If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI_ZA_UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 2 |
KUANDIKA
SARUFI |
Insha za Kiuamilifu Hotuba
Aina za SentensiSentensi Changamano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo, kueleza maana ya hotuba ya kutoa ufafanuzi kutambua hotuba ya kutoa ufafanuzi katika matini kujadili ujumbe, lugha na muundo wa hotuba ya kutoa ufafanuzi kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kwa kuzingatia vipengele vyake kuchangamkia nafasi ya hotuba ya kutoa ufafanuzi katika mawasiliano kueleza maana ya sentensi changamano ili kuipambanua kutambua sentensi changamano katika matini kutumia sentensi changamano ipasavyo katikamatinid)kuonea fahari matumizi ya sentensi changamano katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aelekezwe:
kueleza maana ya hotuba ya kutoa ufafanuzi akiwa peke yake kujadiliana na wenzake kuhusu ujumbe (unaolenga kinachotolewa ufafanuzi),lugha (nyepesi inayoeleweka) na muundo ufaao wa hotuba ya kutoa ufafanuzi kujadili na wenzake miktadha inayochochea hotuba ya kutoa ufafanuzi kujadili na wenzakekatika kikundividokezo vinavyoweza kutumiwa katika kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzikuhusu suala lengwa akizingatia ujumbe, lugha na muundo ufaao kisha awasambazie wenzake mtandaoni au kuwasomea darasani ili waitolee maoni kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzikuhusu suala linaloathiri jamii yao kisha amsomee mzazi au mlezi ili aitolee maoni kueleza maana ya sentensi changamano akiwa peke yake kutenga sentensi changamano katika orodha ya sentensi kwenye vitabu, chati au tarakilishi kwa kuzipigia mstari au kuzikolezea wino akiwa peke yake au katika kikundi kubainisha sentensi changamano zinazojitokeza katika vifunguakiwa na wenzake katika kikundi kutunga sentensi changamano ipasavyo kuwawasilishia wenzake darasani sentensi changamano aliyotunga ili waitathmin ikumtungia mzazi au mlezi sentensi changamano zinazohusu shughuli katika mazingira ya nyumbani |
Ni mambo gani ya kuzingatia katika kutoa hotuba ya ufafanuzi?
|
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha isha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.76 Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno Kadi maneno Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango Sanamu Nyenzo halisi Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.77 |
a)Kuandika tungo mbalimbali b)Wanafunzi kufanyiana tathmini
c)Potfolio
d)Shajara
e)Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
1 | 3 |
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
|
Wahusika katika Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo, kutambua wahusika katika hadithi kuchambua sifa za wahusika katika hadithi kueleza mafunzo kutokana na wahusika katika hadithi kufurahia kushiriki katika uchambuzi wa wahusika katika hadithi |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua washiriki katika hadithi inayosimuliwa(k.v fanani, hadhira) akiwa na mwenzake kutambua sifa za wahusika katika hadithi aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vifaavya kidijitali (k.v wanyama, mazimwi, shujaa, kijana maskini, ndege, wadudu, n.k.) kuchambua wahusika katika hadithi aliyosikiliza akiwa na wenzakekatika kikundi kueleza mafunzo kutokana na wahusika katika hadithi wakiwa wawiliwawili kutamba hadithi akiwa na wenzake huku wakichukua majukumu mbalimbali (k.v fanani, hadhira, n.k.) kutunga hadithi fupi ambayo ina wahusika wanyama kuhusu suala lengwa na kuwawasilishia wenzake darasani ili wachambue wahusika kuwasilishia mzaziau mlezi uchambuzi wasifa zawahusika katika hadithi aliyosikiliza |
Je, hadithi uliyowahi kusimuliwa ilikuwa na wahusika gani?
|
Chati Michoro
Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) Mti maneno Kapu maneno Vitabu mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.78 |
a)Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
b)Kujibu maswali c)Maigizo d)Kutambua k.m. kwenye orodha e)Kuambatanisha maneno na majibu
f)Mijadala g)Mazungumzo h)Matumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake
i)Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
1 | 4 |
KUSOMA
|
Kusoma kwa Kina Tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo, kutambua mbinu za lugha katika tamthilia kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia kufurahia kuchanganua matumizi ya mbinu za lugha katika fasih |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua mbinu za lugha (k.v. urudiaji, tashbihi, sitiari, nahau, methali, tasfida, tanakali za sauti n.k.)kwenye tamthilia akiwa peke yake kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia akiwa na wenzakekatika kikundi kuhakiki uwasilishaji wa wenzake kuhusu mbinu za lugha katika tamthilia na kuutolea maoni kufanya utafiti maktabani au mtandaoni kuhusu matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia kuwasilishia mzazi aumlezi uchambuzi wa matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia aliyosoma. |
Tamthilia hutumia mbinu gani za lugha?2.Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika tamthilia?
|
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti Rununu Kamusi mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.79 |
a)Kutunga sentensi k.m. kwa
kutumia msamiati lengwa b)Kujibu maswali k.m. katika ufahamu c)Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa d)Kusoma kwa sauti e)Wanafunzi kufanyiana tathmini
f)Potfolio
g)Shajara
|
|
2 | 1 |
KUANDIKA
SARUFI |
Insha za KubuniMaelezo
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hal |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo, kutambua vipengele vya insha ya maelezo kuhusu mahali kujadili vipengle vya vya insha ya maelezo kuhusu mahali kuandika insha ya maelezo inayodhihirisha sifa za mahali kuonea fahari utoaji wa maelezo kamilifu kuhusu kitu au jambo kueleza maana ya ukanushaji ili kuupambanua kutambua ukanushaji kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu katika matini kukanusha sentensi kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu kuchangamkia kukanusha sentensi katika hali ya mazoea na timilifu ili kukuza mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua vigezo vyakimsingi katika uandishi wa insha ya maelezo akiwa na wenzake katika kikundi kujadiliana na wenzake kuhusu mada ya insha ya maelezo kujadili na wenzake vipengele vya insha ya maelezo kutokana na kielelezocha insha kuandaa vidokezo vya insha ya maelezo kuhusu mahali panapolengwa katika insha ya maelezo akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi kutumia lugha inayojenga picha ya kinachoelezewa (vivumishi, vielezi, vitenzi, tamathali za lugha) kuandika insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali akizingatia muundo ufaao na inayohusisha suala lengwa kisha awasomee wenzake darasani kubuni insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali kisha awasambazie wenzake mtandaoni ili waitolee maoni kutolea insha za wenzake maoni kwa upendo kumsomea mzazi au mleziinsha yakubuni aliyoandika ili aitolee maoni kutambua hali ya mazoea na timilifu kutoka kwenye chati, mti maneno, vitabu au vifaa vya kidijitaliakiwa peke yake kutambua ukanushaji wa sentensi katika hali ya mazoea na timilifu akiwa na wenzake katika kikundi kuchagua sentensi zinazoonyesha ukanushaji wa hali ya mazoea na timilifu kutoka kwenye mchanganyiko wa sentensi kutoka kwenye vitabu, tarakilishi au chati kwa kuzikolezea wino au kuzipigia mstari kutunga sentensi kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu kukanusha sentensi alizotunga kisha awatumie wenzake kupitia vifaa vya kidijitali au kuwasomea darasani ili wazitolee maoni |
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo?
