sentensis -Kujadili -Kutathmini.
4 1
Kusoma kwa ufasaha
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kifungu akizingatia ishara za misili ziffazo .
-Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufsaha ili kufanikisha mawasiliano .
-Kusoma kifungu akizingatia ishara za mwili .
-Kisakuru kifungu cha nathari mtandaoni na kuwasome wenzake kwa ufasaha .
Je unaposoma kifungu chochcote unazingatia mambo gani?
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 43.
Matini ya mwalimu?
-kusoma -Kufanyiana tathmini.
4 2
Kuandika
Insha za kubuni masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya lugha ya kitamli,matendo ya wahusika na mandhari ili kubainisha .
-Kujadili lugha za kitamathari,matendo ya wahusika na mathari katika insha ya masimulizi .
-Kuchangamkia kufafanua lugha ya kitamathdali ,matendo ya wahusika na mandhari katika insha ya masimulizi .
-Kutambua vipengele vya lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika na mandhari katika masimulizi kwenye matini andishi .
-Kueleza maan ya lugha ya kitamthlia ,matendo ya wahusika na madhari .
-Kusoma vielelezo vya insha za kubni kwenye matini za maandishi na kulainisha lugha ya kita mathali ,matendo ya wahusika na mandhari .
Je unazingatia vipengee vipi unapo andika insha ya masimulizi?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 44 - 45.
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Kifaa cha kidijitari.
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 46?
-Matini ya mwalimu.
-Michoro
-vitabu
-kusoma -Kufanyiana tathmini
4 3
Sarufi
Nyakati na hali . Ki- ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kufafanua amatumizi ya ki ya masharti
-Kutambua ki ya masharti katika matini .
-Kutumia ki ya masharti ipasavyo katika matini .
-Kujenga mazoea ya kutumia ipasavyo ki ya ya masharti ili kufanikisha mawasiliano .
-kutambua ki ya mashrati katika matini mbali mbali .
-Kuchanganua sentensi zilizi ashiria matumizi ya ki ya masharti kutokana ana mchanganyiko wa sentensi kwenye vitabu au tarakiishi .
-Atunge sentensi akitumia ki ya masharti .
Je ki-ya masharti hutumika wakati gani katika sentensi?
1,kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 47-48
-Matini ya mwalimu .
-Vitabu
-Picha
-michoro
-kutambua -Mifano -Maelezo -mazoezi -Kutunga sentensi -Kuandika.
4 4
Sarufi
Nyakati na hali . Hali ya kufuata na kwa vitendo .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini .
-Kutumia ka ya kufuatana kwa vitendo ipasavyo katika matini .
-Kujenga mazoea ya matumizi ya ka ya kufuatana kwa vitendo ili kufanikisha mawasiliano .
-kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini mbalimbali
-Atambue sentensi zinazoashiria matumizi ya kufuatana kwa vitendo kutokana na mchnganyiko wa sentensi kwenye vitabu au tarakilishi .
Je -ka ya kufuatana kwa vitendo hutumika wakati gani katika senstensi.?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 48 - 49 .
-Matini ya mwalimu
-Vifaa vya kidigitali
-Picha michoro
-kueleza Mifano -mazoezi -Kutunga sentensi -Kutathmini
5 1
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu wa kuskiliza
Ufahamu wa kuskiliza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya ufahamu wa kusikiliza .
-Kujadili kanuni za ufahamu wa kusikiliza
-Jadili vipengele vya ufahamu wa kusikiliza .
-Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza kwa kufahamu ili kukuza stadi za kusikiliza .
-Kueleza maan ya ufahamu wa kusikiliza .
-Kutaja na kujadili kanuni za ufahamu wa kusikiliza .
-Kujadili vipengele vya kusikiliza .
Je kuskiliza kwa ufahamu kuna faida gani?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 51 -52 .
-Matini ya mwalimu
-Vifaa vya kidigitali
-Picha
-michoro
-Vifaa vya kidijitari
-Kiswahili gredi 9 ukurasa wa 51-52
-Matini ya mwalimu na mwanafunzi .
-kusikilza na kujibu maswali .
5 2
Kusoma
Kusoma kwa ufahamu .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kudondoa habari mahususi kutoka kifungu cha ufahamu .
-Kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha ufahamu .
-Kuchangamkia kusoma kwa ufahamu ili kukuza kuelewa habari .
-Kusoma kifungu cha ufahamu .
-Kudondoa habari mahususis katika kifungu cha ufahamu .
-Kueleza habari za kifungu cha ufahamu kwa ufupi na ufasiri kutokana na kifungu cha ufaham u .
Je kwa nini tunasoma kifungu cha ufahamau?
-vifaa vya kidigitali
-Kiswahli gredi ya 9 ukurasa wa 52-54
-Matini ya mwalimu
-Picha
-kusoma na Kuulizana maswali -Kudondoakielelzo -kutabiri -michoro
5 3
Kusoma
Kusoma kwa ufahamu .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua msamiati kutoka kwa kifungu cha ufahamu .
