Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA NANE
MWAKA WA 2024
MUHULA WA III

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI_ZA_UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
1 1
KUSOMA
Kusoma kwa Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo,
kudondoa habari mahususi katika kifungu cha mjadala
kutambuamsamiati mpya katika kifungu cha mjadala
kuchambua mitazamo katika kifungu cha mjadala
kuridhia kusoma kifungu cha mjadalaili kukuza uelewa wa habari
Mwanafunzi aelekezwe:
kudondoa habari mahususi (k.v. nani, nini, wapi, lini)katika kifungu cha mjadalacha ufahamuwakiwa wawiliwawili
kutambua msamiati mpya (k.v. maneno na nahau)katika kifungu cha mjadala cha ufahamu na kuueleza kwa kutumia kamusi akiwa peke yake
kueleza maana ya msamiati uliotumiwa kwenye ufahamu na kutunga sentensi akiutumia kuchambua mitazamo iliyo katika kifungu cha ufahamu cha mjadala akiwa na mwenzake
kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni.
Utawezaje kutambua habari mahususi katika hadithi unayoisoma? Je, unazingatia nini unaposoma vifunguvya ufahamu?
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.83
a)Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa b)Kujibu maswali k.m. katika ufahamu c)Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa d)Kusoma kwa sauti e)Wanafunzi kufanyiana tathmini f)Potfolio g)Shajara
1 2
KUANDIKA
Insha za Maelekezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo,
kujadili vipengele vya insha ya maelekezo
kuandika insha ya maelekezoakizingatia vipengele vyake muhimu
kufurahia kuandika insha za maelekezoakizingatia vipengele vyake muhimu.
Mwanafunzi aelekezwe:
kujadili vipengele vya insha ya maelekezo (k.v matumizi yalugha, mpangilio ufaao wa maelekezo, uangavu,ubanaji)
kutambua maneno mwafaka, mpangilio mzuri wa sentensi na mpangilio sahihi wa hatua katika kielelezo cha insha ya maelekezo kutoka kwa mwalimu, kwenye maandishi (k.v vitabu, chati n.k) au vifaa vya kidijitali, akiwa peke yake
kuteuamaneno yatakayosaidia kufanikisha maelekezo (k.v. vielezi vya mahali:kulia,kushoto; vitenzi k. v.pinda, elekea, kata; vielekezi vya kiasi: vijiko viwili, nyanya tatu, n.k)
?kuandaa mpangilio ufaao wa sentensi zinazofuatana kulingana na maelekezo anayotaka kutoa (k.v maelekezo ya mahali:Tembea hadi mwendo wa kilomita moja. Ukifika kwenye zahanati upinde kulia; maelekezoya mapishi:weka unga vikombe vitatu kwenye bakuli, tia sukari vijiko vitanovikubwa; maelekezo ya mtihani:Jibu maswali matatu, swali la kwanza ni la lazima, n.k)
kushiriki katika kikundi kujadili maneno, sentensi na hatua zinazoafiki maelekezo yaliyolengwa
kuandika insha ya maelekezo akizingatia uteuzi mwafaka wa maneno, sentensi na hatua ili kumjengea msomaji taswira kamili ya kile kinachoelekezwa
kuwasomea wenzake katika kikundi insha ya maelekezo aliyoandika au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni
kushirikiana na wenzake kutoa maoni kuhusu insha ya maelekezo aliyoandika kwa kuzingatia uteuzi mwafaka wa maneno, mpangilio mzuri wa sentensi na mpangilio sahihi wa hatua
unapoandika inshaya maelekezo unazingatia mambo gani?
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.84
a)Kuandika tungo mbalimbali b)Wanafunzi kufanyiana tathmini c)Potfolio d)Shajara e)Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
1 3
SARUFI
Udogo wa Nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

