If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 5 |
Sarufi
|
‘A’ Unganifu
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu. Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino. Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu. |
Kusoma
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23
|
|
2 | 1 |
Sarufi
|
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Viashiria visisitizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya ‘O’ rejeshi. Kutumia ‘O’ rejeshi katika sentensi. Kujibu maswali kwa usahihi. |
Kusoma
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 24-25
|
|
2 | 2 |
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza |
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua kwa mhariri Kusoma mfano kitabuni na gazetini kisha kufafanua sifa bainifu. Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi. |
Kueleza
Kujadili Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Magazeti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 28-29
|
|
2 | 3 |
Sarufi
|
Vivumishi kwa pekee
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya pekee. Kufafanua matumizi ya vivumishi vya pekee. Kubainisha matumizi ya vivumishi vya pekee. |
Maelezo
Ufafanuzi Majadiliano Uchunguzi Uvumbuzi Kazi ya vikundi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 33-38
|
|
2 | 4 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maswala ibuka. Kusoma makala yanayohusu afya ya na Ukimwi. Kujibu maswali yanahosu makala. |
Usomaji
Maelezo Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 38-39
|
|
2 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu |
Maamkizi na Mazungumzo
Umoja wa Kitaifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kupambanua lugha (sajili) ya mazungumzo kitabuni. Kutambua hasara za utengano. Kueleza msamiati mpya na kujibu maswali kwa usahihi. |
Kueleza
Kusoma kwa sauti Kuigiza Kujadili ujumbe na muundo Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 42-43
|
|
3 | 1 |
Sarufi
Kusoma |
Vielezi
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza dhana ya vielezi. Kueleza aina za vielezi. Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi. |
Maelezo
Ufafanuzi Maswali na majibu Ufafanuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 44-48
|
|
3 | 2 |
Kuandika
|
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya isimujamii. Kufafanua maana ya sajili katika lugha. Kuigiza mazungumzo. |
Kusoma
Kuigiza Kujadili Kusikiliza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 51-52
|
|
3 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
Fasihi Simulizi; Ulumbi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya utani. Kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni. Kutaja aina za utani. Kutunga utani mbalimbali. |
Kutamka
Kueleza Kujadili Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 52-53
|
|
3 | 4 |
Sarufi
Kusoma |
Viwakilishi (W)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja aina za viwakilishi. Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi. Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuandika Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 56-60
|
|
3 | 5 |
Kuandika
|
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa mazungumzo. Kusoma mfano kitabuni na kufafanua kimtindo na ujumbe. Kuandika insha ya mazungumzo kwa njia ifaayo. |
Kueleza
Kujadili Kuandika Kuigiza mazungumzo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 62-63
|
|
4 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi |
Isimujamii; Mahakamani
Mwingiliano wa Maneno |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani. Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani. Kusoma kifungu na kujibu maswali. |
Kudodosa
Kusoma Kujadili Kuigiza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 64-65
|
|
4 | 2 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo. Kueleza umuhimu wa vyombo za habari. Kuandika makala yatakayosomwa katika kipindi kimojawapo cha redio. |
Maswali ya dodoso
Kusoma Kujadili Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Redio na vinasa sauti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 71
|
|
4 | 3 |
Sarufi
Kuandika |
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha mizizi ya vitenzi. Kutambua viambishi awali na tamati. Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue. |
Kueleza
Kutunga sentensi Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 74-75
|
|
4 | 4 |
Kusoma
|
Shairi
Nyuki nimekoni?