-Kueleza maan aya msamiati kulingana na kifungu cha ufahamu .
-Kuchangamkia matumizi ya msamiati aliotambua katika sentensi na vifungu .
-Kuchopoa msamiati wa suala lengwa kwenye kitabu
-Kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa matumizi katika matini .
-Kutumia msamiati huo kutunga sentensi sahihi kisha amsomomee mwenzake ili kutoleana maana .
Je ni mambo gani tunayozingatia tunaposoma kifungu cha ufahamu?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 54-55
-Chati
-Matini ya mwalimu
-Picha
-michoro
-kusoma -Kudondoa msamiati -Kutunga sentensi
5 4
Kuandika
sarufi
Insha za kiuamilifu . Shajara .
Hali yza masharti . -nge-
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maan ya shajara .
-Kujadili vipengele vya shajara .
-Kuandika shajara akizingatia vipengele vyake .
-Kuonea fahari matumizi ya shajara katika maisha ya kila siku .
-Kueleza maana ya shajara .
-Kujadili na mwenzake shajara alivyoisoma .
-Kutambua na kujadili vipengele vya shajara kwa kurejelea kielelezo cha shajara .
-Kuandika shajara akizingatia vipengele vya vyake .
Je muundo na mtindo wa shajara ni upi? Je kwa nini watu utumia shajara?
-kiswahili gredi ya 9 ukrasa wa 55-57.
-Kielelewzo cha shajara
-Matani ya mwalimu
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 58
-Chati
-Picha
-Michoro
-Vifaa vya kidigitali
-Kitambua -Kuuliza na kujibu. -Kujadili
6 1
sarufi
Hali ya masharti . -ngali)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua matumizi ya hali ya masharti ngali katika matini .
-Kutumia hali ya masharti ngali ipasavyo .
-Kuchangamkia matumizi yafaayo ya hali ya masharti ngali ili kukuza ufasaha wa lugha .
-Kutafiti mtandaoni au vitabuni matumizi ya hali ya masharti ya ngali .
-Kutambua matumizi sahihi ya ngali katika sentensi au vifungu .
-Kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya hali ya ngali kutokana na mchanganyiko wa sentensi kwenye vitabu ,tarakiishi na kuvipigia mstari
-Kutunga sentensi kuonyesha matumizi ya ngali akizingatia maswala mtaambuko .
Je hali ya masharti nge hutumika vipi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 59-60
-Matani ya mwalimu
-Kutunga sentensi -Kuuliza maswali -kujaza pengo -Kutathmini.
6 2
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
Kusikiliza na kufasiri .
Vielezi vya wakati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya a kufasiri kwa kusikiliza ili kubainisha .
-Kueeza misimamo na mielekeo kuhusu ujumbe wa matini ya kusikiliza .
-Kujenga mazoea ya kutambua misimamo na mielekeo katika matini mbali mbali ili kupata amaana ya ujumbe .
-kutafiti maan ya kusikiliza kwa ufasiri kutoka mtandaoni au maktaba na awasilishe matokeo ya utafiti .
-Kueleza msismamo na mielekeo kuhusu ujumbe katika matini mbali mbali anayosikiliza kuhusu suala lengwa .
-Kusikiliza habari kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kidijiari .
-Kuchambua msimamo na mielekeo kuhusu ujumbe.
Je ni misimamo ipi iliyopo katika matini ulizowahi kuskiliza?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 61-62
-Matani ya mwalimu
-Vifaa vya kidigitali
-Matani ya mwanafunzi
Kisw sahili gredi ya 9 ukurasa 70-71
matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-michoro
-kapu maneno
-kuskiliza na Kuuliza -kueleza -kuchambua -kuandika na kujibu maswali.
6 3
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza kwa kutathmini
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- aeleza maana ya kusikiliza kwa Kutathmini kwa kutafiti mtandaoni au vitabuni.
- Kujadili vipengele vya kizinga katika kusikiliza kwa Kutathmini.
-kusikiliza kifungu atakachosomewa na mwalimu akizingatia vipengele muhimu kusikiliza kwa Kutathmini
-Achangamkie kusikiliza kwa Kutathmini habari yoyote ya kujichagulia mtandaoni amsomee mwenzake ili amtolee maoni
-kusakura mtandaoni au vitabuni ili kueleza maana ya Kusikiliza kwa Kutathmini
-Kujadili vipengele vya kuzingatia katika Kusikiliza na Kutathmini.
-Kusikiliza kwa makini kifungu atakachosomewa na mwalimu ili kutoa vipengele vinavyostahili kwa matini hiyo.
-kusakura mtandaoni ili kutoa habari atakayosomea mwenzake ili amtolee maoni.
Je kusikiliza kwa kutathmini kunahitaji nini?
Kisw sahili gredi ya 9 ukurasa wa 74-76
Matini ya mwalimu
-kamusi
-kifaa cha kidijitali
-kutafiti -Kujadili -kusoma -kujibu maswali -Kutathmini
6 4
kusoma
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kusakura mtandaoni au vitambuni na kueleza maana ya ufupisho.
