If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 2 | 1 |
LISHE BORA
Kusikiliza na Kuzungumza |
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kujadili ni lini maneno husika yanatumiwa katika mawasiliano -Kutazama michoro mbalimbali na kujadili neno linalofaa kutumiwa |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Michoro -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 2 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutumia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama video kuhusu matumizi ya maneno ya heshima na adabu -Kuambatanisha matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo na hisia katika maigizo -Kuigiza mazungumzo kwa kutumia maneno ya heshima na adabu |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Video za maigizo -Karatasi za kazi |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maigizo
-Orodha za kukagua
|
|
| 2 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Maneno ya Heshima na Adabu: Kuwasiliana
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuigiza vitendo vya heshima na adabu -Kutumia maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo -Kuwasiliana na mzazi au mlezi kwa kutumia maneno ya adabu na heshima ifaavyo |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 43
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maigizo -Mazingira ya nyumbani |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maigizo
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 2 | 4 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Maneno ya Heshima na Adabu: Kuwasiliana
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuigiza vitendo vya heshima na adabu -Kutumia maneno ya heshima na adabu katika mazungumzo -Kuwasiliana na mzazi au mlezi kwa kutumia maneno ya adabu na heshima ifaavyo |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 43
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maigizo -Mazingira ya nyumbani |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maigizo
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 3 | 1 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kutazama picha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama picha kuhusu lishe bora -Kutambua vitu vinavyohusiana na lishe bora katika picha -Kujadili kuhusu vyakula mbalimbali kulingana na picha |
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Picha za vyakula -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 3 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kusoma kifungu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma kifungu chepesi cha maneno 35-38 -Kutambua msamiati wa suala lengwa (afya, nguvu, protini, wanga, vitamini) -Kutabiri kitakachotokea katika hadithi akizingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu |
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Kifungu cha ufahamu -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Majaribio ya kusoma
-Orodha za kukagua
|
|
| 3 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kueleza mafunzo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuthibitisha utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma -Kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu -Kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi kuhusu suala lengwa |
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Kifungu cha ufahamu -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya ufahamu
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 3 | 4 |
Kuandika
|
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi -Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi -Kuwaonyesha wenzake mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kujadili kuhusu herufi ndogo na mpangilio wake ufaao |
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Daftari |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 4 | 1 |
Kuandika
|
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kunakili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi -Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kunakili kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kutumia kifaa cha kidijitali kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kutazama picha na kuandika kifungu zinazohusiana |
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kifungu cha lishe bora -Daftari |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kunakili
-Orodha za kukagua
|
|
| 4 | 2 |
Kuandika
|
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kunakili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi -Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kunakili kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kutumia kifaa cha kidijitali kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kutazama picha na kuandika kifungu zinazohusiana |
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kifungu cha lishe bora -Daftari |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kunakili
-Orodha za kukagua
|
|
| 4 | 3 |
Kuandika
|
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kutunga
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi -Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutunga kifungu kuhusu suala lengwa akizingatia mpangilio unaofaa -Kuandika kifungu kwenye kitabu chao akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kuwaombe wenzake wasome kifungu chao na watoe maoni |
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Picha za lishe bora |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutunga
-Tathmini ya wenzao
|
|
| 4 | 4 |
Sarufi
|
Matumizi ya Huyo na Hao: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu -Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi -Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua matumizi ya huyo na hao kwa kutumia nyenzo -Kusikiliza kifungu au wimbo kuhusu matumizi ya huyo na hao -Kumsomea mwenzako sentensi zilizopo chini ya picha |
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Picha za watu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 5 | 1 |
Sarufi
|
Matumizi ya Huyo na Hao: Kutumia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu -Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi -Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma sentensi zenye kudhihirisha matumizi ya huyo na hao -Kuigiza vitendo vya kuwaashiria watu mbalimbali -Kumtungia mwenzake katika kikundi sentensi kwa kutumia huyo na hao -Kujaza nafasi kwa kutumia huyo na hao |
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Picha za watu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maigizo
-Orodha za kukagua
|
|
| 5 | 2 |
Sarufi
|