|
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.80 Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno Kadi maneno Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango Sanamu Nyenzo halisi Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.81 |
a)Kuandika tungo mbalimbali b)Wanafunzi kufanyiana tathmini
c)Potfolio
d)Shajara
e)Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
2 | 2 |
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
|
Hadithi Matumizi ya Lugha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo, kutambua vipengele vya lugha vinavyotumika katika hadithi kujadili umuhimu wa vipengele vya lugha vinavyotumika katika hadithi kusimulia hadithi kwa kutumia vipengele vya lugha ipasavyo kuonea fahari uchanganuzi walugha katikahadithi kama utungo wa fasihisimulizi |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua vipengele vya lugha (k.v urudiaji, tanakali za sauti, nahau, tashbihi, methali, n.k.)kwa kusikiliza hadithi kutoka kwa mwalimuau vifaa vya kidijitali akiwa peke yake kujadili umuhimu wa vipengele vya lugha vilivyotumika katika hadithi walizosikiliza akiwa na wenzake kusimulia hadithi kwa kutumia vipengele vya lugha(k.v tanakali za sauti, nahau, methali, tashbiha n.k) kuwawasilishia wenzake hadithi aliyotunga ili watambue vipengele vya lugha vilivyotumika kushirikiana na mzazi au mlezi kusikiliza hadithi na kutambua vipengele vya lugha vilivyotumika |
Ni mbinu gani za lugha zinazotumika katika masimulizi ya hadithi?
Matumizi ya lugha katika hadithi yana umuhimu gani?
|
Chati Michoro na picha
Mgeni mwalikwa Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) Mti maneno Kapu maneno Vitabu mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.82 |
a)Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
b)Kujibu maswali c)Maigizo d)Kutambua k.m. kwenye orodha e)Kuambatanisha maneno na majibu
f)Mijadala g)Mazungumzo h)Matumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake
i)Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
2 | 3 |
KUSOMA
|
Kusoma kwa Ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo, kudondoa habari mahususi katika kifungu cha mjadala kutambuamsamiati mpya katika kifungu cha mjadala kuchambua mitazamo katika kifungu cha mjadala kuridhia kusoma kifungu cha mjadalaili kukuza uelewa wa habari |
Mwanafunzi aelekezwe:
kudondoa habari mahususi (k.v. nani, nini, wapi, lini)katika kifungu cha mjadalacha ufahamuwakiwa wawiliwawili kutambua msamiati mpya (k.v. maneno na nahau)katika kifungu cha mjadala cha ufahamu na kuueleza kwa kutumia kamusi akiwa peke yake kueleza maana ya msamiati uliotumiwa kwenye ufahamu na kutunga sentensi akiutumia kuchambua mitazamo iliyo katika kifungu cha ufahamu cha mjadala akiwa na mwenzake kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni. |
Utawezaje kutambua habari mahususi katika hadithi unayoisoma?
Je, unazingatia nini unaposoma vifunguvya ufahamu?
|
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti Rununu Kamusi mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.83 |
a)Kutunga sentensi k.m. kwa
kutumia msamiati lengwa b)Kujibu maswali k.m. katika ufahamu c)Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa d)Kusoma kwa sauti e)Wanafunzi kufanyiana tathmini
f)Potfolio
g)Shajara
|
|
2 | 4 |
KUANDIKA
SARUFI |
Insha za Maelekezo
Udogo wa Nomino |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo, kujadili vipengele vya insha ya maelekezo kuandika insha ya maelekezoakizingatia vipengele vyake muhimu kufurahia kuandika insha za maelekezoakizingatia vipengele vyake muhimu. kutambua nomino katika hali ya udogo katikamatini kubadilisha nomino za hali ya wastani kuwa katika hali ya udogo kutumia nomino katika hali ya udogo ipasavyo kuonea fahari kutumia nomino katika hali ya udogo katika sentens |
Mwanafunzi aelekezwe:
kujadili vipengele vya insha ya maelekezo (k.v matumizi yalugha, mpangilio ufaao wa maelekezo, uangavu,ubanaji) kutambua maneno mwafaka, mpangilio mzuri wa sentensi na mpangilio sahihi wa hatua katika kielelezo cha insha ya maelekezo kutoka kwa mwalimu, kwenye maandishi (k.v vitabu, chati n.k) au vifaa vya kidijitali, akiwa peke yake kuteuamaneno yatakayosaidia kufanikisha maelekezo (k.v. vielezi vya mahali:kulia,kushoto; vitenzi k. v.pinda, elekea, kata; vielekezi vya kiasi: vijiko viwili, nyanya tatu, n.k) ?kuandaa mpangilio ufaao wa sentensi zinazofuatana kulingana na maelekezo anayotaka kutoa (k.v maelekezo ya mahali:Tembea hadi mwendo wa kilomita moja. Ukifika kwenye zahanati upinde kulia; maelekezoya mapishi:weka unga vikombe vitatu kwenye bakuli, tia sukari vijiko vitanovikubwa; maelekezo ya mtihani:Jibu maswali matatu, swali la kwanza ni la lazima, n.k) kushiriki katika kikundi kujadili maneno, sentensi na hatua zinazoafiki maelekezo yaliyolengwa kuandika insha ya maelekezo akizingatia uteuzi mwafaka wa maneno, sentensi na hatua ili kumjengea msomaji taswira kamili ya kile kinachoelekezwa kuwasomea wenzake katika kikundi insha ya maelekezo aliyoandika au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni kushirikiana na wenzake kutoa maoni kuhusu insha ya maelekezo aliyoandika kwa kuzingatia uteuzi mwafaka wa maneno, mpangilio mzuri wa sentensi na mpangilio sahihi wa hatua Mwanafunzi: kutambua nomino katika hali ya udogo (k.v., kigoma, kidizi, kijitu, kijoka, kishamba, kijijiko n.k.)kwenye orodha ya nomino, chati,kadi maneno, kapu maneno, sentensi, vifungu vya maneno au tarakilishi kutambua udogo katika maneno akiwa na wenzakekatika kikundi kuandika majina ya vifaa vya darasani katika udogo (k.v. kidawati, kijitabu, n.k.) wakiwa wawiliwawili kubadilisha nomino za hali ya wastani ziwe katika katika hali ya udogo akiwa na wenzake katika kikundi kutunga sentensi akitumia nomino katika hali ya udogo na kuwasilisha darasani ili wenzake wazitathmini kumsomea mzazi au mlezi majina ya vitu vinavyopatikananyumbani au shuleni katika udogo nakumtungia sentensi kwa kutumia maneno hayo |
unapoandika inshaya maelekezo unazingatia mambo gani?
|
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.84 Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno Kadi maneno Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango Sanamu Nyenzo halisi Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.85 |
a)Kuandika tungo mbalimbali b)Wanafunzi kufanyiana tathmini
c)Potfolio
d)Shajara
e)Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
3 | 1 |
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
|
Kusikiliza Husishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo, kueleza maana ya usikilizaji husishi kutambua vipengele vya usikilizaji husishikatika matini kujadili vipengele vya usikilizajihusishi ili kuvipambanua kushiriki mazungumzo akizingatia vipengele vya usikilizaji husishi kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza husishi ili kuimarisha uwezo wa kufuatilia habari zinazoelezwa |
Mwanafunzi aelekezwe:
kueleza maana ya usikilizaji husishi akishirikiana na mwenzake kutambua miktadha rasmi na isiyo rasmi ambamo kusikiliza husishi hutokea katika jamii yake akiwa na wenzakekatika kikundi kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza husishi (k.v.kuwa makini, kuuliza maswali yasiyoelekeza, kuomba ufafanuzi, kumtazama mzungumzaji, kuelewa ujumbe anaotaka kukupitishia, kumhimiza kuzungumza badala ya kutoa ushauri,kutumia ishara zifaazo, n.k) kutoka kwenyemazungumzo mafupi,wakiwa wawiliwawili kusikilizamazungumzo kuhusu suala lengwa kutokavifaa vya kidijitali kama vile vinasasauti na akizingatia, na kutambua vipengele vya kusikiliza husishi vilivyozingatiwa kuigizavikao rasmivya mazungumzo, (k.v.kati ya mwalimu mkuu na mzazi kuhusu nidhamu ya mtoto)akiwakatika kikundi kujadili vipengele vya kusikiliza husishi vilivyozingatiwa na wahusika katika mazungumzo hayo |
Je, ni miktadha gani rasmi na isiyo rasmi ambapo usikilizaji husishi hutokea?
