If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Matamshi bora: sauti tatanishi /b/ na /mb/
Isimu jamii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutamka sauti /b/ na /mb/ vizuri Kutunga senetensi kwa kutumia maneno yenye sauti hizi kueleza maana ya isimu jamii kuigiza mazungumzo yalivyotumika katika isimu jamii kutaja mifano ya msamiati |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 1-3) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
2 | 6 |
Kusoma ufahamu
Sarufi |
urafiki
Mofimu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kusoma ufahamu na kuelezeamtirirko wa matukio Kujibu maswali kuhusu ufahamu Kutambua na kueleza maana ya misamiati yaliyotumika katika ufahamu kueleza maana ya urafiki na Madhumuni ya urafiki |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk3_5) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 1 |
Sarufi
Kusoma |
Viambishi
Kusoma kwa kina |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya viambishi Kutambua aina za viambishi Kutumia viambishi vyema katika sentensi |
Kusoma
Maswali na majibu Majadiliana Kuandika |
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kitabu Cha Mashairi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 7-9) |
|
3 | 2 |
Kusoma
Kuandika |
kusoma
Utungaji wa kisanii-mchezo wa kuigiza |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano. Kueleza mtindo katika tamthilia. Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia. |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu Sarufi |
Matamshi bora
Magonjwa Aina za maneno-nomino |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutamka matamshi tatanishi /la/, /na/ na /ra / sahihi Kuigiza mazungumzo kati ya jopo na mtafuta kazi Kutambua vitu muhimu vinavyozingatiwa katika mahojiano |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 14-15) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 4 |
Kusoma
Kuandika |
Matumizi ya kamusi
Utangaji wa kuamilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua sifa za kamusi Kutumia kamusi kutoa maelezo ya maneno fiche |
Maelezo
Majibu na maswali kuandika Mazungumzo |
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 20-21) |
|
3 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
fasihi simulizi |
Matamshi bora-sauti tatanishi /g/ na /ng/
vitendawili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutamka maneno yaliyo na sauti tatanishi /g/ na /ng/ Kutumia maneno yenye sauti hizi katika mazungumzo na sentensi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 23) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 6 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi |
vitendawili
Aina za maneno-vivumishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma ufahamu na kujibu maswali Kuelezea mtiririko wa matukio katika taarifa |
Kusoma
Maswali na majibu Majadiliana Kuandika |
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kitabu Cha Mashairi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 26-29) |
|
4 | 1 |
Kusikiliza na na kuzungumza
|
Fasihi simulizi-hadithi
Tanakali za sauti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua aina za hadithi Kutaja dhima na madhumuni ya hadithi za kale Kueleza sifa za hadithi za kale Kusoma aina ya hadithi katika kitabu cha wanafunzi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 43-49) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 | 2 |
Sarufi
Kusoma kwa kina Kusikiliza na kuzungumza |
Vivumishi 2
Riwaya Matamshi bora |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutaja aina za vivumishi Kutoa mifano ya aina yote ya vivumishi Kutumia vivumishi vyema katika sentensi |
Maelezo
Majibu na maswali kuandika Mazungumzo |
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 52-69) |
|
4 | 3 |
Kusoma
Sarufi |
Kajinga Acheza na Sensa
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma ufahamu na kueleza mtiririko wa matukio Kujibu maswali kuhusu ufahamu |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 75-78) |
|
4 | 4 |
Kusoma
Kuandika |
Lugha, utamaduni na katiba
Uandishi wa insha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma Makala katika kitabu cha mwanafunzi Kutabiri matukio katika Makala kabla ya kusoma Kutambua misamiati yaliyotumika katika Makala Kujibu maswali kuhusu Makala |
Maelezo
Majibu na maswali kuandika Mazungumzo |
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk82-84) |
|
4 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Matamshi bora -vitate vya sauti /b/ na /p/
Isimu jamii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya vitate Kutaja maneno yaliyo na vitate vya sauti /b/ na /p/ |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(up 87-88) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 | 6 |
Kusoma
Sarufi Kusoma kwa kina |
Ripoti kuhusu ukimwi
Aina za maneno-vitenzi vishirikishi ushairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya ripoti Kufafanua ripoti Kutambua vipengele muhimu katika uandishi wa ripoti |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mashairi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 89-91) |
|
5 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Utungaji wa kiuaminifu -barua simu
Matamshi bora; vitate /s/ na /sh/ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya barua simu Kutaja mambo yanayozingatiwa katika uandishi wa barua simu Kuandika barua simu |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 97-98) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
5 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma |
Isimu jamii
Kusoma kwa kina-shairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza sifa za mazungumzo katika kituo cha polisi Kuigiza mazungumzo katika kituo cha polisi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 100-102) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
5 | 3 |
Kuandika
|
Utungaji wa kiuamilifu-matangazo
Dayolojia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua madhumini ya matangazo Kuandika matangazo Kutaja mambo muhimu ya kuzingaitiwa katika uandishi wa matangazo Kutaja njia za kupitisha matangazo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 111-115) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
5 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu |
Vitate vya sauti /s/ na /z/
Kusoma dondoo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua vitate vya sauti /s/ na /z/ na kuvitumia vyema katika sentensi. Kueleza maana ya vitanza ndimi. Kutambua na kutamka vitanza ndimi vyema. Kujibu maswali kutoka kwa Makala ya haki za Watoto kikamilifu |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk118-120) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
5 | 5 |
Kuandika
Kusoma kwa ufahamu Sarufi |
Ratiba
Ushairi -Usafi Vielezi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya ratiba. Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika ratiba. Kuandika ratiba . Kueleza maana ya hotuba. Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa rotuba |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk132-134) |
