Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA PILI
MWAKA WA 2025
MUHULA WA I

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1 2
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora: sauti tatanishi /b/ na /mb/ Isimu jamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka sauti /b/ na /mb/ vizuri
Kutunga senetensi kwa kutumia maneno yenye sauti hizi
kueleza maana ya isimu jamii
kuigiza mazungumzo yalivyotumika katika isimu jamii
kutaja mifano ya msamiati
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 1-3)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 3
Kusoma ufahamu
urafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kusoma ufahamu na kuelezeamtirirko wa matukio
Kujibu maswali kuhusu ufahamu
Kutambua na kueleza maana ya misamiati yaliyotumika katika ufahamu
kueleza maana ya urafiki na Madhumuni ya urafiki
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk3_5)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 4
Sarufi
Mofimu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mofimu
Kutaja aina ya mofimu
Kuonyesha matumizi ya umoja na wingi katika ngeli
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 5-7)
1 5
Sarufi
Mofimu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mofimu
Kutaja aina ya mofimu
Kuonyesha matumizi ya umoja na wingi katika ngeli
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 5-7)
2 1
Sarufi
Viambishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya viambishi
Kutambua aina za viambishi
Kutumia viambishi vyema katika sentensi
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 7-9)
2 2
Kusoma
Kusoma kwa kina
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuelezea vipengele muhimu za fasihi
Kuelezea maana ya tamthilia
Kusoma tamthilia na kujibu maswali
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 9-12)
2 3
Kuandika
Utungaji wa kisanii-mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja na kutambua vipengele muhimu katika mchezo wa kuigiza
Kuandika mchezo wa kuigiza kuhusu jambo lolote
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 12)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 4
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka matamshi tatanishi /la/, /na/ na /ra / sahihi
Kuigiza mazungumzo kati ya jopo na mtafuta kazi
Kutambua vitu muhimu vinavyozingatiwa katika mahojiano
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 14-15)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 5
Kusoma kwa ufahamu
Magonjwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutabiri matukio katika ufahamu
Kutaja aina ya magonjwa
Kusoma ufahamu na kutambua misamiati yaliyotumika na maana
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk16-17)
3 1
Sarufi
Aina za maneno-nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya nomino
Kutaja aina za nomino
Kutumia nomino katika mazungumzo na sentensi vyema
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 18-20)
3 2
Sarufi
Aina za maneno-nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya nomino
Kutaja aina za nomino
Kutumia nomino katika mazungumzo na sentensi vyema
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 18-20)
3 3
Kusoma
Matumizi ya kamusi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua sifa za kamusi
Kutumia kamusi kutoa maelezo ya maneno fiche
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 20-21)
3 4
Kuandika
Utangaji wa kuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mtindo unaofwatwa katika uandishi wa mahojiano
Kutambua vipengee muhimu yanayozingatiwa katika uandishi wa mahojiano
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 21-22)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 5
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora-sauti tatanishi /g/ na /ng/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka maneno yaliyo na sauti tatanishi /g/ na /ng/
Kutumia maneno yenye sauti hizi katika mazungumzo na sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 23)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 1
fasihi simulizi
vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja vitendawili
Kutambua sifa na dhima za vitendawili
Kutambua matumizi ya vitendawili
Kueleza dhima, sifa na mifano ya chemsha bongo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 24-26)
4 2
fasihi simulizi
vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja vitendawili
Kutambua sifa na dhima za vitendawili
Kutambua matumizi ya vitendawili
Kueleza dhima, sifa na mifano ya chemsha bongo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 24-26)
4 3
Kusoma kwa ufahamu
vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ufahamu na kujibu maswali
Kuelezea mtiririko wa matukio katika taarifa
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 26-29)
4 4
Sarufi
Aina za maneno-vivumishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuelezea maana ya vivumishi
Kutambua aina ya vivumishi
Kutaja mifano ya vivumishi
Kutumia vivumishi katika sentesi na mazungumzo
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 30-37)
4 5
Kuandika
Ilani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana na umuhimu wa ilani
Kutaja sifa za ilani na onyo
Kutaja aina za ilani
Kutengeneza ilani na onyo
Kueleze tofauti za onyo na ilani
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 38-42)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 1
Kusikiliza na na kuzungumza
Fasihi simulizi-hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua aina za hadithi
Kutaja dhima na madhumuni ya hadithi za kale
Kueleza sifa za hadithi za kale
Kusoma aina ya hadithi katika kitabu cha wanafunzi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 43-49)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 2
Kusikiliza na na kuzungumza
Tanakali za sauti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja mifano za tanakali za sauti
Kueleza maana ya tanakali za sauti
Kueleza matumizi ya tanakali za sauti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 49-50)
5 3
Kusikiliza na na kuzungumza
Tanakali za sauti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja mifano za tanakali za sauti
Kueleza maana ya tanakali za sauti
Kueleza matumizi ya tanakali za sauti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 49-50)
5 4
Sarufi
Vivumishi 2
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja aina za vivumishi
Kutoa mifano ya aina yote ya vivumishi
Kutumia vivumishi vyema katika sentensi
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 52-69)
5 5
Kusoma kwa kina
Riwaya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ya riwaya
Kutaja aina za riwaya
Kutaja vipengele za riwaya
Kuandika hadithi fupi
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 69)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 1
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua na kutamka maneno yaliyo na sauti tatanishi /ch/ na /sh/
Kueleza maana ya misemo
Kutaja aina ya misemo
Kutambua madhumuni ya misemo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 71-75)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 2
Kusoma
Kajinga Acheza na Sensa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ufahamu na kueleza mtiririko wa matukio
Kujibu maswali kuhusu ufahamu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 75-78)
6 3
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vitenzi
Kutaja aina za vitenzi
Kutumia vitenzi katika mazungumzo na sentensi
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 78-82)
6 4
Kusoma
Lugha, utamaduni na katiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Makala katika kitabu cha mwanafunzi
Kutabiri matukio katika Makala kabla ya kusoma
Kutambua misamiati yaliyotumika katika Makala
Kujibu maswali kuhusu Makala
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk82-84)
6 4-5
Kusoma
Lugha, utamaduni na katiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Makala katika kitabu cha mwanafunzi
Kutabiri matukio katika Makala kabla ya kusoma
Kutambua misamiati yaliyotumika katika Makala
Kujibu maswali kuhusu Makala
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk82-84)
7

