Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA PILI
MWAKA WA 2026
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
2 1
SHULENI

Kusikiliza na Kuzungumza
Maamkuzi na Maagano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua maamkuzi na maagano ya nyakati za siku,
- kuamkua na kuitikia maamkuzi na maagano ya nyakati za siku,
- kufurahia kuamkua na kuagana ili kujenga mshikamano wa kijamii.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yanayotumiwa katika maamkuzi mbalimbali ya nyakati za siku
-kutazama picha za watu wakisalimiana na kuagana
-kutazama video inayoonyesha watu wakitumia maamkuzi na maagano ya nyakati za siku
-kuigiza na mwenzake maamkuzi na maagano mbalimbali
Tunaamkuana vipi wakati wa asubuhi, mchana na jioni?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 2
-Vifaa vya kidijitali
-Picha na chati
-Mti maneno
-Kadi maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
2 2
Kusikiliza na Kuzungumza
Maamkuzi na Maagano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua maamkuzi na maagano ya nyakati za siku,
- kuamkua na kuitikia maamkuzi na maagano ya nyakati za siku,
- kufurahia kuamkua na kuagana ili kujenga mshikamano wa kijamii.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yanayotumiwa katika maamkuzi mbalimbali ya nyakati za siku
-kutazama picha za watu wakisalimiana na kuagana
-kutazama video inayoonyesha watu wakitumia maamkuzi na maagano ya nyakati za siku
-kuigiza na mwenzake maamkuzi na maagano mbalimbali
Tunaamkuana vipi wakati wa asubuhi, mchana na jioni?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 2
-Vifaa vya kidijitali
-Picha na chati
-Mti maneno
-Kadi maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
2 3
Kusikiliza na Kuzungumza
Maamkuzi na Maagano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua maamkuzi na maagano ya nyakati za siku,
- kuamkua na kuitikia maamkuzi na maagano ya nyakati za siku,
- kufurahia kuamkua na kuagana ili kujenga mshikamano wa kijamii.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yanayotumiwa katika maamkuzi mbalimbali ya nyakati za siku
-kutazama picha za watu wakisalimiana na kuagana
-kutazama video inayoonyesha watu wakitumia maamkuzi na maagano ya nyakati za siku
-kuigiza na mwenzake maamkuzi na maagano mbalimbali
Tunaamkuana vipi wakati wa asubuhi, mchana na jioni?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 2
-Vifaa vya kidijitali
-Picha na chati
-Mti maneno
-Kadi maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
2 4
Kusikiliza na Kuzungumza
Maamkuzi na Maagano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua maamkuzi na maagano ya nyakati za siku,
- kuamkua na kuitikia maamkuzi na maagano ya nyakati za siku,
- kufurahia kuamkua na kuagana ili kujenga mshikamano wa kijamii.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yanayotumiwa katika maamkuzi mbalimbali ya nyakati za siku
-kutazama picha za watu wakisalimiana na kuagana
-kutazama video inayoonyesha watu wakitumia maamkuzi na maagano ya nyakati za siku
-kuigiza na mwenzake maamkuzi na maagano mbalimbali
Tunaamkuana vipi wakati wa asubuhi, mchana na jioni?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 4
-Vifaa vya kidijitali
-Picha na chati
-Mti maneno
-Kadi maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
3 1
Kusoma
Kusoma Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu,
- kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha,
- kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu,
- kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu,
- kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusoma kifungu chepesi cha maneno 31 - 34
-kutambua msamiati wa suala lengwa
-kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano
-kutabiri ujumbe wa kifungu kwa kutazama picha
-kuthabiti utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma
-kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu
-kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu
-kumsomea mzazi au mlezi kifungu kuhusu suala lengwa
Kusoma kifungu ili ufahamu ujumbe unafanya nini?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 8
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
3 2
Kusoma
Kusoma Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu,
- kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha,
- kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu,
- kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu,
- kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusoma kifungu chepesi cha maneno 31 - 34
-kutambua msamiati wa suala lengwa
-kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano
-kutabiri ujumbe wa kifungu kwa kutazama picha
-kuthabiti utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma
-kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu
-kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu
-kumsomea mzazi au mlezi kifungu kuhusu suala lengwa
Kusoma kifungu ili ufahamu ujumbe unafanya nini?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 8
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
3 3
Kusoma
Kusoma Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu,
- kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha,
- kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu,
- kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu,
- kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusoma kifungu chepesi cha maneno 31 - 34
-kutambua msamiati wa suala lengwa
-kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano
-kutabiri ujumbe wa kifungu kwa kutazama picha
-kuthabiti utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma
-kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu
-kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu
-kumsomea mzazi au mlezi kifungu kuhusu suala lengwa
Kusoma kifungu ili ufahamu ujumbe unafanya nini?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 8
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
3 4
Kusoma
Kusoma Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu,
- kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha,
- kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu,
- kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu,
- kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusoma kifungu chepesi cha maneno 31 - 34
-kutambua msamiati wa suala lengwa
-kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano
-kutabiri ujumbe wa kifungu kwa kutazama picha
-kuthabiti utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma
-kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu
-kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu
-kumsomea mzazi au mlezi kifungu kuhusu suala lengwa
Kusoma kifungu ili ufahamu ujumbe unafanya nini?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 9
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
4 1
Kusoma
Kusoma Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu,
- kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha,
- kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu,
- kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu,
- kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusoma kifungu chepesi cha maneno 31 - 34
-kutambua msamiati wa suala lengwa
-kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano
-kutabiri ujumbe wa kifungu kwa kutazama picha
-kuthabiti utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma
-kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu
-kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu
-kumsomea mzazi au mlezi kifungu kuhusu suala lengwa
Kusoma kifungu ili ufahamu ujumbe unafanya nini?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 10
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
4 2
Kusoma
Kusoma Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu,
- kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha,
- kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu,
- kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu,
- kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusoma kifungu chepesi cha maneno 31 - 34
-kutambua msamiati wa suala lengwa
-kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano
-kutabiri ujumbe wa kifungu kwa kutazama picha
-kuthabiti utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma
-kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu
-kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu
-kumsomea mzazi au mlezi kifungu kuhusu suala lengwa
Kusoma kifungu ili ufahamu ujumbe unafanya nini?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 10
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
4 3
Kuandika
Hati nadhifu: Sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua hati nadhifu katika sentensi,
- kuandika sentensi akizingatia hati nadhifu,
- kufurahia kuandika akizingatia hati nadhifu.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua hati nadhifu kwenye kitabu, chati au kifaa cha kidijitali
-kujadili na wenzake kuhusu hati nadhifu kwenye kitabu, chati au kifaa cha kidijitali
-kuandika sentensi fupi kuhusu suala lengwa akizingatia hati nadhifu
-kuwasilisha darasani sentensi zake ili wenzake wamtolee maoni
-kumwandikia mzazi au mlezi sentensi fupi kuhusu suala lengwa akizingatia hati nadhifu
Je, ni mambo gani unayozingatia wakati wa kuandika?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 12
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
4 4
Kuandika
Hati nadhifu: Sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua hati nadhifu katika sentensi,
- kuandika sentensi akizingatia hati nadhifu,
- kufurahia kuandika akizingatia hati nadhifu.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua hati nadhifu kwenye kitabu, chati au kifaa cha kidijitali
-kujadili na wenzake kuhusu hati nadhifu kwenye kitabu, chati au kifaa cha kidijitali
-kuandika sentensi fupi kuhusu suala lengwa akizingatia hati nadhifu
-kuwasilisha darasani sentensi zake ili wenzake wamtolee maoni
-kumwandikia mzazi au mlezi sentensi fupi kuhusu suala lengwa akizingatia hati nadhifu
Je, ni mambo gani unayozingatia wakati wa kuandika?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 12
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
5 1
Kuandika
Hati nadhifu: Sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua hati nadhifu katika sentensi,
- kuandika sentensi akizingatia hati nadhifu,
- kufurahia kuandika akizingatia hati nadhifu.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua hati nadhifu kwenye kitabu, chati au kifaa cha kidijitali
