Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1 5
Sarufi
‘A’ Unganifu
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu.
Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino.
Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23
2 1
Sarufi
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Viashiria visisitizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya ‘O’ rejeshi.
Kutumia ‘O’ rejeshi katika sentensi.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 24-25
2 2
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua kwa mhariri
Kusoma mfano kitabuni na gazetini kisha kufafanua sifa bainifu.
Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 28-29
2 3
Sarufi
Vivumishi kwa pekee
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya pekee.
Kufafanua matumizi ya vivumishi vya pekee.
Kubainisha matumizi ya vivumishi vya pekee.
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Uchunguzi
Uvumbuzi
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 33-38
2 4
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maswala ibuka.
Kusoma makala yanayohusu afya ya na Ukimwi.
Kujibu maswali yanahosu makala.
Usomaji
Maelezo
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 38-39
2 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu
Maamkizi na Mazungumzo
Umoja wa Kitaifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kupambanua lugha (sajili) ya mazungumzo kitabuni.
Kutambua hasara za utengano.
Kueleza msamiati mpya na kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza
Kusoma kwa sauti
Kuigiza
Kujadili ujumbe na muundo
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 42-43
3 1
Sarufi
Kusoma
Vielezi
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza dhana ya vielezi.
Kueleza aina za vielezi.
Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Ufafanuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 44-48
3 2
Kuandika
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya isimujamii.
Kufafanua maana ya sajili katika lugha.
Kuigiza mazungumzo.
Kusoma
Kuigiza
Kujadili
Kusikiliza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 51-52
3 3
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
Fasihi Simulizi; Ulumbi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya utani.
Kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni.
Kutaja aina za utani.
Kutunga utani mbalimbali.
Kutamka
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 52-53
3 4
Sarufi
Kusoma
Viwakilishi (W)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja aina za viwakilishi.
Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi.
Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 56-60
3 5
Kuandika
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa mazungumzo.
Kusoma mfano kitabuni na kufafanua kimtindo na ujumbe.
Kuandika insha ya mazungumzo kwa njia ifaayo.
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kuigiza mazungumzo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 62-63
4 1
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Isimujamii; Mahakamani
Mwingiliano wa Maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani.
Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani.
Kusoma kifungu na kujibu maswali.
Kudodosa
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 64-65
4 2
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo.
Kueleza umuhimu wa vyombo za habari.
Kuandika makala yatakayosomwa katika kipindi kimojawapo cha redio.
Maswali ya dodoso
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Redio na vinasa sauti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 71
4 3
Sarufi
Kuandika
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha mizizi ya vitenzi.
Kutambua viambishi awali na tamati.
Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue.
Kueleza
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 74-75
4 4
Kusoma
Shairi Nyuki nimekoni?
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma shairi
Kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 93-94
4 5
sarufi
Kusoma
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
Kuchanganua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
5 1
kuandika
Fasihi
Ratiba
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya ratiba
-kuandika kwa makini
-kuandika insha nzuri ya maelezo
kuandika
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 uk 100-101
5 2
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
Dini ya ulimwengu
Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
5 3
sarufi
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
5 4
sarufi
Kuandika
Uundaji wa nomino
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
-kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
-          Kusoma
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110
5 5
Fasihi
Kusoma Marudio
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kukandamizwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuchambua wahusika mbalimbali na ngazi zao
-kueleza sifa za wahusika
-          Kusoma
Kuchambua
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 1
2
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Anian mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-kusoma            - kutaja mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk
6 2
Kuandika
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
-Kuandika
kitabu cha mwanafunzi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
6 3
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya matanikio hayo
-          Uchambuzi
Majadiliano
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 4
Kusoma
2
Kukandamizwa
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
6 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Fasihi simulizi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
7 1
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya matanikio hayo
-          Uchambuzi
Majadiliano
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 2
Fasihi
kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya udhaifu huo
-          Uchambuzi
Majadiliano
Hadithi fupi
kamusi
Kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 3
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
vishazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa
Kujibu maswali
Kuandika
Kutunga sentensi
Kusoma
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
7 4
Kuandika
Fasihi andishi
wasifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika wasifu
kutoa mifano
tawasifu na wasifukazi
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
7 5
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V
-kuandika muhtasari wa onyesho hilo
Kusoma kwa zamu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
8

Midterm exam

9

Halfterm break

10 1
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
mhepa
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
10 2
sarufi
kuandika
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
10 3
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
10 4
Fasihi andishi
Kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
mhepa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
10 5
Kusikiliza na kuongea
sarufi
Miviga
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
11 1
kuandika
Fasihi
utungaji wa kiuamilifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
11 2
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy AregeI. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
11 3
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea
Haki zetu binadamu
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Kutaja
kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
11 4
sarufi
Kuandika
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Mjadala
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
11 5
Fasihi simulizi
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio
Kusoma
kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
12 1
Ufahamu
Haki zetu binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Kutaja
kueleza
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
12 2
Kuzikiliza na kuongea
sarufi
maigizo
aina za sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo
kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani
Kuchambua
kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
12 3
Kuandika
Fasihi simulizi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu
Kusoma
kuandika
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
12 4
Fasihi
Fasihi andishi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
-          Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
12 5
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
13

Endterm exam

14

Marking/closure


Your Name Comes Here


Download

Feedback