kutambua nomino katika hali ya udogo katikamatini
kubadilisha nomino za hali ya wastani kuwa katika hali ya udogo
kutumia nomino katika hali ya udogo ipasavyo
kuonea fahari kutumia nomino katika hali ya udogo katika sentens
Mwanafunzi:
kutambua nomino katika hali ya udogo (k.v., kigoma, kidizi, kijitu, kijoka, kishamba, kijijiko n.k.)kwenye orodha ya nomino, chati,kadi maneno, kapu maneno, sentensi, vifungu vya maneno au tarakilishi
kutambua udogo katika maneno akiwa na wenzakekatika kikundi kuandika majina ya vifaa vya darasani katika udogo (k.v. kidawati, kijitabu, n.k.) wakiwa wawiliwawili
kubadilisha nomino za hali ya wastani ziwe katika katika hali ya udogo akiwa na wenzake katika kikundi
kutunga sentensi akitumia nomino katika hali ya udogo na kuwasilisha darasani ili wenzake wazitathmini
kumsomea mzazi au mlezi majina ya vitu vinavyopatikananyumbani au shuleni katika udogo nakumtungia sentensi kwa kutumia maneno hayo
Je, ni mambo gani tunayozingatia tunapotumianomino katika udogo?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Projekta
Kapu maneno
Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.85
a)Kutambua k.m. kwenye orodha b)Kuambatanisha maneno lengwa c)Kujaza mapengo d)Kutunga sentensi e)Kazi mradi
1 4
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
Kusikiliza Husishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo,
kueleza maana ya usikilizaji husishi
kutambua vipengele vya usikilizaji husishikatika matini
kujadili vipengele vya usikilizajihusishi ili kuvipambanua
kushiriki mazungumzo akizingatia vipengele vya usikilizaji husishi
kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza husishi ili kuimarisha uwezo wa kufuatilia habari zinazoelezwa
Mwanafunzi aelekezwe:
kueleza maana ya usikilizaji husishi akishirikiana na mwenzake
kutambua miktadha rasmi na isiyo rasmi ambamo kusikiliza husishi hutokea katika jamii yake akiwa na wenzakekatika kikundi
kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza husishi (k.v.kuwa makini, kuuliza maswali yasiyoelekeza, kuomba ufafanuzi, kumtazama mzungumzaji, kuelewa ujumbe anaotaka kukupitishia, kumhimiza kuzungumza badala ya kutoa ushauri,kutumia ishara zifaazo, n.k) kutoka kwenyemazungumzo mafupi,wakiwa wawiliwawili
kusikilizamazungumzo kuhusu suala lengwa kutokavifaa vya kidijitali kama vile vinasasauti na akizingatia, na kutambua vipengele vya kusikiliza husishi vilivyozingatiwa
kuigizavikao rasmivya mazungumzo, (k.v.kati ya mwalimu mkuu na mzazi kuhusu nidhamu ya mtoto)akiwakatika kikundi
kujadili vipengele vya kusikiliza husishi vilivyozingatiwa na wahusika katika mazungumzo hayo
Je, ni miktadha gani rasmi na isiyo rasmi ambapo usikilizaji husishi hutokea? Ni vipengele gani unazingatia katika kusikiliza husishi?
Chati Michoro na picha
Mgeni mwalikwa Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) Mti maneno
Kapu maneno
Vitabu mbalimbali
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.86
a)Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano b)Kujibu maswali c)Maigizo d)Kutambua k.m. kwenye orodha e)Kuambatanisha maneno na majibu f)Mijadala g)Mazungumzo h)Matumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake i)Wanafunzi kufanyiana tathmini
2 1
KUANDIKA
Baruapepe ya Kiofisi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo,
kutambua ujumbe unaoafiki baruapepe ya kiofisi
kutambua vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisi
kutumia lugha inayofaa katika uandishi wa baruapepe ya kiofisi
kuandika baruapepe ya kiofisikwa kuzingatia ujumbe, lugha namuundo ufaao
kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa kuandika baruapepe ya kiofisi
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua ujumbe unaoafiki baruapepe ya kiofisikwa kujadiliana na mwenzake
kujadili vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisiakiwa katika kikundi
kushiriki katika kujadili na wenzake kuhusu lugha inayofaa katika uandishi wa baruapepe ya kiofisi
kuandika baruapepe ya kiofisikwenye tarakilishi na kumsambazia mwenzake kupitia mtandao ili aitolee maoni
kumwandikia mwalimu wake baruapepe ya kiofisiili aitathmini
kumsomea mzazi au mlezi baruapepe aliyoiandika ili aitolee maoni
Je, ulizingatia vipengele gani katika baruapepe uliyowahi kuandika?
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.88
a)Kuandika tungo mbalimbali b)Wanafunzi kufanyiana tathmini c)Potfolio d)Shajara e)Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
2 2
SARUFI
Usemi Halisi na Usemi wa Taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo,
kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katika matini
kujadili kanuni zakubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa kwa kuzingatia kanuni za kubadilisha usemi
kutumia usemi halisi na usemi wa taarifa ifaavyo
kuchangamkia matumizi ya usemi halisina usemi wa taarifa katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katikamatini akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi
kujadili kanuni za kubadilisha usemi (k.v wakati, nafsi, alama za uakifishi)
kutambua kanuni za kimsingi za kubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa (k.v leo kuwa siku hiyo, kwetu kuwa kwao, hapa kuwa hapo, kiambishi
Usemi halisi unatofautianaje na usemi wa taarifa?2.Unazingatia nini unapobadilisha usemi?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.89
a)Kutambua k.m. kwenye orodha b)Kuambatanisha maneno lengwa c)Kujaza mapengo d)Kutunga sentensi e)Kazi mradi
2 3
SARUFI
Vivumishi vya Sifa na Viashiria
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,
kutambua vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshikatika matini

kutumia vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi ipasavyo katika matini

kuchangamkia matumizi ya vivumishi vya sifa na viashiria katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua vivumishi vya sifa (k.v. -zuri, -embamba, bora, safi) na viashiria (k.v huyu, hizo, kile) kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno

kutenga vivumishi vya sifa na viashiria katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwakuvipigia mstari au kuvikolezea wino katika matini za kidijitali

kumtajia mwenzake vivumishi vya sifa na viashiria katika mazingira ya shuleni na ya nyumbani

kutunga sentensi kwa kutumia vivumishi vya sifa na viashiria akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kutunga aya kuhusu suala lengwa kwa kutumia vivumishi vya sifa na viashiria akiwa peke yake,wawiliwawili au katika kikundi

kutafiti mtandaoni kuhusu vivumishi vya sifa na viashiria

kumsomea mzazi au mlezi kuhusu vivumishi vya sifa na viashiria alivyotafiti mtandaoni.
Je, kuna tofauti gani kati ya vivumishi vya sifa na vivumishi viashiria?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti

Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.55
Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno lengwa Kujaza mapengo Kutunga sentensi Kazi mradi
2 4
KUANDIKA
Inshaza KubuniMaelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo

kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo

kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri

kufurahia kuandika insha za maelezo akitumiatamathali mbalimbali za lughaili kujenga picha dhahiri
Mwanafunzi aelekezwe:

kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (k.v. tashbihi, sitiari, uhaishaji na tanakali sauti) akiwa peke yake au wawiliwawili

kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezocha insha ya maelezo zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake katika kikundi

kupigia mstari tamathali mbalimbali zilizotumiwa kwenye kifunguna kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili?
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi


OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.56
Kuandika tungo mbalimbali b) Wanafunzi kufanyiana tathmini Potfolio Shajara Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
3 1
SARUFI
kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kutambua vivumishi vimilikishina vya idadi katika matini

kutumia vivumishi vimilikishina vya idadi ipasavyo katika matini

kuchangamkia matumizi ya vivumishi vimilikishina vya idadi katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:

kutambua vivumishi vimilikishi, (k.v kitabu changu, mkoba wako, nyumba yenu n.k.)na vya idadi (k.v. mhisani mmoja, wanyama wawili, maua mengi, n.k.)kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno akiwa peke yake au wawiliwawili

kutenga vivumishi vimilikishina vya idadi katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwa kuzipigia mstari au kuzikolezea wino katika matini za kidijitali au za kimaandishi

kumtajia mwenzake vivumishi vimilikishina vya idadi katika mazingira ya shuleni

kutunga sentensi kwa kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadiakiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kutunga aya kuhusu suala lengwa kwa kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi

kumtajia mzazi au mlezi sentensi zenye vivumishi vimilikishi na vya idadi katika mazingira ya nyumbani.
Je, kuna tofauti ganikati ya vivumishi vimilikishi na vya idadi?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti

Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.57
Kutambua k.m. kwenye orodhaKuambatanisha maneno lengwa Kujaza mapengo Kutunga sentensi Kazi mradi
3 2
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
Aina za UzungumzajiUzungumzaji waPapo kwa Papo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kueleza maana ya uzungumzaji wa papo kwa papoili kuupambanua

kutambua vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa papo

kutoauzungumzaji wa papo kwa papo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uzungumzaji

kuchangamkia kutoauzungumzaji wa papo kwa papoili kufanikisha mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:

kuelezamaana ya mazungumzoya papo kwa papo akiwa peke yake au katika kikundi

kubainishavipengele vya kuzingatia katika uzungumzajiwa papo kwa papo (k.v ukakamavu, ujumbe unaolenga hadhira husika,ubanifu, upangajihoja, utumiaji wa lugha ya kawaida, utumiaji wa ishara, utumiaji wa sauti ifaayo) akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kusikilizauzungumzaji wa papo kwa papo kuhusu suala lengwa yakitolewana mwalimu, wenzake, mgeni mwalimu au kutoka kwenye vifaa vya kidijitali na kutathmini vipengele vya uwasilishaji vilivyotumika

kushiriki katika uzungumzaji wa papo kwa papoakizingatia vipengele vifaavyo

kubuni uzungumzaji mwepesi wa papo kwa papokuhusu suala lengwa akizingatia vipengele vifaavyona kuwawasilishiawenzake katika kikundi ili wautathmini
Unazingatia mambogani ili kufanikisha uzungumzaji wa papo kwa papo?
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno
?Kapu maneno
?Vitabu mbalimbali
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.58
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano Kujibu maswali Maigizo Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno na majibu Mijadala g)Mazungumzo Matumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake Wanafunzi kufanyiana tathmini
3 3
KUSOMA
Kusoma kwa KinaTamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,
kutambua mandhari na ploti katika tamthilia
kueleza umuhimu wa mandhari na ploti ili kuubanishac)kujadili mandhari na ploti ya tamthilia aliyosomad)kuchangamkia nafasi ya mandhari na ploti katika tamthilia
Mwanafunzi aelekezwe:

kutambua mandhari mbalimbali katika tamthilia akiwa peke yake au katika kikundi
kueleza umuhimu wa mandhari katika katika tamthilia akiwa peke yake au katika kikundi

kuandika kwa ufupi kuhusu mandhari katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu

kuwawasilishia wenzake darasani uchambuzi wake kuhusu mandhari

kusoma chapisho la tamthilia au kutoka mtandaoni na kutambua mandhari yake

kutambua ploti ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu akiwa peke yake aukwa kushirikiana na wenzake

kujadili umuhimu wa ploti ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu akiwa peke yake au na wenzake

kuandaa muhtasari kuhusu ploti ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu

kuwawasilishia wenzake darasani uchambuzi wake kuhusu ploti ya tamthiliaaliyosoma

kumweleza mzazi au mlezi kuhusu mandhari na ploti katika tamthilia aliyosoma.
Ni mandhari gani unayokumbuka yaliyo katika tamthilia ulizowahi kusoma? Ploti ina umuhimu gani katika tamthilia ulizowahi kusoma?
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.59
Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa Kujibu maswali k.m. katika ufahamu Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa Kusoma kwa sauti Wanafunzi kufanyiana tathmini Potfolio Shajara
3 4
KUANDIKA
ViakifishiAlama za Mtajona Mshazari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kutambua matumizi ya alama za mtajo na mshazari katika matini

kutumia ipasavyo alama za mtajo namshazari katika matini

kufurahia matumizi yafaayo yaalama za mtajo na mshazarikatika matini
Mwanafunzi aelekezwe:

kutambua matumizi ya alama za mtajo na mshazari kwenye matini andishi au za kidijitali (k.v. kutumia alama za nukuu mwanzoni na mwishoni mwa usemi halisi) kutumia mshazari (k.vkutenga maneno katika sentensi, kuchukua nafasi ya
Je, alama za mtajo hutumiwa vipi katika maandishi? Je, alama ya mshazari hutumiwa vipi katika maandishi?
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi


OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.60
Kuandika tungo mbalimbali Wanafunzi kufanyiana tathmini Potfolio Shajara Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
4 1
SARUFI
geli na Upatanisho wa Kisarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:


kutambua nomino za ngeli ya I-ZI naI-I katika matini
kutambua upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya I-ZI naI-I katika sentensi

kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi

kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I ipasavyo katika sentensi na vifungu ili kuimarisha mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:

kuchopoa nomino za ngeli ya I-ZI (k.v. ndizi, ndoo, ngozi, kamba, njia n.k), na I-I (k.v chumvi, sukari, simanzi, n.k.) kwenye chati, kadi maneno,kapu maneno au tarakilishi

kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya I-ZI na I-I katika sentensi na mafungu ya maneno akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kutaja majina katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya I-ZI (k.v. ngazi, bendera,) na I-I (kv mvua, sukari, n.k.)akiwa na wenzake katika kikundi

kutenga nomino za ngeli ya I-ZI na I-I katika orodha ya nomino, sentensi au vifungu kwenye vitabu, tarakilishi, chati kwa kuzikolezea winoau kuzipigia mstari?kutunga sentensi au vifungu vyenye upatanisho ufaao wa kisarufi kuhususuala lengwakwa kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I akiwa peke yake, wawiliwawili aukatikakikundi?kumtajia mzaziau mlezi majina ya vifaa yaliyo katika ngeliya I-ZI (k.v ndoo, sahani, kamba, sabuni, nyanya, karoti,ngozi n.k) naI-I(k.v chai, kahawa, n.k.)katika mazingira ya nyumbani.
Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya I-ZI?2.Ni majina yapi unayojua ya ngeli ya I-I?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti

Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.61
Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno lengwa Kujaza mapengo Kutunga sentensi Kazi mradi
4 2
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
Kusikiliza kwa Kina
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kutambua sauti /k/na/gh/ katika silabi na maneno

kutamka sauti /k/ na /gh/ipasavyo katika silabi na maneno

kutumia maneno yenye sauti /k/na/gh/ ipasavyo katika matiniili kuyatofautisha kimatamshi

kuchangamkia matamshi bora ya sauti /k/na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida ili kufanikisha mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:

kutambua sauti /k/na/gh/katika maneno na silabi (k.v. kali/ghali; karama/gharama n.k) akiwa peke yake au wawiliwawili

kutambua maneno yenye sauti / k/na/gh/ katika matini andishi auza kidijitali na kuyatamka ipasavyo akiwa na wenzake

kutunga vitanzandimi vinavyotumia sauti /k/ na /gh/ na kujirekodi kwa kutumia kifaa cha kidijitali (k.v simu, tabuleti, redio na kanda za sauti)

kusikiliza akiwa na wenzake vitanzandimi alivyovirekodi ili kuvitathmini

kumwasilishiamzaziau mlezi mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia matamshi bora ya sauti /k/na/gh/.
Ni maneno yapi unayoyajua yaliyona sauti /k/na/gh/?
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno
?Kapu maneno
?Vitabu mbalimbali
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.62
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano Kujibu maswali Maigizo Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno na majibu Mijadala Mazungumzo Matumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake
4 3
KUSOMA
Ufahamu wa Kifungu cha Kushawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kutambua habari mahususi katika kifungu cha ufahamu

kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamu

kueleza maana ya msamiati na vifungu vya maneno katika kifungu cha ufahamu

kujadili ushawishi katika kifungu cha ufahamu

kuchangamkia usomaji wa ufahamu shawishi ili kukuzahamu ya ujifunzaji
Mwanafunzi aelekezwe:

kusoma ufahamu wa kifungu cha kushawishi kutoka kwa vitabu au vifaa vya kidijitali na kudondoa habari mahususi (k.v. nani, nini, wapi, lini, n.k.)

kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamucha kushawishi akishirikiana na wenzake katika kikundi

kueleza maana ya msamiati kuhusu suala lengwa (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi na kuueleza kwa kutumia kamusi akiwa peke yakeau katika kikundi

kujadili ushawishi katika kifungu cha ufahamu akishirikiana na wenzake katika kikundi

kuwawasilishia wenzake kazi yake ili wamtolee maoni
Ni kwa njia gani tunaweza kutambua ujumbe wenye lengo la kushawishi katika habari?
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.63
Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa Kujibu maswali k.m. katika ufahamu Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa d)Kusoma kwa sauti Wanafunzi kufanyiana tathmini Potfolio Shajara
4 4
KUANDIKA
Insha za KubuniMasimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:


kutambua vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo katika insha ya masimulizi

kujadili vipengele vinavyojenga wazo katika aya kuhusu insha ya masimulizi

kuandika insha ya masimulizi akikuza wazo katika aya ipasavyo


kufurahiautunzi wa insha za masimulizi zenye mpangilio mzuri wa wazo
Mwanafunzi aelekezwe:

kutambua vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo (k.v. mada, utangulizi, kati, hitimisho,n.k.)katika insha ya masimulizi katikamatini za kimaandishi na za kidijitali akiwa peke yake au katika kikundi

kutambua ukuzaji wa wazo katika kila aya ya insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi au za kidijitali akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kushirikiana na wenzake kueleza jinsi wazo lilivyokuzwa katika kila aya ya insha ya masimulizi (k.v. kila wazo kuu kuwa katika aya yake, kutoa maelezo toshelevu kwa kila hoja kuu katika aya yake, kuepuka urudiaji au uchanganyaji wa hoja katika aya, n.k.)

kushirikiana na wenzake kujadili vipengele vinavyojenga mawazo

kuandika vidokezo vya insha vinavyozingatia ukuzaji wa wazo katika kila aya akishirikiana na wenzake

kuandika insha ya masimulizi akizingatiaukuzaji wa wazo katika kila ayana vipengele vinavyojenga mawazo hayo

kuwasomea wenzake katika kikundi insha aliyoandika au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni

kushirikiana na wenzake kusahihisha insha ya maelezo aliyoandika kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia ukuzaji wa wazo katika kila aya
Je, unawezaje kulikuzawazo vizuri katika insha ya masimulizi?
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi


OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.64
Kuandika tungo mbalimbali Wanafunzi kufanyiana tathmini Potfolio Shajara Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
5 1
SARUFI
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kutambua nomino katika ngeli ya U -U na U -YA katika matini

kutambua upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U -U na U -YA katika sentensi

kutumia nomino katika ngeli ya U -U na U -YA kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi

kuchangamkia kutumia nomino katika ngeli ya U-U na U -YA ipasavyo ili kuimarisha umilisi wa lugha
Mwanafunzi aelekezwe:

kuchopoa nomino za ngeli ya U -U (k.v uji, ugoro, umaskini urafiki, n.k) naU-YA (k.v. ugonjwa -magonjwa, uovu: maovu, ulezi-malezi,n.k.)kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au tarakilishi akiwa peke yake au katika kikundi

kutenga nomino za ngeli ya U -U na U -YA katika orodha ya nomino, sentensi au vifungu kwenye vitabu, vifaa vya kidijitali, chati kwa kuzikolezea wino au kuzipigia mstari akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli yaU -U na U -YA katika sentensi na vifungu akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi

kutunga sentensi au vifungu vyenye upatanisho ufaao wa kisarufi kuhusu suala lengwa kwa kutumia nomino zangeli ya U-U na U -YA akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi
Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya U -U? Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya U-YA?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti

Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.65
Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno lengwa Kujaza mapengo Kutunga sentensi Kazi mradi
5 2
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
KUSOMA
Hadithi Hurafa naHekaya
Kusoma kwa KinaTamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kueleza maana ya hurafa na hekaya ili kuzibainisha

kueleza ujumbe katika hurafa na hekaya

kujadili vipengele vya uwasilishaji wa hurafa na hekayad)kusimuliahurafa na hekaya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji
kufurahia hurafa na hekaya kama vipera vya fasihi simulizi
kutambua wahusika katika tamthiliaaliyosoma
kujadili sifa za wahusika katika tamthilia
kujadili mafunzo yanayotokana na wahusika katika tamthilia
kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kukuza hamu ya ujifunzaji.
Mwanafunzi aelekezwe:

kusikiliza kielelezo cha hadithi ya hurafa na hekaya kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au kifaa cha kidijitali(k.v. redio, rununu, kipakatalishi na runinga).