- Kujadili vipengele vya kuzingatia katika kufupisha kifungu
- kusoma kifungu kisha kujibu maswali ipasavyo
- Achangamkie kufupisha ujumbe akizingatia vipengele muhimu
-kusakura mitandaoni au vitabuni ili kueleza maana ya ufupisho
-kujadili vipengele vya kuzingatia katika ufupisho wa kifungu
-kusoma kifungu na kisha kujibu maswali ipasavyo
-azingatie ujumbe, muundo na lugha sahihi ili kufupisha ujumbe kwa aya moja na maneno 40.
Je unazingatia vipengele vipi katika ufupisho?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 74-76
Matini ya mwalimu
-kamusi
-kifaa cha kidijitali
-kutafiti -Kujadili -kusoma -kujibu maswali -Kutathmini
7 1
kuandika
Insha za kubuni (maelezo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya insha ya Maelezo akizingatia lugha inayoathiri hisia mbalimbali.
- Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayo athiri hisia katika insha ya maelezo.
-kusoma kielelezo cha insha ya Maelezo ili kutambua hisia zilizotumika katika maelezo.
- Achangamkie kuandika insha ya Maelezo akitumia lugha inayo athiri hisia mbalimbali
-kueleza maana ya insha ya Maelezo kwa kutafiti katika mtandao au vitabuni.
-Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayo athiri hisia katika maelezo.
-kusoma kielelezo cha insha ya Maelezo ili kutambua hisia zinazojitokeza katika kuandika insha ya kubuni ya Maelezo akitumia lugha inayo athiri hisia katika suala lengwa na mitambuko mbalimbalihb
Je insha za kubuni za maelezo huzingatia hisia gani unapoandika?
Access kisw sahili gredi ya 9 uk wa 77-78
-matini ya mwalimu
-vifaa va kidijitali
-picha michor
-kamusi
-kutafiti -kueleza -Kujadili -kusoma -kujibu maswali -kuandika
7 2
sarufi
Vielezi vya mahali na vya idadi a, vielezi vya mahali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- keleza maana ya vielezi vya mahali
- Kutaja Mifano ya vielezi vya mahali
- kutambua vielezi vya mahali katika matini mbalimbali.
- Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya mahali ipasavyo kwa kupigia mstari na kutungia sentensi.
-kueleza maana ya vieleza vya mahali kwa kusakura mitandaoni au vitabuni.
-Kutaja vielezi vya mahali katika matini mbalimbali
-kutambua vielezi vya mahali kwa kuvipigia mstari
-Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya mahali ipasavyo katika Kutunga sentensi na kunakili kifungu kifupi
Je vielezi vya mahali hutumika vipi katika mawasiliano?
Access kisw sahili gredi a 9 uk wa 79-80
-matini ya mwalimu
-picha
-michoro
-vifaa vya kidijitali
-kamusi
-kueleza -Kutaja -Kujadili -Kutunga sentensi -Kutathmini
7 3
sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
vielezi vya idadi
Uzungumzaji wa kushawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya vielezi vya idadi
- kutaja mifano ya vielezi vya idadi.
- kutambua vielezi vya idadi katika matini mbalimbali
- kuchangamkia matumizi ya vielezi vya idadi ipasavyo kwakupigia mstari, kutunga sentensi na kutunga kifungu kifupi.
Mwanafunzi alekezwe:
-kueleza maana ya vielezi vya idadi kwa kutafiti mtandaoni au vitabuni
-kutaja vielezi vya idadi kama ilivyo kwenye vitabu
-kutambua vielezi vya idadi katika matini mbalimbali
-kuumia vielezi vya idadi ipasavyo katika kutunga sentensi, kuandika kifungu kifupi na kupigia mstari ili kuthibitisha uelewa.
Je vielezi vya idadi hutumika vipi katika mawasiliani?
Access kisw sahili gredi ya 9 uk wa 81-82
-matini ya mwalimu
-kadi maneno
-kapu maneno
-picha
-kamusi
-vifaa vya kidijitali
Access kisw sahili gredi ya 9 uk 83-84
-michoro
-vifaa vya kidigitali
-kutafiti -kueleza -Kutaja -kutambua -kujaza pengo -Kutunga sentensi -kuandika kifungu
7 4
Kusoma
Kusoma kwa kina Ushairi a, mandhari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndodo,
- kueleza maana ya mandhari katika fasihi andishi
-kutaja mifano ya mandhari katika kazi ya fasihi
- kujadili umuhimu wa mandhari katika fasihi
- kuchangamkia kusoma shairi na kujibu maswali yake huku akitambua mandhari ya shairi hilo.
-kueleza maana ya mandhari kwa kusakira mitandaoni au vitabuni.
