Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA PILI
MWAKA WA 2025
MUHULA WA III

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1 2
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora: sauti tatanishi /b/ na /mb/ Isimu jamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka sauti /b/ na /mb/ vizuri
Kutunga senetensi kwa kutumia maneno yenye sauti hizi
kueleza maana ya isimu jamii
kuigiza mazungumzo yalivyotumika katika isimu jamii
kutaja mifano ya msamiati
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 1-3)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 3
Kusoma ufahamu
Sarufi
urafiki
Mofimu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kusoma ufahamu na kuelezeamtirirko wa matukio
Kujibu maswali kuhusu ufahamu
Kutambua na kueleza maana ya misamiati yaliyotumika katika ufahamu
kueleza maana ya urafiki na Madhumuni ya urafiki
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk3_5)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 4
Sarufi
Viambishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya viambishi
Kutambua aina za viambishi
Kutumia viambishi vyema katika sentensi
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 7-9)
1 5
Kusoma
Kusoma kwa kina
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuelezea vipengele muhimu za fasihi
Kuelezea maana ya tamthilia
Kusoma tamthilia na kujibu maswali
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 9-12)
2 1
Kusoma
kusoma
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano.

Kueleza mtindo katika tamthilia.

Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia.
Kusoma

Kueleza

Kujadili

Kuandika

Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi

Mwongozo Wa Mwalimu

Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
2 2
Kusoma kwa ufahamu
Kuandika
Magonjwa
Utangaji wa kuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutabiri matukio katika ufahamu
Kutaja aina ya magonjwa
Kusoma ufahamu na kutambua misamiati yaliyotumika na maana
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk16-17)
2 3
fasihi simulizi
vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja vitendawili
Kutambua sifa na dhima za vitendawili
Kutambua matumizi ya vitendawili
Kueleza dhima, sifa na mifano ya chemsha bongo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 24-26)
2 4
Kusoma kwa ufahamu
vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ufahamu na kujibu maswali
Kuelezea mtiririko wa matukio katika taarifa
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 26-29)
2 5
Kusoma
Kajinga Acheza na Sensa
Lugha, utamaduni na katiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ufahamu na kueleza mtiririko wa matukio
Kujibu maswali kuhusu ufahamu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 75-78)
3 1
Kuandika
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua muundo unaozingatiwa katika uandishi wa insha
Kueleza mambo muhimu yakuzingatiwa katika uandishi wa insha
Kuandika insha
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 84-86)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 2
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora -vitate vya sauti /b/ na /p/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vitate
Kutaja maneno yaliyo na vitate vya sauti /b/ na /p/
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(up 87-88)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 3
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuigiza mazungumzo kati ya deti na mhudumu
Dondoa misamiati ya heshima yaliyotumika katika mazungumzo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 88-89)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 4
Kusoma
Kuandika
Ripoti kuhusu ukimwi
Utungaji wa kiuaminifu -barua simu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ripoti
Kufafanua ripoti
Kutambua vipengele muhimu katika uandishi wa ripoti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 89-91)
3 5
Kusoma kwa ufahamu
Kusoma dondoo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma dondoo katika kitabu cha mwanafunzi vyema.
Kueleza mtiririko wa mtukio katika dondoo.
Kutambua wahusika katika dondoo.
Kujiu maswali sahihi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk120-122)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 1
Kusoma kwa mapana
Janga la ukimwi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma kifungu lenye mada Janga la ukimwi.
Kujadili matukio katika kifunguu kicho.
Kujibu maswali kuhusu kifungu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk130-132)
4 2
Kuandika
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ratiba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika ratiba.
Kuandika ratiba .
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa rotuba
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk132-134)
4 3
Kusoma kwa mapana
Kusikiliza na kuzungumza
Hadithi fupi
Mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hadithi fupi.
Kutaja na kujadili sifa za hadithi fupi.
Kutaja mambo muhumu katika uandishi wa hadithi fupi..
Kuandika hadithi fupi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk143)
4 4
Kusoma kwa ufahamu
Kusoma taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwnafunzi.
Kujadili taarifa kwa kina.
Kutaja aina mbalimbali ya vyakula
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk155-157)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 5
Kuandika
Resipe
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya resipe.
Kujadili matumizi ya resipe.
Kueleza mambo ya kuzingatiwa katika uundaji wa resipe.
Kuunda resipe
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk164-165)
5 1
Kusoma kwa ufahamu
Kuandika
Tarakilishi
Risala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya tarakilishi.