kueleza maanaya hurafa na hekaya ili kuzibainisha akiwa peke yake au katika kikundi

kueleza ujumbe katika hurafa na hekaya akiwa na wenzake katika kikundi

kujadili akiwa na mwenzake vipengele vya uwasilishaji wa hurafa na hekaya

kuwasilisha hurafa na hekaya kuzingatia vipengele vya uwasilishaji (kiini cha hadithi, kiwango cha lugha, mpangilio wa matukio, sauti, ishara za mwili)

kujirekodi akitamba hurafa na hekaya kwa kutumia vifaa vya kidijitali na kusikiliza akiwa na wenzake

kushirikiana na mzazi au mlezi kutambua hurafa na hekaya kutoka kwa jamii yake nakujadili ujumbe unaojitokeza katika hadithi hizo.
kutambua wahusikakatika tamthilia aliyoisoma akiwa peke
kujadili sifa za wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu (k.v. usiri, uovu, ukali, udadisi, n.k.)akiwa na wenzake katika kikundi
kuigiza wahusika katika tamthilia akiwa na wenzake katika kikundi ili kukuza uelewa wa sifa zao
kueleza uhusiano kati ya wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu wakiwa wawiliwawilikutazama video kuhusu wahusika katika tamthilia aliyosoma akiwa na wenzake
kuandaa muhtasari kuhusu sifa za wahusika katika video aliyotazama
kujadili mafunzo yanayotokana namatendo ya wahusika akiwa na wenzake katika kikundi
Je, hadithi ambayo umewahi kusikiliza ilihusu wanyama gani? Je, hurafa na hekaya hutofautianaje?
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno
?Kapu maneno
?Vitabu mbalimbali
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.66
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali

Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.67
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano Kujibu maswali Maigizo Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno na majibu Mijadala Mazungumzo hMatumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake Wanafunzi kufanyiana tathmini
5 3
KUANDIKA
Barua ya Kuomba Msaada
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kutambua vipengele vya kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada

kutambua ujumbe katika barua rasmi ya kuomba msaada

kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kwa kuzingatia ujumbe,muundo na lugha ifaayo

kufurahia kujieleza ifaavyo kwanjia yabarua
Mwanafunzi aelekezwe:

kujadili katika kikundi vipengele vya kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada (k.v. anwani, suala linaloshughulikiwa, sahihi n.k.)

kutambua ujumbe unaoafiki barua rasmi ya kuomba msaada kwa kujadiliana na mwenzake

kujadili na wenzake kuhusu lugha inayofaa katika uandishi wa barua rasmi ya kuomba msaada

kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kuhusu masuala mbalimbali na kuwasomea wenzake darasani ili waitolee maoni

kuandika barua ya kuomba msaada katika kifaa cha kidijitali na kuwasambazia wenzake kupitia mtandao ili waitolee maoni
Je ni mambo gani yanayoweza kukufanya kuomba msaada? Je, ni vipengele vipi unazingatia wakati unapoandika barua ya kuomba msaada?
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi


OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.68
Kuandika tungo mbalimbali Wanafunzi kufanyiana tathmini Potfolio Shajara Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
5 4
SARUFI
Vinyume vya Vitenzi na Vielez
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kueleza maana ya kinyume cha maneno ili kuibainisha

kutambua vinyume vya vitenzi na vielezi katika matini

kutumia ipasavyo vinyume vya vitenzi na vielezi katika matini

kuchangamkia kutumia vinyume vya vitenzi na vielezi katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:

kujadili maana ya kinyume cha maneno akiwa na mwenzake au katika kikundi

kutambua vinyume vya vitenzi (k.v. simama-keti, cheka-lia, vaa-vua, n.k.) na vielezi (k.v.haraka haraka-polepole,asubuhi-jioni)kwa kutumia kadi maneno, mti maneno, kapu maneno akiwa na mwenzake

kutambua vinyume vya vitenzi na vielezi katika matini(k.v orodha ya maneno, sentensi na vifungu vya maneno) akiwa peke yake

kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya vinyume vya vitenzi na vielezi kutoka kwa sentensi mbalimbali kwenye vitabu, tarakilishi au chati akiwa na mwenzake

kutunga sentensi sahihi akitumia vinyume vya vitenzi na vielezi kusakura mtandaoni au kutafiti katika vitabu vya ziada ili kupata vinyume zaidi vya vitenzi na vielezi

kumsomea mzazi au mlezi sentensi alizotunga kuhusu vinyume vya vitenzi na vielezi.
Je, ni vinyume gani vya vitenzi unavyojua? .Je, unajua vinyume gani vya vielezi?
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti

Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.69
Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno lengwa Kujaza mapengo Kutunga sentensi Kazi mradi
6 1
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kueleza maana ya kuzungumza kwakutumia vidokezo

kutambua umuhimu wa kuzungumza kwa kutumia vidokezo

kutambua miktadha katika jamii ambapokuzungumza kwakutumia vidokezo hufanywa

kujadilivipengele vya kuzingatia katika kuzungumza kwakutumia vidokezo

kutoamazungumzo kwa kutumia vidokezo ifaavyo

kujenga mazoea yakutumia vidokezo katika mazungumzo ili kufanikisha mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:

kueleza maana ya kuzungumza kwa kutumia vidokezo akiwa peke yake au katika kikundi

kujadili na wenzake umuhimu wa kuzungumza kwa kutumia vidokezo

kutambua miktadha katika jamii yake ambamo anahitajikuzungumza kwa kutumia vidokezo(k.v. anapowazungumzia wenzake shuleni kuhusu haki za watoto, akiwa mzungumzaji maalum katikakongamano, katika semina, anapomtambulisha mgeni wa heshima katika hafla fulanin.k.)