Matumizi ya Huyo na Hao: Kuwasiliana
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu -Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi -Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuandika sentensi zinazodhihirisha matumizi ya huyo na hao -Kujaza nafasi kwa kutumia huyo na hao akielekezwa na mwalimu -Kurejelea watu wa familia yao kwa kutumia huyo na hao |
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Picha za watu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Mazungumzo na wazazi
|
|
| 5 | 3 |
Sarufi
|
Matumizi ya Huyo na Hao: Kuwasiliana
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu -Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi -Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuandika sentensi zinazodhihirisha matumizi ya huyo na hao -Kujaza nafasi kwa kutumia huyo na hao akielekezwa na mwalimu -Kurejelea watu wa familia yao kwa kutumia huyo na hao |
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Picha za watu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Mazungumzo na wazazi
|
|
| 5 | 4 |
USAFIRI
Kusikiliza na Kuzungumza |
Matamshi Bora: Sauti /ch/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua silabi za sauti lengwa katika maneno -Kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa kwa ufasaha -Kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya sauti lengwa akizingatia matamshi bora -Kufurahia matamshi bora katika mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua silabi za sauti lengwa /ch/ katika maneno -Kusikiliza maneno yenye silabi za sauti lengwa -Kutamka maneno aliyosikiliza pamoja na mwalimu -Kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa |
Je, ni maneno gani unayojua yenye sauti /ch/?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 59
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno -Vifaa kwa kurekodi |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya vihisika
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Matamshi Bora: Sauti /dh/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua silabi za sauti lengwa katika maneno -Kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa kwa ufasaha -Kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya sauti lengwa akizingatia matamshi bora -Kufurahia matamshi bora katika mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua silabi za sauti lengwa /dh/ katika maneno -Kusikiliza maneno yenye silabi za sauti lengwa -Kutamka maneno aliyosikiliza pamoja na mwalimu -Kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya sauti /dh/ |
Je, ni maneno gani unayojua yenye sauti /dh/?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 62
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno -Vifaa kwa kurekodi |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya vihisika
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Matamshi Bora: Kujirekodi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua silabi za sauti lengwa katika maneno -Kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa kwa ufasaha -Kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya sauti lengwa akizingatia matamshi bora -Kufurahia matamshi bora katika mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kujirekodi katika kifaa cha kidijitali ukisoma kifungu -Kusikiliza ulivyotamka maneno yenye silabi za sauti /ch/ na /dh/ -Kutoa maoni kuhusu matamshi ya wenzake |
Je, ni maneno gani unayojua yenye sauti /ch/ na /dh/?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 65
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kipande cha "Lori la chuma" -Vifaa kwa kurekodi |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Jengo la mtu binafsi
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufasaha: Kutambua sauti
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua sauti lengwa katika matini mbalimbali -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo -Kufurahia kusoma kifungu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua sauti /ch/ na /dh/ katika kadi maneno, mti maneno -Kusoma maneno yenye sauti lengwa -Kutambua maneno yenye sauti /ch/ na /dh/ katika sentensi |
Je, ni maneno gani unayojua yenye sauti /ch/ na /dh/?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 66
-Kifungu cha hadithi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Daftari |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Majaribio ya kusoma
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufasaha: Kutambua sauti
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua sauti lengwa katika matini mbalimbali -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo -Kufurahia kusoma kifungu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua sauti /ch/ na /dh/ katika kadi maneno, mti maneno -Kusoma maneno yenye sauti lengwa -Kutambua maneno yenye sauti /ch/ na /dh/ katika sentensi |
Je, ni maneno gani unayojua yenye sauti /ch/ na /dh/?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 66
-Kifungu cha hadithi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Daftari |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Majaribio ya kusoma
-Orodha za kukagua
|
|
| 7 | 1 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufasaha: Kurakibia matamshi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua sauti lengwa katika matini mbalimbali -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo -Kufurahia kusoma kifungu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia matamshi bora -Kusoma kifungu kwa sauti inayosikika -Kusoma kifungu kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno 36 kwa dakika) |
Je, ni mambo gani unazingatia kusoma kwa ufasaha?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 66
-Kifungu cha "Safari yetu" -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Majaribio ya kusoma
-Orodha za kukagua
|
|
| 7 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufasaha: Kutumia ishara
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua sauti lengwa katika matini mbalimbali -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo -Kufurahia kusoma kifungu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma kifungu kwa kuzingatia ishara zifaazo -Kusoma hadithi kutoka kwenye kitabu, kifaa cha kidijitali akizingatia matamshi bora, sauti inayosikika, kasi na ishara zifaazo -Kutumia kifaa cha kidijitali kujirekodi wakati wakisoma kifungu |
Je, ni mambo gani unazingatia kusoma kwa ufasaha?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 68
-Kifungu cha hadithi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Majaribio ya kusoma
-Jengo la mtu binafsi
|
|
| 7 | 3 |
Kuandika
|
