If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 5 | 1 |
HAKI ZANGU
Kusikiliza na Kuzungumza |
Matamshi Bora: Sauti /p/, /f/, /v/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua silabi za sauti lengwa katika maandishi, - kutamka ipasavyo silabi za sauti lengwa katika maandishi, - kutamka maneno mepesi yanayotokana na sauti lengwa katika maandishi, - kusoma ipasavyo sentensi nyepesi zenye sauti lengwa kwa matamshi bora - kuchangamkia usomaji bora wa maneno yanayotumia sauti lengwa katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua silabi kwenye maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika sentensi -kusikiliza silabi lengwa zikitamkwa na mwalimu au kifaa cha kidijitali -kutamka silabi za sauti lengwa akiwa peke yake au na wenzake -kusikiliza maneno yenye sauti lengwa yakitamkwa na mwalimu -kutamka maneno yenye sauti lengwa -kusikiliza sentensi zenye sauti lengwa zikisomwa -kusoma sentensi za sauti lengwa akishirikiana na wenzake -kujirekodi kwa kutumia kifaa cha kidijitali akitamka sentensi za sauti lengwa -kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia maneno yenye sauti lengwa |
Je, kwa nini ni vizuri kutamka maneno vizuri tunapozungumza?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 20
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Kadi maneno -Mti maneno -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 5 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma |
Matamshi Bora: Sauti /p/, /f/, /v/
Kusoma kwa ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua silabi za sauti lengwa katika maandishi, - kutamka ipasavyo silabi za sauti lengwa katika maandishi, - kutamka maneno mepesi yanayotokana na sauti lengwa katika maandishi, - kusoma ipasavyo sentensi nyepesi zenye sauti lengwa kwa matamshi bora - kuchangamkia usomaji bora wa maneno yanayotumia sauti lengwa katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua silabi kwenye maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika sentensi -kusikiliza silabi lengwa zikitamkwa na mwalimu au kifaa cha kidijitali -kutamka silabi za sauti lengwa akiwa peke yake au na wenzake -kusikiliza maneno yenye sauti lengwa yakitamkwa na mwalimu -kutamka maneno yenye sauti lengwa -kusikiliza sentensi zenye sauti lengwa zikisomwa -kusoma sentensi za sauti lengwa akishirikiana na wenzake -kujirekodi kwa kutumia kifaa cha kidijitali akitamka sentensi za sauti lengwa -kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia maneno yenye sauti lengwa |
Je, kwa nini ni vizuri kutamka maneno vizuri tunapozungumza?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 22
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Kadi maneno -Mti maneno -Muongozo wa Mwalimu Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 25 Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 26 -Maelezo ya somo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 5 | 3 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa ufasaha
Hati Nadhifu: Herufi Kubwa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua maneno yenye sauti lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, -f) kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika kifungu chepesi kuhusu suala lengwa -kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kuhusu haki za mtoto kwa kuzingatia matamshi bora -kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika -kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno 33 kwa dakika) -kusoma kifungu chepesi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo -kusoma hadithi kutoka kwenye kitabu, kifaa cha kidijitali akizingatia matamshi bora, sauti inayosikika, kasi ifaayo na ishara zifaazo -kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi chenye sauti lengwa |
Je, ni mambo gani unayozingatia ili kusoma kwa ufasaha?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 27
-Vifaa vya kidijitali -Mti maneno -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 28 Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 29 -Kadi maneno -Picha -Chati |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 6 | 1 |
Kuandika
Sarufi |
Hati Nadhifu: Herufi Kubwa
Umoja na Wingi wa Vifungu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini, - kuandika herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi, - kufurahia kutumia herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi ili kuboresha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini -kunakili maneno na sentensi kuhusu mada lengwa (k.v upendo, kupata elimu, chakula, mavazi, makazi) kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa -kutunga na kuandika sentensi fupi akizingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa -kushirikiana na wenzake kutathmini sentensi walizotunga -kumwandikia mzazi au mlezi maneno kwa kutumia mpangilio ufaao wa herufi kubwa na hati nadhifu |
Je herufi kubwa huwa sifa gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 30
-Vifaa vya kidijitali -Kadi maneno -Mti maneno -Picha -Chati -Muongozo wa Mwalimu Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 31 Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 32 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 6 | 2 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza |
Umoja na Wingi wa Vifungu
Matamshi Bora: Sauti ch na dh |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi, - kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi, - kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi -kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi akishirikiana na wenzake -kujaza nafasi kwa kukamilisha vifungu vya maneno katika umoja na wingi -kushiriki katika mchezo wa kupanga kadi za vifungu vya maneno akiambatanisha umoja na wingi -kumwonyesha mzazi au mlezi wake vifungu vya maneno alivyoviandika kwa umoja na wingi |
Umoja na wingi wa vifungu huwa na sifa gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 33
-Kadi maneno -Mti maneno -Vifaa vya kidijitali -Muongozo wa Mwalimu Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 34 Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 52 -Chati |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha hakiki
-Tathmini ya rika
|
|
| 6 | 3 |
USAFIRI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Matamshi Bora: Sauti ch na dh
Kusoma kwa ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua silabi za sauti lengwa katika maneno, - kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa kwa ufasaha, - kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya sauti lengwa akizingatia matamshi bora, - kufurahia matamshi bora katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua silabi za sauti lengwa (/ch/ na /dh/) katika maneno -kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa ifaavyo -kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya silabi za sauti lengwa -kutumia kifaa cha kidijitali kusikiliza matamshi bora ya silabi za sauti lengwa |