Kutambua mifano ya tarakilishi.
Kusoma Makala kuhusu tarakilishi.
Kujibu maswali kuhusu Makala hiyo sahihi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk170-172)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 2
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi-methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Eleza maana ya methali.
Kueleza sifa za methali.
Kutaja mifano ya methali kuu.
Kujadili dhima ya methali
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 187-190)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 3
Kuandika
Barua rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya barua rasmi.
Taja sehemu tofauti za barua rasmi.
Kutambua na kueleza miundo tofauti za barua rasmi.
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia miundo tofauti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 200-204)
5 4
Kusoma kwa mapana
Umoja wa kitaifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutafuta ujumbe kuhusu umoja wa kitaifa
Kutaja manufaa ya umoja wa kimataifa.
Kueleza jinsi ambavyo umoja wa kitaifa inaweza kufanikishwa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk212)
5 5
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Uandishi wa kawaida-Muhtasari
Ushairi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya muhtasari.
Kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa muhtasari.
Kuandika muhtasari ya kisa cha Lubigisa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk212)
6 1
Kusoma kwa ufahamu
Taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma tarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 214-215)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 2
Sarufi
Mnyambuliko wa vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa.
Nyambua vitenzi ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 215-217)
6 3
Kusoma kwa mapana
Afya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi.
Kueleza mtiririko wa matukia katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 217- 218)
6 4
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Utungaji wa kiuamilifu
Majadiliano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja umuhimu wa orodha ya mambo.
Kutaja na kueleza mikondo inayofuatwa katika uandishi wa orodha ya mambo.
Kutengeneza orodha ya mambo.
Eleza maana ya shajara
Kutengeneza shajara ya siku.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 218-220)
6 5
Kusoma kwa ufahamu
Nidhamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 1
Kusoma kwa mapana
Maadili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230)
7 2
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Uandishi wa Insha - Methali
Redio/Kanda za kunasia sauti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230)
7 3
Kusoma kwa ufahamu
Shairi-Njaa nipishe na kando
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi ..Njaa nipishe na kando
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza maana ya misamiati yaliyotumiwa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231-233)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 4
Kusoma kwa mapana
Jana si leo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi ..Jana si leo.
Kueleza alichojifunza kutoka kwa taarifa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 235-236)
7 5
Kuandika
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mualiko.
Kutambua sifa za mialiko.
Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko.
Kuandika barua ya mualiko.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 237-240)
8 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba
Safari yenye hatari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kujadili umuhimu wa hotuba.
Kutambua na kujadili sehemu mbalimbali ya hotuba.
Kusoma hotuba kwenye kitabu cha mwanafunzi.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 241-242)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8 2
Kusoma kwa mapana
Matumizi ya tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya tarakilishi.
Taja aina ya tarakilishi.
Kutambua matumizi ya tarakilishi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 247-248)
8 3
Kuandika
Imla
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya Imla.
Kuandika kwa usahihi kifungu isomwayo na mwalimu.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 248)
8 4
Kusikiliza na kuzungumza
Daktari na mgonjwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuugiza mazungumzo kati ya daktari na mgonjwa.
Kutaja sifa za lugha ya mgonjwa na daktari.
Kujadili uhusiano kati ya mgonjwa na daktari.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 249-250)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8 5
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Shairi-Kwaheri tunakuaga
Ukubwa na udogo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi .
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza dhamira ya mwandishi wa shairi.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 250-251)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
9 1
Kusoma kwa mapana
Matumizi ya kamusi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza jinsi ya kutumia kamusi.
Kutambua matumizi ya kamusi.
Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 257)
9 2
Kuandika
Uandishi wa kawaida
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya imla mchanganyiko.
Kuandika sentensi wasomewayo na mwalimu.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 257)
9 3
Kusikiliza na kuzungumza (Marudio0
Kusoma kwa ufahamu
Majadiliano
Nidhamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
9 4
Kusoma kwa mapana
Maadili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230)
9 5
Kuandika
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230)

Your Name Comes Here


Download

Feedback