kujadilivipengele vya kuzingatiakatika kuzungumza kwakutumia vidokezo (k.vkubainisha kiini cha mazungumzo, (je, ni ya kupasha habari? Ni ya kushawishi? Ili kuteua lugha mwafaka),mpangilio wa mawazokimantiki, kutosoma vidokezo; kuvitazama kwaufupi tu, kufanya mazoezi kabla ya kuzungumza, kuviweka juu ya meza wakati wa kuzungumza, n.k) akiwa na wenzakekatika kikundi

kusikiliza au kutazama aina mbalimbali za mazungumzo kutoka kwenye vifaa vya kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzakena kubainishavipengele vilivyozingatiwa

kuandaa vidokezo kuhusu suala lengwa akiwa peke yake

kuwawasilishia wenzake mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kutumia vidokezo alivyoandaa ili wayatolee maoni

kumwasilishia mzaziau mlezi vidokezo vya mazungumzo kuhusu suala lengwa ili atoe maoni yake
Kwa nini ni muhimu kuandaa vidokezo unapozungumza?
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno
?Kapu maneno
?Vitabu mbalimbali
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.70
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano Kujibu maswali Maigizo Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno na majibu Mijadala MazungumzoMatumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake Wanafunzi kufanyiana tathmini
6 2
KUSOMA
Kusoma kwa MapanaMatini za Kujichagulia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kuteua matini ifaayo ya kujisomea

kueleza ujumbe katika matini ya kujichagulia

kutambua maana za msamiati na matumizi mengine ya lugha katika matini ya kujichagulia

kujenga mazoea yakusoma matini mbalimbali katika maisha ya kila siku
Mwanafunzi aelekezwe:

kuteua matini ifaayo ya kujisomea

kueleza ujumbe wa matini ya kujichagulia aliyosoma

kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia (k.v ya kisayansi, kisiasa, kihistoria, kifasihi, michezo, n.k.) akiwa peke yake

kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyajua

kujenga rekodi ya msamiati aliojifunza katika kitabu

kumtungia mwenzake sentensi akitumia msamiati katika matini aliyoisoma

kutoa muhtasari wa matini ya kujichagulia aliyosoma na kuwasilisha kwa wenzake ili waitolee maoni

kusakura mtandaoni na kujichagulia matini ya ziada kisha aisome
Unavutiwa zaidi na nini unaposoma makala ya kujichagulia? Unazingatia mambo gani wakati wa kusoma makala ya kujichagulia?
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali

OUP,Kiswahili
Gredi Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.71
Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa Kujibu maswali k.m. katika ufahamu Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwaKusoma kwa sauti Wanafunzi kufanyiana tathmini Potfolio Shajara
6 3
KUANDIKA
Inshaza Kubuni Maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kujadili vipengele vya insha ya maelezo

kuandika insha ya maelezo ipasavyo kwa kuzingatiavipengele vyake

kufurahia kuandika insha zamaelezo katika maisha ya kilasiku
Mwanafunzi aelekezwe:

kueleza maana ya insha ya maelezo kwa kurejelea matini mbalimbali kutafiti maktabani au mtandaoni vipengele vya insha ya maelezo

kujadili na wenzake vipengele vya insha ya maelezo alivyotafiti mtandaoni

kuandika insha ya maelezo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo

kuwasomea wenzake katika kikundi insha aliyoandika au kuwasambazia kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni

kushirikiana na wenzake kusahihisha insha walizoandika na kutoleana maoni kwa amani na upendo
Je, ni vipengele gani vya kuzingatia katika kuandika insha ya maelezo?
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi


OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.72
Kuandika tungo mbalimbali Wanafunzi kufanyiana tathmini Potfolio Shajara Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
6 4
SARUF
Mnyambuliko wa Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kutambua kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika vitenzi

kutumia ipasavyo vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika matini

kuchangamkia kutumia ipasavyo vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda ili kuimarisha mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:

kutambua vitenzikatika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda (kv. eleweka, tembelewa, chezacheza n.k)mtawalia akiwa peke yake

kuteua vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda (k.v. limika, bebewa, sukasuka n.k) mtawalia, kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno autarakilishi akiwa na mwenzake

kutenga vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika sentensi na vifungu kwenye vitabu, tarakilishi,chati kwa kuvikolezeawino au kuvipigia mstari

kugeuza vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda akiwa na wenzake katika kikundi

kutunga sentensi au vifungu kuhusu suala lengwa kwa kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa nakutendatenda akiwa peke na mwenzake

kujaza mapengo kwa kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda akiwa peke yake au wawiliwawili
Kwa nini ni muhimu kujifunza kauli za vitenzi
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti

Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno
Kadi maneno
Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango
Sanamu Nyenzo halisi

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.73
Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno lengwa Kujaza mapengo Kutunga sentensi Kazi mradi
7 1
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
Kusikiliza kwa Makini
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kueleza habari katika matini ya kusikiliza

kukadiria maana ya msamiatimahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza

kuziwasilisha hoja muhimu katika habari aliyosikilizakwa kufuata mpangilio ufaao

kujenga mazoea ya kufurahia kusikiliza vifungu vya kusikiliza ili kuimarisha uwezo wa kusikiliza
Mwanafunzi aelekezwe:

kutambua hoja muhimu katika habari aliyosikiliza kuhusu suala lengwa kutoka kwa mwalimu, kifaa cha kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake akiwa peke yake

kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini aliyosikiliza

kuelezea mwenzakemaana ya msamiati katika matini ya kusikiliza

kueleza hoja muhimualiyotambua kutoka matini aliyosikilizakwa maneno machache

kuwawasilishia wenzake hoja muhimu katika habari aliyosikilizakwa kufuata mpangilio ufaao
Je, kwa nini ni muhimu kuwa na mpangilio ufaao wa hojakutoka habari uliyosikiliza?
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno
?Kapu maneno
?Vitabu mbalimbali
OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.74
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano Kujibu maswali Maigizo Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno na majibu Mijadala Mazungumzo Matumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake Wanafunzi kufanyiana tathmini
7 2
KUSOMA
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO,

kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora

kusoma kifungu kwa kasi ifaayo

kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo

kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo

kuridhia kusoma makala kwa kuzingatia vipengele vinavyofanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:

kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha (matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ifaayo, ishara zifaazo)

kutazama vielelezo vya video za watu wanaosoma kwa ufasaha makala (k.v hotuba, taarifa ya habari, n.k.) akiwana wenzake

kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora kusoma kifungu cha habari kwa kasi ifaayo kuhusu suala lengwa

kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo (k.v kiwango cha sauti na kiimbo)akiwa katika kikundi kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa (k.v ishara za uso na mikono) akiwa na wenzake katika kikundi

kusoma mbele ya wenzake kazi yake ili wamtolee maoni
Je, unaposoma kifungu unazingatia mambo gani ili kufanikisha usomaji?
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti
Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Kamusi mbalimbali