Nafasi katika Maandishi: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi -Kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi kwa maandishi -Kufurahia kuandika akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi -Kuwaonyesha wenzake nafasi kati ya maneno katika sentensi -Kujadili kwa nini tunatumia nafasi kati ya maneno |
Je, kwa nini tunatumia nafasi kati ya maneno katika sentensi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 69
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Picha za usafiri |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 7 | 4 |
Kuandika
|
Nafasi katika Maandishi: Kuandika
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi -Kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi kwa maandishi -Kufurahia kuandika akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuandika sentensi kuhusu suala lengwa akizingatia nafasi kati ya maneno -Kuwaonyesha wenzake sentensi alizoziandika ili wazitolee maoni -Kurekebisha sentensi akizingatia nafasi inayofaa |
Je, kwa nini tunatumia nafasi kati ya maneno katika sentensi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 69
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Picha za usafiri |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 8 | 1 |
Kuandika
|
Nafasi katika Maandishi: Kutumia dijitali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi -Kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi kwa maandishi -Kufurahia kuandika akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutumia kifaa cha kidijitali kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno -Kutunga sentensi ukitumia maneno kama garimoshi, matatu, basi, baiskeli -Kurakibia kufaa na nafasi inayofaa |
Je, kwa nini tunatumia nafasi kati ya maneno katika sentensi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 71
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Maneno ya usafiri |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kidijitali
-Tathmini ya wenzao
|
|
| 8 | 2 |
Kuandika
|
Nafasi katika Maandishi: Kutumia dijitali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi -Kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi kwa maandishi -Kufurahia kuandika akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutumia kifaa cha kidijitali kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno -Kutunga sentensi ukitumia maneno kama garimoshi, matatu, basi, baiskeli -Kurakibia kufaa na nafasi inayofaa |
Je, kwa nini tunatumia nafasi kati ya maneno katika sentensi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 71
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Maneno ya usafiri |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kidijitali
-Tathmini ya wenzao
|
|
| 8 | 3 |
Sarufi
|
Umoja na Wingi wa Vifungu: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua vifungu vya maneno katika umoja na wingi -Kusoma vifungu vya maneno katika umoja na wingi -Kuandika umoja na wingi wa vifungu vya maneno -Kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua vifungu vya maneno katika umoja na wingi -Kuzingatia moyo hili - mabasi haya, safari hii - safari hizi -Kusoma vifungu vya maneno kutoka kwenye chati au vifaa vya kidijitali |
Je, unapozungumzia umoja na wingi wa maneno au sentensi unamaanisha nini?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 72
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Picha |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 8 | 4 |
Sarufi
|
Umoja na Wingi wa Vifungu: Kutumia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua vifungu vya maneno katika umoja na wingi -Kusoma vifungu vya maneno katika umoja na wingi -Kuandika umoja na wingi wa vifungu vya maneno -Kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuandika umoja na wingi wa vifungu vya maneno -Kujaza nafasi zilizo wazi ili kukamilisha vifungu vya maneno -Kushiriki katika mchezo wa kupanga kadi za vifungu vya maneno |
Je, unapozungumzia umoja na wingi wa maneno au sentensi unamaanisha nini?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 72
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Picha |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kuandika
-Mchezo wa kadi
|
|
| 9 | 1 |
Sarufi
|
Umoja na Wingi wa Vifungu: Kukamilisha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua vifungu vya maneno katika umoja na wingi -Kusoma vifungu vya maneno katika umoja na wingi -Kuandika umoja na wingi wa vifungu vya maneno -Kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kucheza mchezo wa kuambatanisha kadi za umoja na za wingi -Kuandika kadi za majina mbalimbali yanayohusiana na usafiri -Kutunga sentensi kwa kutumia vifungu vya maneno kuhusu usafiri |
Je, unapozungumzia umoja na wingi wa maneno au sentensi unamaanisha nini?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 75
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Jedwali la umoja na wingi |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Mchezo wa ushirikiano
|
|
| 9 | 2 |
MNYAMA NIMPENDAYE
Kusikiliza na Kuzungumza |
Hadithi: Kutambua picha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua picha kuhusu suala lengwa -Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza -Kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza -Kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza -Kufurahia ufahamu wa kusikiliza |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua picha kutoka kwenye kitabu, chati -Kujadili picha kutoka kwenye vifaa vya kidijitali -Kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 78
-Picha za wanyama -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Chati -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 9 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi: Kutambua picha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua picha kuhusu suala lengwa -Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza -Kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza -Kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza -Kufurahia ufahamu wa kusikiliza |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua picha kutoka kwenye kitabu, chati -Kujadili picha kutoka kwenye vifaa vya kidijitali -Kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 78
-Picha za wanyama -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Chati -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 9 | 4 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi: Kusikiliza ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua picha kuhusu suala lengwa -Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza -Kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza -Kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza -Kufurahia ufahamu wa kusikiliza |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusikiliza ufahamu kutoka kwa mwalimu au vyombo vya kidijitali -Kutambua msamiati uliotumika katika ufahamu aliousikiliza -Kujibu maswali yanayohusiana na ufahamu |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 79
