If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Ushairi simulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya shairi simulizi. Kukariri shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi wimbo wa uchumba. Kutafsiri maana ya wimbo huo. |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk213) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
1 | 4 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Taarifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma tarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho. Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 214-215) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
1 | 5-6 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Mnyambuliko wa vitenzi
Afya |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa. Nyambua vitenzi ipasavyo. somo ; Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi. Kueleza mtiririko wa matukia katika taarifa. Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 215-217) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 217- 218) |
|
2 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Utungaji wa kiuamilifu
Majadiliano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutaja umuhimu wa orodha ya mambo. Kutaja na kueleza mikondo inayofuatwa katika uandishi wa orodha ya mambo. Kutengeneza orodha ya mambo. Eleza maana ya shajara Kutengeneza shajara ya siku. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 218-220) |
|
2 | 2 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Nidhamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu . Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. Kueleza mtindo wa shairi hilo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
2 | 3 |
Sarufi
|
Uakifishaji
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya uakifishaji. Kutambua na kueleza matumizi ya alama za uakifishaji. Kuakifisha sentensi husika ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 226-227) |
|
2 | 4 |
Kusoma kwa mapana
|
Maadili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya maadili. Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana. Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa. Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230) |
|
2 | 5-6 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Uandishi wa Insha - Methali
Redio/Kanda za kunasia sauti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali. Kujadili utunzi wa insha. Kuandika insha ya methali yeyote. somo ; Kutaja umuhimu wa redio. Kutambua vipindi tofauti vya redio na runinga. Kujadili ujumbe yanayojadiliwa katika vipindi hivi. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika Majadiliano Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 231) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 1 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Shairi-Njaa nipishe na kando
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma Shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi ..Njaa nipishe na kando Kujadili mtindo wa shairi hilo. Kueleza maana ya misamiati yaliyotumiwa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231-233) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 2 |
Sarufi
|
Usemi halisi na usemi wa taarifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Eleza maana ya usemi halisi. Kutaja matumizi ya usemu halisi katika sentensi. Eleza maana ya usemi wa taarifa. Kutambua matumizi ya usemi wa taarifa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 233-235) |
|
3 | 3 |
Kusoma kwa mapana
|
Jana si leo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi ..Jana si leo. Kueleza alichojifunza kutoka kwa taarifa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 235-236) |
|
3 | 4 |
Kuandika
|
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya mualiko. Kutambua sifa za mialiko. Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko. Kuandika barua ya mualiko. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 237-240) |
|
3 | 5-6 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu Sarufi |
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba
Safari yenye hatari Uundaji wa maneno |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya hotuba. Kujadili umuhimu wa hotuba. Kutambua na kujadili sehemu mbalimbali ya hotuba. Kusoma hotuba kwenye kitabu cha mwanafunzi. somo ; Kujadili uundaji wa nomino kutokana na kitenzi. Kuunda nomino kutokana na nomino. |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo Maswali dodoso Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 241-242) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 245-246) |
