If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 | 1 |
LISHE BORA
Kusikiliza na Kuzungumza |
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kujadili ni lini maneno husika yanatumiwa katika mawasiliano -Kutazama michoro mbalimbali na kujadili neno linalofaa kutumiwa |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Michoro -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 1 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kujadili ni lini maneno husika yanatumiwa katika mawasiliano -Kutazama michoro mbalimbali na kujadili neno linalofaa kutumiwa |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Michoro -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 1 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kujadili ni lini maneno husika yanatumiwa katika mawasiliano -Kutazama michoro mbalimbali na kujadili neno linalofaa kutumiwa |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Michoro -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 2 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutumia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama video kuhusu matumizi ya maneno ya heshima na adabu -Kuambatanisha matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo na hisia katika maigizo -Kuigiza mazungumzo kwa kutumia maneno ya heshima na adabu |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Video za maigizo -Karatasi za kazi |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maigizo
-Orodha za kukagua
|
|
| 2 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutumia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama video kuhusu matumizi ya maneno ya heshima na adabu -Kuambatanisha matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo na hisia katika maigizo -Kuigiza mazungumzo kwa kutumia maneno ya heshima na adabu |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Video za maigizo -Karatasi za kazi |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maigizo
-Orodha za kukagua
|
|
| 2 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutumia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama video kuhusu matumizi ya maneno ya heshima na adabu -Kuambatanisha matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo na hisia katika maigizo -Kuigiza mazungumzo kwa kutumia maneno ya heshima na adabu |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Video za maigizo -Karatasi za kazi |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maigizo
-Orodha za kukagua
|
|
| 3 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Maneno ya Heshima na Adabu: Kuwasiliana
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuigiza vitendo vya heshima na adabu -Kutumia maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo -Kuwasiliana na mzazi au mlezi kwa kutumia maneno ya adabu na heshima ifaavyo |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 43
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maigizo -Mazingira ya nyumbani |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maigizo
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 3 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Maneno ya Heshima na Adabu: Kuwasiliana
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuigiza vitendo vya heshima na adabu -Kutumia maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo -Kuwasiliana na mzazi au mlezi kwa kutumia maneno ya adabu na heshima ifaavyo |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 43
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maigizo -Mazingira ya nyumbani |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maigizo
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 3 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Maneno ya Heshima na Adabu: Kuwasiliana
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuigiza vitendo vya heshima na adabu -Kutumia maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo -Kuwasiliana na mzazi au mlezi kwa kutumia maneno ya adabu na heshima ifaavyo |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 43
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maigizo -Mazingira ya nyumbani |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maigizo
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 4 | 1 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kutazama picha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama picha kuhusu lishe bora -Kutambua vitu vinavyohusiana na lishe bora katika picha -Kujadili kuhusu vyakula mbalimbali kulingana na picha |
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Picha za vyakula -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 4 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kutazama picha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama picha kuhusu lishe bora -Kutambua vitu vinavyohusiana na lishe bora katika picha -Kujadili kuhusu vyakula mbalimbali kulingana na picha |
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Picha za vyakula -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 4 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kusoma kifungu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma kifungu chepesi cha maneno 35-38 -Kutambua msamiati wa suala lengwa (afya, nguvu, protini, wanga, vitamini) -Kutabiri kitakachotokea katika hadithi akizingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu |
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Kifungu cha ufahamu -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Majaribio ya kusoma
-Orodha za kukagua
|
|
| 5 | 1 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kueleza mafunzo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuthibitisha utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma -Kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu -Kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi kuhusu suala lengwa |
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Kifungu cha ufahamu -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya ufahamu
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 5 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kueleza mafunzo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuthibitisha utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma -Kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu -Kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi kuhusu suala lengwa |
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Kifungu cha ufahamu -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya ufahamu
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 5 | 3 |
Kuandika
|
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi -Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi -Kuwaonyesha wenzake mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kujadili kuhusu herufi ndogo na mpangilio wake ufaao |
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Daftari |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 1 |
Kuandika
|
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kunakili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi -Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kunakili kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kutumia kifaa cha kidijitali kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kutazama picha na kuandika kifungu zinazohusiana |
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kifungu cha lishe bora -Daftari |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kunakili
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 2 |
Kuandika
|
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kunakili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi -Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kunakili kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kutumia kifaa cha kidijitali kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kutazama picha na kuandika kifungu zinazohusiana |
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kifungu cha lishe bora -Daftari |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kunakili
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 3 |
Kuandika
|
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kutunga
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi -Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutunga kifungu kuhusu suala lengwa akizingatia mpangilio unaofaa -Kuandika kifungu kwenye kitabu chao akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kuwaombe wenzake wasome kifungu chao na watoe maoni |
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Picha za lishe bora |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutunga
-Tathmini ya wenzao
|
|
| 7 |
Midterm break |
||||||||
| 8 | 1 |
Sarufi
|
Matumizi ya Huyo na Hao: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu -Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi -Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua matumizi ya huyo na hao kwa kutumia nyenzo -Kusikiliza kifungu au wimbo kuhusu matumizi ya huyo na hao -Kumsomea mwenzako sentensi zilizopo chini ya picha |
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Picha za watu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 8 | 2 |
Sarufi
|
Matumizi ya Huyo na Hao: Kutumia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu -Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi -Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma sentensi zenye kudhihirisha matumizi ya huyo na hao -Kuigiza vitendo vya kuwaashiria watu mbalimbali -Kumtungia mwenzake katika kikundi sentensi kwa kutumia huyo na hao -Kujaza nafasi kwa kutumia huyo na hao |
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Picha za watu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maigizo
-Orodha za kukagua
|
|
| 8 | 3 |
Sarufi
|
Matumizi ya Huyo na Hao: Kutumia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu -Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi -Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma sentensi zenye kudhihirisha matumizi ya huyo na hao -Kuigiza vitendo vya kuwaashiria watu mbalimbali -Kumtungia mwenzake katika kikundi sentensi kwa kutumia huyo na hao -Kujaza nafasi kwa kutumia huyo na hao |
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Picha za watu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maigizo
-Orodha za kukagua
|
|
| 9 | 1 |
Sarufi
|
Matumizi ya Huyo na Hao: Kuwasiliana
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu -Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi -Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuandika sentensi zinazodhihirisha matumizi ya huyo na hao -Kujaza nafasi kwa kutumia huyo na hao akielekezwa na mwalimu -Kurejelea watu wa familia yao kwa kutumia huyo na hao |
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Picha za watu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Mazungumzo na wazazi
|
|
Your Name Comes Here