-kutaja mifano ya mandhari katika kazi ya fasihi andishi
-kujadili umuhimu wa mandhari katika fasihi andishi
-kuchangamkia na kufurahia kusoma shairi na kujibu maswali yake akitambua mandhari katika suala lengwa
Je, utatambua aje mandhari katika ushairi?
Access kisw sahili gredi ya 9 uk 84-86
-matini ya mwalimu
-picha
-vifaa vya kidijitali
-kamusi
-kueleza -Kutaja -Kujadili -kusoma shairi
8 1
Kusoma
Kusoma kwa kina b, muundo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza maana ya muundo katika fasihi andishi
-kutambua vipengele vya muundo katika shairi
-kuchangamkia kusoma shairi akizingatia maudhui na muundo ili kudhibitisha uelewa.
-kutafiti na kusakira mtandaoni ili kueleza maana ya muundo katika fasihi
-kutambua vipengele muhimu katika shairi ikiwa ni pamoja na vina, mizani, beti na mishororo
-kuchangamkia kusoma shairi akizingatia maudhui na muundo ili kutathmini uelewa
Je, viengele vya muundo katika shairi ni vipi?
Access kisw sahili gredi la 9 uk 87-88
-matini ya mwalimu
-picha
-michoro
-kamusi
-vifaa vya kidigitali
-kusakura -kueleza -kutambua -Kujadili -kusoma na kukariri shairi -maswali na majibu
8 2
kuandika
Viakifishi mabano na kistari kifupi a, matumizi ya mabano
Viakifishi Matumizi ya kistari kifupi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwanafunzi awezw
- kueleza maana ya mabano
-kujadili matumizi ya mabano
-kutambua matumizi ya mabano katika sentensi na vifungu
-kuchangamkia kuandika kifungu kifupi kuhusu suala lengwa akitumia mabano ipasavyo
-kusakura na kutafuta ili kujua maana ya mabano
-kujadili matumizi ya mabano katika matini mbalimbali
-kutambua matumizi ya mabano katika sentensi na vifungu vifupi
-kuchangamkia kuandika kifungu kuhusu suala lengwa akituma mabano ipasavyo
Je mabano ( ) hutumika vipi katika mawasiliani?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 88-89
-matini ya mwalini
-vifaa vya kidigitali
-chati
Acess kisw sahili gredi ya 9 uk 89-90
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-kamusi
-kutafiti -kueleza -kutambua -kuandika -maswali na majibu
8 3
sarufi
Ngeli na upatanisho wa kisarufi a, ngeli ya u-zi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kusoma mifano ya sentensi katika ngeli ya u-zi
- kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya u-zi katika sentensi
-kutaja mifano ya nomino katika ngeli ya u-zi na kuandika vitabuni
- kuchangamkia kutambua nomino katika ngeli ya u-zi katika matini mbalimbali ili kutathmini uelewa
-kusoma mifano ya sentensi katika ngeli a u-zi
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi katika umoja na wingi vya ngeli ya u-zi katika sentensi.
-kutaja mifano ya nomino katika ngeli ya u-zi, umoja na wingi na kuviandika vitabuni
-afurahie kutambua nomino katika ngeli ya u-zi katika matini mbalimbali ili kutathmini uelewa
Je nomino katika ngeli ya u-zi ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 91-92
-matini ya mwalimu
-kadi maneno
-michoro
-picha
-vifaa vya kidijitali
-kusoma -kueleza -Kutaja -Kutunga sentensi -kujaza pendo
8 4
sarufi
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (ya-ya)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufikia mwisho wwa mada ndodo,
- kusoma mifano ya swentensi katika ngele ya ya-ya ili kutambua viambishi katika umoja na wingi
-kutambua kwa kupigia mistari viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya ya-ya katika kifungu cha maneno.
-kutambua nomino za ngeli ya ya-ya katika matini mbalimbali kuchangamkia na kufurahia kutunga kifungu cha aya moja kuhusu suala lengwa akizingatia upatanisho wa ngeli ya ya-ya na kutunga sentensi ili kutathmini uelewa
-kusoma na kutambua viambishi vya ngeli ya ya-ya katika umoja na wingi
-kutambua viambishi ngeli vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya ya-ya katika kifungu cha maneno na sentensi
-kutambua na kuorodhesha nomino katika ngeli ya ya-ya katika matini mbalimbali
-kufurahia kutunga sentensi na kifungu kifupi kuhusu suala lengwa akizingatia upatanisho wa kisarufi katika ngeli ya ya-ya ili kutathmini uelewa
Je, nomino katika ngeli ya ya-ya ni zipi? Viambishi ngeli katika ngeli ya ya-ya umoja na wingi ni vipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 93-94
-matini ya mwalimu
-kifaa cha kidigitali
-picha
-michoro
-kamusi
-kusoma -kutambua -Kutaja -kuandika -Kutunga sentensi -kuandika kifungu cha aya moja
9 1
Kusikiliza na kuzungumza
kusoma
Kusikiliza kwa kina Sauti j na nj
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha kishawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
-kutamka sauti j nan j ipasavyo ili kuzibainisha
- kutambua kwa kupigia mstari sauti j nan j ili kizitofautisha
- kusoma vitanzandimi katika kifungu akizingatia matamshi bora ya sauti j na nj
-achangamkie kutunga vitanza ndimi akitumia nomino katika sauti j nan j kuvisomea wengine ili kuwatolea maoni
-kutamka sauti j na nj ipasavyo ili kuzibainisha
-kutambua kwa kupiga mstari sauti j na nj katika sentensi na kifungu
-kusoma vitanza ndimi katika kifungu akizingatia matamshi bora ya sauti j nan j
-kufurahia kutunga vitanza ndimi akitumia jozi ya maneno katika sauti ya j nan j kama vile: kuja-kunja
Ajali-anjali
Waja-wanja
Amsomee mwenzake ili kumtolea maoni
Sauti j nan j hutofautiana vipi katika matamshi?
