Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA PILI
MWAKA WA 2025
MUHULA WA III

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1 3
Kusikiliza na kuzungumza
Ushairi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya shairi simulizi.
Kukariri shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi wimbo wa uchumba.
Kutafsiri maana ya wimbo huo.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk213)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 4
Kusoma kwa ufahamu
Taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma tarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 214-215)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 5-6
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Mnyambuliko wa vitenzi
Afya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa.
Nyambua vitenzi ipasavyo.
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi.
Kueleza mtiririko wa matukia katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 215-217)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 217- 218)
2 1
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Utungaji wa kiuamilifu
Majadiliano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja umuhimu wa orodha ya mambo.
Kutaja na kueleza mikondo inayofuatwa katika uandishi wa orodha ya mambo.
Kutengeneza orodha ya mambo.
Eleza maana ya shajara
Kutengeneza shajara ya siku.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 218-220)
2 2
Kusoma kwa ufahamu
Nidhamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 3
Sarufi
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya uakifishaji.
Kutambua na kueleza matumizi ya alama za uakifishaji.
Kuakifisha sentensi husika ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 226-227)
2 4
Kusoma kwa mapana
Maadili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230)
2 5-6
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Uandishi wa Insha - Methali
Redio/Kanda za kunasia sauti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
somo ;
Kutaja umuhimu wa redio.
Kutambua vipindi tofauti vya redio na runinga.
Kujadili ujumbe yanayojadiliwa katika vipindi hivi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 1
Kusoma kwa ufahamu
Shairi-Njaa nipishe na kando
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi ..Njaa nipishe na kando
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza maana ya misamiati yaliyotumiwa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231-233)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 2
Sarufi
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Eleza maana ya usemi halisi.
Kutaja matumizi ya usemu halisi katika sentensi.
Eleza maana ya usemi wa taarifa.
Kutambua matumizi ya usemi wa taarifa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 233-235)
3 3
Kusoma kwa mapana
Jana si leo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi ..Jana si leo.
Kueleza alichojifunza kutoka kwa taarifa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 235-236)
3 4
Kuandika
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mualiko.
Kutambua sifa za mialiko.
Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko.
Kuandika barua ya mualiko.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 237-240)
3 5-6
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba
Safari yenye hatari
Uundaji wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kujadili umuhimu wa hotuba.
Kutambua na kujadili sehemu mbalimbali ya hotuba.
Kusoma hotuba kwenye kitabu cha mwanafunzi.

somo ;
Kujadili uundaji wa nomino kutokana na kitenzi.
Kuunda nomino kutokana na nomino.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 241-242)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 245-246)
4 1
Kusoma kwa mapana
Matumizi ya tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya tarakilishi.
Taja aina ya tarakilishi.
Kutambua matumizi ya tarakilishi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 247-248)
4 2
Kuandika
Imla
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya Imla.
Kuandika kwa usahihi kifungu isomwayo na mwalimu.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 248)
4 3
Kusikiliza na kuzungumza
Daktari na mgonjwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuugiza mazungumzo kati ya daktari na mgonjwa.
Kutaja sifa za lugha ya mgonjwa na daktari.
Kujadili uhusiano kati ya mgonjwa na daktari.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 249-250)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 4
Kusoma kwa ufahamu
Shairi-Kwaheri tunakuaga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi .
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza dhamira ya mwandishi wa shairi.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 250-251)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 5-6
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Ukubwa na udogo
Matumizi ya kamusi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua umoja na wingi wa nomino.
Kutumia umoja na wingi vyema katika sentensi.
somo ;
Kueleza jinsi ya kutumia kamusi.
Kutambua matumizi ya kamusi.
Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 251-256)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 257)
5 1
Kuandika
Uandishi wa kawaida
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya imla mchanganyiko.
Kuandika sentensi wasomewayo na mwalimu.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 257)
5 2
Kusikiliza na kuzungumza (Marudio0
Majadiliano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 3
Kusoma kwa ufahamu
Nidhamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 4
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Uakifishaji
Maadili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya uakifishaji.
Kutambua na kueleza matumizi ya alama za uakifishaji.
Kuakifisha sentensi husika ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 226-227)
5 5-6
Kuandika
SURA YA KWANZA

Kusikiliza na Kuzungumza
Uandishi wa Insha - Methali
Isimu jamii - Sajili ya Dini
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.

Kueleza maana ya sajili
Kutambua sifa za sajili ya dini
Kuigiza mazungumzo katika maabadi
Kutumia msamiati wa kidini
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika

Kuuliza maswali ya utangulizi kuhusu lugha mbalimbali
Kueleza dhana ya sajili na aina zake
Kusoma na kujadili sifa za sajili ya dini
Kuigiza mazungumzo ya Wakristo na Waislamu
Kujibu maswali ya uelewa
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Chati za sajili
Kanda za sauti (ikiwa zinapatikana)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230)
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 1-3
6 1
Kusoma kwa Ufahamu
Tamthilia: "Asali Yawa Shubiri"
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maudhui ya tamthilia
Kutambua wahusika na sifa zao
Kufafanua ujumbe wa tamthilia
Kutathmini changamoto za kijamii

