Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA PILI
MWAKA WA 2026
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
1 1
LISHE BORA

Kusikiliza na Kuzungumza
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutambua
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii
-Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo
-Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii
-Kujadili ni lini maneno husika yanatumiwa katika mawasiliano
-Kutazama michoro mbalimbali na kujadili neno linalofaa kutumiwa
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Michoro
-Kadi za maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Orodha za kukagua
1 2
Kusikiliza na Kuzungumza
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutambua
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii
-Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo
-Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii
-Kujadili ni lini maneno husika yanatumiwa katika mawasiliano
-Kutazama michoro mbalimbali na kujadili neno linalofaa kutumiwa
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Michoro
-Kadi za maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Orodha za kukagua
1 3
Kusikiliza na Kuzungumza
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutambua
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii
-Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo
-Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii
-Kujadili ni lini maneno husika yanatumiwa katika mawasiliano
-Kutazama michoro mbalimbali na kujadili neno linalofaa kutumiwa
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Michoro
-Kadi za maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Orodha za kukagua
2 1
Kusikiliza na Kuzungumza
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutumia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii
-Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo
-Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama video kuhusu matumizi ya maneno ya heshima na adabu
-Kuambatanisha matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo na hisia katika maigizo
-Kuigiza mazungumzo kwa kutumia maneno ya heshima na adabu
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Video za maigizo
-Karatasi za kazi
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maigizo -Orodha za kukagua
2 2
Kusikiliza na Kuzungumza
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutumia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii
-Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo
-Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama video kuhusu matumizi ya maneno ya heshima na adabu
-Kuambatanisha matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo na hisia katika maigizo
-Kuigiza mazungumzo kwa kutumia maneno ya heshima na adabu
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Video za maigizo
-Karatasi za kazi
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maigizo -Orodha za kukagua
2 3
Kusikiliza na Kuzungumza
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutumia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii
-Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo
-Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama video kuhusu matumizi ya maneno ya heshima na adabu
-Kuambatanisha matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo na hisia katika maigizo
-Kuigiza mazungumzo kwa kutumia maneno ya heshima na adabu
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Video za maigizo
-Karatasi za kazi
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maigizo -Orodha za kukagua
3 1
Kusikiliza na Kuzungumza
Maneno ya Heshima na Adabu: Kuwasiliana
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii
-Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo
-Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuigiza vitendo vya heshima na adabu
-Kutumia maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo
-Kuwasiliana na mzazi au mlezi kwa kutumia maneno ya adabu na heshima ifaavyo
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
Stadi za Kiswahili ukur. 43
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kadi za maigizo
-Mazingira ya nyumbani
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maigizo -Tathmini ya mzazi/mlezi
3 2
Kusikiliza na Kuzungumza
Maneno ya Heshima na Adabu: Kuwasiliana
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii
-Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo
-Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuigiza vitendo vya heshima na adabu
-Kutumia maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo
-Kuwasiliana na mzazi au mlezi kwa kutumia maneno ya adabu na heshima ifaavyo
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
Stadi za Kiswahili ukur. 43
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kadi za maigizo
-Mazingira ya nyumbani
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maigizo -Tathmini ya mzazi/mlezi
3 3
Kusikiliza na Kuzungumza
Maneno ya Heshima na Adabu: Kuwasiliana
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii
-Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo
-Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuigiza vitendo vya heshima na adabu
-Kutumia maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo
-Kuwasiliana na mzazi au mlezi kwa kutumia maneno ya adabu na heshima ifaavyo
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
Stadi za Kiswahili ukur. 43
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kadi za maigizo
-Mazingira ya nyumbani
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maigizo -Tathmini ya mzazi/mlezi
4 1
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu: Kutazama picha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi
-Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha
-Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi
-Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi
-Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama picha kuhusu lishe bora
-Kutambua vitu vinavyohusiana na lishe bora katika picha
-Kujadili kuhusu vyakula mbalimbali kulingana na picha
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Picha za vyakula
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kadi za maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Kazi ya kutambua -Orodha za kukagua
4 2
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu: Kutazama picha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi
-Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha
-Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi
-Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi
-Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama picha kuhusu lishe bora
-Kutambua vitu vinavyohusiana na lishe bora katika picha
-Kujadili kuhusu vyakula mbalimbali kulingana na picha
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Picha za vyakula
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kadi za maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Kazi ya kutambua -Orodha za kukagua
4 3
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu: Kusoma kifungu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi
-Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha
-Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi
-Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi
-Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma kifungu chepesi cha maneno 35-38
-Kutambua msamiati wa suala lengwa (afya, nguvu, protini, wanga, vitamini)
-Kutabiri kitakachotokea katika hadithi akizingatia picha
-Kueleza ujumbe wa kifungu
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Kifungu cha ufahamu
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kadi za maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Majaribio ya kusoma -Orodha za kukagua
5 1
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu: Kueleza mafunzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi
-Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha
-Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi
-Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi
-Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuthibitisha utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma
-Kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano
-Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu
-Kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi kuhusu suala lengwa
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Kifungu cha ufahamu
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kadi za maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Kazi ya ufahamu -Tathmini ya mzazi/mlezi
5 2
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu: Kueleza mafunzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi
-Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha
-Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi
-Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi
-Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuthibitisha utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma
-Kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano
-Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu
-Kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi kuhusu suala lengwa
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Kifungu cha ufahamu
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kadi za maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Kazi ya ufahamu -Tathmini ya mzazi/mlezi
5 3
Kuandika
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kutambua
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi
-Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo
-Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi
-Kuwaonyesha wenzake mpangilio ufaao wa herufi ndogo
-Kujadili kuhusu herufi ndogo na mpangilio wake ufaao
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kadi za maneno
-Daftari
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Kazi ya kutambua -Orodha za kukagua
6 1
Kuandika
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kunakili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi
-Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo
-Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano
Mwanafunzi aongozwe:
-Kunakili kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo
-Kutumia kifaa cha kidijitali kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo
-Kutazama picha na kuandika kifungu zinazohusiana
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kifungu cha lishe bora
-Daftari
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Kazi ya kunakili -Orodha za kukagua
6 2
Kuandika
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kunakili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi
-Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo
-Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano
Mwanafunzi aongozwe:
-Kunakili kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo
-Kutumia kifaa cha kidijitali kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo
-Kutazama picha na kuandika kifungu zinazohusiana
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kifungu cha lishe bora
-Daftari
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Kazi ya kunakili -Orodha za kukagua
6 3
Kuandika
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kutunga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi
-Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo
-Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutunga kifungu kuhusu suala lengwa akizingatia mpangilio unaofaa
-Kuandika kifungu kwenye kitabu chao akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo
-Kuwaombe wenzake wasome kifungu chao na watoe maoni
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Daftari
-Picha za lishe bora
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Kazi ya kutunga -Tathmini ya wenzao
7