Access kisw gredi ya 9 uk wa 96
-matini ya mwalimu
-kamusi
-picha
Access kisw sahili grade ya 9 uk wa 97-98
-vifaa vya kidijitali
-kutamka -kutambua -kusoma -Kutunga vitanzandimi
9 2
kuandika
Insha za kubuni (Masimulizi)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi kilichoko kitabunu
- kutambua vipengele vilivyo tumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya.
- kuandaa vidokezo vya kuandikia insha ya masimulizi na kuviandika daftarini
-kuandika insha ya masimulizi akirejelea ujumbe, muundo na lugha akizingatia suala lengwa
-kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi katika vitabu
-kutambua vipengele muhimu vilivyotumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya
-kuandaa vidokezo vitakavyo msaidia kuandika insha ya masimulizi kuhusi suala lengwa
-kuchangamkia kuandika insha ya masimulizi akizingatia ujumbe, muundo na lugha ifaavyo na kurejelea suala lengwa
Je, ni vipengele vipi vinavyozingatiwa katika uandishi wa insha ya masimulizi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 99-101
-matini ya mwalimu
-kielelezo cha insha
-kamusi
-kusoma -kuandaa vidokezo -kutambua vipengele -kuandika
9 3
sarufi
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (li)
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (ku)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi katika ngeli ya (li)
- Kutaja nomino katika ngeli ya (li) katika chati
- kutambua kwa kuvipigia mstari viambishi vya upatanisho wa kisarufi a ngeli ya (li)
- Achangamkie Kutunga sentensi na kifungu kifupi akitumia nomino katika ngeli ya (li) ili Kutathmini uelewa
-kutaja nomino katika ngeli ya (li) na kuzitambua katika matini mbalimbali
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi katika ngeli ya li umoja na wingi
-kusoma kifungu kisha kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi ya ngeli ya li
-kuchangamkia kifungu kifupi na sentensi akitumia nomino katika ngeli ya li ili kutathmini uelewa
Je, nomino katika ngeli ya (li) ni zipi? Viambishi ngeli katika ngeli ya (li) ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 102-103
-matini ya mwalimu
-kamusi
-chati
-mabango
Access kisw sahili grdi ya 9 uk wa 104-105
-vifaa vya kidijitali
-kutambua kwa kusoma -Kutaja -Kujadili Orodha hakiki -Kutunga sentensi na kifungu
9 4
sarufi
Ngeli ya pa-ku-mu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kusoma na kutambua viambishi ngeli katika ngeli ya pa-ku-mu
- kutambua viambishi vya upatanisho wa sarufi ya ngeli ya pa-ku-mu katika matini mbalimbali
- kutambua na kutaja nomino katika ngeli ya pa-ku-mu na kutunga sentensi akitumia nomino hizo ili kutathmini uelewa
-kusoma na kutambua viambishi ngeli katika ngeli ya pa-ku-mu
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya pa-ku-mu katika matini mbalimbali ipasavyo
-kuchangamkia na kutaja nomino katika ngeli ya pa-ku-mu na kutunga sentensi ili kuzitofautisha na zingine
-kutathmini kazi ya wenzao
Je viambishi vya ngeli ya pa-ku-mu ni zipi? Je, nomino katika ngeli ya pa-ku-mu ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa106-107
-matini ya mwalimu
Mabango
-chati
-kamusi
-vifaa vya kidigitali
-kusoma -Kutaja -kutambua -Kutunga sentensi -Orodha hakiki -Kutathmini
10 1
Kusikiliza na kuzungumza
Mazungumzo Malumbano ya utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kueleza maana ya malumbano ya utani
- kutaji aina za malumbano ya utanikama atavyopata katika mitandai ama vitabu
- kujadili sifa za malumbano ya utani pamoja na vipengele muhimu vya uwasilishaji wa malumbano ya utani
- kuwasilisha malumbano ya utani katika vikundi ili wayatolee maoni
-kueleza maana ya malumbano ya utani kwa kutafiti nas kusakura mitandaoni
-kutaja aina za malumbano ya utani ili kutofautisha na malumbano mengine
-kujadili sifa na vipengele muhimu katika uwasilishaji wa malumbano ya utani
-kuchangamkia uwasilishaji wa malumbano ya utani katika vikundi ili kutoleana maoni