-kujadili na wenzake kuhusu hati nadhifu kwenye kitabu, chati au kifaa cha kidijitali
-kuandika sentensi fupi kuhusu suala lengwa akizingatia hati nadhifu
-kuwasilisha darasani sentensi zake ili wenzake wamtolee maoni
-kumwandikia mzazi au mlezi sentensi fupi kuhusu suala lengwa akizingatia hati nadhifu
Je, ni mambo gani unayozingatia wakati wa kuandika?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 13
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
5 2
Kuandika
Hati nadhifu: Sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua hati nadhifu katika sentensi,
- kuandika sentensi akizingatia hati nadhifu,
- kufurahia kuandika akizingatia hati nadhifu.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua hati nadhifu kwenye kitabu, chati au kifaa cha kidijitali
-kujadili na wenzake kuhusu hati nadhifu kwenye kitabu, chati au kifaa cha kidijitali
-kuandika sentensi fupi kuhusu suala lengwa akizingatia hati nadhifu
-kuwasilisha darasani sentensi zake ili wenzake wamtolee maoni
-kumwandikia mzazi au mlezi sentensi fupi kuhusu suala lengwa akizingatia hati nadhifu
Je, ni mambo gani unayozingatia wakati wa kuandika?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 13
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
5 3
Kuandika
Hati nadhifu: Sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua hati nadhifu katika sentensi,
- kuandika sentensi akizingatia hati nadhifu,
- kufurahia kuandika akizingatia hati nadhifu.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua hati nadhifu kwenye kitabu, chati au kifaa cha kidijitali
-kujadili na wenzake kuhusu hati nadhifu kwenye kitabu, chati au kifaa cha kidijitali
-kuandika sentensi fupi kuhusu suala lengwa akizingatia hati nadhifu
-kuwasilisha darasani sentensi zake ili wenzake wamtolee maoni
-kumwandikia mzazi au mlezi sentensi fupi kuhusu suala lengwa akizingatia hati nadhifu
Je, ni mambo gani unayozingatia wakati wa kuandika?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 13
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
5 4
Sarufi
Matumizi ya wewe na nyinyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua wewe na nyinyi katika sentensi,
- kutumia wewe na nyinyi ipasavyo katika sentensi,
- kufurahia kutumia wewe na nyinyi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusikiliza kifungu au wimbo unaohusu nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
-kusoma vifungu vilivyo na nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
-kutumia nafsi ya pili (wewe na nyinyi) umoja na wingi kwa kuigiza mazungumzo na wenzake katika kikundi
-kujaza nafasi kwa kutumia wewe na nyinyi
-kutaja zoezi la nafsi ya pili kwenye tarakilishi kwa kuburura majibu sahihi
-kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
Ni neno gani unaloweza kutumia kuwataja wenzako bila kutaja majina yao?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 14
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Kadi maneno
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya rika -Orodha hakiki -Maswali ya maandishi
6 1
Sarufi
Matumizi ya wewe na nyinyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua wewe na nyinyi katika sentensi,
- kutumia wewe na nyinyi ipasavyo katika sentensi,
- kufurahia kutumia wewe na nyinyi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusikiliza kifungu au wimbo unaohusu nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
-kusoma vifungu vilivyo na nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
-kutumia nafsi ya pili (wewe na nyinyi) umoja na wingi kwa kuigiza mazungumzo na wenzake katika kikundi
-kujaza nafasi kwa kutumia wewe na nyinyi
-kutaja zoezi la nafsi ya pili kwenye tarakilishi kwa kuburura majibu sahihi
-kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
Ni neno gani unaloweza kutumia kuwataja wenzako bila kutaja majina yao?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 15
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Kadi maneno
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya rika -Orodha hakiki -Maswali ya maandishi
6 2
Sarufi
Matumizi ya wewe na nyinyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua wewe na nyinyi katika sentensi,
- kutumia wewe na nyinyi ipasavyo katika sentensi,
- kufurahia kutumia wewe na nyinyi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusikiliza kifungu au wimbo unaohusu nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
-kusoma vifungu vilivyo na nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
-kutumia nafsi ya pili (wewe na nyinyi) umoja na wingi kwa kuigiza mazungumzo na wenzake katika kikundi
-kujaza nafasi kwa kutumia wewe na nyinyi
-kutaja zoezi la nafsi ya pili kwenye tarakilishi kwa kuburura majibu sahihi
-kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
Ni neno gani unaloweza kutumia kuwataja wenzako bila kutaja majina yao?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 15
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Kadi maneno
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya rika -Orodha hakiki -Maswali ya maandishi
6 3
Sarufi
Matumizi ya wewe na nyinyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua wewe na nyinyi katika sentensi,
- kutumia wewe na nyinyi ipasavyo katika sentensi,