Ni vipengele gani unazingatia katika kusikiliza husishi?
|
Chati Michoro na picha
Mgeni mwalikwa Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) Mti maneno Kapu maneno Vitabu mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.86 |
a)Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
b)Kujibu maswali c)Maigizo d)Kutambua k.m. kwenye orodha e)Kuambatanisha maneno na majibu
f)Mijadala g)Mazungumzo h)Matumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake
i)Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
3 | 2 |
KUSOMA
|
Ufupisho
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo kueleza kwa usahihi ujumbe wa aya za matini kwa sentensi mojamoja kueleza kwa usahihi ujumbe wa aya zote za matini kwa aya moja kuandika ufupisho unaozingatia mtazamo wa matini ya kufupishwa kufurahia kufupisha ujumbe kwa usahihi katika miktadha mbalimbali |
Mwanafunzi aelekezwe:
kujadili vipengele vya ufupisho (k.v habari muhimu katika aya, lugha ya anayefupisha, kudumisha mtazamo wa kifungu, idadi ya maneno) kueleza kwa usahihi ujumbe katika kila aya kwa kutumia sentensi mojamoja akiwa peke yake kueleza kwa usahihi ujumbe wa aya zote za matini kwa aya moja akiwa na mwenzake kujadili katika kikundi kuhusu jinsi ya kuandika ufupisho wa matini kuandika ufupisho unaozingatia mtazamo wa matini. kumsomea mzazi au mlezi ufupisho alioufanya ili autolee maoni |
Je, unazingatia nini unapofupisha kifungu cha ufahamu?
|
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti Rununu rojekta Kinasasauti Rununu Kamusi mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.87 |
a)Kutunga sentensi k.m. kwa
kutumia msamiati lengwa b)Kujibu maswali k.m. katika ufahamu c)Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa d)Kusoma kwa sauti e)Wanafunzi kufanyiana tathmini
f)Potfolio
g)Shajara
|
|
3 | 3 |
KUANDIKA
SARUFI |
Baruapepe ya Kiofisi
Usemi Halisi na Usemi wa Taarifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Funzo, kutambua ujumbe unaoafiki baruapepe ya kiofisi kutambua vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisi kutumia lugha inayofaa katika uandishi wa baruapepe ya kiofisi kuandika baruapepe ya kiofisikwa kuzingatia ujumbe, lugha namuundo ufaao kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa kuandika baruapepe ya kiofisi kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katika matini kujadili kanuni zakubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa kwa kuzingatia kanuni za kubadilisha usemi kutumia usemi halisi na usemi wa taarifa ifaavyo kuchangamkia matumizi ya usemi halisina usemi wa taarifa katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua ujumbe unaoafiki baruapepe ya kiofisikwa kujadiliana na mwenzake kujadili vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisiakiwa katika kikundi kushiriki katika kujadili na wenzake kuhusu lugha inayofaa katika uandishi wa baruapepe ya kiofisi kuandika baruapepe ya kiofisikwenye tarakilishi na kumsambazia mwenzake kupitia mtandao ili aitolee maoni kumwandikia mwalimu wake baruapepe ya kiofisiili aitathmini kumsomea mzazi au mlezi baruapepe aliyoiandika ili aitolee maoni kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katikamatini akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi kujadili kanuni za kubadilisha usemi (k.v wakati, nafsi, alama za uakifishi) kutambua kanuni za kimsingi za kubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa (k.v leo kuwa siku hiyo, kwetu kuwa kwao, hapa kuwa hapo, kiambishi |
Je, ulizingatia vipengele gani katika baruapepe uliyowahi kuandika?
|
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.88 Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno Kadi maneno Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango Sanamu Nyenzo halisi Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.89 |
a)Kuandika tungo mbalimbali b)Wanafunzi kufanyiana tathmini
c)Potfolio
d)Shajara
e)Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
3 | 4 |
SARUFI
|
Vivumishi vya Sifa na Viashiria
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, kutambua vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshikatika matini kutumia vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi ipasavyo katika matini kuchangamkia matumizi ya vivumishi vya sifa na viashiria katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua vivumishi vya sifa (k.v. -zuri, -embamba, bora, safi) na viashiria (k.v huyu, hizo, kile) kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno kutenga vivumishi vya sifa na viashiria katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwakuvipigia mstari au kuvikolezea wino katika matini za kidijitali kumtajia mwenzake vivumishi vya sifa na viashiria katika mazingira ya shuleni na ya nyumbani kutunga sentensi kwa kutumia vivumishi vya sifa na viashiria akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi kutunga aya kuhusu suala lengwa kwa kutumia vivumishi vya sifa na viashiria akiwa peke yake,wawiliwawili au katika kikundi kutafiti mtandaoni kuhusu vivumishi vya sifa na viashiria kumsomea mzazi au mlezi kuhusu vivumishi vya sifa na viashiria alivyotafiti mtandaoni. |
Je, kuna tofauti gani kati ya vivumishi vya sifa na vivumishi viashiria?
|
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno Kadi maneno Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango Sanamu Nyenzo halisi OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.55 |
Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno lengwa Kujaza mapengo Kutunga sentensi
Kazi mradi
|
|
4 | 1 |
KUANDIKA
SARUFI |
Inshaza KubuniMaelezo
kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri kufurahia kuandika insha za maelezo akitumiatamathali mbalimbali za lughaili kujenga picha dhahiri kutambua vivumishi vimilikishina vya idadi katika matini kutumia vivumishi vimilikishina vya idadi ipasavyo katika matini kuchangamkia matumizi ya vivumishi vimilikishina vya idadi katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (k.v. tashbihi, sitiari, uhaishaji na tanakali sauti) akiwa peke yake au wawiliwawili kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezocha insha ya maelezo zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake katika kikundi kupigia mstari tamathali mbalimbali zilizotumiwa kwenye kifunguna kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni kutambua vivumishi vimilikishi, (k.v kitabu changu, mkoba wako, nyumba yenu n.k.)na vya idadi (k.v. mhisani mmoja, wanyama wawili, maua mengi, n.k.)kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno akiwa peke yake au wawiliwawili kutenga vivumishi vimilikishina vya idadi katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwa kuzipigia mstari au kuzikolezea wino katika matini za kidijitali au za kimaandishi kumtajia mwenzake vivumishi vimilikishina vya idadi katika mazingira ya shuleni kutunga sentensi kwa kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadiakiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi kutunga aya kuhusu suala lengwa kwa kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi kumtajia mzazi au mlezi sentensi zenye vivumishi vimilikishi na vya idadi katika mazingira ya nyumbani. |
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili?