|
4 | 1 |
Kusoma kwa mapana
|
Matumizi ya tarakilishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya tarakilishi. Taja aina ya tarakilishi. Kutambua matumizi ya tarakilishi. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 247-248) |
|
4 | 2 |
Kuandika
|
Imla
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya Imla. Kuandika kwa usahihi kifungu isomwayo na mwalimu. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 248) |
|
4 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Daktari na mgonjwa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kuugiza mazungumzo kati ya daktari na mgonjwa. Kutaja sifa za lugha ya mgonjwa na daktari. Kujadili uhusiano kati ya mgonjwa na daktari. |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 249-250) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 | 4 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Shairi-Kwaheri tunakuaga
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi . Kujadili mtindo wa shairi hilo. Kueleza dhamira ya mwandishi wa shairi. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 250-251) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 | 5-6 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Ukubwa na udogo
Matumizi ya kamusi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua umoja na wingi wa nomino. Kutumia umoja na wingi vyema katika sentensi. somo ; Kueleza jinsi ya kutumia kamusi. Kutambua matumizi ya kamusi. Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 251-256) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 257) |
|
5 | 1 |
Kuandika
|
Uandishi wa kawaida
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya imla mchanganyiko. Kuandika sentensi wasomewayo na mwalimu. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 257) |
|
5 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza (Marudio0
|
Majadiliano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya majadiliano. Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi. Kutaja sifa za majadiliano. Kueleza maana ya muhtasari. Kutambua umuhimu wa muhtasari. |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
5 | 3 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Nidhamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu . Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. Kueleza mtindo wa shairi hilo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
5 | 4 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Uakifishaji
Maadili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya uakifishaji. Kutambua na kueleza matumizi ya alama za uakifishaji. Kuakifisha sentensi husika ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 226-227) |
|
5 | 5-6 |
Kuandika
SURA YA KWANZA Kusikiliza na Kuzungumza |
Uandishi wa Insha - Methali
Isimu jamii - Sajili ya Dini |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali. Kujadili utunzi wa insha. Kuandika insha ya methali yeyote. Kueleza maana ya sajili Kutambua sifa za sajili ya dini Kuigiza mazungumzo katika maabadi Kutumia msamiati wa kidini |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika Kuuliza maswali ya utangulizi kuhusu lugha mbalimbali Kueleza dhana ya sajili na aina zake Kusoma na kujadili sifa za sajili ya dini Kuigiza mazungumzo ya Wakristo na Waislamu Kujibu maswali ya uelewa |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu cha mwanafunzi Mwongozo wa mwalimu Chati za sajili Kanda za sauti (ikiwa zinapatikana) |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230) KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 1-3 |
|
6 | 1 |
Kusoma kwa Ufahamu
|
Tamthilia: "Asali Yawa Shubiri"
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maudhui ya tamthilia Kutambua wahusika na sifa zao Kufafanua ujumbe wa tamthilia Kutathmini changamoto za kijamii |
Kuuliza maswali ya utayarishaji kuhusu ndoa za utotoni Kusoma tamthilia kwa sauti kwa vikundi Kujadili wahusika: Kaida, Mzee Njuga, Mkoro Kuchambua changamoto za elimu ya wasichana Kujibu maswali ya kina kuhusu tamthilia |
Kitabu cha mwanafunzi Mwongozo wa mwalimu Chati za uchambuzi wa wahusika Kadi za maswali |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 3-7
|
|
6 | 2 |
Sarufi
|
Viulizi - "pi" na "ngapi"
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya kiulizi "pi" Kutumia kiulizi "ngapi" sahihi Kutunga sentensi zenye viulizi Kubainisha tofauti za viulizi mbalimbali |