Je, sifa za malumbano ya utani ni zipi? Vipengele muhimu katika malumbano ya utani ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 108-109
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-mwanafunzi
-kueleza -Kutaja -Kujadili -Kuwasilisha
10 2
Kusikiliza na kuzungumza
Mazungumzo Malumbano ya utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kujadili vipengele vya uwasilishaji wa malumbano ya utani katika mawasilisho yao
- kuchangamkia uwasilishaji wa malumbano ya utani katika vikundi vyao ili kutoleana maoni na kutathmini
-kujadili pamoja na wenzake vipengele muhimu vya uwasilishaji wa malumbano ya utani
-kuchangamkia uwasilishaji wa malumbano ya utani katika kikundi au wawili akizingatia vipengele muhimu ili kutathmini uelewa
Je, vipengele muhimu katika uwasilishaji wa malumbano ya utani ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa109-110
-matini ya mwalimu
-mwanafunzi
-Kujadili -Kuwasilisha -Orodha hakiki
10 3
kusoma
Ushairi Kusoma kwa kina wahusika
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kueleza maana ya wahusika katika fasihi
- kujadili sifa za wahusika katika kazi ya fasihi andishi
- kusoma na kutambua wahusika katika shairi pamoja na sifa zake
-kueleza maana ya wahusika katika fasihi
-kujadili sifa za wahusika kama zinavyojitokeza katika shairi
-kusoma shairi na kutambua wahusika na sifa zao
Je, wahusika ni kina nani katika shairi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 110-111
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-kueleza -kusoma -kuandika -kutambua -Orodha hakiki
10 4
kusoma
kuandika
Kusoma kwa kina Ushairi Wahusika karika shairi
Barua rasmi Barua ya kuomba kazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma shairi na kichambua sifa za wahusika kama zinavyojitokeza
-kusoma shairi katika diwani iliyo teuliwa na mwalimu kisah ajadili sifa za wahusika katika shairi hilo ili kutathmini uelewa.
-Kusoma shairi na kichambua sifa za wahusika kama zinavyojitokeza katika shairi hilo
-kusoma shairi katika diwani teule na kujadili sifa za wahusika katika kikundi ili kutathimini uelewa.
Je sifa za wahusika katika shairi ni zipi?
-Kisw sahili gradi ya 9
Uk wa 112
-Matini ya mwalimu na mwanfunzi
Kisw sahihi gredi ya 9 uk wa 112-113
-matini ya mwali vifua vya kidijitali
-kusoma -kuchambua sifa -Kutathmini -Orodha hakiki
11 1
kuandika
Barua rasmi ya kuomba kazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwanfunzi aweze
-Kuadika barua rasmi ya kuomba kazi akizingatia ujumbe, muundo na lugha pamoja na vipengele muhimu katika daftari au kifaa cha kidijitali.
-kuwasomea wenzake barua aliyo iyandik ili waitolee maoni.
-kuandika barua rasmi ya kuomba kazi akifuata na kuzingatia vipengele muhimu na muundo na lugha ipasavyo.
-kusoma barua ilivyo iandika kwa wenzake ili waitolee maoni na kutathmini.
Je unapoadika barua rasmi huzingatia nini?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 114
Matini ya mwalimu
Kuandika barua rasmi kutathmini
11 2
sarufi
Vinyume vya vihusishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya vinyume vya vihusishi
-kutaja mifano ya vinyume vya vihusishi ili kutofautisha na vingine.
-kuambatanisha vihusishi na vinyume vyake katika jedwali
-kueleza maana ya vinyume vya vihusishi kwa kitafiti vitabuni
-kutaja mifano ya vinyume vya vihusishi ili kubaini na vingine.
Kuabatanisha katika jedwali vinyume na vihusishi vyake ipasavyo.
Je vinyume vya vihusishi ni vipi
Kiswa sahili gredi ya 9 uk wa 115-116
Matini ya mwalimu
Mabongo
Vifaa vya kidijitari
Kutafuta kueleza Kuambatasha Orodha hakiki
11 3
sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Vinyume vya vihusishi
Uzungumzaji katika sherehe
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vinyume vya vihusishi kwa kuvipigia mstari katika kifungu
-kisakira mtandaoni ili kutafuta vinyume zaidi
Aelekezwe kutabua vinyume vya vihusishi kwa kupigia mstari
-kuandika vinyume vya vihusishi villivyo pigiwa mstari katika daftari na kutunga sentensi.