|
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.56 Tarakilishi/vipakatalishiKinasasauti RununuProjektaKapu manenoMti maneno Kadi maneno Picha za vitu mbalimbaliMichoroChatiMabango SanamuNyenzo halisi OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.57 |
Kuandika tungo mbalimbali b) Wanafunzi kufanyiana tathmini
Potfolio
Shajara
Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
4 | 2 |
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
|
Aina za UzungumzajiUzungumzaji waPapo kwa Papo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kueleza maana ya uzungumzaji wa papo kwa papoili kuupambanua kutambua vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa papo kutoauzungumzaji wa papo kwa papo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uzungumzaji kuchangamkia kutoauzungumzaji wa papo kwa papoili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
kuelezamaana ya mazungumzoya papo kwa papo akiwa peke yake au katika kikundi kubainishavipengele vya kuzingatia katika uzungumzajiwa papo kwa papo (k.v ukakamavu, ujumbe unaolenga hadhira husika,ubanifu, upangajihoja, utumiaji wa lugha ya kawaida, utumiaji wa ishara, utumiaji wa sauti ifaayo) akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi kusikilizauzungumzaji wa papo kwa papo kuhusu suala lengwa yakitolewana mwalimu, wenzake, mgeni mwalimu au kutoka kwenye vifaa vya kidijitali na kutathmini vipengele vya uwasilishaji vilivyotumika kushiriki katika uzungumzaji wa papo kwa papoakizingatia vipengele vifaavyo kubuni uzungumzaji mwepesi wa papo kwa papokuhusu suala lengwa akizingatia vipengele vifaavyona kuwawasilishiawenzake katika kikundi ili wautathmini |
Unazingatia mambogani ili kufanikisha uzungumzaji wa papo kwa papo?
|
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno ?Kapu maneno ?Vitabu mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.58 |
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
Kujibu maswali Maigizo Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno na majibu
Mijadala g)Mazungumzo Matumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake
Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
4 | 3 |
KUSOMA
|
Kusoma kwa KinaTamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kutambua mandhari na ploti katika tamthilia kueleza umuhimu wa mandhari na ploti ili kuubanishac)kujadili mandhari na ploti ya tamthilia aliyosomad)kuchangamkia nafasi ya mandhari na ploti katika tamthilia |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua mandhari mbalimbali katika tamthilia akiwa peke yake au katika kikundi kueleza umuhimu wa mandhari katika katika tamthilia akiwa peke yake au katika kikundi kuandika kwa ufupi kuhusu mandhari katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu kuwawasilishia wenzake darasani uchambuzi wake kuhusu mandhari kusoma chapisho la tamthilia au kutoka mtandaoni na kutambua mandhari yake kutambua ploti ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu akiwa peke yake aukwa kushirikiana na wenzake kujadili umuhimu wa ploti ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu akiwa peke yake au na wenzake kuandaa muhtasari kuhusu ploti ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu kuwawasilishia wenzake darasani uchambuzi wake kuhusu ploti ya tamthiliaaliyosoma kumweleza mzazi au mlezi kuhusu mandhari na ploti katika tamthilia aliyosoma. |
Ni mandhari gani unayokumbuka yaliyo katika tamthilia ulizowahi kusoma?
Ploti ina umuhimu gani katika tamthilia ulizowahi kusoma?
|
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti Rununu Kamusi mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.59 |
Kutunga sentensi k.m. kwa
kutumia msamiati lengwa Kujibu maswali k.m. katika ufahamu Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa Kusoma kwa sauti Wanafunzi kufanyiana tathmini
Potfolio
Shajara
|
|
4 | 4 |
KUANDIKA
SARUFI |
ViakifishiAlama za Mtajona Mshazari
geli na Upatanisho wa Kisarufi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kutambua matumizi ya alama za mtajo na mshazari katika matini kutumia ipasavyo alama za mtajo namshazari katika matini kufurahia matumizi yafaayo yaalama za mtajo na mshazarikatika matini kutambua nomino za ngeli ya I-ZI naI-I katika matini kutambua upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya I-ZI naI-I katika sentensi kutumia nomino za ngeli yaI-ZI na I-I katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I ipasavyo katika sentensi na vifungu ili kuimarisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua matumizi ya alama za mtajo na mshazari kwenye matini andishi au za kidijitali (k.v. kutumia alama za nukuu mwanzoni na mwishoni mwa usemi halisi) kutumia mshazari (k.vkutenga maneno katika sentensi, kuchukua nafasi ya kuchopoa nomino za ngeli ya I-ZI (k.v. ndizi, ndoo, ngozi, kamba, njia n.k), na I-I (k.v chumvi, sukari, simanzi, n.k.) kwenye chati, kadi maneno,kapu maneno au tarakilishi kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya I-ZI na I-I katika sentensi na mafungu ya maneno akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi kutaja majina katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya I-ZI (k.v. ngazi, bendera,) na I-I (kv mvua, sukari, n.k.)akiwa na wenzake katika kikundi kutenga nomino za ngeli ya I-ZI na I-I katika orodha ya nomino, sentensi au vifungu kwenye vitabu, tarakilishi, chati kwa kuzikolezea winoau kuzipigia mstari?kutunga sentensi au vifungu vyenye upatanisho ufaao wa kisarufi kuhususuala lengwakwa kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I akiwa peke yake, wawiliwawili aukatikakikundi?kumtajia mzaziau mlezi majina ya vifaa yaliyo katika ngeliya I-ZI (k.v ndoo, sahani, kamba, sabuni, nyanya, karoti,ngozi n.k) naI-I(k.v chai, kahawa, n.k.)katika mazingira ya nyumbani. |
Je, alama za mtajo hutumiwa vipi katika maandishi?
Je, alama ya mshazari hutumiwa vipi katika maandishi?
|
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.60 Tarakilishi/vipakatalishiKinasasauti RununuProjektaKapu manenoMti maneno Kadi maneno Picha za vitu mbalimbaliMichoroChatiMabango SanamuNyenzo halisi OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.61 |
Kuandika tungo mbalimbali Wanafunzi kufanyiana tathmini
Potfolio
Shajara
Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
5 | 1 |
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
|
Kusikiliza kwa Kina
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kutambua sauti /k/na/gh/ katika silabi na maneno kutamka sauti /k/ na /gh/ipasavyo katika silabi na maneno kutumia maneno yenye sauti /k/na/gh/ ipasavyo katika matiniili kuyatofautisha kimatamshi kuchangamkia matamshi bora ya sauti /k/na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua sauti /k/na/gh/katika maneno na silabi (k.v. kali/ghali; karama/gharama n.k) akiwa peke yake au wawiliwawili kutambua maneno yenye sauti / k/na/gh/ katika matini andishi auza kidijitali na kuyatamka ipasavyo akiwa na wenzake kutunga vitanzandimi vinavyotumia sauti /k/ na /gh/ na kujirekodi kwa kutumia kifaa cha kidijitali (k.v simu, tabuleti, redio na kanda za sauti) kusikiliza akiwa na wenzake vitanzandimi alivyovirekodi ili kuvitathmini kumwasilishiamzaziau mlezi mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia matamshi bora ya sauti /k/na/gh/. |
Ni maneno yapi unayoyajua yaliyona sauti /k/na/gh/?