MTIHANI NA LIKIZO FUPI

8 1
Kuandika
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua muundo unaozingatiwa katika uandishi wa insha
Kueleza mambo muhimu yakuzingatiwa katika uandishi wa insha
Kuandika insha
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 84-86)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8 2
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora -vitate vya sauti /b/ na /p/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vitate
Kutaja maneno yaliyo na vitate vya sauti /b/ na /p/
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(up 87-88)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8 3
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuigiza mazungumzo kati ya deti na mhudumu
Dondoa misamiati ya heshima yaliyotumika katika mazungumzo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 88-89)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8 4
Kusoma
Ripoti kuhusu ukimwi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ripoti
Kufafanua ripoti
Kutambua vipengele muhimu katika uandishi wa ripoti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 89-91)
8 5
Sarufi
Aina za maneno-vitenzi vishirikishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vitenzi vishirikishi
Kutaja aina ya vishirikishi
Kutumia vishirikishi katika mazungumzo na sentensi vyema
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 91-94)
9 1
Kusoma kwa kina
ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ushairi
Kukariri ushairi
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 95-96)
9 2
Kusoma kwa kina
ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ushairi
Kukariri ushairi
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 95-96)
9 3
Kuandika
Utungaji wa kiuaminifu -barua simu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya barua simu
Kutaja mambo yanayozingatiwa katika uandishi wa barua simu
Kuandika barua simu
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 97-98)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
9 4
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora; vitate /s/ na /sh/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka maneno kwa ufasaha
Kutumia vitate vyema katika sentensi
Kueleza sifa za mazungumzo katika kituo ch polisi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 97-100)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
9 5
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza sifa za mazungumzo katika kituo cha polisi
Kuigiza mazungumzo katika kituo cha polisi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 100-102)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
10 1
Kusoma
Kusoma kwa kina-shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuchambua shairi kutoka kwa diwani
Kutaja vipengele vinavyounda shairi
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 110)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
10 2
Kusoma
Kusoma kwa kina-shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuchambua shairi kutoka kwa diwani
Kutaja vipengele vinavyounda shairi
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 110)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
10 3
Kuandika
Utungaji wa kiuamilifu-matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua madhumini ya matangazo
Kuandika matangazo
Kutaja mambo muhimu ya kuzingaitiwa katika uandishi wa matangazo
Kutaja njia za kupitisha matangazo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 111-115)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
10 4
Kuandika
Dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya dayolojia
Kuandika dayolojia
Kueleza mtindo wa dayolojia
Kusoma na kuigiza dayolojia
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 116-117)
10 5
Kusikiliza na kuzungumza
Vitate vya sauti /s/ na /z/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua vitate vya sauti /s/ na /z/ na kuvitumia vyema katika sentensi.
Kueleza maana ya vitanza ndimi.
Kutambua na kutamka vitanza ndimi vyema.
Kujibu maswali kutoka kwa Makala ya haki za Watoto kikamilifu
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk118-120)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
11 1
Kusoma kwa ufahamu
Kusoma dondoo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma dondoo katika kitabu cha mwanafunzi vyema.
Kueleza mtiririko wa mtukio katika dondoo.
Kutambua wahusika katika dondoo.
Kujiu maswali sahihi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk120-122)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
11 2
Sarufi
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza kazi ya viwakilishi.
Kutambua aina ya viwakilishi.
Kujadili aina za viwakilishi na kutaja mifano.
Kutumia viwakilishi vyema katika sentensi na mazungumzo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk122-129)
11 3
Sarufi
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza kazi ya viwakilishi.
Kutambua aina ya viwakilishi.
Kujadili aina za viwakilishi na kutaja mifano.
Kutumia viwakilishi vyema katika sentensi na mazungumzo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk122-129)
11 4
Kusoma kwa mapana
Janga la ukimwi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma kifungu lenye mada Janga la ukimwi.
Kujadili matukio katika kifunguu kicho.
Kujibu maswali kuhusu kifungu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk130-132)
11 5
Kuandika
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ratiba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika ratiba.
Kuandika ratiba .
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa rotuba
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk132-134)
12

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

13

KUSAHIHISHA MTIHANI NA KUFUNGA SHULE


Your Name Comes Here


Download

Feedback