Je utajuaje vinyume vya vihusishi
Uk wa 116
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 118-119
Matini ya mwalimu
picha
michoro
Kujaza pengo Kupigia mstari Kutunga sentensi
11 4
Kusikiliza na kuzungumza
Uzungumzanji katika sherehem
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwnafunzi aweze
-kusikiliza mazungumzo katika kifaa cha kidigitari au matini ya mwalimu na kutambua muktadha wa mazungumzo hayo
-kuigiza mazungumzo katika muktdha mbali mbali ya sherehe wanazozijua ili kutadhimini uelewa sherehe wanazozijua ili kutathmini ni uelewa
Mwanafunzi aelezwe
Kusikiliza mazungumzo katika kifaa cha kijiditali kisha kujibu maswali ipasavyo.
Kuigiza mazungumzo katika muktadha mbali mbali ya sherehe ili kutathmini ni uelewa
Je unazingatia nini unapozungumza katika sherehe
Kiswahili sahili gredi 9 uk wa 119
Matini ya mwalimu
mwanfunzi
Kisakira na kusikiliza Kujibu maswali Kuigiza mazungumzo
12 1
kusoma
Kusoma kwa mapana Matini ya kujichagulia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufikia mwaisho wa mada ndogo mwanfunzi aweze.
-kutambua matini mbali mbali anazoweza kusoma kwa kujichagulia
-kutambua vipengele vya kuzingatia wakati wa kuchagua matini ya kujisomea.
-ateue matini ifaayo ya kujisomea kama sayansi, historia , fasihi au michezo.
-kuchangamkia kusoma na kuchambua misamiati uliotumika kisha kuutungia sentensi.
Mwanafunzi aelezwe.
Kutambua matini mbalimbali anazoweza kusoma aidha katika mtandao au vitabuni.
-kutambua vipengele muhimu vya kuzingatia wakati wa kuchagua matini ya kijisomes.
-kuteua matini ifaayo ili kujisomea akizingatia, kiwango cha uelewa, lugha iliyotumika, inayomuutia.
-kuchangamkia kusoma na kuchambua msamiati uliotumika katika matini hizo kisha kutunga sentensi ama kusomea wenzake ili watathmini
Je unaposoma matini ya kujichagulia unazingatia nini
Kisw sahihi
Gredi ya 9 uk wa 119-120
-matini ya mwalimu
Vifaa vya kidijitari
Mwanfunzi
novela
Kutambua Kuchagua Kuteua Kusoma Kuchambua msamiati Kutunga sentensi
12 2
kuandika
Insha za kubuni maelezo
Insha za kubuni (maelezo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwanfunzi aweze
-kutambua mitazamo mbalimbali ya kuzingatia wakati wa kuandika isha ya maelezo
- Kusoma na kielelezo cha insha na kutambua mitazamo iliyoko katika insha hiyo
-kujadili mitazamo mbali mbali katika insha ya maelezo waliyoisoma
Mwanfunzi aelekezwe
-kutambua na kutaja mitazamo mbalimbali inayozingatiwa katika uandishi wa insha ya maelezo
- Kusoma na kutambua mitazamo katika kueleza hicho ili kubainisha.
-kujadili mitazamo mbali mbali katika insha ya kueleza na kuandika katika daftari zao
Je ni mitazamo gani unayozingatia
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 121
Matini ya mwalimu
kamusi
Kisw sahili gredi 9
Uk wa 122-123
Matini ya mwlimu
Vifaa vya kidijitali
Kutambua Kusoma Chambua kuandika
12 3
sarufi
Mnyambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendana
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo mwanfunzi aweze.
-Kueleza maana ya kauli ya kutendana
-kutoa mifano ya maneno katika kauli ya kutendana
-kutambua kwa kupigia mstari viabishi vya kauli ya kutendana katika matini mbali mbali
-kuchangamkia kitunga sentensi akitumia nomino ya kutendana
Mwanfunzi aelekezwe.
Kueleza maana ya kauli ya kutendana akitumia mtandao au vitabu
-kutaja mifano ya nomino katika kauli ya kutendana
-kutambua kwa kupigia mstari viabishi na nomino katika kauli ya kutendana
-kuchangamkia na kufyrahia kuandika vite na kutunga sentensi katika kauli ya kutendana ili kutathmini.
Je kiambishi cha kauli ya kutendana ni kipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 124
Kamusi
Vifaa vya kidijitali
Mabango
michoro
Kueleza Kutaja Kinyabua Kuandika Kutunga sentensi Kuandika vitenzi Orodha hakiki
12 4
sarufi
Kauli ya kutendeana
Mnyabuliko wa vitenzi kauli ya kutendesha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwanfunzi aelekezwe na aweze
-kueleza maana ya kauli ya kutendeana
-kutaja mifano ya nomino katika kauli ya kutendeana na kueleza viambishi vya kauli ya kutendeana.
-kutambua kwa kupigia mstari viambishi vya kauli ya kutendeana katika sentensi na kifungu.
-kuchangamkia kuandika vitenzi na sentensi ya kutendeana
Kueleza maana ya kauli ya kutendeana akitumia kamausi au mtandao
Kutaja vitenzi katika kauli ya kutendeana ili kuuibadilisha.