Kuuliza maswali ya ujumuishaji kuhusu viulizi Kueleza jinsi viulizi vinavyochukua viambishi vya ngeli Kufanya mazoezi ya kutumia "pi" na "ngapi" Kutunga sentensi mpya zenye viulizi Kukamilisha mazoezi ya ukurasa |
Kitabu cha mwanafunzi Mwongozo wa mwalimu Jedwali la ngeli Kadi za mazoezi Ubao mweusi |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 7-10
|
|
6 | 3 |
Kusoma kwa Kina
|
Magazeti: Tahariri na Habari
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tahariri Kutofautisha habari za kitaifa na kimataifa Kusoma tahariri kwa uelewa Kuchambua maudhui ya magazeti |
Kuuliza maswali kuhusu aina za magazeti wanayoijua Kueleza maana na sifa za tahariri Kusoma mfano wa tahariri "Wenye Matatu Wasiruhusiwe..." Kujadili habari za kitaifa na kimataifa Kutambua vichwa vya habari |
Kitabu cha mwanafunzi Magazeti ya hivi karibuni Mwongozo wa mwalimu Makala ya habari Scissors na glue |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 11-13
|
|
6 | 4 |
Kuandika
|
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa barua rasmi Kutofautisha mitindo ya barua rasmi Kuandika barua rasmi kwa usahihi Kutumia lugha rasmi ipasavyo |
Kuuliza maswali kuhusu aina za barua wanayozifahamu Kueleza sifa na muundo wa barua rasmi Kuonyesha mitindo: mshazari na wima Kuandika barua ya kuomba ruhusa ya ziara Kusahihisha na kukarabati barua zao |
Kitabu cha mwanafunzi Mwongozo wa mwalimu Mifano ya barua rasmi Karatasi za kuandikia Kalamu na penseli |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 14-16
|
|
6 | 5-6 |
SURA YA KWANZA
|
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
kusoma-fasihi andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika
|
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 1 |
Fasihi Andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 2 |
SURA YA PILI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma kwa Ufahamu |
Dhima ya Fasihi kwa Jumla
Shairi: "Mikanda Tujifungeni" |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya fasihi Kutofautisha fasihi simulizi na andishi Kutaja sifa za fasihi simulizi Kufafanua umuhimu wa fasihi simulizi |
Kuuliza maswali kuhusu aina za fasihi wanayozifahamu Kueleza dhana ya fasihi na aina zake Kujadili sifa za fasihi simulizi Kuchambua umuhimu wa fasihi simulizi Kuigiza baadhi ya tanzu za fasihi simulizi |
Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu Chati za tanzu za fasihi Kielelezo cha fasihi simulizi Vifaa vya uigizaji Chati za uchambuzi wa shairi Picha za mikanda ya usalama Majarida ya usalama |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 17-20
|
|
7 | 3 |
Sarufi
|
'A' Unganifu na Virejeshi 'O' na 'amba'
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya 'A' unganifu Kutumia kirejeshi 'amba' sahihi Kutofautisha 'O' rejeshi ya awali na tamati Kutunga sentensi zenye virejeshi |
Kuuliza maswali ya ujumuishaji kuhusu virejeshi Kueleza jinsi 'A' unganifu inavyochukua viambishi Kufanya mazoezi ya kutumia 'amba' na 'O' rejeshi Kutunga sentensi mpya zenye virejeshi Kukamilisha mazoezi ya ukurasa |
Kitabu cha mwanafunzi Mwongozo wa mwalimu Jedwali la ngeli Kadi za mazoezi Ubao mweusi |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 22-25
|
|
7 | 4 |
Kusoma kwa Kina
|
Magazeti: Barua kwa Mhariri na Ripoti za Michezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua kwa mhariri Kutofautisha ripoti za michezo Kusoma barua kwa mhariri kwa uelewa Kuchambua maudhui ya ripoti za michezo |
Kuuliza maswali kuhusu aina za barua wanayozifahamu Kueleza maana na sifa za barua kwa mhariri Kusoma mifano ya ripoti za michezo Kujadili vichwa vya ripoti za michezo Kutambua tofauti za barua na ripoti |
Kitabu cha mwanafunzi Magazeti ya hivi karibuni Mwongozo wa mwalimu Makala ya michezo Scissors na glue |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 28-30
|
|
7 | 5-6 |
Kuandika
|
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua kwa Mhariri
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri Kutofautisha barua kwa mhariri na barua rasmi Kuandika barua kwa mhariri kwa usahihi Kutumia lugha teule yenye staha |
Kuuliza maswali kuhusu barua za maoni Kueleza sifa na muundo wa barua kwa mhariri Kuonyesha mifano ya barua kwa mhariri Kuandika barua kuhusu mikanda ya usalama Kusahihisha na kukarabati barua zao |
Kitabu cha mwanafunzi Mwongozo wa mwalimu Mifano ya barua kwa mhariri Karatasi za kuandikia Kalamu na penseli |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 30-32
|
|
8 | 1 |
Fasihi Andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Your Name Comes Here