Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA NANE
MWAKA WA 2024
MUHULA WA III

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI_ZA_UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
1 1
KUANDIKA
Insha za Kiuamilifu Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo,
kueleza maana ya hotuba ya kutoa ufafanuzi
kutambua hotuba ya kutoa ufafanuzi katika matini
kujadili ujumbe, lugha na muundo wa hotuba ya kutoa ufafanuzi
kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kwa kuzingatia vipengele vyake
kuchangamkia nafasi ya hotuba ya kutoa ufafanuzi katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:
kueleza maana ya hotuba ya kutoa ufafanuzi akiwa peke yake
kujadiliana na wenzake kuhusu ujumbe (unaolenga kinachotolewa ufafanuzi),lugha (nyepesi inayoeleweka) na muundo ufaao wa hotuba ya kutoa ufafanuzi
kujadili na wenzake miktadha inayochochea hotuba ya kutoa ufafanuzi
kujadili na wenzakekatika kikundividokezo vinavyoweza kutumiwa katika kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi
kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzikuhusu suala lengwa akizingatia ujumbe, lugha na muundo ufaao kisha awasambazie wenzake mtandaoni au kuwasomea darasani ili waitolee maoni
kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzikuhusu suala linaloathiri jamii yao kisha amsomee mzazi au mlezi ili aitolee maoni
Ni mambo gani ya kuzingatia katika kutoa hotuba ya ufafanuzi?
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha isha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.76
a)Kuandika tungo mbalimbali b)Wanafunzi kufanyiana tathmini c)Potfolio d)Shajara e)Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
1 2
SARUFI
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
KUSOMA
KUANDIKA
Aina za SentensiSentensi Changamano
Wahusika katika Hadithi
Kusoma kwa Kina Tamthilia
Insha za KubuniMaelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo,
kueleza maana ya sentensi changamano ili kuipambanua
kutambua sentensi changamano katika matini
kutumia sentensi changamano ipasavyo katikamatinid)kuonea fahari matumizi ya sentensi changamano katika mawasiliano ya kila siku
kutambua wahusika katika hadithi
kuchambua sifa za wahusika katika hadithi
kueleza mafunzo kutokana na wahusika katika hadithi
kufurahia kushiriki katika uchambuzi wa wahusika katika hadithi
kutambua mbinu za lugha katika tamthilia
kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia
kufurahia kuchanganua matumizi ya mbinu za lugha katika fasih
kutambua vipengele vya insha ya maelezo kuhusu mahali
kujadili vipengle vya vya insha ya maelezo kuhusu mahali
kuandika insha ya maelezo inayodhihirisha sifa za mahali
kuonea fahari utoaji wa maelezo kamilifu kuhusu kitu au jambo
Mwanafunzi aelekezwe:
kueleza maana ya sentensi changamano akiwa peke yake
kutenga sentensi changamano katika orodha ya sentensi kwenye vitabu, chati au tarakilishi kwa kuzipigia mstari au kuzikolezea wino akiwa peke yake au katika kikundi
kubainisha sentensi changamano zinazojitokeza katika vifunguakiwa na wenzake katika kikundi
kutunga sentensi changamano ipasavyo
kuwawasilishia wenzake darasani sentensi changamano aliyotunga ili waitathmin
ikumtungia mzazi au mlezi sentensi changamano zinazohusu shughuli katika mazingira ya nyumbani
kutambua washiriki katika hadithi inayosimuliwa(k.v fanani, hadhira) akiwa na mwenzake
kutambua sifa za wahusika katika hadithi aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vifaavya kidijitali (k.v wanyama, mazimwi, shujaa, kijana maskini, ndege, wadudu, n.k.)
kuchambua wahusika katika hadithi aliyosikiliza akiwa na wenzakekatika kikundi
kueleza mafunzo kutokana na wahusika katika hadithi wakiwa wawiliwawili
kutamba hadithi akiwa na wenzake huku wakichukua majukumu mbalimbali (k.v fanani, hadhira, n.k.)
kutunga hadithi fupi ambayo ina wahusika wanyama kuhusu suala lengwa na kuwawasilishia wenzake darasani ili wachambue wahusika
kuwasilishia mzaziau mlezi uchambuzi wasifa zawahusika katika hadithi aliyosikiliza
kutambua mbinu za lugha (k.v. urudiaji, tashbihi, sitiari, nahau, methali, tasfida, tanakali za sauti n.k.)kwenye tamthilia akiwa peke yake
kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia akiwa na wenzakekatika kikundi kuhakiki uwasilishaji wa wenzake kuhusu mbinu za lugha katika tamthilia na kuutolea maoni
kufanya utafiti maktabani au mtandaoni kuhusu matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia
kuwasilishia mzazi aumlezi uchambuzi wa matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia aliyosoma.
kutambua vigezo vyakimsingi katika uandishi wa insha ya maelezo akiwa na wenzake katika kikundi
kujadiliana na wenzake kuhusu mada ya insha ya maelezo
kujadili na wenzake vipengele vya insha ya maelezo kutokana na kielelezocha insha
kuandaa vidokezo vya insha ya maelezo kuhusu mahali panapolengwa katika insha ya maelezo akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi
kutumia lugha inayojenga picha ya kinachoelezewa (vivumishi, vielezi, vitenzi, tamathali za lugha)
kuandika insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali akizingatia muundo ufaao na inayohusisha suala lengwa kisha awasomee wenzake darasani
kubuni insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali kisha awasambazie wenzake mtandaoni ili waitolee maoni
kutolea insha za wenzake maoni kwa upendo
kumsomea mzazi au mleziinsha yakubuni aliyoandika ili aitolee maoni
Ni nini tofauti kati ya sentensi changamano na aina zingine za sentensi unazozijua?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.77
Chati Michoro
Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) Mti maneno
Kapu maneno
Vitabu mbalimbali
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.78
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.79
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.80
a)Kutambua k.m. kwenye orodha b)Kuambatanisha maneno lengwa c)Kujaza mapengo d)Kutunga sentensi e)Kazi mradi
1 3
SARUFI
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
KUSOMA
KUANDIKA
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hal
Hadithi Matumizi ya Lugha
Kusoma kwa Ufahamu
Insha za Maelekezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo,
kueleza maana ya ukanushaji ili kuupambanua
kutambua ukanushaji kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu katika matini
kukanusha sentensi kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu
kuchangamkia kukanusha sentensi katika hali ya mazoea na timilifu ili kukuza mawasiliano
kutambua vipengele vya lugha vinavyotumika katika hadithi
kujadili umuhimu wa vipengele vya lugha vinavyotumika katika hadithi
kusimulia hadithi kwa kutumia vipengele vya lugha ipasavyo
kuonea fahari uchanganuzi walugha katikahadithi kama utungo wa fasihisimulizi
kudondoa habari mahususi katika kifungu cha mjadala
kutambuamsamiati mpya katika kifungu cha mjadala
kuchambua mitazamo katika kifungu cha mjadala
kuridhia kusoma kifungu cha mjadalaili kukuza uelewa wa habari
kujadili vipengele vya insha ya maelekezo
kuandika insha ya maelekezoakizingatia vipengele vyake muhimu
kufurahia kuandika insha za maelekezoakizingatia vipengele vyake muhimu.
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua hali ya mazoea na timilifu kutoka kwenye chati, mti maneno, vitabu au vifaa vya kidijitaliakiwa peke yake
kutambua ukanushaji wa sentensi katika hali ya mazoea na timilifu akiwa na wenzake katika kikundi
kuchagua sentensi zinazoonyesha ukanushaji wa hali ya mazoea na timilifu kutoka kwenye mchanganyiko wa sentensi kutoka kwenye vitabu, tarakilishi au chati kwa kuzikolezea wino au kuzipigia mstari
kutunga sentensi kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu
kukanusha sentensi alizotunga kisha awatumie wenzake kupitia vifaa vya kidijitali au kuwasomea darasani ili wazitolee maoni
kutambua vipengele vya lugha (k.v urudiaji, tanakali za sauti, nahau, tashbihi, methali, n.k.)kwa kusikiliza hadithi kutoka kwa mwalimuau vifaa vya kidijitali akiwa peke yake