Kuuliza maswali ya utayarishaji kuhusu ndoa za utotoni
Kusoma tamthilia kwa sauti kwa vikundi
Kujadili wahusika: Kaida, Mzee Njuga, Mkoro
Kuchambua changamoto za elimu ya wasichana
Kujibu maswali ya kina kuhusu tamthilia

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Chati za uchambuzi wa wahusika
Kadi za maswali
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 3-7
6 2
Sarufi
Viulizi - "pi" na "ngapi"
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza matumizi ya kiulizi "pi"
Kutumia kiulizi "ngapi" sahihi
Kutunga sentensi zenye viulizi
Kubainisha tofauti za viulizi mbalimbali

Kuuliza maswali ya ujumuishaji kuhusu viulizi
Kueleza jinsi viulizi vinavyochukua viambishi vya ngeli
Kufanya mazoezi ya kutumia "pi" na "ngapi"
Kutunga sentensi mpya zenye viulizi
Kukamilisha mazoezi ya ukurasa

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Jedwali la ngeli
Kadi za mazoezi
Ubao mweusi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 7-10
6 3
Kusoma kwa Kina
Magazeti: Tahariri na Habari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana ya tahariri
Kutofautisha habari za kitaifa na kimataifa
Kusoma tahariri kwa uelewa
Kuchambua maudhui ya magazeti

Kuuliza maswali kuhusu aina za magazeti wanayoijua
Kueleza maana na sifa za tahariri
Kusoma mfano wa tahariri "Wenye Matatu Wasiruhusiwe..."
Kujadili habari za kitaifa na kimataifa
Kutambua vichwa vya habari

Kitabu cha mwanafunzi
Magazeti ya hivi karibuni
Mwongozo wa mwalimu
Makala ya habari
Scissors na glue
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 11-13
6 4
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza muundo wa barua rasmi
Kutofautisha mitindo ya barua rasmi
Kuandika barua rasmi kwa usahihi
Kutumia lugha rasmi ipasavyo

Kuuliza maswali kuhusu aina za barua wanayozifahamu
Kueleza sifa na muundo wa barua rasmi
Kuonyesha mitindo: mshazari na wima
Kuandika barua ya kuomba ruhusa ya ziara
Kusahihisha na kukarabati barua zao

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Mifano ya barua rasmi
Karatasi za kuandikia
Kalamu na penseli
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 14-16
6 5-6
SURA YA KWANZA
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
kusoma-fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 1
Fasihi Andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 2
SURA YA PILI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu
Dhima ya Fasihi kwa Jumla
Shairi: "Mikanda Tujifungeni"
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana ya fasihi
Kutofautisha fasihi simulizi na andishi
Kutaja sifa za fasihi simulizi
Kufafanua umuhimu wa fasihi simulizi

Kuuliza maswali kuhusu aina za fasihi wanayozifahamu
Kueleza dhana ya fasihi na aina zake
Kujadili sifa za fasihi simulizi
Kuchambua umuhimu wa fasihi simulizi
Kuigiza baadhi ya tanzu za fasihi simulizi
Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Chati za tanzu za fasihi
Kielelezo cha fasihi simulizi
Vifaa vya uigizaji
Chati za uchambuzi wa shairi
Picha za mikanda ya usalama
Majarida ya usalama
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 17-20
7 3
Sarufi
'A' Unganifu na Virejeshi 'O' na 'amba'
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza matumizi ya 'A' unganifu
Kutumia kirejeshi 'amba' sahihi
Kutofautisha 'O' rejeshi ya awali na tamati
Kutunga sentensi zenye virejeshi

Kuuliza maswali ya ujumuishaji kuhusu virejeshi
Kueleza jinsi 'A' unganifu inavyochukua viambishi
Kufanya mazoezi ya kutumia 'amba' na 'O' rejeshi
Kutunga sentensi mpya zenye virejeshi
Kukamilisha mazoezi ya ukurasa

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Jedwali la ngeli
Kadi za mazoezi
Ubao mweusi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 22-25
7 4
Kusoma kwa Kina
Magazeti: Barua kwa Mhariri na Ripoti za Michezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana ya barua kwa mhariri
Kutofautisha ripoti za michezo
Kusoma barua kwa mhariri kwa uelewa
Kuchambua maudhui ya ripoti za michezo

Kuuliza maswali kuhusu aina za barua wanayozifahamu
Kueleza maana na sifa za barua kwa mhariri
Kusoma mifano ya ripoti za michezo
Kujadili vichwa vya ripoti za michezo
Kutambua tofauti za barua na ripoti

Kitabu cha mwanafunzi
Magazeti ya hivi karibuni
Mwongozo wa mwalimu
Makala ya michezo
Scissors na glue
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 28-30
7 5-6
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza muundo wa barua kwa mhariri
Kutofautisha barua kwa mhariri na barua rasmi
Kuandika barua kwa mhariri kwa usahihi
Kutumia lugha teule yenye staha

Kuuliza maswali kuhusu barua za maoni
Kueleza sifa na muundo wa barua kwa mhariri
Kuonyesha mifano ya barua kwa mhariri
Kuandika barua kuhusu mikanda ya usalama
Kusahihisha na kukarabati barua zao

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Mifano ya barua kwa mhariri
Karatasi za kuandikia
Kalamu na penseli
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 30-32
8 1
Fasihi Andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege

Your Name Comes Here


Download

Feedback