-Kifungu cha ufahamu -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya ufahamu
-Orodha za kukagua
|
|
| 10 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi: Kueleza maudhui
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua picha kuhusu suala lengwa -Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza -Kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza -Kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza -Kufurahia ufahamu wa kusikiliza |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kueleza maudhui ya ufahamu aliousikiliza -Kusikiliza hadithi kutoka kwenye kifaa cha kidijitali -Kumsimulie mzazi au mlezi hadithi aliyoisikiliza |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 80
-Kifungu cha ufahamu -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya mdomo
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 10 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kutazama picha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusikiliza au kutazama nyimbo kuhusu suala lengwa -Kutaja masuala ya suala lengwa -Kutabiri kitakachotokea katika hadithi akizingatia picha |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 81
-Picha za wanyama -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 10 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kusoma kifungu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma kifungu chepesi cha maneno 39-42 -Kutambua msamiati wa suala lengwa -Kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano -Kueleza ujumbe wa kifungu kwa kutazama picha |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 81
-Kifungu cha ufahamu -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Majaribio ya kusoma
-Orodha za kukagua
|
|
| 10 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kueleza mafunzo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuthibitisha utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kusoma hadithi za Fatuma na mbuzi wake, Kibanda cha mbwa, Sifa na sungura wake |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 83
-Kifungu cha ufahamu -Hadithi mbalimbali -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya ufahamu
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 11 | 1 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua kiulizi katika maandishi -Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua kiulizi katika maandishi kitabuni -Kuwaonyesha wenzake alama ya kiulizi katika sentensi -Kusikiliza maelezo ya mwalimu kuhusu alama ya kiulizi |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 84
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 11 | 2 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua kiulizi katika maandishi -Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua kiulizi katika maandishi kitabuni -Kuwaonyesha wenzake alama ya kiulizi katika sentensi -Kusikiliza maelezo ya mwalimu kuhusu alama ya kiulizi |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 84
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 11 | 3 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kuandika
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua kiulizi katika maandishi -Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kuandika sentensi sahihi akitumia kiulizi ipasavyo |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 85
-Daftari -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Sentensi za muundo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 11 | 4 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kumsomea
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua kiulizi katika maandishi -Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama matumizi ya kiulizi kwenye vifaa vya kidijitali -Kuandika kiulizi akitumia kifaa cha kidijitali -Kumwonyesha mzazi au mlezi sentensi zenye matumizi yafaayo ya kiulizi |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 87
-Daftari -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Maswali ya picha |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 12 | 1 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu -Kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi -Kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua matumizi ya -ako na -enu katika kadi za maneno -Kusikiliza kifungu au wimbo unaohusu matumizi ya -ako na -enu -Kujadili kuhusu matumizi ya -ako na -enu |
Je, -ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 87
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Picha za wanyama |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 12 | 2 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu -Kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi -Kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua matumizi ya -ako na -enu katika kadi za maneno -Kusikiliza kifungu au wimbo unaohusu matumizi ya -ako na -enu -Kujadili kuhusu matumizi ya -ako na -enu |
Je, -ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 87
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Picha za wanyama |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 12 | 3 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu: Kutumia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu -Kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi -Kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kumtungia mwenzake sentensi zenye matumizi ya -ako na -enu -Kuandika sentensi zenye -ako na -enu -Kujaza nafasi kwa kutumia -ako na -enu |
Je, -ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 89
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Picha za wanyama |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 12 | 4 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu: Kuwasilisha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu -Kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi -Kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuwasomee wenzake sentensi zenye matumizi ya -ako na -enu -Kuwasiliana na wazazi kwa kutumia -ako na -enu -Kutunga sentensi na kuziandika kwenye daftari |
Je, -ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 91
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Hadithi ya Sifa na sungura wake |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya uwasilishaji
-Mazungumzo na wazazi
|
Your Name Comes Here