Midterm break

8 1
Sarufi
Matumizi ya Huyo na Hao: Kutambua
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu
-Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi
-Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua matumizi ya huyo na hao kwa kutumia nyenzo
-Kusikiliza kifungu au wimbo kuhusu matumizi ya huyo na hao
-Kumsomea mwenzako sentensi zilizopo chini ya picha
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kadi za maneno
-Picha za watu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Kazi ya kutambua -Orodha za kukagua
8 2
Sarufi
Matumizi ya Huyo na Hao: Kutumia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu
-Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi
-Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma sentensi zenye kudhihirisha matumizi ya huyo na hao
-Kuigiza vitendo vya kuwaashiria watu mbalimbali
-Kumtungia mwenzake katika kikundi sentensi kwa kutumia huyo na hao
-Kujaza nafasi kwa kutumia huyo na hao
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kadi za maneno
-Picha za watu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maigizo -Orodha za kukagua
8 3
Sarufi
Matumizi ya Huyo na Hao: Kutumia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu
-Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi
-Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma sentensi zenye kudhihirisha matumizi ya huyo na hao
-Kuigiza vitendo vya kuwaashiria watu mbalimbali
-Kumtungia mwenzake katika kikundi sentensi kwa kutumia huyo na hao
-Kujaza nafasi kwa kutumia huyo na hao
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Kadi za maneno
-Picha za watu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maigizo -Orodha za kukagua
9 1
Sarufi
Matumizi ya Huyo na Hao: Kuwasiliana
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu
-Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi
-Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuandika sentensi zinazodhihirisha matumizi ya huyo na hao
-Kujaza nafasi kwa kutumia huyo na hao akielekezwa na mwalimu
-Kurejelea watu wa familia yao kwa kutumia huyo na hao
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa Mwalimu
-Daftari
-Picha za watu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Kazi ya maandishi -Mazungumzo na wazazi

Your Name Comes Here


Download

Feedback