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma shairi |
Kusoma
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 93-94
|
|
4 | 5 |
sarufi
Kusoma |
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi Mafano Shuka- panda Nuka-nukia Lala-amka Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha |
Kuchanganua
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
|
|
5 | 1 |
kuandika
Fasihi |
Ratiba
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya ratiba -kuandika kwa makini -kuandika insha nzuri ya maelezo |
kuandika
|
Kitabu
Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 uk 100-101 |
|
5 | 2 |
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza |
Dini ya ulimwengu
Visasili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu -kupanua msamiati wake |
kusoma
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
|
|
5 | 3 |
sarufi
|
Uundaji wa nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni kutaja aina mbalimbali za sentensi mifano- samehe, abiri, husudu |
Kutaja
Kueleza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
|
|
5 | 4 |
sarufi
Kuandika |
Uundaji wa nomino
Uandishi wa insha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni -kutaja aina mbalimbali za sentensi mifano- samehe, abiri, husudu |
- Kusoma
Kueleza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110
|
|
5 | 5 |
Fasihi
Kusoma Marudio |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kukandamizwa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuchambua wahusika mbalimbali na ngazi zao -kueleza sifa za wahusika |
- Kusoma
Kuchambua |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 1 |
2
Kusikiliza na kuzungumza |
sarufi
Fasihi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai Anian mbalimbali ya virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi Virai vielezi Kirai kivumishi Virai vihusishi |
-kusoma - kutaja mifano
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk
|
|
6 | 2 |
Kuandika
|
Ushairi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo |
- Maelezo
-Kuandika |
kitabu cha mwanafunzi
|
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
|
|
6 | 3 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya matanikio hayo |
- Uchambuzi
Majadiliano |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 4 |
Kusoma
2 |
Kukandamizwa
sarufi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa |
- Kueleza
Kutaja Mifano |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
|
|
6 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika |
Fasihi simulizi
Ushairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano |
Maelezo
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
|
|
7 | 1 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya matanikio hayo |
- Uchambuzi
Majadiliano |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 2 |
Fasihi
kusoma |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
mchezo wa kuigiza |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya udhaifu huo |
- Uchambuzi
Majadiliano |
Hadithi fupi
kamusi Kitabu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi |
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
vishazi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa Kujibu maswali |
Kuandika
Kutunga sentensi Kusoma |
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
|
|
7 | 4 |
Kuandika
Fasihi andishi |
wasifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika wasifu kutoa mifano tawasifu na wasifukazi |
- Kuandika
Kutunga sentensi |
Kitabu
Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
|
|
7 | 5 |
Fasihi
andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V -kuandika muhtasari wa onyesho hilo |
Kusoma kwa zamu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
8 |
Midterm exam |
|||||||
9 |
Halfterm break |
|||||||
10 | 1 |
Kusoma
Kusikiliza na kuongea |
mhepa
Miviga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
- Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
|
|
10 | 2 |
sarufi
kuandika |
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi |
Maelezo
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
|
|
10 | 3 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
10 | 4 |
Fasihi andishi
Kusoma |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
mhepa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusoma kwa zamu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kitabu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
10 | 5 |
Kusikiliza na kuongea
sarufi |
Miviga
setensi ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
|
|
11 | 1 |
kuandika
Fasihi |
utungaji wa kiuamilifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
|
|
11 | 2 |
Fasihi andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusoma kwa zamu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy AregeI.
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
11 | 3 |
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea |
Haki zetu binadamu
maigizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari -kujibu vilivyo maswali ya ufahamu |
Kutaja
kueleza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
|
|
11 | 4 |
sarufi
Kuandika |
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili |
Mjadala
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
|
|
11 | 5 |
Fasihi simulizi
Fasihi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio |
Kusoma
kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
12 | 1 |
Ufahamu
|
Haki zetu binadamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari -kujibu vilivyo maswali ya ufahamu |
Kutaja
kueleza |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
|
|
12 | 2 |
Kuzikiliza na kuongea
sarufi |
maigizo
aina za sentensi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani |
Kuchambua
|
kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
|
|
12 | 3 |
Kuandika
Fasihi simulizi |
utungaji wa kiuamilifu
kumbukumbu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu |
Kusoma
kuandika |
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
|
|
12 | 4 |
Fasihi
Fasihi andishi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
- Kusoma
Kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
12 | 5 |
Fasihi
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
13 |
Endterm exam |
|||||||
14 |
Marking/closure |
Your Name Comes Here