Kutambua kwa kupigia mstari viambishi vya kauli ya kutendeana katika sentensi na kufungucha maneno ipasavyo.
-kuandika vitenzi na kutunga sentensi katika kauli ya kutendeana ili kutathmini
Je viabishi vya kauli ya kutendeana ni vipi
Access
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 126-127
Matini ya mwalimu
Kamusi
Vifaa vya kidijitari
mabango
Kisw sahili gredi ya 9 uk 127-129
Matini ya mwalimu kamusi vifaa vya kidijitali mabango picha
Kueleza Kutaja Kutambua Kutinga Sentensi Kujaza pengo kusoma
13 1
Kusikiliza na kuzungumza
Matini ya kusikiliza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwanfunzi aweze.
-Kueleza maona ya matini ya kusikiliza
-kujadili vipengele vya kuzingatia katika matini ya kusikiliza.
-kusikiliza matini atakayosomewa na mwalimu kisha kujibu maswali yake ipasavyo kuhusu suala lengwa ili kutoa maoni
Mwanfunzi aelekezwe
-kusakira na kueleza maana ya matini ya kusikiliza
- kujadili vipengele muhimu vya kuzingatia katika uzikilizaji
-kusikiliza matini atakayosomewa na mwalimukisha kujibu maswali yake ipasavyo na kutolea maoni
Je vipengele vya usikilizaji ni vipi?
Kisw
Sahili
Gredi ya 9 uk wa 129-130
Matini ya mwalimu vifua vya kidijitari
Kueleza Kujadili Kuandika Kusikiliza Kujibu maswali
13 2
kusoma
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo mwanfunzi aweze
-kueleza vipengele vya kusoma kwa ufasaha ili kuelewa mada lengwa
-kusikiliza au kutazama video au televisheni ili kuona watu wakisoma Makala kwa ufasaha kisha kujadili vipengele vilivyotumika katika usomaji
-kusoma kifungu kwa zamu akizingatia vipengele vya kusoma kwa ufasaha ili kutathmini usomaji wake
Mwanfunzi aelekezwe
-kutanja na kueleza vipengele vinavyozingatiwa ili kusoma kwa ufasaha
-kusikiliza video au kutazama runinga ili kuona watu wakisoma kwa ufasaha katika miktadha mbali mbali na kuchambua vipengele vilivyotumika.
-kufurahia kusoma kifungu kwa zamu huku akizingatia vipengele muhimu inavyostahili wenzake watathmini usomaji wake.
Je vipengele vya kuzingatiwa unaposoma kwa ufasaha ni vipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 131-132.
Matini ya mwalimu vifaa vya kidigitari
runinga
Iweleza Kusoma Kusikiliza Kujibu maswali
13 3
kuandika
Hotuba ya kushawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- ndogo .
-kueleza maana ya hotumba ya kishawishi ili kutofautisha na zingine.
-kujadili vipengele vya kuzingatia katika uandishi wa hotuba ya kishwawishi.
-kusoma kielezo cha hotuba yakushawishi huku akizingatia vipengele vya kushawishi vilivyotumika.
-kujadili vidokeza vya kuandika hotumba ya kushawishi kuhusu suala lengwa
Mwanfunzi aelekezwe
-kueleza maana ya hotuba ya kushawishi ili kutofautisha na zingine
Kujadili pamoja na wenzake vipengele vinavyozingatiwa katika uandishi wa hotumba ya kushawioshi
-kusoma kielezo cha hotuba ya kushawishi akichambua vipengele vilivyotumika
-kujadili vidokezo muhimu vya kuudaamwanfunzi ili aandike hotuba ya kushawishi kuhusu suala lengwa
Je vipengele vya kusingatia katika uandishi wa houmba ya kishawishi ni vipi?
Access
Kiswa sahili gredi ya 9 uk wa 133-134
Matini ya mwalimu
Vifaa vya kidigitari
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 135.
Kueleza Kujadili Kusoma kielelezo
13 4
Sarufi
Aina ya sentensi Sentensi tata
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwanfunzi aweze
-kusoma aina za sentensi ili kubainisha sentensi tata.
-kutoa sentensi zingine zenye maana Zaidi ya moja na kueleza maana ya sentensi tata
-kutambua sentensi tata katika matini mbali mbali.
-kuchangamkia kutunga sentensi tata na kuwasomea wenzano ili kutathmini uelewa.
- kusoma aina mbali mbali za sentensi si tata
-Kutaja sentensi tata ili kueleza maana na kuzitofautisha baina ya zingine.
kutambua na kuziandika sentensi tata katika matini mbali mbali.
Kuchangamkia Kutunga sentensi tata na kuwasomes wenzao ili Kutathmini uelewa
Je sentensi tata zina maana gani?
Kisw sahili
Gredi ya 9 uk wa 136-137
Matini ya mwalimu
Vifaa vya kidigitali
Picha na michoro
Kusoma ili kubainisha Kutaja sentensi Kutambua Kutunga sentensi kutathmini

Your Name Comes Here


Download

Feedback