- kufurahia kutumia wewe na nyinyi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusikiliza kifungu au wimbo unaohusu nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
-kusoma vifungu vilivyo na nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
-kutumia nafsi ya pili (wewe na nyinyi) umoja na wingi kwa kuigiza mazungumzo na wenzake katika kikundi
-kujaza nafasi kwa kutumia wewe na nyinyi
-kutaja zoezi la nafsi ya pili kwenye tarakilishi kwa kuburura majibu sahihi
-kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
Ni neno gani unaloweza kutumia kuwataja wenzako bila kutaja majina yao?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 16
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Kadi maneno
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya rika -Orodha hakiki -Maswali ya maandishi
6 4
Sarufi
Matumizi ya wewe na nyinyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua wewe na nyinyi katika sentensi,
- kutumia wewe na nyinyi ipasavyo katika sentensi,
- kufurahia kutumia wewe na nyinyi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusikiliza kifungu au wimbo unaohusu nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
-kusoma vifungu vilivyo na nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
-kutumia nafsi ya pili (wewe na nyinyi) umoja na wingi kwa kuigiza mazungumzo na wenzake katika kikundi
-kujaza nafasi kwa kutumia wewe na nyinyi
-kutaja zoezi la nafsi ya pili kwenye tarakilishi kwa kuburura majibu sahihi
-kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia nafsi ya pili (wewe na nyinyi)
Ni neno gani unaloweza kutumia kuwataja wenzako bila kutaja majina yao?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 16
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Kadi maneno
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya rika -Orodha hakiki -Maswali ya maandishi
7 1
HAKI ZANGU

Kusikiliza na Kuzungumza
Matamshi Bora: Sauti /p/, /f/, /v/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua silabi za sauti lengwa katika maandishi,
- kutamka ipasavyo silabi za sauti lengwa katika maandishi,
- kutamka maneno mepesi yanayotokana na sauti lengwa katika maandishi,
- kusoma ipasavyo sentensi nyepesi zenye sauti lengwa kwa matamshi bora
- kuchangamkia usomaji bora wa maneno yanayotumia sauti lengwa katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua silabi kwenye maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika sentensi
-kusikiliza silabi lengwa zikitamkwa na mwalimu au kifaa cha kidijitali
-kutamka silabi za sauti lengwa akiwa peke yake au na wenzake
-kusikiliza maneno yenye sauti lengwa yakitamkwa na mwalimu
-kutamka maneno yenye sauti lengwa
-kusikiliza sentensi zenye sauti lengwa zikisomwa
-kusoma sentensi za sauti lengwa akishirikiana na wenzake
-kujirekodi kwa kutumia kifaa cha kidijitali akitamka sentensi za sauti lengwa
-kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia maneno yenye sauti lengwa
Je, kwa nini ni vizuri kutamka maneno vizuri tunapozungumza?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 20
-Vifaa vya kidijitali
-Chati
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
7 2
Kusikiliza na Kuzungumza
Matamshi Bora: Sauti /p/, /f/, /v/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua silabi za sauti lengwa katika maandishi,
- kutamka ipasavyo silabi za sauti lengwa katika maandishi,
- kutamka maneno mepesi yanayotokana na sauti lengwa katika maandishi,
- kusoma ipasavyo sentensi nyepesi zenye sauti lengwa kwa matamshi bora
- kuchangamkia usomaji bora wa maneno yanayotumia sauti lengwa katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua silabi kwenye maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika sentensi
-kusikiliza silabi lengwa zikitamkwa na mwalimu au kifaa cha kidijitali
-kutamka silabi za sauti lengwa akiwa peke yake au na wenzake
-kusikiliza maneno yenye sauti lengwa yakitamkwa na mwalimu
-kutamka maneno yenye sauti lengwa
-kusikiliza sentensi zenye sauti lengwa zikisomwa
-kusoma sentensi za sauti lengwa akishirikiana na wenzake
-kujirekodi kwa kutumia kifaa cha kidijitali akitamka sentensi za sauti lengwa
-kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia maneno yenye sauti lengwa
Je, kwa nini ni vizuri kutamka maneno vizuri tunapozungumza?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 20
-Vifaa vya kidijitali
-Chati
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
7 3
Kusikiliza na Kuzungumza
Matamshi Bora: Sauti /p/, /f/, /v/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua silabi za sauti lengwa katika maandishi,
- kutamka ipasavyo silabi za sauti lengwa katika maandishi,
- kutamka maneno mepesi yanayotokana na sauti lengwa katika maandishi,
- kusoma ipasavyo sentensi nyepesi zenye sauti lengwa kwa matamshi bora
- kuchangamkia usomaji bora wa maneno yanayotumia sauti lengwa katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua silabi kwenye maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika sentensi
-kusikiliza silabi lengwa zikitamkwa na mwalimu au kifaa cha kidijitali
-kutamka silabi za sauti lengwa akiwa peke yake au na wenzake
-kusikiliza maneno yenye sauti lengwa yakitamkwa na mwalimu
-kutamka maneno yenye sauti lengwa
-kusikiliza sentensi zenye sauti lengwa zikisomwa
-kusoma sentensi za sauti lengwa akishirikiana na wenzake