kujadili umuhimu wa vipengele vya lugha vilivyotumika katika hadithi walizosikiliza akiwa na wenzake
kusimulia hadithi kwa kutumia vipengele vya lugha(k.v tanakali za sauti, nahau, methali, tashbiha n.k)
kuwawasilishia wenzake hadithi aliyotunga ili watambue vipengele vya lugha vilivyotumika
kushirikiana na mzazi au mlezi kusikiliza hadithi na kutambua vipengele vya lugha vilivyotumika
kudondoa habari mahususi (k.v. nani, nini, wapi, lini)katika kifungu cha mjadalacha ufahamuwakiwa wawiliwawili
kutambua msamiati mpya (k.v. maneno na nahau)katika kifungu cha mjadala cha ufahamu na kuueleza kwa kutumia kamusi akiwa peke yake
kueleza maana ya msamiati uliotumiwa kwenye ufahamu na kutunga sentensi akiutumia kuchambua mitazamo iliyo katika kifungu cha ufahamu cha mjadala akiwa na mwenzake
kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni.
kujadili vipengele vya insha ya maelekezo (k.v matumizi yalugha, mpangilio ufaao wa maelekezo, uangavu,ubanaji)
kutambua maneno mwafaka, mpangilio mzuri wa sentensi na mpangilio sahihi wa hatua katika kielelezo cha insha ya maelekezo kutoka kwa mwalimu, kwenye maandishi (k.v vitabu, chati n.k) au vifaa vya kidijitali, akiwa peke yake
kuteuamaneno yatakayosaidia kufanikisha maelekezo (k.v. vielezi vya mahali:kulia,kushoto; vitenzi k. v.pinda, elekea, kata; vielekezi vya kiasi: vijiko viwili, nyanya tatu, n.k)
?kuandaa mpangilio ufaao wa sentensi zinazofuatana kulingana na maelekezo anayotaka kutoa (k.v maelekezo ya mahali:Tembea hadi mwendo wa kilomita moja. Ukifika kwenye zahanati upinde kulia; maelekezoya mapishi:weka unga vikombe vitatu kwenye bakuli, tia sukari vijiko vitanovikubwa; maelekezo ya mtihani:Jibu maswali matatu, swali la kwanza ni la lazima, n.k)
kushiriki katika kikundi kujadili maneno, sentensi na hatua zinazoafiki maelekezo yaliyolengwa
kuandika insha ya maelekezo akizingatia uteuzi mwafaka wa maneno, sentensi na hatua ili kumjengea msomaji taswira kamili ya kile kinachoelekezwa
kuwasomea wenzake katika kikundi insha ya maelekezo aliyoandika au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni
kushirikiana na wenzake kutoa maoni kuhusu insha ya maelekezo aliyoandika kwa kuzingatia uteuzi mwafaka wa maneno, mpangilio mzuri wa sentensi na mpangilio sahihi wa hatua
Je, unapotaka kukanusha sentensi unazingatia nini? Je, ukanushaji wa hali ya mazoea na timilifu hutofautianaje?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.81
Chati Michoro na picha
Mgeni mwalikwa Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) Mti maneno
Kapu maneno
Vitabu mbalimbali
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.82
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.83
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.84
a)Kutambua k.m. kwenye orodha b)Kuambatanisha maneno lengwa c)Kujaza mapengo d)Kutunga sentensi e)Kazi mradi
1 4
SARUFI
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
KUSOMA
KUANDIKA
Udogo wa Nomino
Kusikiliza Husishi
Ufupisho
Baruapepe ya Kiofisi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua nomino katika hali ya udogo katikamatini
kubadilisha nomino za hali ya wastani kuwa katika hali ya udogo
kutumia nomino katika hali ya udogo ipasavyo
kuonea fahari kutumia nomino katika hali ya udogo katika sentens
Funzo,
kueleza maana ya usikilizaji husishi
kutambua vipengele vya usikilizaji husishikatika matini
kujadili vipengele vya usikilizajihusishi ili kuvipambanua
kushiriki mazungumzo akizingatia vipengele vya usikilizaji husishi
kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza husishi ili kuimarisha uwezo wa kufuatilia habari zinazoelezwa
Funzo
kueleza kwa usahihi ujumbe wa aya za matini kwa sentensi mojamoja
kueleza kwa usahihi ujumbe wa aya zote za matini kwa aya moja
kuandika ufupisho unaozingatia mtazamo wa matini ya kufupishwa
kufurahia kufupisha ujumbe kwa usahihi katika miktadha mbalimbali
kutambua ujumbe unaoafiki baruapepe ya kiofisi
kutambua vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisi
kutumia lugha inayofaa katika uandishi wa baruapepe ya kiofisi
kuandika baruapepe ya kiofisikwa kuzingatia ujumbe, lugha namuundo ufaao
kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa kuandika baruapepe ya kiofisi
Mwanafunzi:
kutambua nomino katika hali ya udogo (k.v., kigoma, kidizi, kijitu, kijoka, kishamba, kijijiko n.k.)kwenye orodha ya nomino, chati,kadi maneno, kapu maneno, sentensi, vifungu vya maneno au tarakilishi
kutambua udogo katika maneno akiwa na wenzakekatika kikundi kuandika majina ya vifaa vya darasani katika udogo (k.v. kidawati, kijitabu, n.k.) wakiwa wawiliwawili
kubadilisha nomino za hali ya wastani ziwe katika katika hali ya udogo akiwa na wenzake katika kikundi
kutunga sentensi akitumia nomino katika hali ya udogo na kuwasilisha darasani ili wenzake wazitathmini
kumsomea mzazi au mlezi majina ya vitu vinavyopatikananyumbani au shuleni katika udogo nakumtungia sentensi kwa kutumia maneno hayo
Mwanafunzi aelekezwe:
kueleza maana ya usikilizaji husishi akishirikiana na mwenzake
kutambua miktadha rasmi na isiyo rasmi ambamo kusikiliza husishi hutokea katika jamii yake akiwa na wenzakekatika kikundi
kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza husishi (k.v.kuwa makini, kuuliza maswali yasiyoelekeza, kuomba ufafanuzi, kumtazama mzungumzaji, kuelewa ujumbe anaotaka kukupitishia, kumhimiza kuzungumza badala ya kutoa ushauri,kutumia ishara zifaazo, n.k) kutoka kwenyemazungumzo mafupi,wakiwa wawiliwawili
kusikilizamazungumzo kuhusu suala lengwa kutokavifaa vya kidijitali kama vile vinasasauti na akizingatia, na kutambua vipengele vya kusikiliza husishi vilivyozingatiwa
kuigizavikao rasmivya mazungumzo, (k.v.kati ya mwalimu mkuu na mzazi kuhusu nidhamu ya mtoto)akiwakatika kikundi
kujadili vipengele vya kusikiliza husishi vilivyozingatiwa na wahusika katika mazungumzo hayo
kujadili vipengele vya ufupisho (k.v habari muhimu katika aya, lugha ya anayefupisha, kudumisha mtazamo wa kifungu, idadi ya maneno)
kueleza kwa usahihi ujumbe katika kila aya kwa kutumia sentensi mojamoja akiwa peke yake
kueleza kwa usahihi ujumbe wa aya zote za matini kwa aya moja akiwa na mwenzake
kujadili katika kikundi kuhusu jinsi ya kuandika ufupisho wa matini
kuandika ufupisho unaozingatia mtazamo wa matini.
kumsomea mzazi au mlezi ufupisho alioufanya ili autolee maoni
kutambua ujumbe unaoafiki baruapepe ya kiofisikwa kujadiliana na mwenzake
kujadili vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisiakiwa katika kikundi
kushiriki katika kujadili na wenzake kuhusu lugha inayofaa katika uandishi wa baruapepe ya kiofisi
kuandika baruapepe ya kiofisikwenye tarakilishi na kumsambazia mwenzake kupitia mtandao ili aitolee maoni
kumwandikia mwalimu wake baruapepe ya kiofisiili aitathmini
kumsomea mzazi au mlezi baruapepe aliyoiandika ili aitolee maoni
Je, ni mambo gani tunayozingatia tunapotumianomino katika udogo?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Projekta
Kapu maneno
Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.85
Chati Michoro na picha
Mgeni mwalikwa Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) Mti maneno
Kapu maneno
Vitabu mbalimbali
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.86
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
Rununu rojekta Kinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.87
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.88
a)Kutambua k.m. kwenye orodha b)Kuambatanisha maneno lengwa c)Kujaza mapengo d)Kutunga sentensi e)Kazi mradi
2 1
SARUFI
KUANDIKA
Usemi Halisi na Usemi wa Taarifa
Vivumishi vya Sifa na Viashiria
Inshaza KubuniMaelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo,
kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katika matini
kujadili kanuni zakubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa kwa kuzingatia kanuni za kubadilisha usemi
kutumia usemi halisi na usemi wa taarifa ifaavyo
kuchangamkia matumizi ya usemi halisina usemi wa taarifa katika mawasiliano.
kipindi,
kutambua vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshikatika matini