|
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno ?Kapu maneno ?Vitabu mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.62 |
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
Kujibu maswali Maigizo Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno na majibu
Mijadala Mazungumzo Matumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake
|
|
5 | 2 |
KUSOMA
|
Ufahamu wa Kifungu cha Kushawishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kutambua habari mahususi katika kifungu cha ufahamu kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamu kueleza maana ya msamiati na vifungu vya maneno katika kifungu cha ufahamu kujadili ushawishi katika kifungu cha ufahamu kuchangamkia usomaji wa ufahamu shawishi ili kukuzahamu ya ujifunzaji |
Mwanafunzi aelekezwe:
kusoma ufahamu wa kifungu cha kushawishi kutoka kwa vitabu au vifaa vya kidijitali na kudondoa habari mahususi (k.v. nani, nini, wapi, lini, n.k.) kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamucha kushawishi akishirikiana na wenzake katika kikundi kueleza maana ya msamiati kuhusu suala lengwa (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi na kuueleza kwa kutumia kamusi akiwa peke yakeau katika kikundi kujadili ushawishi katika kifungu cha ufahamu akishirikiana na wenzake katika kikundi kuwawasilishia wenzake kazi yake ili wamtolee maoni |
Ni kwa njia gani tunaweza kutambua ujumbe wenye lengo la kushawishi katika habari?
|
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti Rununu Kamusi mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.63 |
Kutunga sentensi k.m. kwa
kutumia msamiati lengwa Kujibu maswali k.m. katika ufahamu Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa d)Kusoma kwa sauti Wanafunzi kufanyiana tathmini
Potfolio
Shajara
|
|
5 | 3 |
KUANDIKA
SARUFI |
Insha za KubuniMasimulizi
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo katika insha ya masimulizi kujadili vipengele vinavyojenga wazo katika aya kuhusu insha ya masimulizi kuandika insha ya masimulizi akikuza wazo katika aya ipasavyo kufurahiautunzi wa insha za masimulizi zenye mpangilio mzuri wa wazo FUNZO, kutambua nomino katika ngeli ya U -U na U -YA katika matini kutambua upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U -U na U -YA katika sentensi kutumia nomino katika ngeli ya U -U na U -YA kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi kuchangamkia kutumia nomino katika ngeli ya U-U na U -YA ipasavyo ili kuimarisha umilisi wa lugha |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo (k.v. mada, utangulizi, kati, hitimisho,n.k.)katika insha ya masimulizi katikamatini za kimaandishi na za kidijitali akiwa peke yake au katika kikundi kutambua ukuzaji wa wazo katika kila aya ya insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi au za kidijitali akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi kushirikiana na wenzake kueleza jinsi wazo lilivyokuzwa katika kila aya ya insha ya masimulizi (k.v. kila wazo kuu kuwa katika aya yake, kutoa maelezo toshelevu kwa kila hoja kuu katika aya yake, kuepuka urudiaji au uchanganyaji wa hoja katika aya, n.k.) kushirikiana na wenzake kujadili vipengele vinavyojenga mawazo kuandika vidokezo vya insha vinavyozingatia ukuzaji wa wazo katika kila aya akishirikiana na wenzake kuandika insha ya masimulizi akizingatiaukuzaji wa wazo katika kila ayana vipengele vinavyojenga mawazo hayo kuwasomea wenzake katika kikundi insha aliyoandika au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni kushirikiana na wenzake kusahihisha insha ya maelezo aliyoandika kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia ukuzaji wa wazo katika kila aya kuchopoa nomino za ngeli ya U -U (k.v uji, ugoro, umaskini urafiki, n.k) naU-YA (k.v. ugonjwa -magonjwa, uovu: maovu, ulezi-malezi,n.k.)kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au tarakilishi akiwa peke yake au katika kikundi kutenga nomino za ngeli ya U -U na U -YA katika orodha ya nomino, sentensi au vifungu kwenye vitabu, vifaa vya kidijitali, chati kwa kuzikolezea wino au kuzipigia mstari akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli yaU -U na U -YA katika sentensi na vifungu akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi kutunga sentensi au vifungu vyenye upatanisho ufaao wa kisarufi kuhusu suala lengwa kwa kutumia nomino zangeli ya U-U na U -YA akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi |
Je, unawezaje kulikuzawazo vizuri katika insha ya masimulizi?
|
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.64 Tarakilishi/vipakatalishiKinasasauti RununuProjektaKapu manenoMti maneno Kadi maneno Picha za vitu mbalimbaliMichoroChatiMabango SanamuNyenzo halisi OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.65 |
Kuandika tungo mbalimbali Wanafunzi kufanyiana tathmini
Potfolio
Shajara
Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
5 | 4 |
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
|
Hadithi Hurafa naHekaya
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kueleza maana ya hurafa na hekaya ili kuzibainisha kueleza ujumbe katika hurafa na hekaya kujadili vipengele vya uwasilishaji wa hurafa na hekayad)kusimuliahurafa na hekaya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji kufurahia hurafa na hekaya kama vipera vya fasihi simulizi |
Mwanafunzi aelekezwe:
kusikiliza kielelezo cha hadithi ya hurafa na hekaya kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au kifaa cha kidijitali(k.v. redio, rununu, kipakatalishi na runinga). kueleza maanaya hurafa na hekaya ili kuzibainisha akiwa peke yake au katika kikundi kueleza ujumbe katika hurafa na hekaya akiwa na wenzake katika kikundi kujadili akiwa na mwenzake vipengele vya uwasilishaji wa hurafa na hekaya kuwasilisha hurafa na hekaya kuzingatia vipengele vya uwasilishaji (kiini cha hadithi, kiwango cha lugha, mpangilio wa matukio, sauti, ishara za mwili) kujirekodi akitamba hurafa na hekaya kwa kutumia vifaa vya kidijitali na kusikiliza akiwa na wenzake kushirikiana na mzazi au mlezi kutambua hurafa na hekaya kutoka kwa jamii yake nakujadili ujumbe unaojitokeza katika hadithi hizo. |
Je, hadithi ambayo umewahi kusikiliza ilihusu wanyama gani?
Je, hurafa na hekaya hutofautianaje?
|
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno ?Kapu maneno ?Vitabu mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.66 |
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
Kujibu maswali
Maigizo Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno na majibu
Mijadala Mazungumzo hMatumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake
Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
6 | 1 |
KUSOMA
|
Kusoma kwa KinaTamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kutambua wahusika katika tamthiliaaliyosoma kujadili sifa za wahusika katika tamthilia kujadili mafunzo yanayotokana na wahusika katika tamthilia kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kukuza hamu ya ujifunzaji. |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua wahusikakatika tamthilia aliyoisoma akiwa peke kujadili sifa za wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu (k.v. usiri, uovu, ukali, udadisi, n.k.)akiwa na wenzake katika kikundi kuigiza wahusika katika tamthilia akiwa na wenzake katika kikundi ili kukuza uelewa wa sifa zao kueleza uhusiano kati ya wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu wakiwa wawiliwawili kutazama video kuhusu wahusika katika tamthilia aliyosoma akiwa na wenzake kuandaa muhtasari kuhusu sifa za wahusika katika video aliyotazama kujadili mafunzo yanayotokana namatendo ya wahusika akiwa na wenzake katika kikundi |
Ni mambo yapi yanayokuelekeza kuwaelewa wahusika katika tamthilia?