-kujirekodi kwa kutumia kifaa cha kidijitali akitamka sentensi za sauti lengwa
-kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia maneno yenye sauti lengwa
Je, kwa nini ni vizuri kutamka maneno vizuri tunapozungumza?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 22
-Vifaa vya kidijitali
-Chati
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
7 4
Kusikiliza na Kuzungumza
Matamshi Bora: Sauti /p/, /f/, /v/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua silabi za sauti lengwa katika maandishi,
- kutamka ipasavyo silabi za sauti lengwa katika maandishi,
- kutamka maneno mepesi yanayotokana na sauti lengwa katika maandishi,
- kusoma ipasavyo sentensi nyepesi zenye sauti lengwa kwa matamshi bora
- kuchangamkia usomaji bora wa maneno yanayotumia sauti lengwa katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua silabi kwenye maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika sentensi
-kusikiliza silabi lengwa zikitamkwa na mwalimu au kifaa cha kidijitali
-kutamka silabi za sauti lengwa akiwa peke yake au na wenzake
-kusikiliza maneno yenye sauti lengwa yakitamkwa na mwalimu
-kutamka maneno yenye sauti lengwa
-kusikiliza sentensi zenye sauti lengwa zikisomwa
-kusoma sentensi za sauti lengwa akishirikiana na wenzake
-kujirekodi kwa kutumia kifaa cha kidijitali akitamka sentensi za sauti lengwa
-kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia maneno yenye sauti lengwa
Je, kwa nini ni vizuri kutamka maneno vizuri tunapozungumza?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 25
-Vifaa vya kidijitali
-Chati
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
8

midterm

9 1
Kusoma
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua maneno yenye sauti lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo,
-f) kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika kifungu chepesi kuhusu suala lengwa
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kuhusu haki za mtoto kwa kuzingatia matamshi bora
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno 33 kwa dakika)
-kusoma kifungu chepesi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo
-kusoma hadithi kutoka kwenye kitabu, kifaa cha kidijitali akizingatia matamshi bora, sauti inayosikika, kasi ifaayo na ishara zifaazo
-kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi chenye sauti lengwa
Je, ni mambo gani unayozingatia ili kusoma kwa ufasaha?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 26
-Vifaa vya kidijitali
-Mti maneno
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
9 2
Kusoma
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua maneno yenye sauti lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo,
-f) kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika kifungu chepesi kuhusu suala lengwa
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kuhusu haki za mtoto kwa kuzingatia matamshi bora
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno 33 kwa dakika)
-kusoma kifungu chepesi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo
-kusoma hadithi kutoka kwenye kitabu, kifaa cha kidijitali akizingatia matamshi bora, sauti inayosikika, kasi ifaayo na ishara zifaazo
-kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi chenye sauti lengwa
Je, ni mambo gani unayozingatia ili kusoma kwa ufasaha?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 26
-Vifaa vya kidijitali
-Mti maneno
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
9 3
Kusoma
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua maneno yenye sauti lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo,
-f) kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika kifungu chepesi kuhusu suala lengwa
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kuhusu haki za mtoto kwa kuzingatia matamshi bora
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno 33 kwa dakika)
-kusoma kifungu chepesi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo
-kusoma hadithi kutoka kwenye kitabu, kifaa cha kidijitali akizingatia matamshi bora, sauti inayosikika, kasi ifaayo na ishara zifaazo
-kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi chenye sauti lengwa
Je, ni mambo gani unayozingatia ili kusoma kwa ufasaha?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 26
-Vifaa vya kidijitali
-Mti maneno
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
9 4
Kusoma
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua maneno yenye sauti lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo,
-f) kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika kifungu chepesi kuhusu suala lengwa
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kuhusu haki za mtoto kwa kuzingatia matamshi bora
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno 33 kwa dakika)
-kusoma kifungu chepesi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo
-kusoma hadithi kutoka kwenye kitabu, kifaa cha kidijitali akizingatia matamshi bora, sauti inayosikika, kasi ifaayo na ishara zifaazo
-kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi chenye sauti lengwa
Je, ni mambo gani unayozingatia ili kusoma kwa ufasaha?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 27
-Vifaa vya kidijitali
-Mti maneno
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