OUP,Kiswahili
Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.75
Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa Kujibu maswali k.m. katika ufahamu Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa Kusoma kwa sauti
7 3
KUSOMA
Kusoma
Kusoma kwa Ufasaha
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,

Kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ipasavyo kisha kuambatanisha ishara zifaazo.
Kujadiliana kuhusu usomaji wao wa kifungu kuhusu
Wakiwa katika vikundi, wanafunzi waweze kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ipasavyo kisha kuambatanisha ishara zifaazo.

Wakiwa katika vikundi, wanafunzi waweze kujadiliana kuhusu usomaji wao wa kifungu kuhusu
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,

Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
7 4
Kuandika
Insha ya Kiukamilifu - Hotuba
Insha ya Kiukamilifu - Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,

Kutaja watu ambao wamewahii kusikia au kuona wakizungumzia watu katika mikutano.
Kutambua hotuba ya kupasha habari katika matini.
Kusoma kifungu.
Kutathmini umuhimu wa hotuba.
Kutambua vigezo atakavyozingatia wakati wa kuandika hotuba.
Kuandika insha ya hotuba ya kupasha habari.
Kuchangamkia kuandika hotuba.
Mwanafunzi aweze kutaja watu ambao wamewahii kusikia au kuona wakizungumzia watu katika mikutano.

Mwanafunzi aweze kutambua hotuba ya kupasha habari katika matini.

Mwanafunzi aweze Kusoma kifungu, Uk. 137
Mwanafunzi aweze kutambua vigezo atakavyozingatia wakati wa kuandika hotuba.
Mwanafunzi aweze kuandika insha ya hotuba ya kupasha habari
Je, hotuba ni nini?
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,

Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi Kujibu maswali Kujaza pengo Kuandika tungo Kazi mradi
8 1
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Aina za sentensi; Sentensi changamano
Wahusika katika hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,

Kueleza maana ya sentensi changamano.
Kutambua sentensi changamano kutoka kwenye orodha iliyo katika kitabu cha mwanafunzi.
Kuchangamkia matumizi ya sentensi changamano.
Kusikiliza hadithi itakayosimuliwa na mwalimu au iliyorekodiwa.
Kueleza sifa za wahusika kutokana na matendo na tabia zao.
Kufurahi kusikiliza hadithi.
Mwanafunzi aweze kueleza maana ya sentensi changamano.

Mwanafunzi aweze kutambua sentensi changamano kutoka kwenye orodha iliyo katika kitabu cha mwanafunzi.

Mwanafunzi aweze kutunga sentensi changamano kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa.
Wakiwa katika vikundi, wanafunzi kuimba wimbo,
Ni aina gani za sentensi unazojua? Sentensi changamano ni gani?
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,

Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi Kujibu maswali Kujaza pengo Kuandika tungo Kazi mradi
8 2
Kusoma kwa kina
Kuandika;
Mbinu za lugha
Insha za kubuni-Maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,

Kueleza maana ya mbinu za lugha katika fasihi.
Kutambua umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia.
Kutathmini umuhimu wa mbinu za lugha.
Kueleza maana ya insha ya maelezo.
Kuandika insha ya maelezo.
Kuchangamkia kuandika insha ya maelezo.
Wanafunzi kueleza maana ya mbinu za lugha katika fasihi.

Wanafunzi waweze kutaja mbinu mbalimbali za lugha katika tamthilia.

Wanafunzi waweze kutambua umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia.
Wakiwa katika vikundi, wanafunzi waweze kueleza
Wakiwa katika vikundi, wanafunzi waweze vigezo vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo.
Wanafunzi kuandika insha ya maelezo.
Mbinu za lugha zina umuhimu gani zinapotumiwa katika tamthilia?
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,

Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi Kujibu maswali Kujaza pengo Kuandika tungo Kazi mradi
8 3
Sarufi
Ukanushaji kwa kuzingatia hali
Ukanushaji kwa kuzingatia nyakati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,

Kueleza maana ya ukanushaji.
Kuorodhesha maneno ambayo yanaonyesha hali tofauti katika kifungu alichokisoma.
Kutathmini umuhimu wa ukanushaji.
Kukanusha sentensi ziwe katika hali timilifu.
Kutunga sentensi katika hali timilifu.
Kutathmini umuhimu wa Ukanushaji.
Wanafunzi kueleza maana ya ukanushaji.

Wanafunzi waweze kuorodhesha maneno ambayo yanaonyesha hali tofauti katika kifungu alichokisoma.
Wanafunzi kukanusha sentensi ziwe katika hali timilifu.
Wanafunzi kutunga sentensi katika hali timilifu.
Kwa nini huwa tunakanusha Kauli?
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi

Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Kutunga sentensi Kujibu maswali Kujaza pengo Kuandika tungo Kazi mradi
8 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Hadithi- Matumizi ya lugha
Ufahamu wa kifungu cha mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,

Kusikiliza hadithi ikisimuliwa na mwalimu au iliyonaswa kwenye kifaa cha kidijitali.
Kutunga hadithi inayohusiana na kuweka akiba. Zingatia matumizi ya tashbihi, methali, nahau na urudiaji wa maneno ya bidhaa.
Kutathmini umuhimu wa hadithi.
Kusoma mjadala katika kitabu cha mwanafunzi.
Kueleza habari za kifungu cha mjadala kwa ufupi.
Kuchangamkia kusoma mijadala mbalimbali.
Wanafunzi waweze kutaja vipengele vya lugha vinavyotumika katika hadithi.