kutumia vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi ipasavyo katika matini

kuchangamkia matumizi ya vivumishi vya sifa na viashiria katika mawasiliano
FUNZO,
kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo
kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri
kufurahia kuandika insha za maelezo akitumiatamathali mbalimbali za lughaili kujenga picha dhahiri
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katikamatini akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi
kujadili kanuni za kubadilisha usemi (k.v wakati, nafsi, alama za uakifishi)
kutambua kanuni za kimsingi za kubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa (k.v leo kuwa siku hiyo, kwetu kuwa kwao, hapa kuwa hapo, kiambishi
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua vivumishi vya sifa (k.v. -zuri, -embamba, bora, safi) na viashiria (k.v huyu, hizo, kile) kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno

kutenga vivumishi vya sifa na viashiria katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwakuvipigia mstari au kuvikolezea wino katika matini za kidijitali

kumtajia mwenzake vivumishi vya sifa na viashiria katika mazingira ya shuleni na ya nyumbani

kutunga sentensi kwa kutumia vivumishi vya sifa na viashiria akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kutunga aya kuhusu suala lengwa kwa kutumia vivumishi vya sifa na viashiria akiwa peke yake,wawiliwawili au katika kikundi

kutafiti mtandaoni kuhusu vivumishi vya sifa na viashiria

kumsomea mzazi au mlezi kuhusu vivumishi vya sifa na viashiria alivyotafiti mtandaoni.
kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (k.v. tashbihi, sitiari, uhaishaji na tanakali sauti) akiwa peke yake au wawiliwawili
kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezocha insha ya maelezo zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake katika kikundi
kupigia mstari tamathali mbalimbali zilizotumiwa kwenye kifunguna kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi
kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni
Usemi halisi unatofautianaje na usemi wa taarifa?2.Unazingatia nini unapobadilisha usemi?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.89
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti

Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.55
Kielelezo cha insha ya masimuliziKielelezo cha insha ya maelezoKielelezo cha insha ya wasifuNakala ya barua ya kirafikiNakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.56
a)Kutambua k.m. kwenye orodha b)Kuambatanisha maneno lengwa c)Kujaza mapengo d)Kutunga sentensi e)Kazi mradi
2 2
SARUFI
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
KUSOMA
KUANDIKA
kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni
Aina za UzungumzajiUzungumzaji waPapo kwa Papo
Kusoma kwa KinaTamthilia
ViakifishiAlama za Mtajona Mshazari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kutambua vivumishi vimilikishina vya idadi katika matini

kutumia vivumishi vimilikishina vya idadi ipasavyo katika matini

kuchangamkia matumizi ya vivumishi vimilikishina vya idadi katika mawasiliano
kueleza maana ya uzungumzaji wa papo kwa papoili kuupambanua
kutambua vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa papo
kutoauzungumzaji wa papo kwa papo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uzungumzaji
kuchangamkia kutoauzungumzaji wa papo kwa papoili kufanikisha mawasiliano
kutambua mandhari na ploti katika tamthilia
kueleza umuhimu wa mandhari na ploti ili kuubanishac)kujadili mandhari na ploti ya tamthilia aliyosomad)kuchangamkia nafasi ya mandhari na ploti katika tamthilia
kutambua matumizi ya alama za mtajo na mshazari katika matini
kutumia ipasavyo alama za mtajo namshazari katika matini
kufurahia matumizi yafaayo yaalama za mtajo na mshazarikatika matini
Mwanafunzi aelekezwe:

kutambua vivumishi vimilikishi, (k.v kitabu changu, mkoba wako, nyumba yenu n.k.)na vya idadi (k.v. mhisani mmoja, wanyama wawili, maua mengi, n.k.)kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno akiwa peke yake au wawiliwawili

kutenga vivumishi vimilikishina vya idadi katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwa kuzipigia mstari au kuzikolezea wino katika matini za kidijitali au za kimaandishi

kumtajia mwenzake vivumishi vimilikishina vya idadi katika mazingira ya shuleni

kutunga sentensi kwa kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadiakiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kutunga aya kuhusu suala lengwa kwa kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi

kumtajia mzazi au mlezi sentensi zenye vivumishi vimilikishi na vya idadi katika mazingira ya nyumbani.
kuelezamaana ya mazungumzoya papo kwa papo akiwa peke yake au katika kikundi
kubainishavipengele vya kuzingatia katika uzungumzajiwa papo kwa papo (k.v ukakamavu, ujumbe unaolenga hadhira husika,ubanifu, upangajihoja, utumiaji wa lugha ya kawaida, utumiaji wa ishara, utumiaji wa sauti ifaayo) akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi
kusikilizauzungumzaji wa papo kwa papo kuhusu suala lengwa yakitolewana mwalimu, wenzake, mgeni mwalimu au kutoka kwenye vifaa vya kidijitali na kutathmini vipengele vya uwasilishaji vilivyotumika
kushiriki katika uzungumzaji wa papo kwa papoakizingatia vipengele vifaavyo
kubuni uzungumzaji mwepesi wa papo kwa papokuhusu suala lengwa akizingatia vipengele vifaavyona kuwawasilishiawenzake katika kikundi ili wautathmini
kutambua mandhari mbalimbali katika tamthilia akiwa peke yake au katika kikundi
kueleza umuhimu wa mandhari katika katika tamthilia akiwa peke yake au katika kikundi
kuandika kwa ufupi kuhusu mandhari katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu
kuwawasilishia wenzake darasani uchambuzi wake kuhusu mandhari
kusoma chapisho la tamthilia au kutoka mtandaoni na kutambua mandhari yake
kutambua ploti ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu akiwa peke yake aukwa kushirikiana na wenzake
kujadili umuhimu wa ploti ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu akiwa peke yake au na wenzake
kuandaa muhtasari kuhusu ploti ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu
kuwawasilishia wenzake darasani uchambuzi wake kuhusu ploti ya tamthiliaaliyosoma
kumweleza mzazi au mlezi kuhusu mandhari na ploti katika tamthilia aliyosoma.
kutambua matumizi ya alama za mtajo na mshazari kwenye matini andishi au za kidijitali (k.v. kutumia alama za nukuu mwanzoni na mwishoni mwa usemi halisi) kutumia mshazari (k.vkutenga maneno katika sentensi, kuchukua nafasi ya
Je, kuna tofauti ganikati ya vivumishi vimilikishi na vya idadi?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti

Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.57
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno
?Kapu maneno
?Vitabu mbalimbali
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.58
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
RununuProjektaTarakilishi/vipakatalishiKinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.59
Kielelezo cha insha ya masimuliziKielelezo cha insha ya maelezoKielelezo cha insha ya wasifuNakala ya barua ya kirafikiNakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.60
Kutambua k.m. kwenye orodhaKuambatanisha maneno lengwa Kujaza mapengo Kutunga sentensi Kazi mradi
2 3
SARUFI
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
KUSOMA
KUANDIKA
geli na Upatanisho wa Kisarufi
Kusikiliza kwa Kina
Ufahamu wa Kifungu cha Kushawishi
Insha za KubuniMasimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:


kutambua nomino za ngeli ya I-ZI naI-I katika matini
kutambua upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya I-ZI naI-I katika sentensi

kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi

kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I ipasavyo katika sentensi na vifungu ili kuimarisha mawasiliano
FUNZO,
kutambua sauti /k/na/gh/ katika silabi na maneno
kutamka sauti /k/ na /gh/ipasavyo katika silabi na maneno
kutumia maneno yenye sauti /k/na/gh/ ipasavyo katika matiniili kuyatofautisha kimatamshi
kuchangamkia matamshi bora ya sauti /k/na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida ili kufanikisha mawasiliano
FUNZO,
kutambua habari mahususi katika kifungu cha ufahamu
kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamu
kueleza maana ya msamiati na vifungu vya maneno katika kifungu cha ufahamu
kujadili ushawishi katika kifungu cha ufahamu
kuchangamkia usomaji wa ufahamu shawishi ili kukuzahamu ya ujifunzaji
kutambua vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo katika insha ya masimulizi
kujadili vipengele vinavyojenga wazo katika aya kuhusu insha ya masimulizi
kuandika insha ya masimulizi akikuza wazo katika aya ipasavyo
kufurahiautunzi wa insha za masimulizi zenye mpangilio mzuri wa wazo
Mwanafunzi aelekezwe:

kuchopoa nomino za ngeli ya I-ZI (k.v. ndizi, ndoo, ngozi, kamba, njia n.k), na I-I (k.v chumvi, sukari, simanzi, n.k.) kwenye chati, kadi maneno,kapu maneno au tarakilishi

kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya I-ZI na I-I katika sentensi na mafungu ya maneno akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kutaja majina katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya I-ZI (k.v. ngazi, bendera,) na I-I (kv mvua, sukari, n.k.)akiwa na wenzake katika kikundi