Je, ni mambo gani tunayoweza kujifunza kutokana na wahusika wa tamthilia?
|
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti Rununu Kamusi mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.67 |
Kutunga sentensi k.m. kwa
kutumia msamiati lengwa Kujibu maswali k.m. katika ufahamu Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa Kusoma kwa sauti Wanafunzi kufanyiana tathmini
Potfolio
Shajara
|
|
6 | 2 |
KUANDIKA
SARUFI |
Barua ya Kuomba Msaada
Vinyume vya Vitenzi na Vielez |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kutambua vipengele vya kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada kutambua ujumbe katika barua rasmi ya kuomba msaada kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kwa kuzingatia ujumbe,muundo na lugha ifaayo kufurahia kujieleza ifaavyo kwanjia yabarua kueleza maana ya kinyume cha maneno ili kuibainisha kutambua vinyume vya vitenzi na vielezi katika matini kutumia ipasavyo vinyume vya vitenzi na vielezi katika matini kuchangamkia kutumia vinyume vya vitenzi na vielezi katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
kujadili katika kikundi vipengele vya kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada (k.v. anwani, suala linaloshughulikiwa, sahihi n.k.) kutambua ujumbe unaoafiki barua rasmi ya kuomba msaada kwa kujadiliana na mwenzake kujadili na wenzake kuhusu lugha inayofaa katika uandishi wa barua rasmi ya kuomba msaada kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kuhusu masuala mbalimbali na kuwasomea wenzake darasani ili waitolee maoni kuandika barua ya kuomba msaada katika kifaa cha kidijitali na kuwasambazia wenzake kupitia mtandao ili waitolee maoni kujadili maana ya kinyume cha maneno akiwa na mwenzake au katika kikundi kutambua vinyume vya vitenzi (k.v. simama-keti, cheka-lia, vaa-vua, n.k.) na vielezi (k.v.haraka haraka-polepole,asubuhi-jioni)kwa kutumia kadi maneno, mti maneno, kapu maneno akiwa na mwenzake kutambua vinyume vya vitenzi na vielezi katika matini(k.v orodha ya maneno, sentensi na vifungu vya maneno) akiwa peke yake kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya vinyume vya vitenzi na vielezi kutoka kwa sentensi mbalimbali kwenye vitabu, tarakilishi au chati akiwa na mwenzake kutunga sentensi sahihi akitumia vinyume vya vitenzi na vielezikusakura mtandaoni au kutafiti katika vitabu vya ziada ili kupata vinyume zaidi vya vitenzi na vielezi kumsomea mzazi au mlezi sentensi alizotunga kuhusu vinyume vya vitenzi na vielezi. |
Je ni mambo gani yanayoweza kukufanya kuomba msaada?
Je, ni vipengele vipi unazingatia wakati unapoandika barua ya kuomba msaada?
|
Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya wasifu Nakala ya barua ya kirafiki Nakala ya barua rasmi
OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.68 Tarakilishi/vipakatalishiKinasasauti RununuProjektaKapu manenoMti maneno Kadi maneno Picha za vitu mbalimbaliMichoroChatiMabango SanamuNyenzo halisi OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.69 |
Kuandika tungo mbalimbali Wanafunzi kufanyiana tathmini
Potfolio
Shajara
Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
6 | 3 |
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
|
Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kueleza maana ya kuzungumza kwakutumia vidokezo kutambua umuhimu wa kuzungumza kwa kutumia vidokezo kutambua miktadha katika jamii ambapokuzungumza kwakutumia vidokezo hufanywa kujadilivipengele vya kuzingatia katika kuzungumza kwakutumia vidokezo kutoamazungumzo kwa kutumia vidokezo ifaavyo kujenga mazoea yakutumia vidokezo katika mazungumzo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
kueleza maana ya kuzungumza kwa kutumia vidokezo akiwa peke yake au katika kikundi kujadili na wenzake umuhimu wa kuzungumza kwa kutumia vidokezo kutambua miktadha katika jamii yake ambamo anahitajikuzungumza kwa kutumia vidokezo(k.v. anapowazungumzia wenzake shuleni kuhusu haki za watoto, akiwa mzungumzaji maalum katikakongamano, katika semina, anapomtambulisha mgeni wa heshima katika hafla fulanin.k.) kujadilivipengele vya kuzingatiakatika kuzungumza kwakutumia vidokezo (k.vkubainisha kiini cha mazungumzo, (je, ni ya kupasha habari? Ni ya kushawishi? Ili kuteua lugha mwafaka),mpangilio wa mawazokimantiki, kutosoma vidokezo; kuvitazama kwaufupi tu, kufanya mazoezi kabla ya kuzungumza, kuviweka juu ya meza wakati wa kuzungumza, n.k) akiwa na wenzakekatika kikundi kusikiliza au kutazama aina mbalimbali za mazungumzo kutoka kwenye vifaa vya kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzakena kubainishavipengele vilivyozingatiwa kuandaa vidokezo kuhusu suala lengwa akiwa peke yake kuwawasilishia wenzake mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kutumia vidokezo alivyoandaa ili wayatolee maoni kumwasilishia mzaziau mlezi vidokezo vya mazungumzo kuhusu suala lengwa ili atoe maoni yake |
Kwa nini ni muhimu kuandaa vidokezo unapozungumza?
|
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno ?Kapu maneno ?Vitabu mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.70 |
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
Kujibu maswali Maigizo Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno na majibu
Mijadala MazungumzoMatumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake
Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
6 | 4 |
KUSOMA
KUANDIKA |
Kusoma kwa MapanaMatini za Kujichagulia
Inshaza Kubuni Maelezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kuteua matini ifaayo ya kujisomea kueleza ujumbe katika matini ya kujichagulia kutambua maana za msamiati na matumizi mengine ya lugha katika matini ya kujichagulia kujenga mazoea yakusoma matini mbalimbali katika maisha ya kila siku kujadili vipengele vya insha ya maelezo kuandika insha ya maelezo ipasavyo kwa kuzingatiavipengele vyake kufurahia kuandika insha zamaelezo katika maisha ya kilasiku |
Mwanafunzi aelekezwe:
kuteua matini ifaayo ya kujisomea kueleza ujumbe wa matini ya kujichagulia aliyosoma kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia (k.v ya kisayansi, kisiasa, kihistoria, kifasihi, michezo, n.k.) akiwa peke yake kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyajua kujenga rekodi ya msamiati aliojifunza katika kitabu kumtungia mwenzake sentensi akitumia msamiati katika matini aliyoisoma kutoa muhtasari wa matini ya kujichagulia aliyosoma na kuwasilisha kwa wenzake ili waitolee maoni kusakura mtandaoni na kujichagulia matini ya ziada kisha aisome kueleza maana ya insha ya maelezo kwa kurejelea matini mbalimbalikutafiti maktabani au mtandaoni vipengele vya insha ya maelezo kujadili na wenzake vipengele vya insha ya maelezo alivyotafiti mtandaoni kuandika insha ya maelezo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo kuwasomea wenzake katika kikundi insha aliyoandika au kuwasambazia kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni kushirikiana na wenzake kusahihisha insha walizoandika na kutoleana maoni kwa amani na upendo |
Unavutiwa zaidi na nini unaposoma makala ya kujichagulia?