Wanafunzi kusikiliza hadithi ikisimuliwa na mwalimu au iliyonaswa kwenye kifaa cha kidijitali.

Wakiwa katika vikundi, wanafunzi kutunga hadithi inayohusiana na kuweka akiba. Zingatia matumizi ya tashbihi, methali, nahau na urudiaji wa maneno ya bidhaa.
Wakiwa wawiliwawili, wanafunzi waweze kusoma mjadala katika kitabu cha mwanafunzi Uk. 152
Wanafunzi kutambua msamiati mpya katika kifungu cha mjadala.
Kueleza habari za kifungu cha mjadala kwa ufupi.
Wanafunzi waweze kueleza habari za kifungu cha mjadala kwa ufupi.
Unajua mbinu gani za lugha zinazotumika katika matumizi ya hadithi?
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,

Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Kutunga sentensi Kujibu maswali Kujaza pengo Kuandika tungo Kazi mradi
9 1
Kuandika
Sarufi
Insha ya maelekezo
Udogo wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,

Kusoma maelekezo katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za maelekezo kuhusu jinsi ya kuandika insha ya maelekezo.
Kutathmini umuhimu wa insha ya maelekezo.
Kuambatanisha nomino za hali ya wastani na hali ya ukubwa.
Kutunga sentensi akitumia nomino alizoandika katika hali ya ukubwa.
Kuchangamkia kutumia nomino katika hali ya ukubwa.
Mwanafunzi aweze kusoma maelekezo katika kitabu cha mwanafunzi Uk. 153

Mwanafunzi aweze kutaja sifa za maelekezo kuhusu jinsi ya kuandika insha ya maelekezo.

Mwanafunzi aweze kuandika insha ya maelekezo.
Mwanafunzi aweze kueleza maana ya udogo wa nomino.
Mwanafunzi kuambatanisha nomino za hali ya wastani na hali ya ukubwa.
Mwanafunzi aweze kutunga sentensi akitumia nomino alizoandika katika hali ya ukubwa.
Je, unaweza kumwelekeza mtu kufanya nini?
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,

Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Majarida
Kutunga sentensi Kujibu maswali Kujaza pengo Kuandika tungo Kazi mradi
9 2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Usikilizaji husishi
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,

Kusikiliza mazungumzo atakayosomewa.
Kueleza maana za msamiati wa suala lengwa kama ilivyotumiwa katika mazungumzo.
Kutathmini umuhimu wa kusikiliza.
Kusoma matini katika kitabu cha mwanafunzi.
Kueleza kwa sentensi mojamoja ujumbe wa kila aya.
Kutathmini umuhimu wa ufupisho.
Wanafunzi waweze kusikiliza mazungumzo atakayosomewa na mwalimu.

Wakiwa katika vikundi, wanafunzi kutabiri yatakayotokea kutokana na vidokezo katika mazungumzo.

Mwanafunzi kueleza maana za msamiati wa suala lengwa kama ilivyotumiwa katika mazungumzo.
Mwanafunzi kusoma matini katika kitabu cha mwanafunzi Uk. 162
Mwanafunzi kueleza kwa sentensi mojamoja ujumbe wa kila aya.
Mwanafunzi kuandika kwa ufupi bila kutoa ufafanuzi au mifano.
Je, ni miktadha gani rasmi na isiyo rasmi ambapo usikilizaji husishi hutokea? Je, unazingatia mambo gani ili uweze kufanikisha kusikiliza husishi katika mazungumzo?
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,

Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi Kujibu maswali Kujaza pengo Kuandika tungo Kazi mradi
9 3
Kuandika
Sarufi
Baruapepe ya kiofisi
Usemi halisi na usemi wa taarifa.
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,

Kueleza maana ya baruapepe.
Kuandika baruapepe ya kiofisi
Kutathmini umuhimu wa baruapepe.
Kueleza maana ya usemi halisi.
Kubadilisha sentensi kutoka usemi wa taarifa hadi usemi halisi.
Kutunga sentensi katika usemi halisi.
Kuchangamkia kutumia sentensi katika usemi halisi.
Wanafunzi kueleza maana ya baruapepe.

Wanafunzi kueleza vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisi.

Mwanafunzi akiwa pekee yake kuandika baruapepe ya kiofisi.
Mwanafunzi kueleza maana ya usemi halisi.
Mwanafunzi waweze kubadilisha sentensi kutoka usemi wa taarifa hadi usemi halisi.
Mwanafunzi kutunga sentensi katika usemi halisi.
Je, ulizingatia vipengele gani katika baruapepe uliyowahi kuandika?
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi
KamusiMajarida
Vifaa vya kidijitali
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi

Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi Kujibu maswali Kujaza pengo Kuandika tungo Kazi mradi
9 4
Sarufi
Sarufi; Usemi halisi na usemi wa taarifa.
Sarufi; Usemi halisi na usemi wa taarifa.
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi,

Kueleza maana ya usemi wa taarifa.
Kubadilisha sentensi kutoka usemi halisi hadi usemi wa taarifa.
Kutunga sentensi katika usemi wa taarifa.
Kuchangamkia kutumia sentensi katika usemi wa taarifa.
Sarufi:
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Mwanafunzi kueleza maana ya usemi wa taarifa.

Mwanafunzi waweze kubadilisha sentensi kutoka usemi halisi hadi usemi wa taarifa.

Mwanafunzi kutunga sentensi katika usemi wa taarifa.
Mwanafunzi
kueleza maana ya usemi wa taarifa. 
 
Mwanafunzi waweze kubadilisha sentensi kutoka usemi halisi hadi usemi wa
taarifa. 
 
Mwanafunzi kutunga sentensi katika usemi wa taarifa.
Je, unazingatia nini unapobadilisha usemi?
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi

Kamusi
Majarida
Vifaa vya kidijitali
  Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi  
 
Kamusi 
Majarida 
Vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi Kujibu maswali Kujaza pengo Kuandika tungo Kazi mradi

Your Name Comes Here


Download

Feedback