kutenga nomino za ngeli ya I-ZI na I-I katika orodha ya nomino, sentensi au vifungu kwenye vitabu, tarakilishi, chati kwa kuzikolezea winoau kuzipigia mstari?kutunga sentensi au vifungu vyenye upatanisho ufaao wa kisarufi kuhususuala lengwakwa kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I akiwa peke yake, wawiliwawili aukatikakikundi?kumtajia mzaziau mlezi majina ya vifaa yaliyo katika ngeliya I-ZI (k.v ndoo, sahani, kamba, sabuni, nyanya, karoti,ngozi n.k) naI-I(k.v chai, kahawa, n.k.)katika mazingira ya nyumbani.
kutambua sauti /k/na/gh/katika maneno na silabi (k.v. kali/ghali; karama/gharama n.k) akiwa peke yake au wawiliwawili
kutambua maneno yenye sauti / k/na/gh/ katika matini andishi auza kidijitali na kuyatamka ipasavyo akiwa na wenzake
kutunga vitanzandimi vinavyotumia sauti /k/ na /gh/ na kujirekodi kwa kutumia kifaa cha kidijitali (k.v simu, tabuleti, redio na kanda za sauti)
kusikiliza akiwa na wenzake vitanzandimi alivyovirekodi ili kuvitathmini
kumwasilishiamzaziau mlezi mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia matamshi bora ya sauti /k/na/gh/.
kusoma ufahamu wa kifungu cha kushawishi kutoka kwa vitabu au vifaa vya kidijitali na kudondoa habari mahususi (k.v. nani, nini, wapi, lini, n.k.)
kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamucha kushawishi akishirikiana na wenzake katika kikundi
kueleza maana ya msamiati kuhusu suala lengwa (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi na kuueleza kwa kutumia kamusi akiwa peke yakeau katika kikundi
kujadili ushawishi katika kifungu cha ufahamu akishirikiana na wenzake katika kikundi
kuwawasilishia wenzake kazi yake ili wamtolee maoni
kutambua vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo (k.v. mada, utangulizi, kati, hitimisho,n.k.)katika insha ya masimulizi katikamatini za kimaandishi na za kidijitali akiwa peke yake au katika kikundi
kutambua ukuzaji wa wazo katika kila aya ya insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi au za kidijitali akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi
kushirikiana na wenzake kueleza jinsi wazo lilivyokuzwa katika kila aya ya insha ya masimulizi (k.v. kila wazo kuu kuwa katika aya yake, kutoa maelezo toshelevu kwa kila hoja kuu katika aya yake, kuepuka urudiaji au uchanganyaji wa hoja katika aya, n.k.)
kushirikiana na wenzake kujadili vipengele vinavyojenga mawazo
kuandika vidokezo vya insha vinavyozingatia ukuzaji wa wazo katika kila aya akishirikiana na wenzake
kuandika insha ya masimulizi akizingatiaukuzaji wa wazo katika kila ayana vipengele vinavyojenga mawazo hayo
kuwasomea wenzake katika kikundi insha aliyoandika au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni
kushirikiana na wenzake kusahihisha insha ya maelezo aliyoandika kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia ukuzaji wa wazo katika kila aya
Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya I-ZI?2.Ni majina yapi unayojua ya ngeli ya I-I?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti

Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.61
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno
?Kapu maneno
?Vitabu mbalimbali
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.62
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
RununuProjektaTarakilishi/vipakatalishiKinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.63
Kielelezo cha insha ya masimuliziKielelezo cha insha ya maelezoKielelezo cha insha ya wasifuNakala ya barua ya kirafikiNakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.64
Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno lengwa Kujaza mapengo Kutunga sentensi Kazi mradi
2 4
SARUFI
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
KUSOMA
KUANDIKA
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi
Hadithi Hurafa naHekaya
Kusoma kwa KinaTamthilia
Barua ya Kuomba Msaada
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kutambua nomino katika ngeli ya U -U na U -YA katika matini

kutambua upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U -U na U -YA katika sentensi

kutumia nomino katika ngeli ya U -U na U -YA kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi

kuchangamkia kutumia nomino katika ngeli ya U-U na U -YA ipasavyo ili kuimarisha umilisi wa lugha
kueleza maana ya hurafa na hekaya ili kuzibainisha
kueleza ujumbe katika hurafa na hekaya
kujadili vipengele vya uwasilishaji wa hurafa na hekayad)kusimuliahurafa na hekaya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji
kufurahia hurafa na hekaya kama vipera vya fasihi simulizi
kutambua wahusika katika tamthiliaaliyosoma
kujadili sifa za wahusika katika tamthilia
kujadili mafunzo yanayotokana na wahusika katika tamthilia
kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kukuza hamu ya ujifunzaji.
kutambua vipengele vya kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada
kutambua ujumbe katika barua rasmi ya kuomba msaada
kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kwa kuzingatia ujumbe,muundo na lugha ifaayo
kufurahia kujieleza ifaavyo kwanjia yabarua
Mwanafunzi aelekezwe:

kuchopoa nomino za ngeli ya U -U (k.v uji, ugoro, umaskini urafiki, n.k) naU-YA (k.v. ugonjwa -magonjwa, uovu: maovu, ulezi-malezi,n.k.)kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au tarakilishi akiwa peke yake au katika kikundi

kutenga nomino za ngeli ya U -U na U -YA katika orodha ya nomino, sentensi au vifungu kwenye vitabu, vifaa vya kidijitali, chati kwa kuzikolezea wino au kuzipigia mstari akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli yaU -U na U -YA katika sentensi na vifungu akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kutunga sentensi au vifungu vyenye upatanisho ufaao wa kisarufi kuhusu suala lengwa kwa kutumia nomino zangeli ya U-U na U -YA akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi
kusikiliza kielelezo cha hadithi ya hurafa na hekaya kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au kifaa cha kidijitali(k.v. redio, rununu, kipakatalishi na runinga).
kueleza maanaya hurafa na hekaya ili kuzibainisha akiwa peke yake au katika kikundi
kueleza ujumbe katika hurafa na hekaya akiwa na wenzake katika kikundi
kujadili akiwa na mwenzake vipengele vya uwasilishaji wa hurafa na hekaya
kuwasilisha hurafa na hekaya kuzingatia vipengele vya uwasilishaji (kiini cha hadithi, kiwango cha lugha, mpangilio wa matukio, sauti, ishara za mwili)
kujirekodi akitamba hurafa na hekaya kwa kutumia vifaa vya kidijitali na kusikiliza akiwa na wenzake
kushirikiana na mzazi au mlezi kutambua hurafa na hekaya kutoka kwa jamii yake nakujadili ujumbe unaojitokeza katika hadithi hizo.
kutambua wahusikakatika tamthilia aliyoisoma akiwa peke
kujadili sifa za wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu (k.v. usiri, uovu, ukali, udadisi, n.k.)akiwa na wenzake katika kikundi
kuigiza wahusika katika tamthilia akiwa na wenzake katika kikundi ili kukuza uelewa wa sifa zao
kueleza uhusiano kati ya wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu wakiwa wawiliwawilikutazama video kuhusu wahusika katika tamthilia aliyosoma akiwa na wenzake
kuandaa muhtasari kuhusu sifa za wahusika katika video aliyotazama
kujadili mafunzo yanayotokana namatendo ya wahusika akiwa na wenzake katika kikundi
kujadili katika kikundi vipengele vya kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada (k.v. anwani, suala linaloshughulikiwa, sahihi n.k.)
kutambua ujumbe unaoafiki barua rasmi ya kuomba msaada kwa kujadiliana na mwenzake
kujadili na wenzake kuhusu lugha inayofaa katika uandishi wa barua rasmi ya kuomba msaada
kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kuhusu masuala mbalimbali na kuwasomea wenzake darasani ili waitolee maoni
kuandika barua ya kuomba msaada katika kifaa cha kidijitali na kuwasambazia wenzake kupitia mtandao ili waitolee maoni
Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya U -U? Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya U-YA?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti

Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.65
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno
?Kapu maneno
?Vitabu mbalimbali
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.66
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
RununuProjektaTarakilishi/vipakatalishiKinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.67
Kielelezo cha insha ya masimuliziKielelezo cha insha ya maelezoKielelezo cha insha ya wasifuNakala ya barua ya kirafikiNakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.68
Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno lengwa Kujaza mapengo Kutunga sentensi Kazi mradi
3 1
SARUFI
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
KUSOMA
Vinyume vya Vitenzi na Vielez
Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo
Kusoma kwa MapanaMatini za Kujichagulia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kueleza maana ya kinyume cha maneno ili kuibainisha

kutambua vinyume vya vitenzi na vielezi katika matini

kutumia ipasavyo vinyume vya vitenzi na vielezi katika matini

kuchangamkia kutumia vinyume vya vitenzi na vielezi katika mawasiliano
kueleza maana ya kuzungumza kwakutumia vidokezo
kutambua umuhimu wa kuzungumza kwa kutumia vidokezo
kutambua miktadha katika jamii ambapokuzungumza kwakutumia vidokezo hufanywa
kujadilivipengele vya kuzingatia katika kuzungumza kwakutumia vidokezo
kutoamazungumzo kwa kutumia vidokezo ifaavyo
kujenga mazoea yakutumia vidokezo katika mazungumzo ili kufanikisha mawasiliano
kuteua matini ifaayo ya kujisomea
kueleza ujumbe katika matini ya kujichagulia
kutambua maana za msamiati na matumizi mengine ya lugha katika matini ya kujichagulia
kujenga mazoea yakusoma matini mbalimbali katika maisha ya kila siku
Mwanafunzi aelekezwe:

kujadili maana ya kinyume cha maneno akiwa na mwenzake au katika kikundi

kutambua vinyume vya vitenzi (k.v. simama-keti, cheka-lia, vaa-vua, n.k.) na vielezi (k.v.haraka haraka-polepole,asubuhi-jioni)kwa kutumia kadi maneno, mti maneno, kapu maneno akiwa na mwenzake

kutambua vinyume vya vitenzi na vielezi katika matini(k.v orodha ya maneno, sentensi na vifungu vya maneno) akiwa peke yake

kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya vinyume vya vitenzi na vielezi kutoka kwa sentensi mbalimbali kwenye vitabu, tarakilishi au chati akiwa na mwenzake

kutunga sentensi sahihi akitumia vinyume vya vitenzi na vielezi kusakura mtandaoni au kutafiti katika vitabu vya ziada ili kupata vinyume zaidi vya vitenzi na vielezi

kumsomea mzazi au mlezi sentensi alizotunga kuhusu vinyume vya vitenzi na vielezi.
kueleza maana ya kuzungumza kwa kutumia vidokezo akiwa peke yake au katika kikundi
kujadili na wenzake umuhimu wa kuzungumza kwa kutumia vidokezo
kutambua miktadha katika jamii yake ambamo anahitajikuzungumza kwa kutumia vidokezo(k.v. anapowazungumzia wenzake shuleni kuhusu haki za watoto, akiwa mzungumzaji maalum katikakongamano, katika semina, anapomtambulisha mgeni wa heshima katika hafla fulanin.k.)
kujadilivipengele vya kuzingatiakatika kuzungumza kwakutumia vidokezo (k.vkubainisha kiini cha mazungumzo, (je, ni ya kupasha habari? Ni ya kushawishi? Ili kuteua lugha mwafaka),mpangilio wa mawazokimantiki, kutosoma vidokezo; kuvitazama kwaufupi tu, kufanya mazoezi kabla ya kuzungumza, kuviweka juu ya meza wakati wa kuzungumza, n.k) akiwa na wenzakekatika kikundi
kusikiliza au kutazama aina mbalimbali za mazungumzo kutoka kwenye vifaa vya kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzakena kubainishavipengele vilivyozingatiwa
kuandaa vidokezo kuhusu suala lengwa akiwa peke yake
kuwawasilishia wenzake mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kutumia vidokezo alivyoandaa ili wayatolee maoni
kumwasilishia mzaziau mlezi vidokezo vya mazungumzo kuhusu suala lengwa ili atoe maoni yake
kuteua matini ifaayo ya kujisomea
kueleza ujumbe wa matini ya kujichagulia aliyosoma
kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia (k.v ya kisayansi, kisiasa, kihistoria, kifasihi, michezo, n.k.) akiwa peke yake
kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyajua
kujenga rekodi ya msamiati aliojifunza katika kitabu
kumtungia mwenzake sentensi akitumia msamiati katika matini aliyoisoma
kutoa muhtasari wa matini ya kujichagulia aliyosoma na kuwasilisha kwa wenzake ili waitolee maoni
kusakura mtandaoni na kujichagulia matini ya ziada kisha aisome
Je, ni vinyume gani vya vitenzi unavyojua? .Je, unajua vinyume gani vya vielezi?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti

Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.69
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno
?Kapu maneno
?Vitabu mbalimbali
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.70
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
RununuProjektaTarakilishi/vipakatalishiKinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali
OUP,Kiswahili
Gredi Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.71
Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno lengwa Kujaza mapengo Kutunga sentensi Kazi mradi
3 2
KUANDIKA
SARUF
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
KUSOMA
KUSOMA
Inshaza Kubuni Maelezo
Mnyambuliko wa Vitenzi
Kusikiliza kwa Makini
Kusoma kwa Ufasaha
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kujadili vipengele vya insha ya maelezo

kuandika insha ya maelezo ipasavyo kwa kuzingatiavipengele vyake

kufurahia kuandika insha zamaelezo katika maisha ya kilasiku
FUNZO,
kutambua kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika vitenzi
kutumia ipasavyo vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika matini
kuchangamkia kutumia ipasavyo vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda ili kuimarisha mawasiliano
kueleza habari katika matini ya kusikiliza
kukadiria maana ya msamiatimahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza
kuziwasilisha hoja muhimu katika habari aliyosikilizakwa kufuata mpangilio ufaao
kujenga mazoea ya kufurahia kusikiliza vifungu vya kusikiliza ili kuimarisha uwezo wa kusikiliza
kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora
kusoma kifungu kwa kasi ifaayo
kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo
kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo
kuridhia kusoma makala kwa kuzingatia vipengele vinavyofanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:

kueleza maana ya insha ya maelezo kwa kurejelea matini mbalimbali kutafiti maktabani au mtandaoni vipengele vya insha ya maelezo

kujadili na wenzake vipengele vya insha ya maelezo alivyotafiti mtandaoni

kuandika insha ya maelezo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo

kuwasomea wenzake katika kikundi insha aliyoandika au kuwasambazia kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni

kushirikiana na wenzake kusahihisha insha walizoandika na kutoleana maoni kwa amani na upendo
kutambua vitenzikatika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda (kv. eleweka, tembelewa, chezacheza n.k)mtawalia akiwa peke yake
kuteua vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda (k.v. limika, bebewa, sukasuka n.k) mtawalia, kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno autarakilishi akiwa na mwenzake
kutenga vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika sentensi na vifungu kwenye vitabu, tarakilishi,chati kwa kuvikolezeawino au kuvipigia mstari
kugeuza vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda akiwa na wenzake katika kikundi
kutunga sentensi au vifungu kuhusu suala lengwa kwa kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa nakutendatenda akiwa peke na mwenzake
kujaza mapengo kwa kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda akiwa peke yake au wawiliwawili
kutambua hoja muhimu katika habari aliyosikiliza kuhusu suala lengwa kutoka kwa mwalimu, kifaa cha kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake akiwa peke yake
kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini aliyosikiliza
kuelezea mwenzakemaana ya msamiati katika matini ya kusikiliza
kueleza hoja muhimualiyotambua kutoka matini aliyosikilizakwa maneno machache
kuwawasilishia wenzake hoja muhimu katika habari aliyosikilizakwa kufuata mpangilio ufaao
kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha (matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ifaayo, ishara zifaazo)
kutazama vielelezo vya video za watu wanaosoma kwa ufasaha makala (k.v hotuba, taarifa ya habari, n.k.) akiwana wenzake
kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi borakusoma kifungu cha habari kwa kasi ifaayo kuhusu suala lengwa
kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo (k.v kiwango cha sauti na kiimbo)akiwa katika kikundikusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa (k.v ishara za uso na mikono) akiwa na wenzake katika kikundi
kusoma mbele ya wenzake kazi yake ili wamtolee maoni
Je, ni vipengele gani vya kuzingatia katika kuandika insha ya maelezo?
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi


OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.72
Tarakilishi/vipakatalishiKinasasauti
RununuProjektaKapu manenoMti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbaliMichoroChatiMabango
SanamuNyenzo halisi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.73
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno
?Kapu maneno
?Vitabu mbalimbali
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.74
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
RununuProjektaTarakilishi/vipakatalishiKinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.75
Kuandika tungo mbalimbali Wanafunzi kufanyiana tathmini Potfolio Shajara Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
3 3
Kusoma
Kuandika
Kuandika
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa kina
Kuandika;
Kusoma kwa ufasaha
Insha ya Kiukamilifu - Hotuba
Insha ya Kiukamilifu - Hotuba
Aina za sentensi; Sentensi changamano
Wahusika katika hadithi
Mbinu za lugha
Insha za kubuni-Maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,

Kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ipasavyo kisha kuambatanisha ishara zifaazo.
Kujadiliana kuhusu usomaji wao wa kifungu kuhusu
Kutaja watu ambao wamewahii kusikia au kuona wakizungumzia watu katika mikutano.
Kutambua hotuba ya kupasha habari katika matini.
Kusoma kifungu.
Kutathmini umuhimu wa hotuba.
Kutambua vigezo atakavyozingatia wakati wa kuandika hotuba.
Kuandika insha ya hotuba ya kupasha habari.
Kuchangamkia kuandika hotuba.
Kueleza maana ya sentensi changamano.
Kutambua sentensi changamano kutoka kwenye orodha iliyo katika kitabu cha mwanafunzi.
Kuchangamkia matumizi ya sentensi changamano.
Kusikiliza hadithi itakayosimuliwa na mwalimu au iliyorekodiwa.
Kueleza sifa za wahusika kutokana na matendo na tabia zao.
Kufurahi kusikiliza hadithi.
Kueleza maana ya mbinu za lugha katika fasihi.
Kutambua umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia.
Kutathmini umuhimu wa mbinu za lugha.
Kueleza maana ya insha ya maelezo.
Kuandika insha ya maelezo.
Kuchangamkia kuandika insha ya maelezo.
Wakiwa katika vikundi, wanafunzi waweze kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ipasavyo kisha kuambatanisha ishara zifaazo.

Wakiwa katika vikundi, wanafunzi waweze kujadiliana kuhusu usomaji wao wa kifungu kuhusu
Mwanafunzi aweze kutaja watu ambao wamewahii kusikia au kuona wakizungumzia watu katika mikutano.
Mwanafunzi aweze kutambua hotuba ya kupasha habari katika matini.
Mwanafunzi aweze Kusoma kifungu, Uk. 137
Mwanafunzi aweze kutambua vigezo atakavyozingatia wakati wa kuandika hotuba.
Mwanafunzi aweze kuandika insha ya hotuba ya kupasha habari
Mwanafunzi aweze kueleza maana ya sentensi changamano.
Mwanafunzi aweze kutambua sentensi changamano kutoka kwenye orodha iliyo katika kitabu cha mwanafunzi.
Mwanafunzi aweze kutunga sentensi changamano kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa.
Wakiwa katika vikundi, wanafunzi kuimba wimbo,
Wanafunzi kueleza maana ya mbinu za lugha katika fasihi.
Wanafunzi waweze kutaja mbinu mbalimbali za lugha katika tamthilia.
Wanafunzi waweze kutambua umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia.
Wakiwa katika vikundi, wanafunzi waweze kueleza
Wakiwa katika vikundi, wanafunzi waweze vigezo vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo.
Wanafunzi kuandika insha ya maelezo.
Unazingatia nini ili kusoma Makala kwa ufasaha?
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,

Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi Kujibu maswali Kujaza pengo Kuandika tungo Kazi mradi
3 4
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Kuandika
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Kuandika
Sarufi
Sarufi
Sarufi
Ukanushaji kwa kuzingatia hali
Ukanushaji kwa kuzingatia nyakati
Hadithi- Matumizi ya lugha
Ufahamu wa kifungu cha mjadala
Insha ya maelekezo
Udogo wa nomino
Usikilizaji husishi
Ufupisho
Baruapepe ya kiofisi
Usemi halisi na usemi wa taarifa.
Sarufi; Usemi halisi na usemi wa taarifa.
Sarufi; Usemi halisi na usemi wa taarifa.
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,

Kueleza maana ya ukanushaji.
Kuorodhesha maneno ambayo yanaonyesha hali tofauti katika kifungu alichokisoma.
Kutathmini umuhimu wa ukanushaji.
Kukanusha sentensi ziwe katika hali timilifu.
Kutunga sentensi katika hali timilifu.
Kutathmini umuhimu wa Ukanushaji.
Kusikiliza hadithi ikisimuliwa na mwalimu au iliyonaswa kwenye kifaa cha kidijitali.
Kutunga hadithi inayohusiana na kuweka akiba. Zingatia matumizi ya tashbihi, methali, nahau na urudiaji wa maneno ya bidhaa.
Kutathmini umuhimu wa hadithi.
Kusoma mjadala katika kitabu cha mwanafunzi.
Kueleza habari za kifungu cha mjadala kwa ufupi.
Kuchangamkia kusoma mijadala mbalimbali.
Kusoma maelekezo katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za maelekezo kuhusu jinsi ya kuandika insha ya maelekezo.
Kutathmini umuhimu wa insha ya maelekezo.
Kuambatanisha nomino za hali ya wastani na hali ya ukubwa.
Kutunga sentensi akitumia nomino alizoandika katika hali ya ukubwa.
Kuchangamkia kutumia nomino katika hali ya ukubwa.
Kusikiliza mazungumzo atakayosomewa.
Kueleza maana za msamiati wa suala lengwa kama ilivyotumiwa katika mazungumzo.
Kutathmini umuhimu wa kusikiliza.
Kusoma matini katika kitabu cha mwanafunzi.
Kueleza kwa sentensi mojamoja ujumbe wa kila aya.
Kutathmini umuhimu wa ufupisho.
Kueleza maana ya baruapepe.
Kuandika baruapepe ya kiofisi
Kutathmini umuhimu wa baruapepe.
Kueleza maana ya usemi halisi.
Kubadilisha sentensi kutoka usemi wa taarifa hadi usemi halisi.
Kutunga sentensi katika usemi halisi.
Kuchangamkia kutumia sentensi katika usemi halisi.
Kueleza maana ya usemi wa taarifa.
Kubadilisha sentensi kutoka usemi halisi hadi usemi wa taarifa.
Kutunga sentensi katika usemi wa taarifa.
Kuchangamkia kutumia sentensi katika usemi wa taarifa.
Sarufi:
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Wanafunzi kueleza maana ya ukanushaji.

Wanafunzi waweze kuorodhesha maneno ambayo yanaonyesha hali tofauti katika kifungu alichokisoma.
Wanafunzi kukanusha sentensi ziwe katika hali timilifu.
Wanafunzi kutunga sentensi katika hali timilifu.
Wanafunzi waweze kutaja vipengele vya lugha vinavyotumika katika hadithi.
Wanafunzi kusikiliza hadithi ikisimuliwa na mwalimu au iliyonaswa kwenye kifaa cha kidijitali.
Wakiwa katika vikundi, wanafunzi kutunga hadithi inayohusiana na kuweka akiba. Zingatia matumizi ya tashbihi, methali, nahau na urudiaji wa maneno ya bidhaa.
Wakiwa wawiliwawili, wanafunzi waweze kusoma mjadala katika kitabu cha mwanafunzi Uk. 152
Wanafunzi kutambua msamiati mpya katika kifungu cha mjadala.
Kueleza habari za kifungu cha mjadala kwa ufupi.
Wanafunzi waweze kueleza habari za kifungu cha mjadala kwa ufupi.
Mwanafunzi aweze kusoma maelekezo katika kitabu cha mwanafunzi Uk. 153
Mwanafunzi aweze kutaja sifa za maelekezo kuhusu jinsi ya kuandika insha ya maelekezo.
Mwanafunzi aweze kuandika insha ya maelekezo.
Mwanafunzi aweze kueleza maana ya udogo wa nomino.
Mwanafunzi kuambatanisha nomino za hali ya wastani na hali ya ukubwa.
Mwanafunzi aweze kutunga sentensi akitumia nomino alizoandika katika hali ya ukubwa.
Wanafunzi waweze kusikiliza mazungumzo atakayosomewa na mwalimu.
Wakiwa katika vikundi, wanafunzi kutabiri yatakayotokea kutokana na vidokezo katika mazungumzo.
Mwanafunzi kueleza maana za msamiati wa suala lengwa kama ilivyotumiwa katika mazungumzo.
Mwanafunzi kusoma matini katika kitabu cha mwanafunzi Uk. 162
Mwanafunzi kueleza kwa sentensi mojamoja ujumbe wa kila aya.
Mwanafunzi kuandika kwa ufupi bila kutoa ufafanuzi au mifano.
Wanafunzi kueleza maana ya baruapepe.
Wanafunzi kueleza vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisi.
Mwanafunzi akiwa pekee yake kuandika baruapepe ya kiofisi.
Mwanafunzi kueleza maana ya usemi halisi.
Mwanafunzi waweze kubadilisha sentensi kutoka usemi wa taarifa hadi usemi halisi.
Mwanafunzi kutunga sentensi katika usemi halisi.
Mwanafunzi kueleza maana ya usemi wa taarifa.
Mwanafunzi waweze kubadilisha sentensi kutoka usemi halisi hadi usemi wa taarifa.
Mwanafunzi kutunga sentensi katika usemi wa taarifa.
Mwanafunzi
kueleza maana ya usemi wa taarifa. 
 
Mwanafunzi waweze kubadilisha sentensi kutoka usemi halisi hadi usemi wa
taarifa. 
 
Mwanafunzi kutunga sentensi katika usemi wa taarifa.
Kwa nini huwa tunakanusha Kauli?
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi

Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,
Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,
Kamusi
Majarida
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,
Kamusi
Majarida
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,
Kamusi
Majarida
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,
Kamusi
Majarida
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi
KamusiMajarida
Kamusi
Majarida
Kamusi
Majarida
  Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi  
 
Kamusi 
Majarida 
Vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi Kujibu maswali Kujaza pengo Kuandika tungo Kazi mradi

Your Name Comes Here


Download

Feedback