Je, ni maneno gani unayojua yenye sauti /ch/ na /dh/?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 54
-Vifaa vya kidijitali -Kadi maneno -Chati -Mti maneno -Muongozo wa Mwalimu Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 55 Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 56 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 7 | 1 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa ufasaha
Nafasi katika maandishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua sauti lengwa katika matini mbalimbali, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, -f) kufurahia kusoma kifungu ipasvyo ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua sauti /ch/ na /dh/ katika kadi maneno, mti maneno au kifaa cha kidijitali -kusoma kifungu chepesi cha maneno au hadithi yenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, matamshi bora -kusoma kifungu chepesi cha maneno au hadithi yenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, sauti inayosikika -kusoma kifungu chepesi cha maneno au hadithi yenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, kasi ifaayo (maneno 36 kwa dakika) |
Je, ni mambo gani unazingatia kusoma kwa ufasaha?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 57
-Vifaa vya kidijitali -Muongozo wa Mwalimu -Chati -Mti maneno Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 58 Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 59 -Maelezo ya somo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 7 | 2 |
Kuandika
Sarufi |
Nafasi katika maandishi
Umoja na wingi wa vifungu vya maneno |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi, - kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi kwa maandishi, - kufurahia kuandika akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi -kuwaonyesha wenzake nafasi kati ya maneno katika sentensi -kuandika sentensi kuhusu suala lengwa akizingatia nafasi kati ya maneno -kuwaonyesha wenzake sentensi alizoziandika ili wazitolee maoni -kutumia kifaa cha kidijitali kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno |
Je, kwa nini tunatumia nafasi kati ya maneno katika sentensi?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 60
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 61 -Kadi maneno -Mti maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 7 | 3 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza |
Umoja na wingi wa vifungu vya maneno
Hadithi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vifungu vya maneno katika umoja na wingi, - kusoma vifungu vya maneno katika umoja na wingi, - kuandika umoja na wingi wa vifungu vya maneno, - kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vifungu vya maneno katika umoja na wingi -kusoma vifungu vifungu vya maneno katika umoja na wingi -kuandika umoja na wingi wa vifungu vya maneno -kujaza nafasi zilizo wazi ili kukamilisha vifungu vya maneno katika umoja na wingi -kushiriki katika mchezo wa kupanga kadi za vifungu vya maneno |
Je, unapozungumzia umoja na wingi wa maneno au sentensi unamaanisha nini?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 62
-Kadi maneno -Mti maneno -Vifaa vya kidijitali -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 63 Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 66 -Chati -Picha -Vifaa halisi |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 8 | 1 |
MNYAMA NIMPENDAYE
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Hadithi
Kusoma kwa ufahamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua picha kuhusu suala lengwa, - kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza, - kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza, - kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza, - kufurahia ufahamu wa kusikiliza. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua picha kutoka kwenye kitabu, chati, vifaa vya kidijitali -kujadili picha kutoka kwenye kitabu, chati, vya kidijitali -kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi -kusikiliza ufahamu kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vyombo vya kidijitali -kutambua msamiati uliotumika katika ufahamu aliousikiliza -kujibu maswali yanayohusiana na ufahamu aliousikiliza -kueleza maudhui ya ufahamu aliousikiliza -kumsimulie mzazi au mlezi wake hadithi aliyoisikiliza kuhusu suala lengwa |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 67
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Picha -Vifaa halisi -Muongozo wa Mwalimu Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 68 Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 69 -Maelezo ya somo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 8 | 2 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa ufahamu
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu, - kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha, - kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu - kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu, - kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusikiliza au kutazama nyimbo kuhusu suala lengwa -kutaja masuala ya suala lengwa -kuimba nyimbo kuhusu suala lengwa -kutabiri kitakachotokea katika hadithi akizingatia picha -kusoma kifungu chepesi cha maneno 39- 42 -kutambua msamiati wa suala lengwa -kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano -kueleza ujumbe wa kifungu kwa kutazama picha -kuthibitisha utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma -kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 70
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 71 Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 72 -Kadi maneno -Mti maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 8 | 3 |
Kuandika
Sarufi Sarufi Sarufi |
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi
Matumizi ya -ako na -enu Matumizi ya -ako na -enu Matumizi ya -ako na -enu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua kiulizi katika maandishi, - kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake, - kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi, - kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua kiulizi katika maandishi kitabuni, kwenye kadi maneno, mti maneno na kifaa cha kidijitali -kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -kutazama matumizi ya kiulizi kwenye vifaa vya kidijitali -kuandika kiulizi akitumia kifaa cha kidijitali -kuandika sentensi sahili akitumia kiulizi ipasavyo -kumwonyesha mzazi au mlezi sentensi zenye matumizi yafaayo ya kiulizi |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 73
-Vifaa vya kidijitali -Kadi maneno -Mti maneno -Chati -Muongozo wa Mwalimu Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 74 -Kapu maneno -Vifaa halisi Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 75 Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 76 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
Your Name Comes Here