|
5 | 6 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Taarifa
Fasihi simulizi-maigizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya taarifa. Kutaja na kujadili sifa za taarifa. Kuandika taarifa kuhusu hali ya ukame. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk144) |
|
6 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Risala
Ushairi simulizi-nyimbo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kuleza maana ya risala. kujadili matumizi ya risala kutambua mifano ya risala. Kuandika risala |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk175-176) |
|
6 | 2 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi |
Ushairi -Mrija
Vinyume vya vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya mrija. Kujadili muundo wa shairi Kukariri shairi lenye mada mrija |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk182-183) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
6 | 3 |
Kusoma kwa mapana
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Jinsia
Utungaji wa kisanii Fasihi simulizi-methali |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya jinsia Kusoma Makala yeyote kuhusu jinsia. Kutaja vitu muhimu yaliyojadiliwa kuhusu jinsia |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk185) |
|
6 | 4 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi |
Ajira ya watoto
Nyakati-hali ya ukanushaji |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutabiri matukio katika ufahamu. Kusoma ufahamu katika kitabu cha mwanafunzi kuhusu ajira ya Watoto. Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 190-192) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
6 | 5 |
Kusoma kwa mapana
Kuandika |
Kusoma maktabani
Barua rasmi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kujadili kusoma maktabani. Kufanya utafiti kuhusu mazingira |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 200) |
|
6 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu |
Fasihi simulizi-Hekaya
Lubigisa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya hekaya. Kusoma hekaya kwenye kitabu cha mwanafunzi |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 205-206) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
7 | 1 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Sentensi ya kiswahili
Umoja wa kitaifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutaja na kujadili aina tofauti ya sentensi. Kutoa mifano ya aina mbali mbali ya sentensi. Kutunga sentensi tofauti kotaka kwa maneno waliyopewa. Kujibu maswali kuhusu aina ya sentensi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk209-211) |
|
7 | 2 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma kwa ufahamu |
Uandishi wa kawaida-Muhtasari
Ushairi simulizi Taarifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya muhtasari. Kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa muhtasari. Kuandika muhtasari ya kisa cha Lubigisa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk212) |
|
7 | 3 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Mnyambuliko wa vitenzi
Afya |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa. Nyambua vitenzi ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 215-217) |
|
7 | 4 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Utungaji wa kiuamilifu
Majadiliano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutaja umuhimu wa orodha ya mambo. Kutaja na kueleza mikondo inayofuatwa katika uandishi wa orodha ya mambo. Kutengeneza orodha ya mambo. Eleza maana ya shajara Kutengeneza shajara ya siku. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 218-220) |
|
7 | 5 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi |
Nidhamu
Uakifishaji |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu . Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. Kueleza mtindo wa shairi hilo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
7 | 6 |
Kusoma kwa mapana
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Maadili
Uandishi wa Insha - Methali Redio/Kanda za kunasia sauti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya maadili. Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana. Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa. Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230) |
|
8 | 1 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi |
Shairi-Njaa nipishe na kando
Usemi halisi na usemi wa taarifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma Shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi ..Njaa nipishe na kando Kujadili mtindo wa shairi hilo. Kueleza maana ya misamiati yaliyotumiwa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231-233) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
8 | 2 |
Kusoma kwa mapana
Kuandika |
Jana si leo
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi ..Jana si leo. Kueleza alichojifunza kutoka kwa taarifa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 235-236) |
|
8 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu |
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba
Safari yenye hatari |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya hotuba. Kujadili umuhimu wa hotuba. Kutambua na kujadili sehemu mbalimbali ya hotuba. Kusoma hotuba kwenye kitabu cha mwanafunzi. |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 241-242) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
8 | 4 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Uundaji wa maneno
Matumizi ya tarakilishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kujadili uundaji wa nomino kutokana na kitenzi. Kuunda nomino kutokana na nomino. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 245-246) |
|
8 | 5 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma kwa ufahamu |
Imla
Daktari na mgonjwa Shairi-Kwaheri tunakuaga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya Imla. Kuandika kwa usahihi kifungu isomwayo na mwalimu. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 248) |
|
8 | 6 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Ukubwa na udogo
Matumizi ya kamusi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua umoja na wingi wa nomino. Kutumia umoja na wingi vyema katika sentensi. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 251-256) |
|
9 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza (Marudio0 |
Uandishi wa kawaida
Majadiliano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya imla mchanganyiko. Kuandika sentensi wasomewayo na mwalimu. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 257) |
|
9 | 2 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi Kusoma kwa mapana Kuandika |
Nidhamu
Uakifishaji Maadili Uandishi wa Insha - Methali |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu . Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. Kueleza mtindo wa shairi hilo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
Your Name Comes Here