Unazingatia mambo gani wakati wa kusoma makala ya kujichagulia?
|
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti Rununu Kamusi mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.71 Kielelezo cha insha ya masimuliziKielelezo cha insha ya maelezoKielelezo cha insha ya wasifuNakala ya barua ya kirafikiNakala ya barua rasmi OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.72 |
Kutunga sentensi k.m. kwa
kutumia msamiati lengwa Kujibu maswali k.m. katika ufahamu Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwaKusoma kwa sauti Wanafunzi kufanyiana tathmini
Potfolio
Shajara
|
|
7 | 1 |
SARUF
|
Mnyambuliko wa Vitenzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kutambua kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika vitenzi kutumia ipasavyo vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika matini kuchangamkia kutumia ipasavyo vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda ili kuimarisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua vitenzikatika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda (kv. eleweka, tembelewa, chezacheza n.k)mtawalia akiwa peke yake kuteua vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda (k.v. limika, bebewa, sukasuka n.k) mtawalia, kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno autarakilishi akiwa na mwenzake kutenga vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika sentensi na vifungu kwenye vitabu, tarakilishi,chati kwa kuvikolezeawino au kuvipigia mstari kugeuza vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda akiwa na wenzake katika kikundi kutunga sentensi au vifungu kuhusu suala lengwa kwa kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa nakutendatenda akiwa peke na mwenzake kujaza mapengo kwa kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda akiwa peke yake au wawiliwawili |
Kwa nini ni muhimu kujifunza kauli za vitenzi
|
Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti
Rununu Projekta Kapu maneno Mti maneno Kadi maneno Picha za vitu mbalimbali Michoro Chati Mabango Sanamu Nyenzo halisi OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.73 |
Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno lengwa Kujaza mapengo Kutunga sentensi
Kazi mradi
|
|
7 | 2 |
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
|
Kusikiliza kwa Makini
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kueleza habari katika matini ya kusikiliza kukadiria maana ya msamiatimahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza kuziwasilisha hoja muhimu katika habari aliyosikilizakwa kufuata mpangilio ufaao kujenga mazoea ya kufurahia kusikiliza vifungu vya kusikiliza ili kuimarisha uwezo wa kusikiliza |
Mwanafunzi aelekezwe:
kutambua hoja muhimu katika habari aliyosikiliza kuhusu suala lengwa kutoka kwa mwalimu, kifaa cha kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake akiwa peke yake kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini aliyosikiliza kuelezea mwenzakemaana ya msamiati katika matini ya kusikiliza kueleza hoja muhimualiyotambua kutoka matini aliyosikilizakwa maneno machache kuwawasilishia wenzake hoja muhimu katika habari aliyosikilizakwa kufuata mpangilio ufaao |
Je, kwa nini ni muhimu kuwa na mpangilio ufaao wa hojakutoka habari uliyosikiliza?
|
?Chati ?Michoro na picha
?Mgeni mwalikwa ?Vifaa vya kidijitali (k.v tarakilishi/vipakatalishi, kinasasauti, rununu, projekta, video) ?Mti maneno ?Kapu maneno ?Vitabu mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.74 |
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
Kujibu maswali Maigizo Kutambua k.m. kwenye orodha Kuambatanisha maneno na majibu
Mijadala Mazungumzo Matumizi ya ishara za mwili k.v ishara za uso, za mikono na mabega kuimarisha masimulizi yake
Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
7 | 3 |
KUSOMA
Kusoma |
Kusoma kwa Ufasaha
Kusoma kwa Ufasaha Kusoma kwa ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
FUNZO, kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora kusoma kifungu kwa kasi ifaayo kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo kuridhia kusoma makala kwa kuzingatia vipengele vinavyofanikisha mawasiliano. kipindi, Kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ipasavyo kisha kuambatanisha ishara zifaazo. Kujadiliana kuhusu usomaji wao wa kifungu kuhusu |
Mwanafunzi aelekezwe:
kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha (matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ifaayo, ishara zifaazo) kutazama vielelezo vya video za watu wanaosoma kwa ufasaha makala (k.v hotuba, taarifa ya habari, n.k.) akiwana wenzake kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora kusoma kifungu cha habari kwa kasi ifaayo kuhusu suala lengwa kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo (k.v kiwango cha sauti na kiimbo)akiwa katika kikundi kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa (k.v ishara za uso na mikono) akiwa na wenzake katika kikundi kusoma mbele ya wenzake kazi yake ili wamtolee maoni Wakiwa katika vikundi, wanafunzi waweze kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ipasavyo kisha kuambatanisha ishara zifaazo. Wakiwa katika vikundi, wanafunzi waweze kujadiliana kuhusu usomaji wao wa kifungu kuhusu |
Je, unaposoma kifungu unazingatia mambo gani ili kufanikisha usomaji?
|
Tarakilishi/vipakatalish
Kinasasauti Rununu Projekta Tarakilishi/vipakatalishi Kinasasauti Rununu Kamusi mbalimbali OUP,Kiswahili Gredi 8, Kitabu Cha Mwanafunzi,Uk.75 Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8, Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali |
Kutunga sentensi k.m. kwa
kutumia msamiati lengwa Kujibu maswali k.m. katika ufahamu Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa Kusoma kwa sauti
|
|
7 | 4 |
Kuandika
|
Insha ya Kiukamilifu - Hotuba
Insha ya Kiukamilifu - Hotuba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, Kutaja watu ambao wamewahii kusikia au kuona wakizungumzia watu katika mikutano. Kutambua hotuba ya kupasha habari katika matini. Kusoma kifungu. Kutathmini umuhimu wa hotuba. Kutambua vigezo atakavyozingatia wakati wa kuandika hotuba. Kuandika insha ya hotuba ya kupasha habari. Kuchangamkia kuandika hotuba. |
Mwanafunzi aweze kutaja watu ambao wamewahii kusikia au kuona wakizungumzia watu katika mikutano.
Mwanafunzi aweze kutambua hotuba ya kupasha habari katika matini. Mwanafunzi aweze Kusoma kifungu, Uk. 137 Mwanafunzi aweze kutambua vigezo atakavyozingatia wakati wa kuandika hotuba. Mwanafunzi aweze kuandika insha ya hotuba ya kupasha habari |
Je, hotuba ni nini?
|
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,
Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali |
Kutunga sentensi
Kujibu maswali
Kujaza pengo
Kuandika tungo
Kazi mradi
|
|
8 | 1 |
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma kwa kina |
Aina za sentensi; Sentensi changamano
Wahusika katika hadithi Mbinu za lugha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, Kueleza maana ya sentensi changamano. Kutambua sentensi changamano kutoka kwenye orodha iliyo katika kitabu cha mwanafunzi. Kuchangamkia matumizi ya sentensi changamano. Kusikiliza hadithi itakayosimuliwa na mwalimu au iliyorekodiwa. Kueleza sifa za wahusika kutokana na matendo na tabia zao. Kufurahi kusikiliza hadithi. Kueleza maana ya mbinu za lugha katika fasihi. Kutambua umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia. Kutathmini umuhimu wa mbinu za lugha. |
Mwanafunzi aweze kueleza maana ya sentensi changamano.
Mwanafunzi aweze kutambua sentensi changamano kutoka kwenye orodha iliyo katika kitabu cha mwanafunzi. Mwanafunzi aweze kutunga sentensi changamano kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa. Wakiwa katika vikundi, wanafunzi kuimba wimbo, Wanafunzi kueleza maana ya mbinu za lugha katika fasihi. Wanafunzi waweze kutaja mbinu mbalimbali za lugha katika tamthilia. Wanafunzi waweze kutambua umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia. |
Ni aina gani za sentensi unazojua?