10 1
Kusoma
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua maneno yenye sauti lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo,
-f) kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika kifungu chepesi kuhusu suala lengwa
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kuhusu haki za mtoto kwa kuzingatia matamshi bora
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno 33 kwa dakika)
-kusoma kifungu chepesi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo
-kusoma hadithi kutoka kwenye kitabu, kifaa cha kidijitali akizingatia matamshi bora, sauti inayosikika, kasi ifaayo na ishara zifaazo
-kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi chenye sauti lengwa
Je, ni mambo gani unayozingatia ili kusoma kwa ufasaha?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 28
-Vifaa vya kidijitali
-Mti maneno
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
10 2
Kusoma
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua maneno yenye sauti lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo,
- kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo,
-f) kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika kifungu chepesi kuhusu suala lengwa
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kuhusu haki za mtoto kwa kuzingatia matamshi bora
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika
-kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno 33 kwa dakika)
-kusoma kifungu chepesi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo
-kusoma hadithi kutoka kwenye kitabu, kifaa cha kidijitali akizingatia matamshi bora, sauti inayosikika, kasi ifaayo na ishara zifaazo
-kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi chenye sauti lengwa
Je, ni mambo gani unayozingatia ili kusoma kwa ufasaha?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 28
-Vifaa vya kidijitali
-Mti maneno
-Muongozo wa Mwalimu
-Maelezo ya somo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
10 3
Kuandika
Hati Nadhifu: Herufi Kubwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini,
- kuandika herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi,
- kufurahia kutumia herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi ili kuboresha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini
-kunakili maneno na sentensi kuhusu mada lengwa (k.v upendo, kupata elimu, chakula, mavazi, makazi) kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa
-kutunga na kuandika sentensi fupi akizingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa
-kushirikiana na wenzake kutathmini sentensi walizotunga
-kumwandikia mzazi au mlezi maneno kwa kutumia mpangilio ufaao wa herufi kubwa na hati nadhifu
Je herufi kubwa huwa sifa gani?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 29
-Vifaa vya kidijitali
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Picha
-Chati
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
10 4
Kuandika
Hati Nadhifu: Herufi Kubwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini,
- kuandika herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi,
- kufurahia kutumia herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi ili kuboresha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini
-kunakili maneno na sentensi kuhusu mada lengwa (k.v upendo, kupata elimu, chakula, mavazi, makazi) kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa
-kutunga na kuandika sentensi fupi akizingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa
-kushirikiana na wenzake kutathmini sentensi walizotunga
-kumwandikia mzazi au mlezi maneno kwa kutumia mpangilio ufaao wa herufi kubwa na hati nadhifu
Je herufi kubwa huwa sifa gani?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 29
-Vifaa vya kidijitali
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Picha
-Chati
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
11 1
Kuandika
Hati Nadhifu: Herufi Kubwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini,
- kuandika herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi,
- kufurahia kutumia herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi ili kuboresha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini
-kunakili maneno na sentensi kuhusu mada lengwa (k.v upendo, kupata elimu, chakula, mavazi, makazi) kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa
-kutunga na kuandika sentensi fupi akizingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa
-kushirikiana na wenzake kutathmini sentensi walizotunga
-kumwandikia mzazi au mlezi maneno kwa kutumia mpangilio ufaao wa herufi kubwa na hati nadhifu
Je herufi kubwa huwa sifa gani?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 30
-Vifaa vya kidijitali
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Picha
-Chati
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
11 2
Kuandika
Hati Nadhifu: Herufi Kubwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini,
- kuandika herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi,
- kufurahia kutumia herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi ili kuboresha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini
-kunakili maneno na sentensi kuhusu mada lengwa (k.v upendo, kupata elimu, chakula, mavazi, makazi) kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa
-kutunga na kuandika sentensi fupi akizingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa
-kushirikiana na wenzake kutathmini sentensi walizotunga
-kumwandikia mzazi au mlezi maneno kwa kutumia mpangilio ufaao wa herufi kubwa na hati nadhifu
Je herufi kubwa huwa sifa gani?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 31
-Vifaa vya kidijitali
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Picha
-Chati
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
11 3
Kuandika
Hati Nadhifu: Herufi Kubwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini,
- kuandika herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi,
- kufurahia kutumia herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi ili kuboresha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini
-kunakili maneno na sentensi kuhusu mada lengwa (k.v upendo, kupata elimu, chakula, mavazi, makazi) kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa
-kutunga na kuandika sentensi fupi akizingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa
-kushirikiana na wenzake kutathmini sentensi walizotunga
-kumwandikia mzazi au mlezi maneno kwa kutumia mpangilio ufaao wa herufi kubwa na hati nadhifu
Je herufi kubwa huwa sifa gani?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 31
-Vifaa vya kidijitali
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Picha
-Chati
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya rika -Orodha hakiki
11 4
Sarufi
Umoja na Wingi wa Vifungu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi,
- kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi,
- kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi
-kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi akishirikiana na wenzake
-kujaza nafasi kwa kukamilisha vifungu vya maneno katika umoja na wingi
-kushiriki katika mchezo wa kupanga kadi za vifungu vya maneno akiambatanisha umoja na wingi
-kumwonyesha mzazi au mlezi wake vifungu vya maneno alivyoviandika kwa umoja na wingi
Umoja na wingi wa vifungu huwa na sifa gani?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 32
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Orodha hakiki -Tathmini ya rika
12 1
Sarufi
Umoja na Wingi wa Vifungu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi,
- kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi,
- kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi
-kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi akishirikiana na wenzake
-kujaza nafasi kwa kukamilisha vifungu vya maneno katika umoja na wingi
-kushiriki katika mchezo wa kupanga kadi za vifungu vya maneno akiambatanisha umoja na wingi
-kumwonyesha mzazi au mlezi wake vifungu vya maneno alivyoviandika kwa umoja na wingi
Umoja na wingi wa vifungu huwa na sifa gani?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 33
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Orodha hakiki -Tathmini ya rika
12 2
Sarufi
Umoja na Wingi wa Vifungu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi,
- kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi,
- kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi
-kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi akishirikiana na wenzake
-kujaza nafasi kwa kukamilisha vifungu vya maneno katika umoja na wingi
-kushiriki katika mchezo wa kupanga kadi za vifungu vya maneno akiambatanisha umoja na wingi
-kumwonyesha mzazi au mlezi wake vifungu vya maneno alivyoviandika kwa umoja na wingi
Umoja na wingi wa vifungu huwa na sifa gani?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 33
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Orodha hakiki -Tathmini ya rika
12 3
Sarufi
Umoja na Wingi wa Vifungu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi,
- kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi,
- kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi
-kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi akishirikiana na wenzake
-kujaza nafasi kwa kukamilisha vifungu vya maneno katika umoja na wingi
-kushiriki katika mchezo wa kupanga kadi za vifungu vya maneno akiambatanisha umoja na wingi
-kumwonyesha mzazi au mlezi wake vifungu vya maneno alivyoviandika kwa umoja na wingi
Umoja na wingi wa vifungu huwa na sifa gani?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 34
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Orodha hakiki -Tathmini ya rika
12 4
Sarufi
Umoja na Wingi wa Vifungu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi,
- kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi,
- kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi
-kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi akishirikiana na wenzake
-kujaza nafasi kwa kukamilisha vifungu vya maneno katika umoja na wingi
-kushiriki katika mchezo wa kupanga kadi za vifungu vya maneno akiambatanisha umoja na wingi
-kumwonyesha mzazi au mlezi wake vifungu vya maneno alivyoviandika kwa umoja na wingi
Umoja na wingi wa vifungu huwa na sifa gani?
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 34
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Vifaa vya kidijitali
-Muongozo wa Mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Orodha hakiki -Tathmini ya rika

Your Name Comes Here


Download

Feedback