Sentensi changamano ni gani?
|
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,
Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali |
Kutunga sentensi
Kujibu maswali
Kujaza pengo
Kuandika tungo
Kazi mradi
|
|
8 | 2 |
Kuandika;
Sarufi Sarufi |
Insha za kubuni-Maelezo
Ukanushaji kwa kuzingatia hali Ukanushaji kwa kuzingatia nyakati |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, Kueleza maana ya insha ya maelezo. Kuandika insha ya maelezo. Kuchangamkia kuandika insha ya maelezo. Kueleza maana ya ukanushaji. Kuorodhesha maneno ambayo yanaonyesha hali tofauti katika kifungu alichokisoma. Kutathmini umuhimu wa ukanushaji. Kukanusha sentensi ziwe katika hali timilifu. Kutunga sentensi katika hali timilifu. Kutathmini umuhimu wa Ukanushaji. |
Wakiwa katika vikundi, wanafunzi waweze kueleza
Wakiwa katika vikundi, wanafunzi waweze vigezo vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo. Wanafunzi kuandika insha ya maelezo. Wanafunzi kueleza maana ya ukanushaji. Wanafunzi waweze kuorodhesha maneno ambayo yanaonyesha hali tofauti katika kifungu alichokisoma. Wanafunzi kukanusha sentensi ziwe katika hali timilifu. Wanafunzi kutunga sentensi katika hali timilifu. |
Je, insha ya maelezo inahusu nini?
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo?
|
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,
Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Kamusi Majarida |
Kutunga sentensi
Kujibu maswali
Kujaza pengo
Kuandika tungo
Kazi mradi
|
|
8 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma Kuandika |
Hadithi- Matumizi ya lugha
Ufahamu wa kifungu cha mjadala Insha ya maelekezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, Kusikiliza hadithi ikisimuliwa na mwalimu au iliyonaswa kwenye kifaa cha kidijitali. Kutunga hadithi inayohusiana na kuweka akiba. Zingatia matumizi ya tashbihi, methali, nahau na urudiaji wa maneno ya bidhaa. Kutathmini umuhimu wa hadithi. Kusoma mjadala katika kitabu cha mwanafunzi. Kueleza habari za kifungu cha mjadala kwa ufupi. Kuchangamkia kusoma mijadala mbalimbali. Kusoma maelekezo katika kitabu cha mwanafunzi. Kutaja sifa za maelekezo kuhusu jinsi ya kuandika insha ya maelekezo. Kutathmini umuhimu wa insha ya maelekezo. |
Wanafunzi waweze kutaja vipengele vya lugha vinavyotumika katika hadithi.
Wanafunzi kusikiliza hadithi ikisimuliwa na mwalimu au iliyonaswa kwenye kifaa cha kidijitali. Wakiwa katika vikundi, wanafunzi kutunga hadithi inayohusiana na kuweka akiba. Zingatia matumizi ya tashbihi, methali, nahau na urudiaji wa maneno ya bidhaa. Wakiwa wawiliwawili, wanafunzi waweze kusoma mjadala katika kitabu cha mwanafunzi Uk. 152 Wanafunzi kutambua msamiati mpya katika kifungu cha mjadala. Kueleza habari za kifungu cha mjadala kwa ufupi. Wanafunzi waweze kueleza habari za kifungu cha mjadala kwa ufupi. Mwanafunzi aweze kusoma maelekezo katika kitabu cha mwanafunzi Uk. 153 Mwanafunzi aweze kutaja sifa za maelekezo kuhusu jinsi ya kuandika insha ya maelekezo. Mwanafunzi aweze kuandika insha ya maelekezo. |
Unajua mbinu gani za lugha zinazotumika katika matumizi ya hadithi?
|
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,
Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali Kamusi Majarida Kamusi Majarida |
Kutunga sentensi
Kujibu maswali
Kujaza pengo
Kuandika tungo
Kazi mradi
|
|
8 | 4 |
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza |
Udogo wa nomino
Usikilizaji husishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, Kuambatanisha nomino za hali ya wastani na hali ya ukubwa. Kutunga sentensi akitumia nomino alizoandika katika hali ya ukubwa. Kuchangamkia kutumia nomino katika hali ya ukubwa. Kusikiliza mazungumzo atakayosomewa. Kueleza maana za msamiati wa suala lengwa kama ilivyotumiwa katika mazungumzo. Kutathmini umuhimu wa kusikiliza. |
Mwanafunzi aweze kueleza maana ya udogo wa nomino.
Mwanafunzi kuambatanisha nomino za hali ya wastani na hali ya ukubwa. Mwanafunzi aweze kutunga sentensi akitumia nomino alizoandika katika hali ya ukubwa. Wanafunzi waweze kusikiliza mazungumzo atakayosomewa na mwalimu. Wakiwa katika vikundi, wanafunzi kutabiri yatakayotokea kutokana na vidokezo katika mazungumzo. Mwanafunzi kueleza maana za msamiati wa suala lengwa kama ilivyotumiwa katika mazungumzo. |
Utatambuaje nomino katika hali ya udogo?
|
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,
Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali Kamusi Majarida |
Kutunga sentensi
Kujibu maswali
Kujaza pengo
Kuandika tungo
Kazi mradi
|
|
9 | 1 |
Kusoma
Kuandika Sarufi |
Ufupisho
Baruapepe ya kiofisi Usemi halisi na usemi wa taarifa. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, Kusoma matini katika kitabu cha mwanafunzi. Kueleza kwa sentensi mojamoja ujumbe wa kila aya. Kutathmini umuhimu wa ufupisho. Kueleza maana ya baruapepe. Kuandika baruapepe ya kiofisi Kutathmini umuhimu wa baruapepe. Kueleza maana ya usemi halisi. Kubadilisha sentensi kutoka usemi wa taarifa hadi usemi halisi. Kutunga sentensi katika usemi halisi. Kuchangamkia kutumia sentensi katika usemi halisi. |
Mwanafunzi kusoma matini katika kitabu cha mwanafunzi Uk. 162
Mwanafunzi kueleza kwa sentensi mojamoja ujumbe wa kila aya. Mwanafunzi kuandika kwa ufupi bila kutoa ufafanuzi au mifano. Wanafunzi kueleza maana ya baruapepe. Wanafunzi kueleza vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisi. Mwanafunzi akiwa pekee yake kuandika baruapepe ya kiofisi. Mwanafunzi kueleza maana ya usemi halisi. Mwanafunzi waweze kubadilisha sentensi kutoka usemi wa taarifa hadi usemi halisi. Mwanafunzi kutunga sentensi katika usemi halisi. |
Je, ni kwa nini watu hufupisha habari?
|
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8,
Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi KamusiMajarida Vifaa vya kidijitali Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi |
Kutunga sentensi
Kujibu maswali
Kujaza pengo
Kuandika tungo
Kazi mradi
|
|
9 | 2 |
Sarufi
|
Sarufi; Usemi halisi na usemi wa taarifa.
Sarufi; Usemi halisi na usemi wa taarifa. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, Kueleza maana ya usemi wa taarifa. Kubadilisha sentensi kutoka usemi halisi hadi usemi wa taarifa. Kutunga sentensi katika usemi wa taarifa. Kuchangamkia kutumia sentensi katika usemi wa taarifa. Sarufi: Usemi halisi na usemi wa taarifa |
Mwanafunzi kueleza maana ya usemi wa taarifa.
Mwanafunzi waweze kubadilisha sentensi kutoka usemi halisi hadi usemi wa taarifa. Mwanafunzi kutunga sentensi katika usemi wa taarifa. Mwanafunzi kueleza maana ya usemi wa taarifa. Mwanafunzi waweze kubadilisha sentensi kutoka usemi halisi hadi usemi wa taarifa. Mwanafunzi kutunga sentensi katika usemi wa taarifa. |
Je, unazingatia nini unapobadilisha usemi?
|
Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi
Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Kamusi Majarida Vifaa vya kidijitali |
Kutunga sentensi
Kujibu maswali
Kujaza pengo
Kuandika tungo
Kazi mradi
|
Your Name Comes Here